NI SUGU AU MSIGWA? NANI AMEKUSHAWISHI?

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 ก.ย. 2024
  • Fuatilia uchambuzi wa mdahalo kati ya Joseph Mbilinyi (Sugu) na Peter Msigwa wanaowania nafasi ya Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa katika CHADEMA.

ความคิดเห็น • 185

  • @IddiBakari-uj4te
    @IddiBakari-uj4te 3 หลายเดือนก่อน +2

    Chilwa naipenda chadema kuliko maishayangu. Shida tukipata viongozi wanasahau walikotoka inaumasana naonavunja moyo tunapoteza wanachama. Kaka Sugu lifanyiye kazihilo.

  • @MaruzzoTz
    @MaruzzoTz 3 หลายเดือนก่อน +8

    Kwa mtazamo wangu , msigwa Hana hoja na ajajibu maswali aliyoulizwa na maswali yalikuwa yakawaida sana haitaji ata kufikiria mara mbili kwa mtu mwenye uzoefu hajaonyesha ukomavu ni ubabaishaji na maneno ya ngonjera na bwana fisi.
    Sugu ametulia na ana reason kwa anachokijibu .
    Msigwa anakurupuka ni aibu kwa mtu mwenye experience kujibu kwa kukurupuka au kutokuwa na critical thinking katika kujibu maswali kwa usahihi .
    Naona sugu ana asilimia kubwa ya kuchukua nafasi hii na anastahili kupatiwa hiyo nafasi kuonyesha uwezo wake wakuleta mabadiriko katika Kanda ya nyanza .

  • @mussanyarubamba5848
    @mussanyarubamba5848 3 หลายเดือนก่อน +4

    Uwezo wa sugu ni mdogo sana ktk mjadala, anarukia rukia issues ambazo zinakitia dosari chama kama office nk na kuacha maswali ya msingi, pia ana jazba na anasahau huo ni mdahalo ndani ya chama sio dhidi ya ccm , kuhusu utendaji sijui sana lkn ikiwa tutaamua kwa kufuata mdahalo basi sugu bado sana!

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hii midahalo ikiwa inafanyika hivi kwa uwazi ni nzuri sana bigup msigwa

  • @Byondorujulika17
    @Byondorujulika17 3 หลายเดือนก่อน +3

    Nawapenda wote , Sugu 50% , Musigwa 50%. From Cedar Rapids Iowa state USA

  • @jacobmwankenja5466
    @jacobmwankenja5466 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa kweli mdhahalo ulikuwa moto na mzuri sana, big up chama langu Chadema, mmekomaa

  • @user-fw6dp9iy4i
    @user-fw6dp9iy4i 3 หลายเดือนก่อน +2

    Bila ushabikimdahalo umemuongezea sugu credit,,,,,
    Utulivu ,ujibujimaswali Kwa mantiki
    Mahalo unauonyesha msigwa tofauti, anahamanika,,,,
    Kwa mdahalo huuu Kura yangu
    Sugu
    Sugu
    Sugu

  • @johnkayolo4640
    @johnkayolo4640 3 หลายเดือนก่อน +1

    Msigwa amemzidi sugu Kwa kila jambo, shida ya Sugu akuelewa kuwa hapo kwenye mdahalo alitakiwa akijengee heshima chama na huku akishawishi apewe kura, lakini huku mwisho ameonekana akimkosea adabu mwenzake Kwa kusema alikuwa ahaminiki ktk chama, Sugu ameonyesha uwezi mdogo sana wa stahimili hoja chungu.
    Hivi anawezaje kusema Msigwa alikosea kutokwenda ikulu Kwa wakati ule.
    Sugu ametumia kila aina ya lugha chafu ili apate uongozi.
    Hii ni hatari Kwa Chama.

    • @NNONGWA
      @NNONGWA 3 หลายเดือนก่อน

      Nimewashangaaa ssna, huyu Bint Mayemba wa Njombe ni mtupu na namna nilivoona Wametoka vipande hawajakubaliana lakini itoshe kwa Sugu kuelewa Mbeya anakaboliana na nani ? Lakini pia namuona Mungai aki influence kuondoka kwa Msigwa ni wazi Iringa haitapoteza jimbo hata moja mbeya pia , ila Songwe ndiko kuna kazi ya kweli....Chadema wamepoteza sanaaaa....Once a Legendary ktk Medani wanapaswa wajue Sugu ni compromised fellow.

    • @NNONGWA
      @NNONGWA 3 หลายเดือนก่อน

      CCM iringa itapita majimbo yoteee....Mbeya piaaaa....

  • @MuhojaMalicho
    @MuhojaMalicho 3 หลายเดือนก่อน +3

    Musigwa yuko vizur kanda ya nyasa imeimalika sana

  • @Flaviosafari
    @Flaviosafari 3 หลายเดือนก่อน

    Chadema kimekomaa. Wote wako vizuri! Tunajifunza. Tunahitaji vyama kama hivi.

  • @adenmwakalobo760
    @adenmwakalobo760 3 หลายเดือนก่อน +4

    Wawili hawa ni wazuri na walijaribiwa na JPM wakastahimili. Ingawa hivyo wanapaswa kuongeza uelewa, kila mmoja ktk eneo au maeneo fulani. Sugu alibughudhiwa zaidi pale alipofungwa na nadhani ndipo alipompoteza mzazi wake-jambo zito kuliko yote hilo! Hata hivyo, kwake kudai Msigwa angekubali mwaliko wa ikulu ya JPM ilhali ilijulikana ni kutaka kumnunua (hongo) ni kuyumba! Huwezi kuitikia wito wa Rais wa nchi anayetaka kukurubuni halafu utuambie ukifika ikulu utamgomea, HUWEZI na nadhani haishauriwi!!! Hivyo Msigwa anastahili pongezi ktk lile. Nahisi Sugu ana PR nzuri na watu, lakini nahisi ni mtu wa nadharia kuliko kutenda. Msigwa alipaswa kudai ushahidi kutoka kwa aliyemtuhumu kudai pesa, badala ya kulijibu kijuujuu suala nyeti kama rushwa. Mwisho, nadhani waboreshe uhusiano kati Yao itawasaidia ktk majimbo yao dhidi ya ccm tunayotaka iondoke madarakani

  • @kashiririrkaasongwisye9487
    @kashiririrkaasongwisye9487 3 หลายเดือนก่อน +3

    Huu ni mtihani mgumu sana hapo wote wako bora sana lakn itabidi ashinde mmoja tu mwingine awe makamu wanajitahidi kujenga hoja na kujibu hoja

    • @kashiririrkaasongwisye9487
      @kashiririrkaasongwisye9487 3 หลายเดือนก่อน

      Mch. Msigwa bado anao uwezo mkubwa wa kuongoza na pia sugu mbilinyi ana vision kubwa sisi wengine tunatakiwa kupata SoMo kutoka kwenye mlengo ya mdahalo huu hasa kuona uchaguzi ni ligi nzuri yenye irafiki sio vita!

  • @sammykateregga6238
    @sammykateregga6238 3 หลายเดือนก่อน +3

    Mimi nadhani Kuna haha ya kubadilisha uongozi ili tupate vision mpya ambazo nimeziona kwa Mhe Sugu. Mch tumpe nafasi nyingine kwa Sasa.

  • @manfredkibona3126
    @manfredkibona3126 3 หลายเดือนก่อน +1

    Msigwa ni public speaker mzuri laki kama anaamini chadema ni kubwa kuliko MTU ni muda muafaka akae pembeni miaka kumi ni mingi aache vipawa vingine vitoe mchango

  • @DonMooSTUDIO_Express
    @DonMooSTUDIO_Express 3 หลายเดือนก่อน +1

    Wameanza vozuri lakin MWISHONI nimeshangaa maneno ya Sugu kuropoka siri za ndani ndani kuwa Msigwa haaminiki ktk chama... Hili ni tatizo. Nasema tena hilo ni tatizo

  • @jonathanakhabuhaya1693
    @jonathanakhabuhaya1693 3 หลายเดือนก่อน

    Mjadala huu unaonesha kuwa CHADEMA kimekomaa sana. Hii ndo tunataka CCM ifanye. Wagombea wa CCM wafanye midahalo ya aina hii ili tuwaone na kuwauliza maswali. Na vilevile vyama vikubwa (hususan CCM, CHADEMA na ACT WAZALENDO) vikutanike na kufanya midahalo ya ya aina hii ili wananchi tuweze kuchagua viongozi wanaofaa. Hii ndo kazi ya luninga yetu ya TBC. Chacha Ryoba aachane na "cheap" programs na interviews ambazo zinaelekea kusaidia chama kimoja. Ryoba asisahau kuwa kesho chama anachokisukumasukuma huenda kisiwepo madarakani. Big Up CHADEMA,

  • @wilsonsikahanga1761
    @wilsonsikahanga1761 3 หลายเดือนก่อน +3

    sijaridhika na majibu mchungaji, hasa katika kutengeneza miongozo ya maendeleo ya chama hasa ujenzi wa ofisi

  • @malinzirutta3391
    @malinzirutta3391 3 หลายเดือนก่อน

    Msigwa ni philosopher, kiongozi. Sugu ni mtendaji anafaa sana kuhanasisha matukio
    My take ni kuwa, A Nation is governed by philosopher. Msigwa anafaa zaidi kuongoza kanda, kuwajenga watu kisaikolojia.
    Sugu anafaa sana kuhamasisha matukio ili yafanikiwe.

  • @karamarwamugema3700
    @karamarwamugema3700 3 หลายเดือนก่อน +1

    Msigwa nafikiri hata yeye anajua kuwa sugu anamzidi kitu fulani katika kadamnasi. Msigwa anafaa zaidi kufanya kazi makao makuu ya chama kama political officer (commissioner) kama nafasi hiyo ipo katika katiba ya CHADEMA.

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 3 หลายเดือนก่อน

    msigwA is the head lnto. Chadema political party let be frank has to be avoided such debeghty on one political party
    Your analysis vary brave as the professional tanzania janalist

  • @user-te1uk3ku8b
    @user-te1uk3ku8b 3 หลายเดือนก่อน +2

    Msingwa nikiongozi mnzuri ira nigependa tumuone na sungu .masns wote wako vinzuri

  • @drsumatz7539
    @drsumatz7539 3 หลายเดือนก่อน +4

    Msigwa kimemuua kile cha wamasai na yy kujikita kweny kuunga ccm mkono

  • @user-od3fv4zb8u
    @user-od3fv4zb8u 3 หลายเดือนก่อน +3

    Joseph mbilinyi also known as sugu

  • @hafidhnzota2142
    @hafidhnzota2142 3 หลายเดือนก่อน

    Msigwa IKULU ungekwenda kukisemea chadema,ungeuliza WATU WASIOJULIKANA NA KESI ZA KUBAMBIKIWA.WEWE UMETUMIKA SANA SANA.

  • @safaribuganga
    @safaribuganga 3 หลายเดือนก่อน +3

    CHADEMA ina majembe wote wazuri

  • @ogweyoranga8110
    @ogweyoranga8110 3 หลายเดือนก่อน +3

    Mimi nitashangaa sana kama wanachama watamwacha Msigwa wamchague Sugu.

    • @FranksonMkumbwa-mb3pp
      @FranksonMkumbwa-mb3pp 3 หลายเดือนก่อน

      Muongo ww, amejibu nn haswa

    • @HappyKitindi
      @HappyKitindi หลายเดือนก่อน

      Ndo maana amewakimbia 😂😂😂😂😂

  • @carolsangawe2024
    @carolsangawe2024 3 หลายเดือนก่อน +3

    Kuna ushabiki unaandikwa humu lakini msigwa amemzidi sugu kwa mbali sana

    • @FranksonMkumbwa-mb3pp
      @FranksonMkumbwa-mb3pp 3 หลายเดือนก่อน

      😅😅😅 amemzd nn haswa, sugu anajibu vzr

    • @HappyKitindi
      @HappyKitindi หลายเดือนก่อน

      Msigwa Yuko critical sana

  • @musamagulu2023
    @musamagulu2023 2 หลายเดือนก่อน

    Nimeiona democracy kwa Mr Sugu,anafaa na ni kiongozi makin mwenye vision,huyo msigwa mmmhhh mazoea mengi let him go home

  • @luganomwaigomole7441
    @luganomwaigomole7441 3 หลายเดือนก่อน +2

    NIMEPENDA SANA LIVE PARTICIPATIVE

    • @abdalahgunda1319
      @abdalahgunda1319 3 หลายเดือนก่อน

      msigwA is the brain hide political cicret vary lptantAnt this is what msigwA do into midia

    • @abdalahgunda1319
      @abdalahgunda1319 3 หลายเดือนก่อน

      Mbilinyi even late julias kambarege Nyerere during his life time in politics he was asking help to odinary people why you can be a leader but you don't hame money into opposition we need sacrifice both sides leader and odinary people together we building one thing

  • @IddiBakari-uj4te
    @IddiBakari-uj4te 3 หลายเดือนก่อน

    Chilwa songea town nisawa hanaf 33:48 aa poent kafanya nn? Tumpe sugu tuone karamazake. Viongozi wachini wanatengwa sana ndikowanakotenngenezwa wanachama!

  • @gastonmbilinyi382
    @gastonmbilinyi382 3 หลายเดือนก่อน +1

    Wote ni wazuri. Ila kiongozi hapo ni Msigwa. Sugu aendelee kumshauri Msigwa kwa usitawi wa chama chetu.

  • @HappyKitindi
    @HappyKitindi หลายเดือนก่อน

    Ukiangalia kwa makini unagundua kuwa kabla msigwa hajahama comment nyingi zinambeba kuwa bora na alistahili ila baada ya kuhama unaona comment zinambeba Sugu. Mwenye akili haambiwi tazama

  • @carolsangawe2024
    @carolsangawe2024 3 หลายเดือนก่อน

    Msigwa his very bright man. Anajua uongozi. Sugu bado.

  • @SaidShemkieti
    @SaidShemkieti 3 หลายเดือนก่อน +1

    Tatizo sugu amefungwa mdomo sanaa haswa kwenye huu uongozi wa mama na hii ni baada ya kufanyiwa tamasha kubwa kule mbeya na mama akiwa mgeni rasmi sijawahi sikia sugu akihoji au kuchallange chchte kile kinachoendelea kwenye uongozi huu wa mama mimi kula yangu nampa msingwa

  • @LissaJonas
    @LissaJonas 3 หลายเดือนก่อน

    Kulala nyumbani sio tija,kula Wali na migebuka sio case, tunahitaji awe specific, maendeleo gani? Ana generelise sana.

  • @evelina9621
    @evelina9621 3 หลายเดือนก่อน

    Wananuliwa
    Wi.ngi

  • @GSengo
    @GSengo 3 หลายเดือนก่อน +1

    SUGU IS THE BEST

  • @sylvanuskavindi2756
    @sylvanuskavindi2756 3 หลายเดือนก่อน

    Wana mihemko, kupewa nchi hawa hapana. Hawatakuwa na tofauti yoyote na CCM

    • @AnsbertNgurumo
      @AnsbertNgurumo  3 หลายเดือนก่อน

      Kuna siasa bila mihemko? Kwa hiyo unaridhika na mihemko ya CCM kwa miaka 63? Au una chama kingine? Tujulishe.

  • @francisjohanes3027
    @francisjohanes3027 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hawa wote wameiva wako vizuri

  • @johnmakundi9877
    @johnmakundi9877 3 หลายเดือนก่อน +2

    Sugu

  • @fridolinusboniface3574
    @fridolinusboniface3574 3 หลายเดือนก่อน +2

    Msigwa anafaa , ameiva.

  • @Sheba4651
    @Sheba4651 3 หลายเดือนก่อน

    Hata mimi naona ni vyema alivyokataa kuenda, muda huu angekua akhera tu, japo na magu naye yupo huko huko, na mimi nitaenda huko huko, ila kuna kutangulia, ama kutangulizwa.

  • @rastheunique
    @rastheunique 3 หลายเดือนก่อน

    Mchungaji yupo vizuri! Sugu ego yake inampelekea kupeleka personal attack tu Kwa mwenzake 😅

  • @falakangesa5886
    @falakangesa5886 3 หลายเดือนก่อน +1

    Coment za mapez ya chama wote bàdo

  • @richardnyarugenda9769
    @richardnyarugenda9769 3 หลายเดือนก่อน +1

    Sigu anafaa, hana mbwembwe na mambo mengi

  • @julianamichael1848
    @julianamichael1848 3 หลายเดือนก่อน

    Wote wako vizuri

  • @Wamisangi
    @Wamisangi 3 หลายเดือนก่อน

    Kama ni kuchagua kiongozi wa watu wote basi ni ..... Lakini kama kiongozi wa hooligans ni......

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu 3 หลายเดือนก่อน

    Walinshidwa Nini Kusema 2020 Ilikiwa Ni Uporaji... Huyu Moderator Anajifanya Kama Majimbo yaKanda ya Kusini yalideal na Uchaguzi huru na haki 2020.

  • @user-xe8xv6so6s
    @user-xe8xv6so6s 3 หลายเดือนก่อน

    Sugu hongera Sana. Umetulia kwenye maswali.

  • @eraseras7007
    @eraseras7007 3 หลายเดือนก่อน

    33:48 ni vile lazima kuwe na kiongozi.

  • @Nyanda506
    @Nyanda506 3 หลายเดือนก่อน +1

    Dada anauliza ama anafoka???😅😅mbona mkali sana

  • @oss6689
    @oss6689 3 หลายเดือนก่อน +1

    Msigwa

  • @IddiBakari-uj4te
    @IddiBakari-uj4te 3 หลายเดือนก่อน

    Chilwa naipenda chadema mkongwe anajikanyaga kisukali kingi.

  • @PaulKazalla
    @PaulKazalla 2 หลายเดือนก่อน

    Sugu brow

  • @NNONGWA
    @NNONGWA 3 หลายเดือนก่อน

    Am sorry CHADEMA Nyasa wamekwisha huyu jamaa si Sign of Change bali ni Alama ya Fursa . Sugu harudi Bungeni na Nyassa itapoteza viti vingi sana

    • @AnsbertNgurumo
      @AnsbertNgurumo  3 หลายเดือนก่อน

      Kwani viti Nyasa vilikuwa vinaletwa na nani? Toa mifano

  • @allyshaban406
    @allyshaban406 3 หลายเดือนก่อน +1

    Msigwa!! Ana maono

    • @FranksonMkumbwa-mb3pp
      @FranksonMkumbwa-mb3pp 3 หลายเดือนก่อน

      😅😅😅😅 Maono yao? Maana hajasema hata moja

  • @MaxCharles-wj5dg
    @MaxCharles-wj5dg 3 หลายเดือนก่อน

    duh nimependa mudahalo huu

  • @amanmwamluku9772
    @amanmwamluku9772 2 หลายเดือนก่อน

    sugu nampa kura yangu

  • @evelina9621
    @evelina9621 3 หลายเดือนก่อน

    Pita.msg.ametulia
    Anafaa

  • @evelina9621
    @evelina9621 2 หลายเดือนก่อน

    Wewe.dada.unaye.sema.nakupenda.unase.ma.kweli.uwezo.mkubwa.akili.ysko.juu

  • @usembiphonedar5632
    @usembiphonedar5632 3 หลายเดือนก่อน

    Kama hutaki rushwa ungeenda ikulu kufanya nini? Sugu acha hizo! Ukifika huko huwezi kukataa kupokea kitita!

  • @evelina9621
    @evelina9621 2 หลายเดือนก่อน

    Sugu.alijibu. vizuri.a,namalengo.ewena.moyo.wajitoa

  • @tonyaron1194
    @tonyaron1194 3 หลายเดือนก่อน

    Chadema ni chama kinachoeendesha chama chama chake kwa uwazi sana kuliko fisiem

  • @Kwelihukuwekahuru
    @Kwelihukuwekahuru 3 หลายเดือนก่อน

    Siungi mkono kwa wakati ule Msigwa kwenda Ikulu hapo Sugu umeongea kisanii

  • @joyceharris2093
    @joyceharris2093 3 หลายเดือนก่อน +1

    Msigwa anafaa kuwa kiongozi. Nitashangaa wapiga kura wasipomchagua msigwa

  • @almachiusjeremiah
    @almachiusjeremiah 3 หลายเดือนก่อน

    Msigwa anafaa,SEMA tu kumuelewa waga panatakiwa ufkri sana

  • @jumanassib3634
    @jumanassib3634 3 หลายเดือนก่อน

    A RIGGED MDAHALO! ... AM I MISTAKEN?

  • @victoreleonardmdee9158
    @victoreleonardmdee9158 3 หลายเดือนก่อน

    Mdahalo Umekuwa Mzuri ila Moderator mwisho alishindwa kuongoza mjadala

  • @user-tu8tl2lg4b
    @user-tu8tl2lg4b 3 หลายเดือนก่อน

    Hakuna kuchukua Dora makonda anaijenga nchi

  • @LissaJonas
    @LissaJonas 3 หลายเดือนก่อน

    Huyu Mhe, msigwa anakosea sana analinganisha binadamu na wine? 😂😂

  • @theonestruta216
    @theonestruta216 3 หลายเดือนก่อน

    Sugu ameongea vizuri. Naona mchungaji ana jaziba.

  • @martinloibooki1844
    @martinloibooki1844 3 หลายเดือนก่อน +1

    Suguuuu

  • @gm003
    @gm003 3 หลายเดือนก่อน +3

    Mbilinyi

  • @hadijasufiani6167
    @hadijasufiani6167 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sungu

  • @LusajoAmbakisye-uq8ym
    @LusajoAmbakisye-uq8ym 3 หลายเดือนก่อน

    Msigwa anajibu sawa sawa

  • @evelina9621
    @evelina9621 3 หลายเดือนก่อน

    Unasema.kweli.sugu
    Hutauza.chama.kama.unauchungu.msingombeni.leteni.watu.wikomboe.tanganyika.mengine.acheni.malombano.chedema.juu

  • @denisshimela169
    @denisshimela169 3 หลายเดือนก่อน

    Sugu anaweza

  • @sjdbxjdhsudjxjhd615
    @sjdbxjdhsudjxjhd615 3 หลายเดือนก่อน +1

    Msigwakonk yanyasa

  • @user-jl5un4wf3u
    @user-jl5un4wf3u 3 หลายเดือนก่อน

    Tangulini msanii awemwanasiasa. ?? Munachanganya mandazi maharage.

  • @ottomtitu4336
    @ottomtitu4336 3 หลายเดือนก่อน

    Sugu yuko sawa sana

  • @linacedon8492
    @linacedon8492 3 หลายเดือนก่อน

    Hapo kwenye koti la wachungaji hapo😂😂😂

  • @orestsanga6294
    @orestsanga6294 3 หลายเดือนก่อน

    Sugu ni sugu mtoto wa mjini huwezi kumshinda kwa hoja lazima ukae

  • @evelina9621
    @evelina9621 2 หลายเดือนก่อน

    Ulibari.sugu..

  • @JosephShayo-rl2cg
    @JosephShayo-rl2cg 3 หลายเดือนก่อน

    Ni MSIGWA.

  • @danieltewa
    @danieltewa 3 หลายเดือนก่อน

    Mzigwa Anastahili kurudishwa

  • @godfreychaula3969
    @godfreychaula3969 3 หลายเดือนก่อน +1

    sugu anasoma sana hoja alizoandika,inaonekana kajipanga kimaelezo,msigwa anaetoa kichwani anafaa zaid maana ananyumbulika na anajiongeza

    • @MajiiIfande
      @MajiiIfande 3 หลายเดือนก่อน

      Huyo hafai kwa sababu atasema ya kichwani kisha ayasahau

  • @PaulLukumbi-en3qd
    @PaulLukumbi-en3qd 3 หลายเดือนก่อน

    Msigwa anajibu hoja/maswari

  • @SaidiMkome-qq7hy
    @SaidiMkome-qq7hy 3 หลายเดือนก่อน

    Sugu boss

  • @solomoneglesias9752
    @solomoneglesias9752 3 หลายเดือนก่อน

    Hapa Sugu atafaa sana so ni mtu wa kufosi pale pasipo na njia,,, Sguuuu👍👍👍

  • @briankatani6770
    @briankatani6770 3 หลายเดือนก่อน

    Mdahalo mzuri na sugu ameonekana kutulia sana,ila muongozaji ulikuwa unaacha linakuwa zogo

  • @saidbakar-qo6ri
    @saidbakar-qo6ri 2 หลายเดือนก่อน

    VIONGOZI WENU AIBU WANAGOMBEA UGALI

  • @evelina9621
    @evelina9621 3 หลายเดือนก่อน

    Huyu.ewe.mpanishi.dada.anayesema.maswali.wote.wako
    Sawa. Kufanya.kazi. pamoja

  • @JohnKamugunga-ee3rt
    @JohnKamugunga-ee3rt 3 หลายเดือนก่อน

    Msigwa anajua anachokifanya.

  • @alinanusweedward2952
    @alinanusweedward2952 3 หลายเดือนก่อน

    Kabla ya yote nipongeze ATCL

  • @BarakaBashiru-nf3sb
    @BarakaBashiru-nf3sb 3 หลายเดือนก่อน

    Kwa ufupi msingwa

  • @IddiBakari-uj4te
    @IddiBakari-uj4te 3 หลายเดือนก่อน

    Chilwa toka songea nampa sugu.

  • @johnmakundi9877
    @johnmakundi9877 3 หลายเดือนก่อน

    Mhe msigwa kweli umesaidia chama kwa kiwango fulan but now mpishe Sugu naye afanye kaz ya kanda
    Pili sugu anajibu maswali vzur mno na kujiamin kwing
    Msigwa unakwepa maswali

  • @MiriamAbdallah
    @MiriamAbdallah 3 หลายเดือนก่อน +2

    Wote

  • @user-xe8xv6so6s
    @user-xe8xv6so6s 3 หลายเดือนก่อน

    Wote ninyi ni majemb

  • @leodgardotmar7198
    @leodgardotmar7198 3 หลายเดือนก่อน +1

    MsigwA