Anafukuza watanganyika kwenye Aridhi yao,,urithi wao walioachiwa na mababu na mabibi zao.. sababu Hana uchungu wowote ule juu yao Anataka awalete mabwana zake ndo wamilikishwe hiyo ardhi..Laana ya mwenyezi Mungu itamkalia kichwani kwake..maana anayoyafanya anayajuwa
So means mzanzibar asiwe raisi wa Tanzania.......kwa ujinga huu tukisema hatutaki muungan na hatuwataki vichogo znz mseme waznz ni wabaguzi. Na liyote tugawane mbao. Mijitu milafi na imejaa husda. Wamepita Matanganyika mingapi mbona barazuli we hukuongelea utanganyika wao. Shenzi na mnapojiita Maraisi wa Tz Zanzibar hua mnapata kura ngapi?!
Anafukuza watanganyika kwenye Aridhi yao,,urithi wao walioachiwa na mababu na mabibi zao.. sababu Hana uchungu wowote ule juu yao
Anataka awalete mabwana zake ndo wamilikishwe hiyo ardhi..Laana ya mwenyezi Mungu itamkalia kichwani kwake..maana anayoyafanya anayajuwa
Wazanzibari hatutaki Muungano hebu tupusheni uko piganeni na CCM yenu
Lissu watie dozi Watanganyika wenzako ili wauchukie Muungano sisi Wazanzibari tumeuchoka
Jamani wazanzibar bahati hatuna
So means mzanzibar asiwe raisi wa Tanzania.......kwa ujinga huu tukisema hatutaki muungan na hatuwataki vichogo znz mseme waznz ni wabaguzi. Na liyote tugawane mbao. Mijitu milafi na imejaa husda. Wamepita Matanganyika mingapi mbona barazuli we hukuongelea utanganyika wao. Shenzi na mnapojiita Maraisi wa Tz Zanzibar hua mnapata kura ngapi?!
Nakuunga mkono mheshimiwa
Kata umpelekee haswaa