Hakika kuna maarifa flan Mungu kakupatia ushee na sisi jamii yako, Mwenyezi akupe unyenyejevu zaidi, Nguvu, afya, kwa maneno yako aliyokupa tuzidi kufumbuka mcho ili nasi tujifunze kitu cha kufundisha wengine piah, See me at the top.
Mwl mm maisha yangu na ndoto zangu ni kuwa tajili mkubwa was kimataifa toka nikiwa mdogo safari ilianza vizuri duh! Sijuwi nifanye nn ili niongee na ww kwanjia ya cm
Asante Sana mkufunzi wangu,, hua najipata nimechaguliwa kiongozi kila mahali niedapo , sometimes nashidwa lakufanya,, nashukuru tangu nikufwate nijifunza Sana barikiwa na ulindwe naungu
Mwarimu kiongozi Joel Mungu akubariki sana! Somo lako linagusa maisha yetu! We really like your lessons that you posted every single day, God bless you brother forever
Keep pushing brother Joel. Your life is an insipiration to many youths. If you can achieve all that, it can be done to us as well if we believe and put in the work. Naendelea kushikilia maono yangu hata kama mazingira na wengine bado hawaoni nionacho. Nipo STENDI YA BASI hata hapa nilipo napita
True .Nilijipangia na kujitamkia ktk Maisha yangu kabla sijafika Miaka 25lazima niwe na Nyumba na 'Sio Bora mradi Nyumba tu 'Nyumba nzuuri Dar es salaam.Hakika ndivyo ilivyokua Teena nikiwa nimezaliwa Iringa nikakulia Iringa Dsm nikaja baada ya kumaliza Form Four .Teena. Safari yenyewe nilifanyiwa mpango na Mwanafunzi niliekua nimemuacha kidato kimoja shuleni Udzungwa .(Dabaga)Baada ya kumaliza Form Four Nikiwa nasubiri matokeo Jamaa yangu aliekua anatokea dsm Na nilikuanasoma nae Udzungwa ?Ndugu Aloyce alikuja kuniomba nimtafutie Mtu ataekuja kufanya kazi dsm ya kukatia majani Ng'ombe wa ndugu yake. Nikamwambia Mtu huyo umepata akashangaa saana.Kivipi?Akauliza .Nikamjibu Ni Mimi mwenyewe.Na ndo safari ya Maisha ya dsm ilianzia hapo.......Now Nipo vizuri na ninamshukuru saana ndugu Aloyce coz yeye ndo Mungu alimtuma Aje anionyeshe njia.
Ongera kaka Joël nanauka
Ni mimi Kabura Abedi kapanga sabiti swabur
Kutokea Congo na Burundi hadi Tanzania
basi unavozungumza afu unatabasamu, ndo najikuta na mie nimesimama na wewe nakungoja umalize kuzungumza na mie niwasilishe mada yangu... ASANTE
Mungu akulinde na kukuinua
Unajua paka unakera Bro
Hakika kuna maarifa flan Mungu kakupatia ushee na sisi jamii yako, Mwenyezi akupe unyenyejevu zaidi, Nguvu, afya, kwa maneno yako aliyokupa tuzidi kufumbuka mcho ili nasi tujifunze kitu cha kufundisha wengine piah, See me at the top.
Mwl mm maisha yangu na ndoto zangu ni kuwa tajili mkubwa was kimataifa toka nikiwa mdogo safari ilianza vizuri duh! Sijuwi nifanye nn ili niongee na ww kwanjia ya cm
Good bress kazi ya Joel
Asante Sana mkufunzi wangu,, hua najipata nimechaguliwa kiongozi kila mahali niedapo , sometimes nashidwa lakufanya,, nashukuru tangu nikufwate nijifunza Sana barikiwa na ulindwe naungu
Amina nitapata aje vitabu sako
Mwarimu kiongozi Joel Mungu akubariki sana!
Somo lako linagusa maisha yetu!
We really like your lessons that you posted every single day, God bless you brother forever
Asante kaka Nanauka
Mungu akutie nguvu na akutimizie lengo lako kaka joel
Asante sana kaka na mungu hakubariki🙏🏿👏
Asante sana
Nayikubali sana elim yako
Ooooh!! my God ,thanks alot
Asante sana brother
uko vizuri , ila mm natafuta vitabu vyako kila nikitafuta mtandaoni sipatiii mwee
Asante sana Napenda kusikiliza masomo yako hasa ya uongozi
Nikweli kaka iko sahii mungu akujalie kila lenye kheri
😂😂wanasema ana misifa,anajiona anaweza,ila wa Tz jmn
Touched
Amina
Keep pushing brother Joel. Your life is an insipiration to many youths. If you can achieve all that, it can be done to us as well if we believe and put in the work. Naendelea kushikilia maono yangu hata kama mazingira na wengine bado hawaoni nionacho. Nipo STENDI YA BASI hata hapa nilipo napita
Asante sana nakufuatilia sana kaka Joel
You are such a blessing! God Bless You & Increase You!
You are genius be blessed
amina bro
I'm motivated
Nimekuelewa sanaaa Kaka Joel
Kaka naomba kujua vitabu vyako vinapo uzwa
Thanks
Masomo haya nitayapataje kwa nji ya whatsapp?
Natamani sana kaka nije nichukue kitambu chako unapatikana wapi
Ubarikiwe mtumishi unafugua akili ya watu wng.
Nakukubali sana
Kenya watching👌👌
SAFI SANA
Joel wewe ninoma sana
Very true💪🏿💪🏿💪🏿
Part 4 nasubiri kwa hamu
wewe ni mwanaadamu🙏😔
namba tatu niyamuhimu
Nondo makini sana
True .Nilijipangia na kujitamkia ktk Maisha yangu kabla sijafika Miaka 25lazima niwe na Nyumba na 'Sio Bora mradi Nyumba tu 'Nyumba nzuuri Dar es salaam.Hakika ndivyo ilivyokua Teena nikiwa nimezaliwa Iringa nikakulia Iringa Dsm nikaja baada ya kumaliza Form Four .Teena. Safari yenyewe nilifanyiwa mpango na Mwanafunzi niliekua nimemuacha kidato kimoja shuleni Udzungwa .(Dabaga)Baada ya kumaliza Form Four Nikiwa nasubiri matokeo Jamaa yangu aliekua anatokea dsm Na nilikuanasoma nae Udzungwa ?Ndugu Aloyce alikuja kuniomba nimtafutie Mtu ataekuja kufanya kazi dsm ya kukatia majani Ng'ombe wa ndugu yake. Nikamwambia Mtu huyo umepata akashangaa saana.Kivipi?Akauliza .Nikamjibu Ni Mimi mwenyewe.Na ndo safari ya Maisha ya dsm ilianzia hapo.......Now Nipo vizuri na ninamshukuru saana ndugu Aloyce coz yeye ndo Mungu alimtuma Aje anionyeshe njia.
Hongera sana! Uthubutu wa hivyo ni mfano mzuri hasa Kwa vijana wa sasa
@@ponsianaprotas8990 Ahsante saana Ndugu
Nahitaji namba za mwalimu
Karibu sana Sheikh Ibrahim,namba ni hii +255756094875
@@joelnanauka shukrani sana
👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿
🙏
Hakika mental mhimu sana.
Joel your too much
🏆🏆🙏🙏
Tanzania kwa Sasa tunajivunia wewe.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣
Asante sana