Viva Mh. LISSU viva, well said "Ila biblia inasema WATU WANGU WANAANGAMIZWA KWA KUKOSA MAARIFA... WATANZANIA WANAANGAMIZWA NA CCM KWA KUKOSA MAARIFA". Hosea.4:6. Sio wanaanganmia kwa kukosa maarifa, BALI WANAANGAMIZWA KWA KUKOSA MAARIFA... Kutokujua maarifa haya anayotufafanulia Mh. Lissu hivyo ndivyo CCM WANATUMIA KAMA MTAJI KUTUANGAMIZA WATANZANIA... NDO MAANA WATU KAMA WAKINA LISSU WANAWAPIGA RISASI ILI WASIWEPO DUNIANI(WAFE KABISA) TUKOSE MAARIFA NA WATUMIE UJINGA WETU KUWA MTAJI WA KUTUANGAMIZA HAWA WAKINA-CCM"Chama Cha Maovu"TANZANIA.
Mwalimu alikurupuka tu kutumganisha na hawa Wazanzibar leo tunateswa watanganyika hatuna kila kitu, ni nani mtanganyika ni mkuu wa mkoa au wilaya huko Zanzibar?
Niliamua kwamba sitafuatilia siasa lakini uchungu mkuu wa uhalisia ambao tundulisu anausema kuhusu Rasilimali za nchi hii unatia uchungu hasa tunapoona Tanganyika inaporwa na wazanzibari. Nimeahirisha kwa mda
Hongera Lissu kwa kuwatetea watanzania japo watanzania wenyewe hawajiekewi kabisa wamepumbazwa na viongozi wa CCM wajanja wajanja hawataki katiba mpya wanaogopa kushindwa uchaguzi maana katiba ya sasa inawabeba
Umesahau kidogo mheshimiwa halimashauri inakuja mara tatu moja leseni mbili sevis levi tatu mwisho wa mwezi anakuja na kudai pesa za uchafu je sevis lev manake nini? Huoni kodi inajirudia
Wewe si una uhakika,,, mambo yakiwa mabaya inakimbilia Ubelgiji,, serikali inakupa pesa ya pensheni unatibiwa bure kwa katiba hiyohiyo unayoikataa watanzania sio wajinga tena as long mambo yanakwenda sisi tunasonga na mama samia
Hovyooo ikiwa mnakosa watu sasa hv je 2025? duh poleni kwa kweli wtu washawachoka kwa kulalamika kama wtt semeni mambo ya muhimu nn mtakifanya mkichukua nchiiii, blaa blaa za maisha magumu ni ulimwengu mzima na hilo mnalijua sana tu lkn ndiyo mmelishikia bango ndiyo mpate kura 2025🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wewe si una uhakika,,, mambo yakiwa mabaya inakimbilia Ubelgiji,, serikali inakupa pesa ya pensheni unatibiwa bure kwa katiba hiyohiyo unayoikataa watanzania sio wajinga tena as long mambo yanakwenda sisi tunasonga na mama samia
Umetisha kifo ni kifo iyoo imeenda
Baba kabla ujaongea me nakuelewa❤
Viva Mh. LISSU viva, well said "Ila biblia inasema WATU WANGU WANAANGAMIZWA KWA KUKOSA MAARIFA... WATANZANIA WANAANGAMIZWA NA CCM KWA KUKOSA MAARIFA". Hosea.4:6.
Sio wanaanganmia kwa kukosa maarifa, BALI WANAANGAMIZWA KWA KUKOSA MAARIFA... Kutokujua maarifa haya anayotufafanulia Mh. Lissu hivyo ndivyo CCM WANATUMIA KAMA MTAJI KUTUANGAMIZA WATANZANIA... NDO MAANA WATU KAMA WAKINA LISSU WANAWAPIGA RISASI ILI WASIWEPO DUNIANI(WAFE KABISA) TUKOSE MAARIFA NA WATUMIE UJINGA WETU KUWA MTAJI WA KUTUANGAMIZA HAWA WAKINA-CCM"Chama Cha Maovu"TANZANIA.
Asant lisu ukweli mungu akulinde na. Atuvushe utawala ccm ubomoke kwa jina la yesu
MH. LISSU KAMA KUNA WATU HAWATAKUELEWA KTK ELIMU HIYO UNAYOTOA BASI, WASUBIRI TU MUNGU ARUDI KUWACHUKUA
Lisu Mungu aendelee kukulinda na kukubariki. Tutoe Watanganyika na Wanzanzibar katika huu ufedhuli na uhuni wa CCM
TRUE SPEECH, HII NI KWELI KABISA
Haihitaj elimu ya vyuoooo vikuuu kuelewa LISSU anaongea nn
Hao manyang'au tutawanyoosha. Sema mwalimu wangu .
Tundu lisu ni mmoja tu Duniani😅😅😅😅😅
Hotuba inagusa😅😅
Kwa namna anavyojenga hoja zake katika misingi ya ubaguzi watanzania ni vigumu kumuamini na kumpa kura!!Ahsante Mwalimu Nyerere kwa wosia wako!!
Mwalimu alikurupuka tu kutumganisha na hawa Wazanzibar leo tunateswa watanganyika hatuna kila kitu, ni nani mtanganyika ni mkuu wa mkoa au wilaya huko Zanzibar?
Mungu aendelee kukupa ujasiri wewe ni shujaa
NCHI YA WAMASAI.? ? ?
Watangayika na wanzibar ni True love mm my brother wameoa tanganyika lkn shida ni vingozi wametuachia urithi mbaya sna wa viongozi wetu.
Sema mtumishi wa Mungu😢😢😢😢
Ukitaka kujua kama watanzania huwa hawapendi kuichafua amani yao huyu mwamba apewe kijiti agombee kma kweli hiz comments zinatoka mioyoni 🎱🫵🏽😁😁😁😁😁😁😁 unaachwa solemba akili zinawarudi wanakusanyika wasikiza wanayaacha hapohapo🤝🇹🇿♥️
Good speech
Niliamua kwamba sitafuatilia siasa lakini uchungu mkuu wa uhalisia ambao tundulisu anausema kuhusu Rasilimali za nchi hii unatia uchungu hasa tunapoona Tanganyika inaporwa na wazanzibari.
Nimeahirisha kwa mda
😅😅😅inagusa sana😢😢😅😅true
You still my hero
Good
Usisahau pia kuwaambia kuwa viongozi wa bara Nyerere na mkapa wameendesha mauaji ya wazanzibar kwasababu ya huo huo muungano...NAKUOMBA USISAHAU
Safi mwalimu ndiwe rabi wa ukweli,, wengine hamna kitu kichwani hasa ficiemu na kudjarau katiba mpya
Hata kama uko watakupeleka uchochoroni you still a champion
Hill jembe linaongeaga ukweli mtupuu,, nani kama mama hahaaa😂 mamaako enyewe anaweza akakusaliti. Waeleze mzemkubwa
kweli unachoongea
Watu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa. Asante mh Lisu
👊✌️👍.
Duuh..Ndio kutikisa huku😂😂😂😂
Kichwa chako kina matofali
Hongera Lissu kwa kuwatetea watanzania japo watanzania wenyewe hawajiekewi kabisa wamepumbazwa na viongozi wa CCM wajanja wajanja hawataki katiba mpya wanaogopa kushindwa uchaguzi maana katiba ya sasa inawabeba
Habari njema ya ukombozi
Kweli we mwamba😂😂😂😂
Serekali imetufanya kama mishukule😢😢😢😢
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Sawa makamanda tunawafatilia tuko pamoja
✌️✌️
Hii ni zaidi ya shule huyu baba anatupatia darasa murua sana
huhitaji D mbili ndo umuelewe Lissu
Sawa endelea kuelimisha,tuko pammoja
Jembe mwenye maono ya kweli
Kariba ni sasa
Na wazanzibari hawataki raisi atokea dodoma, samia anachaguliwa dodomama. Mzanzibari gani anauwawa wazanzibari. Samia nino baraka wa bara
Tunataka atikise Tanzania 😅😅
Hamna watu Bwana! Aaaaa Tupishe Nama anatosha 2025
Unatumia mavi kichwani kufikiria wewe. Huwezi kunielewa mtu anaetumia akili . Utamuelewa mtumia mavi mwenzio.
Kweli hii ni hotuba nzito
Hapa alalamiki anafundisha kijua haki zetu
Blaa blaa blaa! Lawama haziishi! Matusi hayaishi!😅😅😅😅
Matusi ni yapi wewe mtumia kinyeai kichwani kufikiria?
@@zawadimbwambo1091 Akili mavi ni wewe usiyeheshimu mawazo ya wengine! Hovyoooo!!
@@zawadimbwambo1091 kwani unajikuta wewe nani! Kumbe mpareee! Heheeeeeee!!
Tuendelee kupambana tu
2025 watu watakuwa kidato cha pili watakuwa ujinga imewatoka elim ni bora kuliko ujinga
Ccm ni chama cha wabara. Samia ni kyou baraka wa dodoma bara. Wazanzibari wanauwawa kila uchaguzi
True true bila chenga 😅😅😅😅😂😂😂
Umesahau kidogo mheshimiwa halimashauri inakuja mara tatu moja leseni mbili sevis levi tatu mwisho wa mwezi anakuja na kudai pesa za uchafu je sevis lev manake nini? Huoni kodi inajirudia
Kwani wazanzibari hawana haki katika muungano huu
Unaelewa kinachosemwa kwan
😅😅😅subutuuuu😂😂😅😅miaka60
Mapinduzi yalikua ya wantanganyika
Wewe si una uhakika,,, mambo yakiwa mabaya inakimbilia Ubelgiji,, serikali inakupa pesa ya pensheni unatibiwa bure kwa katiba hiyohiyo unayoikataa watanzania sio wajinga tena as long mambo yanakwenda sisi tunasonga na mama samia
Kangonwe bila mate weee shoga
HUYU MWAMBA MUNGU AMOINDE SANA
Mungu akupe afya njema✌🇹🇿💪💪💪💪💪❤📿
UNA NYEGE NA POLISI 😂
Kama ulizonazo wewe
Yaan niukweli mtupu kamanda
Hovyooo ikiwa mnakosa watu sasa hv je 2025? duh poleni kwa kweli wtu washawachoka kwa kulalamika kama wtt semeni mambo ya muhimu nn mtakifanya mkichukua nchiiii, blaa blaa za maisha magumu ni ulimwengu mzima na hilo mnalijua sana tu lkn ndiyo mmelishikia bango ndiyo mpate kura 2025🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hovyo tu Wewe huna lolote baki na FISIEMU Yako Chama chenu Mbovu....
Oyaaaah we punga, punguza nyege basi kujikomba Kombaa !!!!!
Kuma wewe
Nyokowe
Umetumwa mkundu wewe
Wewe si una uhakika,,, mambo yakiwa mabaya inakimbilia Ubelgiji,, serikali inakupa pesa ya pensheni unatibiwa bure kwa katiba hiyohiyo unayoikataa watanzania sio wajinga tena as long mambo yanakwenda sisi tunasonga na mama samia
Wee mama tulia na mbunye yako kwanza huna kisimi