Tundu Lissu Alivyoitikisa Babati Kwa Hotuba Nzito

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 23 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 80

  • @CholoNassor-h8r
    @CholoNassor-h8r 6 หลายเดือนก่อน +6

    Umetisha kifo ni kifo iyoo imeenda

  • @PascleShayo
    @PascleShayo 6 หลายเดือนก่อน +9

    Baba kabla ujaongea me nakuelewa❤

  • @gangan4618
    @gangan4618 5 หลายเดือนก่อน +3

    Viva Mh. LISSU viva, well said "Ila biblia inasema WATU WANGU WANAANGAMIZWA KWA KUKOSA MAARIFA... WATANZANIA WANAANGAMIZWA NA CCM KWA KUKOSA MAARIFA". Hosea.4:6.
    Sio wanaanganmia kwa kukosa maarifa, BALI WANAANGAMIZWA KWA KUKOSA MAARIFA... Kutokujua maarifa haya anayotufafanulia Mh. Lissu hivyo ndivyo CCM WANATUMIA KAMA MTAJI KUTUANGAMIZA WATANZANIA... NDO MAANA WATU KAMA WAKINA LISSU WANAWAPIGA RISASI ILI WASIWEPO DUNIANI(WAFE KABISA) TUKOSE MAARIFA NA WATUMIE UJINGA WETU KUWA MTAJI WA KUTUANGAMIZA HAWA WAKINA-CCM"Chama Cha Maovu"TANZANIA.

  • @JohnMahu-f1g
    @JohnMahu-f1g 6 หลายเดือนก่อน +10

    Asant lisu ukweli mungu akulinde na. Atuvushe utawala ccm ubomoke kwa jina la yesu

  • @sagandamalechampullo659
    @sagandamalechampullo659 6 หลายเดือนก่อน +11

    MH. LISSU KAMA KUNA WATU HAWATAKUELEWA KTK ELIMU HIYO UNAYOTOA BASI, WASUBIRI TU MUNGU ARUDI KUWACHUKUA

  • @TNgwale-eu3xl
    @TNgwale-eu3xl 6 หลายเดือนก่อน +4

    Lisu Mungu aendelee kukulinda na kukubariki. Tutoe Watanganyika na Wanzanzibar katika huu ufedhuli na uhuni wa CCM

  • @sagandamalechampullo659
    @sagandamalechampullo659 6 หลายเดือนก่อน +6

    TRUE SPEECH, HII NI KWELI KABISA

  • @AyubuMungii
    @AyubuMungii 6 หลายเดือนก่อน +9

    Haihitaj elimu ya vyuoooo vikuuu kuelewa LISSU anaongea nn

  • @ElishadaiSam-rq3hl
    @ElishadaiSam-rq3hl 5 หลายเดือนก่อน +1

    Hao manyang'au tutawanyoosha. Sema mwalimu wangu .

  • @malingazeboss9351
    @malingazeboss9351 6 หลายเดือนก่อน +6

    Tundu lisu ni mmoja tu Duniani😅😅😅😅😅

    • @Nyanda506
      @Nyanda506 6 หลายเดือนก่อน

      Hotuba inagusa😅😅

  • @barakabaraka8665
    @barakabaraka8665 5 หลายเดือนก่อน

    Kwa namna anavyojenga hoja zake katika misingi ya ubaguzi watanzania ni vigumu kumuamini na kumpa kura!!Ahsante Mwalimu Nyerere kwa wosia wako!!

    • @SamuelMatalu
      @SamuelMatalu 5 หลายเดือนก่อน

      Mwalimu alikurupuka tu kutumganisha na hawa Wazanzibar leo tunateswa watanganyika hatuna kila kitu, ni nani mtanganyika ni mkuu wa mkoa au wilaya huko Zanzibar?

  • @IssaJohn-kk8pb
    @IssaJohn-kk8pb 6 หลายเดือนก่อน +4

    Mungu aendelee kukupa ujasiri wewe ni shujaa

  • @rashidramadhan8998
    @rashidramadhan8998 5 หลายเดือนก่อน +1

    NCHI YA WAMASAI.? ? ?

  • @nassorkhamis6233
    @nassorkhamis6233 5 หลายเดือนก่อน

    Watangayika na wanzibar ni True love mm my brother wameoa tanganyika lkn shida ni vingozi wametuachia urithi mbaya sna wa viongozi wetu.

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 6 หลายเดือนก่อน

    Sema mtumishi wa Mungu😢😢😢😢

  • @tunchyonlinesales6127
    @tunchyonlinesales6127 5 หลายเดือนก่อน

    Ukitaka kujua kama watanzania huwa hawapendi kuichafua amani yao huyu mwamba apewe kijiti agombee kma kweli hiz comments zinatoka mioyoni 🎱🫵🏽😁😁😁😁😁😁😁 unaachwa solemba akili zinawarudi wanakusanyika wasikiza wanayaacha hapohapo🤝🇹🇿♥️

  • @YonahBoniface
    @YonahBoniface 6 หลายเดือนก่อน

    Good speech

  • @PeterMasala-gh5np
    @PeterMasala-gh5np 5 หลายเดือนก่อน

    Niliamua kwamba sitafuatilia siasa lakini uchungu mkuu wa uhalisia ambao tundulisu anausema kuhusu Rasilimali za nchi hii unatia uchungu hasa tunapoona Tanganyika inaporwa na wazanzibari.
    Nimeahirisha kwa mda

  • @Nyanda506
    @Nyanda506 6 หลายเดือนก่อน

    😅😅😅inagusa sana😢😢😅😅true

  • @ChristianMkumbo-ix2ke
    @ChristianMkumbo-ix2ke 6 หลายเดือนก่อน

    You still my hero

  • @Ramadhani-y4w
    @Ramadhani-y4w 6 หลายเดือนก่อน

    Good

  • @ibrahimomari2458
    @ibrahimomari2458 5 หลายเดือนก่อน

    Usisahau pia kuwaambia kuwa viongozi wa bara Nyerere na mkapa wameendesha mauaji ya wazanzibar kwasababu ya huo huo muungano...NAKUOMBA USISAHAU

  • @chezariboy
    @chezariboy 6 หลายเดือนก่อน +1

    Safi mwalimu ndiwe rabi wa ukweli,, wengine hamna kitu kichwani hasa ficiemu na kudjarau katiba mpya

  • @ChristianMkumbo-ix2ke
    @ChristianMkumbo-ix2ke 6 หลายเดือนก่อน

    Hata kama uko watakupeleka uchochoroni you still a champion

  • @PeterMundi-g4b
    @PeterMundi-g4b 6 หลายเดือนก่อน +1

    Hill jembe linaongeaga ukweli mtupuu,, nani kama mama hahaaa😂 mamaako enyewe anaweza akakusaliti. Waeleze mzemkubwa

  • @IssayaTimoneti-rd3dj
    @IssayaTimoneti-rd3dj 6 หลายเดือนก่อน +2

    kweli unachoongea

    • @levissanga8867
      @levissanga8867 6 หลายเดือนก่อน +2

      Watu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa. Asante mh Lisu

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 5 หลายเดือนก่อน

    👊✌️👍.

  • @V24hrs
    @V24hrs 5 หลายเดือนก่อน

    Duuh..Ndio kutikisa huku😂😂😂😂

    • @MmohamediSaidi
      @MmohamediSaidi 5 หลายเดือนก่อน

      Kichwa chako kina matofali

  • @godfreymwamaso2424
    @godfreymwamaso2424 6 หลายเดือนก่อน

    Hongera Lissu kwa kuwatetea watanzania japo watanzania wenyewe hawajiekewi kabisa wamepumbazwa na viongozi wa CCM wajanja wajanja hawataki katiba mpya wanaogopa kushindwa uchaguzi maana katiba ya sasa inawabeba

  • @bukurunestory3540
    @bukurunestory3540 6 หลายเดือนก่อน

    Habari njema ya ukombozi

  • @ramsohk
    @ramsohk 6 หลายเดือนก่อน

    Kweli we mwamba😂😂😂😂

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 6 หลายเดือนก่อน

    Serekali imetufanya kama mishukule😢😢😢😢

  • @coolruler6820
    @coolruler6820 5 หลายเดือนก่อน

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka 6 หลายเดือนก่อน

    Sawa makamanda tunawafatilia tuko pamoja

  • @AbnerKennedy
    @AbnerKennedy 6 หลายเดือนก่อน

    ✌️✌️

  • @EmanuelBlassy-uz4gm
    @EmanuelBlassy-uz4gm 5 หลายเดือนก่อน

    Hii ni zaidi ya shule huyu baba anatupatia darasa murua sana

  • @valeymendrad6297
    @valeymendrad6297 5 หลายเดือนก่อน

    huhitaji D mbili ndo umuelewe Lissu

  • @EdwardMasalu-fk5se
    @EdwardMasalu-fk5se 6 หลายเดือนก่อน

    Sawa endelea kuelimisha,tuko pammoja

  • @hamzamajenja4891
    @hamzamajenja4891 5 หลายเดือนก่อน

    Jembe mwenye maono ya kweli

  • @recenttechnologiestanzania2703
    @recenttechnologiestanzania2703 6 หลายเดือนก่อน

    Kariba ni sasa

  • @Abs-tz8dl
    @Abs-tz8dl 6 หลายเดือนก่อน

    Na wazanzibari hawataki raisi atokea dodoma, samia anachaguliwa dodomama. Mzanzibari gani anauwawa wazanzibari. Samia nino baraka wa bara

  • @justice607
    @justice607 6 หลายเดือนก่อน +1

    Tunataka atikise Tanzania 😅😅

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 6 หลายเดือนก่อน +2

    Hamna watu Bwana! Aaaaa Tupishe Nama anatosha 2025

    • @zawadimbwambo1091
      @zawadimbwambo1091 6 หลายเดือนก่อน +1

      Unatumia mavi kichwani kufikiria wewe. Huwezi kunielewa mtu anaetumia akili . Utamuelewa mtumia mavi mwenzio.

  • @eliasnganira7661
    @eliasnganira7661 6 หลายเดือนก่อน

    Kweli hii ni hotuba nzito

  • @yohanaisayasimoni
    @yohanaisayasimoni 6 หลายเดือนก่อน

    Hapa alalamiki anafundisha kijua haki zetu

  • @dorothmsuya1686
    @dorothmsuya1686 6 หลายเดือนก่อน +2

    Blaa blaa blaa! Lawama haziishi! Matusi hayaishi!😅😅😅😅

    • @zawadimbwambo1091
      @zawadimbwambo1091 6 หลายเดือนก่อน

      Matusi ni yapi wewe mtumia kinyeai kichwani kufikiria?

    • @dorothmsuya1686
      @dorothmsuya1686 6 หลายเดือนก่อน

      @@zawadimbwambo1091 Akili mavi ni wewe usiyeheshimu mawazo ya wengine! Hovyoooo!!

    • @dorothmsuya1686
      @dorothmsuya1686 6 หลายเดือนก่อน

      @@zawadimbwambo1091 kwani unajikuta wewe nani! Kumbe mpareee! Heheeeeeee!!

  • @AlexPetro-z1e
    @AlexPetro-z1e 6 หลายเดือนก่อน

    Tuendelee kupambana tu

  • @yohanaisayasimoni
    @yohanaisayasimoni 6 หลายเดือนก่อน

    2025 watu watakuwa kidato cha pili watakuwa ujinga imewatoka elim ni bora kuliko ujinga

  • @Abs-tz8dl
    @Abs-tz8dl 6 หลายเดือนก่อน

    Ccm ni chama cha wabara. Samia ni kyou baraka wa dodoma bara. Wazanzibari wanauwawa kila uchaguzi

  • @Nyanda506
    @Nyanda506 6 หลายเดือนก่อน

    True true bila chenga 😅😅😅😅😂😂😂

  • @NicolasLauwo-gl4kx
    @NicolasLauwo-gl4kx 6 หลายเดือนก่อน

    Umesahau kidogo mheshimiwa halimashauri inakuja mara tatu moja leseni mbili sevis levi tatu mwisho wa mwezi anakuja na kudai pesa za uchafu je sevis lev manake nini? Huoni kodi inajirudia

  • @badilikhatib8592
    @badilikhatib8592 6 หลายเดือนก่อน

    Kwani wazanzibari hawana haki katika muungano huu

  • @Nyanda506
    @Nyanda506 6 หลายเดือนก่อน

    😅😅😅subutuuuu😂😂😅😅miaka60

  • @Abs-tz8dl
    @Abs-tz8dl 6 หลายเดือนก่อน

    Mapinduzi yalikua ya wantanganyika

  • @noelandrealucas340
    @noelandrealucas340 5 หลายเดือนก่อน

    Wewe si una uhakika,,, mambo yakiwa mabaya inakimbilia Ubelgiji,, serikali inakupa pesa ya pensheni unatibiwa bure kwa katiba hiyohiyo unayoikataa watanzania sio wajinga tena as long mambo yanakwenda sisi tunasonga na mama samia

    • @KaroliMushi
      @KaroliMushi 5 หลายเดือนก่อน

      Kangonwe bila mate weee shoga

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 6 หลายเดือนก่อน

    HUYU MWAMBA MUNGU AMOINDE SANA

  • @kingmzebez7786
    @kingmzebez7786 6 หลายเดือนก่อน

    Mungu akupe afya njema✌🇹🇿💪💪💪💪💪❤📿

  • @nyerere1259
    @nyerere1259 6 หลายเดือนก่อน

    UNA NYEGE NA POLISI 😂

    • @KaroliMushi
      @KaroliMushi 5 หลายเดือนก่อน

      Kama ulizonazo wewe

  • @JohnRaphael-m1b
    @JohnRaphael-m1b 6 หลายเดือนก่อน

    Yaan niukweli mtupu kamanda

  • @rukkysayid6613
    @rukkysayid6613 6 หลายเดือนก่อน +1

    Hovyooo ikiwa mnakosa watu sasa hv je 2025? duh poleni kwa kweli wtu washawachoka kwa kulalamika kama wtt semeni mambo ya muhimu nn mtakifanya mkichukua nchiiii, blaa blaa za maisha magumu ni ulimwengu mzima na hilo mnalijua sana tu lkn ndiyo mmelishikia bango ndiyo mpate kura 2025🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @noelandrealucas340
    @noelandrealucas340 5 หลายเดือนก่อน

    Wewe si una uhakika,,, mambo yakiwa mabaya inakimbilia Ubelgiji,, serikali inakupa pesa ya pensheni unatibiwa bure kwa katiba hiyohiyo unayoikataa watanzania sio wajinga tena as long mambo yanakwenda sisi tunasonga na mama samia

    • @KaroliMushi
      @KaroliMushi 5 หลายเดือนก่อน

      Wee mama tulia na mbunye yako kwanza huna kisimi