#MEDANIZASIASA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
- Karibu utazame chaneli yako pendwa ya Star TV Africa.
Jiunge nasi kupata habari za kitaifa na kimataifa, makala, burudani na habari za michezo katika nyanja zote!
Kutoka Ilemela - Mwanza, Tanzania mpaka ulipo, TUNAKUFIKIA!
Star TV Brightens Your Day !
jamaa yuko very smart na very calm
Kikeke amepotea, Odemba the best IQ
😅😅ILA. ODEMBA BWANAAA UKIINGIA KWENYE ANGA ZAKEE. UJIPANGE HASWAA 👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼ODEMBA
Yaani Odemba ni zaidi yani kachero anakuhoji unajikuta umetoa kauli mbili tofauti bila kujua
Odemba please🙏, tuletee shangazi fatma
Leo umeongea vyema sana safi sana bro
Odemba 🎉🎉🎉
Amwache mwamba Mwabukusi
CCCM hao wanazingua sana
Sweetbert unapata taabu sana kujibu maswali kuhusu udhalimu unaofanywa na chama chako. Na hataweza kukitetea chama chako kina madudu mengi mno
Ushindani ni kampeni; lakini Ushindi ni mbinu.
Uhuu ulikuwa wakati wa mwabukusi
Huyu jamaa so humble like it's
Mwabukusi ni mwamba sana he deserves, sweetbert hekima kubwa wote mefanya vyema.
hutuhitaji mawakili wa ccm mimachawa
Tls haiipend ccm ukionekana tu unauhusiano na ccm sio rahic kupenya karibia chaguz nyingi sana
🔥 ❤
Mtambue usiwe mjinga kwa kushindwa. Wewe uripigwa kisa ccm
Mungu fundi kampa ushindi Mwabukusi kuwatetea wamasai ungeshinda wewe usingethubutu kwenda mahakamani kuwatetea Mungu ana makusudi kwa wana wake
Hizo figisu za uchaguzi mliratibu wenyewe wana CCM kwa lengo la kukubeba wewe mwanaccm sema tu ilishindikana.
Ndg zangu, ushindani ni kampeni; lakini Ushindi ni mbinu.
Odemba sijakuelewa!!,? Kwanini hujamuuliza mantiki ya mwanachama kuchaguluwa nje ya mfumo rasmi wa maamuzi ya wanachama!!!?? Kama ndivyo hakuna haja ya kua na mchakato wa awali wa wanachama kumpigia kura awaye yeyote wanamtaka..kama chama kina maamuzi ya mwisho nje ya mchakato rasmi..hakuna democracy
Nenda mahakamani ulitegemea nguvu ingine isiyo yako, maana hukujua kwenye ushindani kuna mshindi
Kwamba jaji akila kiapo anaweza akahikumu kesi ya baba yake na tuamini hatakuwa na upendeleo? Serious?
It's good this guy never won TLS presidency, on issue of ngorongoro hes just beating arnd the bush scared to tell it as it is....
Sweetbet nakukubali sana japo mimi shabiki wa Bonface mwabukusi,subiri akitoka mwabukusi tutakupigia kampeni nawe uwe rais wa TLS.
Kumbuka huyo ni CCM
Kuwa ccm zambi?
@@OscarKasalile maelekezo tatzo
Matatizo yote ya nchi hii kwa sehemu kubwa yamesababishwa na ccm, sasa kama unapenda huyo mwanaccm ashike madaraka TLS basi na wewe utakuwa ni sehemu ya wasababishaji wa matatizo.
@@OscarKasalile CCM ni janga la Tanzania
Switii ni chawa
Sweetbert he is smart guy
He is utterly not, na bado mchanga sana kwa siasa..just follow the questions and how he replies..!!! Bado sana
@@sashawamburai agree with that