Doctor mm niliwah kutoka vipele vyekundu kweny matiti na mapaja baadae vikapotea nikanenepa hakuna mfano mbaya sana nilikuwa nanyonyesha mwanangu alianza kupungua bila sababu nahic n ukimw 😭😭
Doctor,,mm niko n swali,, mbona mm naumwa n shingo n mabenga,, nasikia pain n ndani,,shida inaweza kuwa nini,,nimeumwa kwa muda,,bt ii mwaka nimeumwa sana,,plz nipe advice,, ni buy dawa gn
Tafadhali naomba unisaidie kama mimi sijaona dalili ya homa ndani ya wiki mbili bwanangu anaumwa akona homa anasema koo pia yawasha na kuna vitu kama piple kwa makwapa yake zimemtoka nikawa natoa lkn mm sijaona dalili tafadhali nikitaka kuokoa afya yngu nitafanyaje tafdhal maana mm sion dalili
@@florahmushi748kama aliswaki kwa muda mfupi ukautumia ndio labda kama ameswaki na mswaki ukakaa masaa kadhaa hupatwi na kwa vitu vya ncha kali ni ivo ivo.
Anae ongea sauti ni kama mwenyewe ana ukimwi 😂😂😂😂😂nisameheni jamani😂
Dokta uko vzr nadhan tumekuelewa
Asantee doctor tumeelewa
doctor mm Mwili unauma kunzia kiunoni mpaka Kwenye mabega nilikua nafanya Sana mazoez ya pushapu na yaviungo vya Mwili nimeacha Nazo nidalili
Kunauwezekano wa kutopata ukimwi endapo unafanya ngono uzembe na MTU mwenye vvu
Vip Mimi nimetumia kondomu kwaufasaa Ila nina Homa vip inaweza kuwa dalili 😢
Doctor mm niliwah kutoka vipele vyekundu kweny matiti na mapaja baadae vikapotea nikanenepa hakuna mfano mbaya sana nilikuwa nanyonyesha mwanangu alianza kupungua bila sababu nahic n ukimw 😭😭
Asante doctar
Je group o positive inaeza kuambukizwa virusi daktari nisaidie
Ndugu ukimwi hauchagui group jilinde usidanganyike 😅
Asante sana
jaman
Kama unaukimwi unajuwa badaya sikungapi
Docta naomba kuuliza ivi kipimo Cha kinywani na kipimo Cha damu kwenye kidole kipi Bora zaidi katika kutoa majibu sahihi?
Doctor samahani je ukishiriki tendo na mtu mwenyewe HIV na anatumia dawa kunauwezekano wa kumuambukiza mwenza wake
Docta je hizo dalili za Kwanza mtu anaweza kutumia dawa na akapona au ukiingia ndo bas
Swali zuri
Pole sana ndg yangu
@@fanuelgibsonmtalikwa8784😂
Hapana huwez pona ila huwez kupoteza maisha kama utawah kuanza dawa.
Mtu anayetumia dawa anaweza muambikiz ambae atumi dawa..? 🤔
Doctor,,mm niko n swali,, mbona mm naumwa n shingo n mabenga,, nasikia pain n ndani,,shida inaweza kuwa nini,,nimeumwa kwa muda,,bt ii mwaka nimeumwa sana,,plz nipe advice,, ni buy dawa gn
Tafadhali naomba unisaidie kama mimi sijaona dalili ya homa ndani ya wiki mbili bwanangu anaumwa akona homa anasema koo pia yawasha na kuna vitu kama piple kwa makwapa yake zimemtoka nikawa natoa lkn mm sijaona dalili tafadhali nikitaka kuokoa afya yngu nitafanyaje tafdhal maana mm sion dalili
Nicheki whatsapp
0719814730
@@bongoafya dr nakupigia
Jaman ugonjwa una Tisha huu
Doct mimi naon kama kikohoz kinakua kinanisumbua pia na mafua
Hivi ni kweli minyoo zinaweza kusababisha mtu kukohoa?
Ndio
NIMESIKIA KWAMBA DALILI HIZI ZINAFANANA NA DALILI ZA MAGONJWA MENGINE...... SO SIULIZI SWALI DAKTARI AMETOSHA.....
Hata mim nmetembea kwa mda mlef namweny ukimw lasipo kujua hiz dalil kwang sjazion ila nimenenepa san niuchov t ndio upo
Kapime
Je doctor nimepima Sina virus lakn mpenz wangu niliyekuwa nae alikuwa muadhilika lakn Nina Miaka miwili sas nimeachana nae lakn napata homa Kali
Pole aisee ukachek afya yako usikae ukalidhika.
Mbona doctor hajibu sasa
Mbn dalili hzo cn lakini kipimo kinaonesha unavirs au
Samahan dactar j kubabuka mdom nay n dalili ya kwaz?
Hapana
Doctor na koo kukauka je??
Nacheka kama mazuri
Ukitomba peku auwezi kupata ukimwi ukitumia kondomu ni raisi kupata ukimwi akiri kichwani kwako
Mimi nimeswakia mswaki wa mgonjwa wa ukimwi mswaki wake nilichanganya mswaki lkn niliukuta ukiwa mkavu je naweza kupata?
Yaani Nasubiri Ili jibu kwa hamu
@@florahmushi748kama aliswaki kwa muda mfupi ukautumia ndio labda kama ameswaki na mswaki ukakaa masaa kadhaa hupatwi na kwa vitu vya ncha kali ni ivo ivo.
Duuuh ni hatari mno
mim nina vindonda2 kwenye mdomo vip naona sielewi
Kapime
Dokt mtu anaeza kukaa miez zaid y mitatu bila kupata dalili hizo zote
yes
Uwiii
Nimekwishaa
😢😢😢
Ivi mbu aking'ata mwenye virusi anaweza kuambukiza wengine
Hapana mbu uambikiza malaria.
Ivi kunenepa nakwenyewe ni dalili ya ukimwi je kama mjamzito kanenepa inaweza kua ni dalili ya ukimwi?
Ndio hii ni miongoni mwa dalili... Thabiti
@@dcgyywqswe4562 unanenepa ndan ya muda gan kuanzia upate maambukizi
Daktari je mtu anaye tumia Arvs vizuri anaweza kumuambukiza mtu virusi vya ukimwi?
Nicheki hapa kwa mawasiliano, Bofya link hapo chini maandishi ya bluu:-
bongoclass.com/ushauri.html
@@bongoafya habr
@@bongoafya naomba Yako dokta tuwasiliane samaan
Hawezi