Dalili za UKIMWI!! Kama unasumbuliwa na dalili hizi 12 nenda kapime UKIMWI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 ต.ค. 2024
- UKIMWI ni Ugonjwa unasababisha Upungufu wa kinga mwilini, Ugonjwa huu unasababisha na virusi wa HIV ambao husambaa zaidi kupitia majimaji ya mwili. Njia kuu ambayo virusi hawa husambaa kwa urahisi na kwa kiasi kikubwa ni kupitia ngono zembe na mtu aliyeathirika na virusi hawa.
Video hii imeelezea na kujibu maswali muhimu kuhusu Dalili 12 za mwanzo za UKIMWI
Follow us on:
Facebook: / mshaniwellness
Instagram: / mshani_wellness
Twitter(X): / mshaniwellness
TikTok: www.tiktok.com...
Contact: 0743039890
Ahsante sana Doctor ninaushauri kidogo maana nimesoma baadhi ya Comment watu wengi hofu imezidia sana waamini kua Mungu anaponya magonjwa Yote wasife Moyo Mungu anaweza yote waamini nawaokoke kweli Yesu yupo
Maisha anajua Mwenyezi Mungu siyo binafamu mwanangu tulia utaishi vizuri kuliko hata aliye kuwa mzima kwa sababu ww unawasiwasi na Afya yako pole sana Dreen nimekupenda kujitangaza nivizuri na inanakupa nguvu ya kuishi na unasikia furaha kwakuwa kila mtu anajua siri yako hongera na Mungu akutunze niko pamoja mawe sana
he mbona umemaliza maneno na baba wa batu anatupa uchauri ama wewe umechakuwa Hiv 😮
@@rebeccazagabe😂😂😂😂
We nawe hujielewi au unao Acha atufundishe ambao hatuna tupate kujua
Mwehu huyu alojibu hivi
Una Ukimwi wewe njoo nikupe tiba
Wengine tunapungua uzito na maden ya vikoba😊
Ukimwi wa sasa una uafadhafali lakini zamani hasira na kuchanganyikiwa ilikua kawaida kwa mgonjwa hakukuwa na dawa za kuleta matumaini. Dokta yupo sahihi sana na ameacha dalili nyingi.
Hongera wanaotukana wamegundua dalili wanazo Zaid ya Saba pole yao
😂
Hasira haziletwi na ukimwi hasira zipo kila aina
Mda mwengine una stress zako zamapenz ama maisha lazima uwe na hasira zakilawakat
Ko ukiwa na mimba hapo una hasira ahahahahahahahahahahaaaha duh kweny hasira hapo ni kitu kizito
Uyu doctor muongoooo ko ukiwa na fangasi hapo ngoma tayar😂😂
Asant sana, Namshukuru Mungu.
Elimu nzuri hongera asante sana
Hili somo ni zuri mnoo sawa teacher usiache kutuelimisha,tupo1
Aiseeeee nakusikiliza vizuri. Nipo na wenye ukimwi hapa
😅😅😅😅 jamaa wewe bn
🤣🤣🤣🤣🤣🤣ee Mwenyezi mungu niepushe
Daaaa
Matusi ni ushamba,kama hupendi hili somo husisikilize
Watanzania tuwe na shukrani,naona baadhi wanayompinga prof.Janabi.
Kwan mbna sielew docta ametoa elimu wengine wanamaind na kutukana kwan kama hutak kuangalia si upite hivi au nendeni mkapime mana dalili ya makasiriko imewaandama
😅😅😅 uzuri doctor ametanguliza kuwa na hasira kari
Inshallah aliahamdhulilah kwa ushaury
Wanaukimwi
Hapo kuhusu hasira Dr umekosea umechemsha
Hapa umeita Dr.
Ni kweli wengi wanakuwa na hasira
Ukitumia dawa za ARV effect Moja wapo ni brain ndio umfanya mtu kuwa na asira Doctor amekosea kusema asira kabla ya kupima sio kweli asira zinakuja wakat ushajijua Tena ushaanza dawa
Uko sahihi
Ata watumia bangi na nicotin wana asira sana.
Nashukuru dalili zote sina🙏🙏
Ubarikiwe na MUNGU alie hai
Nawewe MUNGU ambariki kwa lipi muongo huyu acheni kumusumbua MUNGU na kumuchezea ambariki kwa lipi wakati anadanganya watu
Ah mm dalili km nane hv nimezbain kwahy nikimbilie hospital
Mi nina hasira sana 😂😂na sina ukimwi
Mi za kuzaliwa kbs Napo nimeokoka saiv afadhali😂😂
Hhhhh
Yan hiz dalili mbona mi napata hacra jaman
😂😂😂😂kwel voo mm mwenyew ninahasira mbn sn ukimw
Sasa itakuaje kuusu uyu mtoto shure sina ata shiringi namimi naishi kwa kina amina pale nimepewa notsi
Asant mungu akubari
Hii kuvimba mbona ata wajawazito tunavimba!
Hasira sawa lakini hawezi ikawa na sababu ya awali na so wote wenye asira wanaukimwi pease usijaze hofu watu
Ndio maana katoa dalili nyingi siyo hiyo peke yake na pia amesema hivi unakua na hasira ikiwa mwanzo haukua hivo naona hujamuelewa vizuri yaani hapo kabla hukua na hasira ya kukuzidi ila hapo inaongezeka
Naona daktari ameanza na dailies za mwisho kabla kuanza za mwanzoni
Doctor nilazima ukiwa na utanda weupe una ukimwi au
Hao wanaotukana ndio wale ambao hajalukubali Tatizo badala aende hospitali anaenda Kwa mganga na badae mtu anaambiwa anatakiwa mfuko wa uganga achana nao
Asante
Dawa acheni kufanya ngono point 😂😂😂😂😂😂😂
Oooooo et ukimwi sio nn?
Doctor mm nilihic nimetembea na mtu mweny virus ila nilienda kupima baada ya miez 5 ckukutwa nao je vipimo havikua sahihi au vip naomba kujua doctor
Kila baad ya miez mitat kapme
Inawezekana kudate na mwathirika wa ukimwi kwa muda alafu ukipima usikutea na hiv?
Tunashukuru doctor kwa elimu
Doc hapo unasema uongo hivyo vyote umetaja nimekuwa navyo kwa muda mrefu lakini nimekuwa nikipima ukimwi lakini haipatikani kwa damu yangu yenyewe ni nyepezi haiwezi kuficha ukimwi hata juzi nilipima na niko napicha ukitaka naezakutumia uone so hapo sikubaliani na wewe kwa hivyo vitu umevitaja may hayo ni mauhubiri yuu
Unaniita muongo wakati huohuo unasema damu yako nyepesi. Damu nyepes ndo kitu gani?
Shame on u..... appreciate mtu anapoteza muda wake kukupatia elimu ambayo huwez ipata kirahis popote tena bure.
U feel nadanganya please unsub to my channel na utafute doc mkweli.
Uongo mtupu
😂😂😂
Mnajua maan ya dalili kwel au mnajibu kwa mihemko
@@mshaniwellnessdam nyepesi hajaweka viungo labda😂
Shukrani sana
Elimu nzuri .. mie nasoma
Tupe somooo,asante sna
Thanks again
Shukran ❤
Mwnyez mung akuzidishie
Kwani kama kitu huhitaji ausangalie yanini kutukanana nivitu muhimu kwa mtu anojitahdi kujiangalia
asa mbona dalili ya nane zipo mbili tushike lipi sasa
kwee kabisa dactar
Fungus ni nini?
Hiyo ni dalili ya kumi docta
Dalili za ukimwi unaanza kuziona muda gani baada ya kupata maambukizi doctor?
Kusema ukwel me hata vidonge vya ukimwi sijui vpoje
Nina furaha ,naweza maliza mwaka bila tatizo nidalili yanini?
Raha ya maisha na kukinai roho yako
Wewe kaka acha uwongo umesomea wapi hiyo kazi nakikohazi tena ulichosema mume wangu ninamiaka nae kumi natatu anakikohozi hicho kwakifupi kazoea tafuta pesa blooh acha kuwatia wasiwasi watu n
Punguza makasiriko.... kapime
Hizi dalili huanza muda gani baada ya ambukizo la kwanza.
Mimi Nina swali na inakuaje ikiwa unasumbuliwa na tumbo Mara kwa mara
Nikweli
Nakama.hunq.izo dalili naunaukimwi iyo imekaeje
😂😂😂😂
well come
Huyu fala hajui chochote unakosa tu cha kufanya msenge tu.
Punguza makasiriko binti
Nimepata herimu tosha
Nzri kaka
Mimi nilipima juu mzee anarandaranda kwa mwaka mumoja nimepima saidi ya safari nne na sioni doc fangasi inaleta saratani ya kizazi kama huwezitibiwa lakini sio ukimwi
Dalili y 10 kaimba feruzi hio
Hongara kwa kutupa elimu ukizingatia sasahivi ukimwi umeongezeka
Ivi kuwa na wapenzi weng alafu hawana ukimwi si hauwez kuumwa siety😅😅
Ata ukila ubwabwa unapata😂
Wewe umemeza sawa Leo usisahau kumeza😂😂😂
Hapo kwa hasra no sikubali watu tukiwa kwenye hedhi tunahara bwana 😅😅
Yesu anaponya mangonjwa yote
Ya tisa.
Duu tunadanganywa jaman
TB haisababishi ukimwi ila ukimwi ndio unasa abisha TB
Kwa kweli sio kwamba wenye Tb wote wameathirika
Hahahaha 🤣🤣🤣🤣🤣 dah km kutafuta umaarufu nihvi hata Mimi natafuta
Safi
Sitofanya mapenz tena😮
Dalili si zote zingine hata kwenye kisuka zipo
Eti kuchanganyikiwa duuh😂
So ww uliona hizo dalili ukajikuta uko na ukimwi ama unamaana gani bro tafuta kazi waja kutafuta comment kwa ujinga na ufala
Kutukana haisaidii tayar nishaipata comment yako.
hasira tenaa😂😂😂😂
😂😂hasira kila mahali bana doc
😢Hasira kila mtu anazo🤔
Kelele sikilizwn doctors😂😅😢😂
Anayetukana anahilo tatizo kwahiyo inakuwa hasira
Nyinyi ndio mawakala wa kusambaza hayo maradhi tafuta kazi ya kufanya
Punguza makasiriko
Unao acha kisirani Kwa yeye ndio aliyekuambukiza?
Tuambie baba asirimia yawa bongo hatupimi afya kwawakati
Dalali zote ninazo jaman hasa hasila
Jaman hata mim nna
Ko mie nina ukimwi🙄🙄🙄make nina hasira hapa nishagombana mara 4 najikuta tuu
😂😂😂kafeli hapo
🤣🤣🤣
8 iko mara mbili mkuu
😂😂😂
Hata kisukar unapata kupa matatizo ya hasira
Ndio mi nshamuona mtu mwenye nayo anakaa na hasira kila mara.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣eti usitukane sana
Hao wanaotukana ndio wasirika wenyew acha na nao tufahamishe ss tusio na makasiriko
😂😂😂😂😂Yan wewe
Wajinga ndo waliwao kama wewe
Mimi upata vidonda mdomoni kipindi napata period
❤❤❤
HIV ni nini mana mi najua ni ukimwi
Human immuino virusi😊
Hongera Dr tatizo watu wengi hawataki kupewa elimu shauri Yao mradi ujumbe umefika
Ila hata mtu wa sukari anahasira sana
Magonjwa meng yanaweza kukusababishia hasira ni vizur kupima
Wache waseme mwisho wake wanakufa wao ww unashudia Mungu matendo yake
Sio wa sukari tu hata kansa na Presha
Hapo hakuna Dr Kuna mtangazaji tu
Hapa umeita mtangazaji.... we unadhani uko sawa kichwani kweli?
@@mshaniwellnessanayo huyo maana naona amepigana kweli kweli😂aende akapime bhan aache kuyumba yumba😅
Hao wanaokutukana HIV+ nashangaa wanaangalia clip hizi huku ni wahanga
😂😂😂
Eti hasira acha uongo wewe
Anae tukana kwasababu yakutoa elimu .huyu nimutu wa ajabu sana kama hutaki kupata elimu hii SI acha usikiliza. Kuliko kutukana .upumbavu wako ufanye dokita Astor elimu kwa watu? Acha hizo wewe
Sauti ya doctor inafahamika tuu
😂😂😂😂😂
Total lies , the best things is the patient to visit VCT for testing but to avoid this nonsense here above.
Thats nice opinion girl.
Wewe umejuaje au wewe mwenyewe ni mgonjwa wa ukimwi?
😂😂😂😂hasira
Sikubaliani na wewe kabisa labda tu useme unatafuta pesa watu wanaposubscribe
Matako yako kanye huko