#MEDANIZASIASA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 23 ส.ค. 2024

ความคิดเห็น • 121

  • @Kasyetaderrick
    @Kasyetaderrick ปีที่แล้ว +4

    Odemba you are the King of Political Interview...Safi sana !!

  • @billwaltermbilinyi2055
    @billwaltermbilinyi2055 ปีที่แล้ว +4

    The real dokta we can be proud of. Achilia mbali ya siasa, huyu ni kiongozi

  • @afropatriot7769
    @afropatriot7769 ปีที่แล้ว +3

    The best politician left in Tanzania

  • @bakaramourshaaban
    @bakaramourshaaban ปีที่แล้ว +3

    Asante sana ndugu mwandishi kwakumuuliza maswali muhimu ,ila Mzee anakwepa

  • @charleskingimwakasagule5752
    @charleskingimwakasagule5752 ปีที่แล้ว +1

    Anzisha chama chako Mzee bado wengine tumekumiss sana mm nakupenda mismamo yako mungu akubaliki

  • @johnsonchonja4032
    @johnsonchonja4032 ปีที่แล้ว +2

    Chief odemba apewe maua yake aseeee ni 🔥🔥🔥🔥

  • @angelsgabriely3575
    @angelsgabriely3575 ปีที่แล้ว +5

    Safi sana dr silaa,..na hiyo mikataba ya bandari iandikwe kwa lugha ya kiswahili ili wananchi wote waelewe,.waache upuuz wao hakuna kuuza bandar

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji ปีที่แล้ว

      NENDA SHULE WEWE NA AKUTAFSRIE KIKOJOZI WEWE NENDA KAKOJOE 😢😢😢😢

    • @nghabiorganicchickentanzan3671
      @nghabiorganicchickentanzan3671 ปีที่แล้ว

      ​@@OmmyJames-xn7jiBasi utakuwa umeona umejibu sahihi !!!!!! Huzuni sana aiseeh .

    • @angelsgabriely3575
      @angelsgabriely3575 ปีที่แล้ว

      @@OmmyJames-xn7ji we ndo uende shule fala wewe!..hata maandshi yako yanaonyesha ubongo wako umejaa mavi hata std7 ulfel!.lugha ya Tz ni kiswahili hvyo ni muhimu kiswahili kitumike kwa wananchi wote sawa na lugha yao ilivyo,..shoga wewe

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji ปีที่แล้ว

      @@angelsgabriely3575 WAGALATIA HAKUNA TENA KUIBA KWENYE BANDARI YETU 👍 INABIDI MUKARUDI KULIMA MAANA MJINI HAMUWEZI TENA

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji ปีที่แล้ว

      @@angelsgabriely3575 WEWE ANGELS 👼 BIASHARA YA UMALA IMEKWISHA RUDI MACHAME UKACHEZE KAMARI NA KUNYWA MBEGE HAHAHAHA 😀😀😀😀

  • @chrissymarcus5051
    @chrissymarcus5051 ปีที่แล้ว

    Thanks @Odemba kwa kufanyia kazi maoni yangu kuwaita watu Kama doctor slaa, Waite na akina shivji, Lisu na ikiwezekana wafanye mdahalo studio

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 ปีที่แล้ว

      Tatizo la main stream media ni kwamba hawafanyi 'live' coverage kwa hao watu.. ni machawa. Vipindi mubashara ni kwa lusinde,'Dr ' musukuma et al.

  • @bryanmagee5681
    @bryanmagee5681 ปีที่แล้ว

    Star tv natumaini hii tv ni mashuhuri sana tanzania na ulimwengu . Mtume wetu Rais pombe Magufuri alifunga mikutano ya dharura baada ya Chana cha chadema kuandamana pale jijini dar es salama. Kipenzi chetu dada yetu Aqurina alipo uwawa na wahuni wa chadema kwa kupigwa risasi hadharani ndipo mtume wetu Rais wetu alipofunga mikutano ya hadhara Tanzania.

  • @getitdoneright1938
    @getitdoneright1938 ปีที่แล้ว +1

    Well said Doctor

  • @samwelimalongo9668
    @samwelimalongo9668 ปีที่แล้ว +1

    Huu mkataba hatari sana kitaifa bila shaka hautapitishwa ukipita lazima Mungu ataingilia kati isaya 18:7

  • @zingiberofficinale9843
    @zingiberofficinale9843 ปีที่แล้ว +1

    Odemba namkubaaali sanaa..
    Sema pia hapa kakutana na mwamba kichiiz yaan. Dr. Slaa yuko deeep kichiiz

  • @muhammadalibhaz1390
    @muhammadalibhaz1390 ปีที่แล้ว

    Dr slaa unahekima sana nakukubali sana lowasa hakustahili kupokelewa chadema na kuteuliwa kugombea urais kupitia chadema kinyesi ukitoa sehemu Moja nakuhamisha bado iitanuka

  • @ellymaz2187
    @ellymaz2187 ปีที่แล้ว +3

    Binafsi namkubali sana huyu mzee.

  • @bakarikaoneka1080
    @bakarikaoneka1080 ปีที่แล้ว +1

    1. Ili tusiipasue nchi kwa misingi ya udini, Ukanda, tutmie lugha yenye hekima na busara.
    2. Tujizuie kudharau watu wenye mitazamo tofauti n ya kwetu.
    3. Wale ambao wana mawzo mbadala, wayaw4ke kimaandishi kifungu kwa kifungu na kuwakilisha maandishi hayo kwa AG.
    4. Tuheshimu mamlaka kama tulivyoagizwa na Mwenyezi Mungu kupitia vitabu vitakatifu.
    5. Tujizuie na ihemko na hasira kwani tabia hizi siyo sehemu ya uongozi bora.

  • @peemoneybags410
    @peemoneybags410 ปีที่แล้ว +4

    Wee huaminiki bwana ndumilakuwili mbinafsi tu huna lolote. Leo hiihii ikitokea Samia huyohuyo akikupa nafasi hutoskika tena ukiongea utakaa kimya. Huna ishu danganya wajinga wajinga

  • @andriessegotsane
    @andriessegotsane ปีที่แล้ว

    Umemuoji vizuti san broo ftpm27

  • @bakaramourshaaban
    @bakaramourshaaban ปีที่แล้ว +2

    Wewe mzee muongo tena muongo usituongopee , wewe una chuki binafsi ,wewe siulisema Tundu Lisu alipigwa na genge la Mboe , unakataa acha ubandidu

  • @nghabiorganicchickentanzan3671
    @nghabiorganicchickentanzan3671 ปีที่แล้ว +2

    Mwenye nyumba hana viatu , Odemba anaviatu !!😅😅😅😅

  • @faridhassan6834
    @faridhassan6834 ปีที่แล้ว

    Docta vipi njoo basi upewe ubalozi,punguza njaa mzee kalee wajukuu.

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 ปีที่แล้ว +2

    Mzee ni kijana zaidi kuliko umri wake.. ukiishi ukweli utaishi miaka mingi.. huyu baba haumizi nafsi yake kwa kuishi unafiki.. mwanafalsafa hasa

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 ปีที่แล้ว

    Dr nakuaminia sana Uko vizuri

  • @mpwamtaa
    @mpwamtaa ปีที่แล้ว

    Mzee anakiri sanaa❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @ayubumwakabana2137
    @ayubumwakabana2137 ปีที่แล้ว

    Alaaaaa kumbe walitunyima huduma ya mafuta 🙄🙄🙄🙄🙄

  • @mawazoselemani614
    @mawazoselemani614 ปีที่แล้ว +2

    Umetumwa kuharibu mjadala wa Bandari umepewa hela na watu ivuruge mjadala

  • @law93king
    @law93king ปีที่แล้ว

    mzee jasiri kinoma🙌

  • @bahatymarco3450
    @bahatymarco3450 ปีที่แล้ว

    Odemba ujipange unapomhoji mtu makini Kama Dr slaa, Ni aibu kuuliza maswali ambayo huna evidence, kuja na porojo za mtandaoni

  • @alexmhufu2513
    @alexmhufu2513 ปีที่แล้ว

    Tanzania naona kiza kinene mbele yako eeeh MUNGU ingilia kati jambo hili wanyonge tunakandamizwa hata pale ambapo hatuko tayari kwa hilo MUNGU tulindie watu kama hawa watetezi wa wanyonge

  • @nicojohn3920
    @nicojohn3920 ปีที่แล้ว

    Kwa uchambuz wa doctor na Muuliza swali kam mtangazaji utajua Nini maana ya taaluma kwa kweli ni watu ambao wameenda shule maswali yana tija majibu yana tija this is what we want in politics no blabla like mwita waitar I hate him as he reacts bungen yaani asiyempend Samia atafute chama chake nonsense in politics

  • @azonmlazo7013
    @azonmlazo7013 ปีที่แล้ว

    Asante sana baba kwa letuteral,huu ndio ubobevu na sio blabla za akina CC........

  • @kigahedavid2178
    @kigahedavid2178 ปีที่แล้ว

    Kalime Mzee tulikuamin

  • @venantrugabela6798
    @venantrugabela6798 ปีที่แล้ว +1

    Ujinga kabisa. Unauliza kitu cha 2015 baada ya miaka 8? Bahati mbaya mwandishi hajui kwamba Dr. Slaa ana PhD ya Philosophy

  • @amalikakiva4937
    @amalikakiva4937 ปีที่แล้ว

    Huyu mwandishi ni genius sna,anamchimba slaa ajue anafikiria nn na yeye anajileta inawezekana huyu jamaa ni usalama na anasema kabisa wananchi wapindue nchi

  • @muddyausi8470
    @muddyausi8470 ปีที่แล้ว

    We mzee mbatia alikua ccm

  • @bakaramourshaaban
    @bakaramourshaaban ปีที่แล้ว +1

    Kwanza wewe mzee muongo kwanza hakuna ukumbi wa Jakaya Nyerere

  • @muddyausi8470
    @muddyausi8470 ปีที่แล้ว

    Mwishoni nimekuelewa mzee

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 ปีที่แล้ว +1

    DR.SLAA SAFI SANA, NI BOLA HATA UNGEKUWA RAIS WETU.

  • @abelikatemi8385
    @abelikatemi8385 ปีที่แล้ว +1

    Startv tafuteni camera bora.

  • @MabulamalembekaMoris
    @MabulamalembekaMoris ปีที่แล้ว +1

    mwandishi umenifurahisha kwa namna maswali unavyo uliza kwa kutulia

  • @nicojohn3920
    @nicojohn3920 ปีที่แล้ว

    Doctor slaa hakika kwa mtu anayefikiria na kutumia ubongo vizur atakuelelew na kwakweli unastahili kuwa kiongoz wa nchi tena ngazi ya juu kabisa sijui ni ipi ila ikiwezekn mfalme na siyo rais.

  • @sir_ENOCKMACHA
    @sir_ENOCKMACHA ปีที่แล้ว +1

    Nimesikiliza jambo...nimenote neno mapinduzi

  • @eliapendamaleto
    @eliapendamaleto ปีที่แล้ว

    Shida uyuvjamaa anayemuhoji dk slaa alizunguka mbali sana akachelewa kuhoji hoja za msingi

  • @mawazoselemani614
    @mawazoselemani614 ปีที่แล้ว +1

    Wanataka kukugombanisha na tundulisu katika nguvu ya mjadala wa Bandari tumia hekima Mzee Dr slaa...usijibu mada za miaka sita iliyopita

  • @ezekielmaenda7001
    @ezekielmaenda7001 ปีที่แล้ว +1

    Lazima hata ukisema ukweli utapingwa.Wenye akili na busara wataamua.Hata Yesu alikataliwa na wakamuua.Dr.Slaa wapuuze endelea .

    • @KaburuKimath-eu5nf
      @KaburuKimath-eu5nf ปีที่แล้ว

      Jamani huyu mwandishi WA medani ni WA chama ganii

  • @jamaa2760
    @jamaa2760 ปีที่แล้ว

    "UKWELI UTATUWEKA HURU"

  • @hamidumpiga6283
    @hamidumpiga6283 ปีที่แล้ว

    Slaa mnafki sialipewa ubalozi uyo mbona alitulia

  • @hamadsheni8997
    @hamadsheni8997 ปีที่แล้ว +1

    Mzee una uroho wa mamlaka kama ulishindwa kuwachunga kondoo. Nyumbu huwaweza.

  • @ahmadmzoa74
    @ahmadmzoa74 ปีที่แล้ว

    Ni ushabiki tuu na mihemuko. Mzee amepoteza busara. Hata kama unaweza kuwa unaongea mambo sahihi lkn chunga mipaka na ukizingatia yeye ni kiongozi wa Dini.

  • @josehaulee1508
    @josehaulee1508 ปีที่แล้ว

    Odembaaaa kwenye misimamo yakee

  • @kapistranhaule-rn6ft
    @kapistranhaule-rn6ft ปีที่แล้ว

    Hujui majizi hayo WEWE umeandikiwa MASWALI namajjizi bila kujua

  • @Wami-Sababisho
    @Wami-Sababisho ปีที่แล้ว

    Ndio maana JPM Alikuona wewe unakitu na utafika mbali ''Mtu mwenye akili timamu hawezi kusaini mkataba huo" na "ikishindikana ni KUMPINDUA Rais🤐🤫😂" mwisho wa kumnukuu. Kwa maneno uliyo yaongea na kujiamini Umenikumbusha JPM.Chukua form ya Urais uchaguzi ujao 🤫🤐

  • @HassanAli-lb6wy
    @HassanAli-lb6wy ปีที่แล้ว

    Huyu chama gani

  • @angelomalimi2444
    @angelomalimi2444 ปีที่แล้ว

    Hongera baba

  • @fredrickmwakalinga6390
    @fredrickmwakalinga6390 ปีที่แล้ว +1

    Hii ccm bila moto kuwaka hawawezi kuwa na nidhamu watanzania tuodokane na woga hawa wajinga watatutesa sana tusipoamka

  • @kapistranhaule-rn6ft
    @kapistranhaule-rn6ft ปีที่แล้ว

    WEWE acha kutaja KAniSA Wala msikiti WEWE na huyu wa star tv NI darasa MOJA hamsomi hovyo kabisaaaaaa

  • @johnbwirabukiza1878
    @johnbwirabukiza1878 ปีที่แล้ว

    Samia msaliti mkubwa wataifa si muzarendo haswa tulikua namashaka name m ukumbuke a ll ipotemberea kagera aliwambia wananaichi eti Magufuri anamasalimia wakati anajua kwamba aishafaliki hata anajitambulisha kwavitendo huyo ndiye aliondoa pombe John Mgufuri masaliti mukubwa huyo

  • @eliasnganira7661
    @eliasnganira7661 ปีที่แล้ว

    Tutashinikiza serikali ijitoe

  • @josehaulee1508
    @josehaulee1508 ปีที่แล้ว

    Mwandishi pekee mwenye kuliza maswali kwa umakin

  • @samoramussa5336
    @samoramussa5336 ปีที่แล้ว

    Wabunge kazi yake nini mbona hata hawajui au makusudi, kazi yabunge nikusimamia serekari au kuipongeza tu hata kwa mabaya? Msemaji wa serekari alinichosha kusema tutapata mahela, dp yeye hayataki hayo mahela, pesa nzuri niile ulio ipambania bwana, msiiuze nawaomba mtapigwa na MUNGU kwajinsi watanzania wanavyo lia kuhusu bandari zao, wandishi hayo maneno ya slaaa haywaumi kweli?

  • @mnanasuly2585
    @mnanasuly2585 ปีที่แล้ว

    Huyu slaa hana akili kabisa

    • @YaeLondon-xy7sh
      @YaeLondon-xy7sh 10 หลายเดือนก่อน

      Heshimu mawazo ya mtu

  • @lgffumbuka183
    @lgffumbuka183 ปีที่แล้ว +1

    Samia hakusaini Katiba, kasaini nani? Au haikusainiwa? Akiyesaini anapata wapi madaraka hayo? Huyu interviewer ni very weak, hafai, anatukanwa bado hana maswali ya msingi. He is mesmerised, a complete idiot.

  • @williamsenkoro2210
    @williamsenkoro2210 ปีที่แล้ว

    Slaa achana na Hawa waandishi wanakuomba interview Ili kukubana maswali hayo kukuchafua Ili walipwe😮

    • @amirjuma6928
      @amirjuma6928 ปีที่แล้ว

      Ila huyu mzee ni kiboko kuanzia dk ya 45 mpk mwisho odemba katulia kama kamwagiwa maji

  • @RajabuMsuya-yp9uv
    @RajabuMsuya-yp9uv ปีที่แล้ว

    Baba,njo,ccm,,ndochama,chetu,tawala,upinzani,ndo,unatugawa

  • @bakaramourshaaban
    @bakaramourshaaban ปีที่แล้ว

    Vipimo vipo baada ya kutolewa ubalozi ,ndio maana unachuki

  • @martinesongelaeli2579
    @martinesongelaeli2579 ปีที่แล้ว

    🇹🇿👏👏👏👏

  • @abednego3876
    @abednego3876 ปีที่แล้ว +1

    Lisu haingii ata robo kwa huyu mzee, alaf mwandishi ana pretend sana .

  • @ezekielphilemon7343
    @ezekielphilemon7343 ปีที่แล้ว

    Wewe ndie Rais wangu ajaye,

  • @frankkaronge1609
    @frankkaronge1609 ปีที่แล้ว

    Mwandishi umesahau loliondo,

  • @ulayaz
    @ulayaz ปีที่แล้ว

    Slaa anatafuta riziki sasa kama kanisani kakosa, c.c.m., kakosa, chadema kakosa, anarudi tena chadema. Tusubiri tuone hizi tamaa na njaa za wanasiasa uchwara

    • @tozzowilliams308
      @tozzowilliams308 ปีที่แล้ว

      Poor mindset,,,,mpaka ujee uuzwe ndo utajuaa

  • @amalikakiva4937
    @amalikakiva4937 ปีที่แล้ว

    Kapindue wewe na wtoto acha kudanganya wtu

  • @bakermusa9033
    @bakermusa9033 ปีที่แล้ว

    Vyombo vyote mmelamba asali

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji ปีที่แล้ว +1

    SLAA UMEJULIKANA UKO NA MASLAHI YA MAJIZI BANDARINI NA KANISA LA KATOLIKI WAMEIBA KWA MIAKA60 SASA WANAFANYA PROPAGANDA KUPOTOSHA WATU NO MORE EXEMPTIONS KWENYE BANDARI YETU WAGALATIA WACHACHE WALIKUWA WANAIBA NA WANASIASA UCHWARA

    • @wilsonsikahanga1761
      @wilsonsikahanga1761 ปีที่แล้ว

      Ommy ..Kanisa katoliki limeiba limeiba nini kwa hiyo miaka uliyoitaja, ?

    • @wilsonsikahanga1761
      @wilsonsikahanga1761 ปีที่แล้ว

      Yaani pamoja na malizake nyingi kutaifishwa na serikari kanisa katoliki limeiba?

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji ปีที่แล้ว

      @@wilsonsikahanga1761 LIMEIBA PESA NYINGI SANA SANA NA VIONGOZI WANAJUA ILA WANAOGOPA LABDA UTUSAIDIE TUINGIE DEMOSTRATION kkkkkkkkk

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji ปีที่แล้ว

      @@wilsonsikahanga1761 MPAKA KESHO WANAIBA PALE BANDARINI NGOJA SYSTEM MPYA IFUNGWE NA DP WORLD UTASIKIA MA PASTOR WAKIANGUKA KKKKKK

  • @bakaramourshaaban
    @bakaramourshaaban ปีที่แล้ว

    Jibu maswali wewe mzee acha fitna

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji ปีที่แล้ว

    DP WORLD WANAKUJA NO MORE MAJIZI SERIKALI ITAPATA KODI NA BANDARI ITABORESHWA NA AJIRA ITAONGEZEKA. NA BAA ZITAPUNGUA INACHOHITAJIKA NI ELIMU WATANZANIA WAPEWE UJAMAA UMEPITWA NA WAKATI 😇😇😇😇😇

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 ปีที่แล้ว

      unafilwa kumamako wewe na hao unaowakuwadia.

    • @josephrutta6834
      @josephrutta6834 ปีที่แล้ว

      Hujui unachoandika. Pole

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji ปีที่แล้ว

      @@josephrutta6834 WAGALATIA NO MORE UWIZI BANDARINI

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji ปีที่แล้ว +2

    No BODY TRUST YOU MZEE MLANGO WA BANDARI UMEFUNGWA RUDI KANISANI KAUZE MAPAPAI USEME YAMETOKA MBINGUNI AMA UFUNGASHE VIRAGO UWENDE UKALIME NO BODY LISTENING TO YOU HAKUNA DILI NA MAJIZI YALIYO BAKI 😅😅😅

    • @Swahili_Digital_World
      @Swahili_Digital_World ปีที่แล้ว

      Inatakiwa tujibu hoja siyo kukashifu...

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji ปีที่แล้ว

      @@Swahili_Digital_World problem hamuelewi hamuko OPEN MINDED mnachosikia kwa watu majizi muna amini MIMI NILIKUWA NAJUA WAGALATIA WASOMI KUMBE NI RAHISI KUPOTOSHWA EASY 🤪🤪🤪🤪🤪

    • @EL-DAD.
      @EL-DAD. ปีที่แล้ว

      Nmegundua huna darasa kichwani!!! Endelea tu kuandika ujinga wako!!!
      Namuhurumia mama yako aliyeleta kitu cha ajabu duniani!!!

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji ปีที่แล้ว

      @@EL-DAD. KWANI WAGALATIA SIKU HIZI WAMEKUWA KONDOO KWENYE NYUMBA YA HAHAHAHA LOVE IT

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji ปีที่แล้ว

      @@EL-DAD. TUKUTANE MWENGE KWENYE MISA YA SAA NNE PASTOR LEO ANAUZA PAPAI MILION LIMETOKA MBINGUNI 😍😍😍😍HALAFU TUNAKUTANA NA HOLY GOST LIVE FACE TO FACE

  • @MabulamalembekaMoris
    @MabulamalembekaMoris ปีที่แล้ว +2

    mwandishi anamaswali kama wakili kizimbani😂😂😂😂

  • @amalikakiva4937
    @amalikakiva4937 ปีที่แล้ว

    Kapindue wewe na wtoto acha kudanganya wtu

  • @amalikakiva4937
    @amalikakiva4937 ปีที่แล้ว

    Kapindue wewe na wtoto acha kudanganya wtu