Sema nimegundua watu wenye hela wana uongeaj flan hiv hauna makelele 🙌🏻🙌🏻🙌🏻utulivu wa hal ya juu
This man is very humble, even when you meet him 🙏🙏🙏🙏🙏
Mimi ni Simba damu, but the guy is good example for young people in Tanzania.
Nice interview nimejifunza mengi asa kama shabiki wa yanga sc
Waswahili wanasemaje sio kwa ubaya
Kusifia kazi bora inayofanywa na Yanstone town, Great job
This is my best Show,from Nakuru city Kenya
So calm and Collected, this Man genius aisee, so educated and so professional, Wananchi tunajivunia wewe sana Engineer 🙌🙌🙌
Mie mwanasimba lakini namkubali Sana hers yupo kisoka Hana maneneo machafu ya usimba na yanga mungu akupe umri mreefu Kaka unajielewa mnoo
Tulichelewa wapi kumpata mtu kama huyu big up Eng Heris Mungu akulinde na uwe na maisha matefu. Daima Yanga mbele nyuma mwiko.
Viva Rais engineer Hersi said 💥🔥💚💛💯
Tunakwenda vizuri. Yanga has gifted a president from God. #vivayangasc
5:00
Mwenyezi Mungu atubariki wanaume wote tunaopambania familia zetu tusibaki na madeni kwa watoto wetu
nimeipenda sana hii kauli
Mzee wa watu Mungu amrehemu sana
Amefariki huku akiwa amejitahidi kama Baba... Hadi kusikia mtoto anasema Baba amefariki lakini Hana deni..Hatumdai chochote
Sasa mlienda lalaliga kufanyaje wakati huo ndio mfumo wa Simba eng ? 49 wanachams 51 mmiliki?
this guy is a total genious! a true engineer
Huyu ni kijana WA maana sana. Vijana tujifunze kutoka kwake. Yanga Kwa mfumo huu tuko makini na mbali lazima tufike
Fantastic interview!! Tunamuomba Jimmy mafufu dada salamaa
Big up Eng. Hersi Said. Akili kubwa
Wanachama 40,000, kwa club kubwa kama Yanga sio nzuri. We need over 500k members contributing to the club anually
Business Technical Strategist 💫 naisubiri ya Big Joe
Jamani nisaidieni Enginia alishawahi kufanya kazi Simba
Salama mlete doctor rick abdalah mchambuz wa soka nampenda sana
Uyu mtu ana uwezo wa kuliongoza ata taifa 🟢⚫🟡
Salama sjaionaa interviews na masoud naiptjee nisaidien
Uyu mbona mstarabuu sanaa
I salute you man🙏
my President, my Club 💛💚🖤🟡🟢⚫️
From unguja town ningependa sisy umlete mezani feysal salum abdallah fei toto fundi kijana #hometownzanzibar
Fei toto ni mchezaji wa mpira team ya yanga pia kma atanialikaa mezani nitaenda inshaallah
Natafuta jina zuri la kusifu hii "interview" naona kama yanapelea.
Salama waandishi wengi wanapaswa kujifunza kwako the way unauliza maswali.
Salama jabir anajuwa
Mzee msomali tumeishi nae mailimbili dodoma
Bigup Eng😂
Japo mimi sio Yanga but jamaa anaeleweka sanaaaa kuna mengi yakujifunza kwake
Simba na yanga zimekutana live, ila hers nimemfahamu sababu ya interview yako na manara alimwita hamnazo😀😀😀
Engineer 🙌
Hongera da Salama kwa kazi nzuri
Think Tanker.... Engr you are the best
Tatizo ni MFUMO.....Hili jitu naliekewa
Kazi nzuri
Jemedari kasikia bila shaka
Anavyoongea yani hata kama kiziwi utaelewa anamaanisha nini maana anaongea kwa vitendo kweli uyu jamaa ni Engeniar aliye nyooka.
MGAA GAA NA UPAWA HALI WALI MKAVU (Yaani ukikaa karibu na mwiko huwezi kula wali bila mchuzi)
Maana ya io methali ni ukipitapita pembezoni mwa mwambao wa habari (upwa) huwezi kosa kitowewo cha samaki ikakupelekea kula wali mkavu
Kaaah, kumbe engineer hersi ,mumetukosea mashabiki kumficha sura Mimi nilifikilia engineer wa mjengo wako
Basi naomba nisaidie niweze kupata itazama
Mahojiano yangu bora ni Haya na Master J mpaka sasa.
👏👏💚🖤💛
🔥
Dope
Engineer gan mbona anaongea sana unakosa la kuulza
Rojoooo 😂
Nice engineer…. Sema the most successful club in the World sio Real Madrid bali ni Al Ahly SC ya Cairo…alafu kuna watu kadhaa alafu ndio Real Madrid.
@@kinthermedia6164 ni mwongo huyu jamaa Al Ahly ya Cairo ndo iwe most successful in the world
Rais wamabingwa
Huyu Engeniar ni mungu alimleta. Mungu akubariki endelea Kua mweledi unaweka Alana ambavyo itakumbukwa. Badae utakuja Kua MTU mkuubwa Sana nchi hii nakuombea Kwa mungu
Amen