Jaman jaman jaman me mwwnzenu tangu jana nafanya kaz ya kuchungulia tu ankojay channel kama katupia mzigo nakuta hakuna kitu lakn finally kaleta walio kua kama mm like hapo tujuane😅😅 asante ankojay japo tumesikia saut yako
Nisipo sema assante nitakuwa ni mwizi wafadhila ❤kusema kweli nilikua nimeboweka, assante sana anko Jay kuwa mara nyingine tunakupenda mashabiki zako from Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Nime wa miss wana famillia ya anko jay lakini anko jay jana nilishida natizama sim kama utatuletea lisa part 15 kumbe unatuletea just a kiss sisi tunapenda alvin lisa
Jana wangapi WAMEBOEKA kumkosa LISA & ALVIN LIKE 10 ILI TUJUANE haya tunasikiliza hii JUST A KISS ✌️✌️✌️🔥🌹
Nyie nimemmiss Lisa na Alvin nione mwishowao
Ata nlirudi 13😢😢 juu ya kuboeka 😊😊
Yaaan tumemmisi haswaaa
Yan mm acha tu
Anko kwakweli tuna boweka sna leta lisa atuna raha
Waliomisss lissa na alvin dondosha like 👍 👌
Nammiss Lisa jamani❤❤❤🎉
Tunataka bint lisa 😢😢😢🎉🎉❤❤
Jamani Alvin Lisa wap?anko j tumemisi Binti Lisa bwana
@@user-vv6en8nh1c Anko jay katususa
Jaman jaman jaman me mwwnzenu tangu jana nafanya kaz ya kuchungulia tu ankojay channel kama katupia mzigo nakuta hakuna kitu lakn finally kaleta walio kua kama mm like hapo tujuane😅😅 asante ankojay japo tumesikia saut yako
Asante tukumbuke Binti Lisa part 15
Dah Leo nilikua nawaza ntamsikia hii voice ntaisikia ikimhadithia LISA NA ALVIN jmn😢but so kesi kidg nafarijika leo😊❤❤
Nisipo sema assante nitakuwa ni mwizi wafadhila ❤kusema kweli nilikua nimeboweka, assante sana anko Jay kuwa mara nyingine tunakupenda mashabiki zako from Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Wangapi tumemisi Lisa na Anko Jay toka jana nimeshinda na mawenge😂😂
Ww ndo mwenzangu aisee Anko unatunyima raha sana achia bint lisa😢😢😢
Yaan leo nimesubur mpaka
😢😢yani anko jey ametuamulia
Jamani tumemiss lisa tupe mzigo anko jay
Anko katukaushiya leo
Jaman jana siku ilikua ndefu mnooo bora kipozeo changu nakiskia sasa❤❤❤❤
Wow kazi nzuri kaka,listening from Kenya much ❤🇰🇪
Niwe mkweli sijafurahi kbx tuleteee alvilisa kwanza jmn sku ya 2 leooo😢😢
Kumbe tuko wengi😥😥
ᴺⁱᵏᵒ ⁿᵃ ˢᵗʳᵉˢˢ ⁿᵃ ᶜʲᵘⁱ ⁿᵒ ᶻᵃ ⁿⁿ ⁱˡᵃ ⁿᵃᵒⁿᵃ ˡⁱᶠᵉ ⁱᵏᵒ ˢᵃʷᵃ ᵇᵘᵗ ʰⁱᵛᵒ ᵗᵘ 😅😅😅
Wow Ankojay wetu umejua kututesa iasee ..alvlisa Ankojay twaisubiri kwa hamu part 15🎉🎉🎉
Tunamumiss sana tu lissa mwala
Leo wakwa mimi anko jay uko poa sana simulizi❤❤❤❤
😊😅❤
😢😢😢😢😢 binti Lisa jameni
Anko jay lisa part 15 tnaisbir sna😢❤
Anko jay shukrani kwa kutupa burudani hii ingawa bado hujatuachilia Lissa ila poa acha nimsikilize huyu dada nae anamapya yapi
😂😂😂😂ettti mapya yapi utaniua kwa kicheko
@@sawiaswahibu766
kivipi dadandu sinikweli tuu kwani kila mtu huwa na mapito yake
❤hapaaaaa !!LISA 🙉 yukowapiiiii
Yaan anko jay ww et angekuwa kuzimu angemwona mzee tupatupa jaman😅😅😅😅😅😅😅
Alivilisa lini
Missing bint Lissa 😢
Jaman wangapi mm kila mt kawahi🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nani amemiss Lisa na Alvin 😢
Me too miss Lisa Ankojay listening from Canada
Finally anko nimekumiss jamani
Ankojay jmn usitufanyie ivo😢😢😂😂😂😂 Simulizi ya lisa imeniuguza jmn asubuhi mchana jioni nashinda nikichungulia😮😮😮😂😂😂😂😂
😂😂😂
@@jokhajj usinicheke my Dear 🤣🤣🤣🤣
Ninzuri Sana Asante Anko j na mtunzi
Asante ankojay nimeinjoy ninasubiri binti Lisa kwa hamu na gamu😊😊😊😊😊
Anko jey nmkumss kwa sku hzi mbili bt kwa sasa fraha yngu imrud mungu azd kukbrki nzdi kuenjoy🎉🎉🎉🎉
Wewe anko atatuwa du kilanikiangalia hola asante sana namwagilia moyo na sauti yako
Ila anko ww umetuweza acha tujpoze roho n hii😊
🎉🎉🎉🎉tumesubiri Lisa mpka basii😢
Ata usiseme mi ndio kuboeka mpaka kuboeka tena
Yani tumeimiss sana Lisa
Woie liisa wangu😢😢😢😢😢😢
Kwakweri simulizi fupi tamu san inamafunzo mengi Ank jay shukrani kwakazi nzuli
Ankojay leo umetuletea mzigo mpya mungu akubriki na tumeku miss sana
Mi nackilza tu bac ila nmewamicc Alvilissa❤❤❤
Mungu akubariki sana twashukuru sana anko Jay wetu kipenzi twakupenda pia ❤❤❤🎉🎉🎉
Nimewahiiii asante saana ❤
Waaaaaooooooh mapenzi ya mzazi tamu 🤔😁😁
Eeeeeh akojey weyeee tuleteye sasa alivilissa sasa nayiyo nzuri
Jaman ank jay tunaimba simlizi ya Binti lisa
Nimewamiss Lisa&kelvin😊
Yani wew anko unajua kutugomesha aki duuuh 🎉🎉🎉🎉
Ankojay nimekuwa nimekumiss jamanai ❤❤❤
Twashukuru sana japo na miss ALVIN LISA IKI PATAMU
Mhh,nadhani huyo siyo mtoto wao, it's more than too much jamani hata wakisali wanafanya unafiki mbele ya Mungu
Nime wa miss wana famillia ya anko jay lakini anko jay jana nilishida natizama sim kama utatuletea lisa part 15 kumbe unatuletea just a kiss sisi tunapenda alvin lisa
Asent Ankojay kwa simulizi tamu sana na pia nimamiss Lisa jamani ❤❤❤😊😊😊🎉🎉🎉😊
sasa mjomba leo umetufanyia nn unatuchaganya 😮😮 sana sis tunataka lisa😢😢😢
Nipeni like hata 3 bc mashabiki❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤
Nimewahi wakwanza leo🎉🎉🎉🎉
Daa, baada ya dhiki faraja,na malipo ni hapa hapa duniani
Anko jay Lisa part 15 tunasubiriiiiiiiii🎉🎉
Ila Anko J unajua unajua mpaka unajua tena🙌🏽 Mungu abariki kipaji chako
Miss you BABY LOVE ❤️..wacha nisikilize uhondo kwanza
Ahsante bwana anko Jay simulizi
Angalau maana tuliboeka jaman❤❤❤❤❤
Tunamsubiria Lisa na Alivin
Anko j cku izi mbna unatuacha mataani kw nn jmn🤣😁yna kla mda tunachungulia tu kuko ziii kweli Anko
Lisa anko jay tumekesha youtube tng jna 😢😢😢😢😢
Yani we acha tu
anko ulituambia utatuletea lisa mchana
@@roznaaa5995 labda ucku tna mna saiv cyo mchna tna
Nmewahi.sio.no 1 mie
Nashukuru sana anko j kwa kutusimulia simulia simulizi nzuri sana
Nilikuwa nimemiss sauti yako kaka karibu nipatie na mawenge
Simulizi Tamu mwanzo uchungu lakini kwisho ni tamu❤❤
Uncle nirikuwa nimepotea sana sikua na amani nirikuwa nimekumiss sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 wacha nisikize
Jaman Anko vip LISA & ALVIN tumemis sn
Nmewahi leo afadhali❤❤asante jay
Wow such kind of story🥰 God bless you akubarik Anko j wetu
Kweli mbwa ni mbwa tu wee binty ulisha halibiwa na familia yako huna utu ndani yako pole sana 😢😢😢 huna upendo
Kupendwa kwingi kwa mzazi🎉🎉🎉🎉😅❤
Naomba lissa na alvin
Asante anko lkn alvlisa muhimu sana kipenz.
simulizi nzuli saana❤
Likizangu jamani nimewahi
Wow. Jamani iyi simulizi ni tamu, pokeya mauwa anko wa taifa 🎉🎉🎉
Msichana mjinga huna akili kweli ni ziro bren 😢😢😢
Binti lisa jamani 😢
Tunashukuru Mungu kwakukuponya ankojay wetu
tumemiss lisa jamani anko
Jaman Ankojay tunasubir ALVILISA na MKE WA MTU MTAMU
Mimi was mwisho naomben maua yenu wanafamily wenzang
Yani mimi ni mgojwa kabisa kukosa lisa
Lisa Lisa Lisa😢
Kweli jay tuletee alvnlisa❤❤❤
Anko j huezi liepuka hili hadi Alvlisa hajaisha😂😂😂
Twataka tumalize Lisa Kwanzaa
Yan me sisema ilipoona notification kwa juu nkajua Lisa iyoooooo kumbe mh
Oy mjomba acha utan sisi Lisa nikama chakula et ebu shusha mzigo mjomba
Ahsante sana Anko kwa simulizi yetu hii nzuri,bado tuko pamoya.
Ansate Anko ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Ankoj tupe Lisa Mimi ad nahisi naumwa kukosa lia
Simulizi nzuri sana ila inasikitisha😢😢 sana pia ina mafunzo mazuri sana❤❤ keep it up ank jay
Nice
Kwaiyo na leo lisa hakuna😢
😂😂😂
Good job anko jay🎉🎉
Anko unapenda kutujaribu ila nisawa tuuu tunataka lisa lisa lisa
Wow anko j nilikumic lete mamb hayo
❤❤❤❤
Ankojay vipi lisa sehemu ya 15 tunaisubri sana