ROHO MTAKATIFU (SEHEMU YA TATU) - PASTOR SUNBELLA KYANDO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ต.ค. 2024
- Mungu ni roho na katika kumtafuta Yeye tunamtafuta katika roho,lakini pia Mungu ni lazima awe halisi katika maisha yetu ili aweze pia kutambulika kwa wasiomfahamu.Mungu kuna mahali akikufikisha hata wale ambao hawajawahi kukuheshimu Yeye atakuheshimisha.Huyu Roho Mtakatifu hutufundisha yote na kutuongoza katika yote,kwahiyo tukitaka tufanikiwe rohoni na mwilini ni lazima tujifunze kufanya kazi na Roho Mtakatifu.
Ikiwa ni sehemu ya tatu ya somo hili la Roho Mtakatifu,karibu ujifunze namna ambavyo unaweza kufanya kazi na Roho Mtakatifu.
UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII : 0657 173 322
Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
Like our Facebook: / therealityof. .
Follow our Instagram: / realityofch. .
Subscribe our TH-cam: www.youtube.co....
Kwa Mara ya kwanza Leo nimenena ktk roho kwa muda mrefu,nguvu za Mungu zimeshuka isivyo kawaida, kinywa changu kimekamatwa nikawa nanena Lugha nyingine hata nilipojaribu kujizuia kwa kuwa sauti ilikuwa kubwa nilishindwa,Yesu mwema
Amen ❤
Nimepokea Roho mtakatifu na nimenena kwa lugha kwa Mara ya kwanza maishani mwangu.Mungu nakushukuru kupitia mtumishi wako ..
Nachojifunza hapa sijapata pengine.Mungu ambariki sana huyu Mtumishi
Hii series imeufanya moyo wangu umwogope sana bwana...hakika roho wa Mungu anatupenda
Nabarikiwa sawa pastor sunbella kuna vitu najifunza
I'm really blessed,please mtumishi if you will come through this comment I need to see you in private,im watching life from gulf.
Amen, napenda roho mtakatifu sana
Baba sunbella MUNGU wako aniwezeshe kuishi utakatifu
Aimen
Nimelifuatilia san hili somo hakik limenibadilish san,mungu akubaliki mtumish
Ameeen napokea roho mtakatifu anijaze upia tena Ameeen I wish ningelikuwa Tanzania one iwill come they ooh my God najua wingu la kazi limefunguka kwangu kwa jina la YESU KRISTO 🙏🙏
Mtumishi wa Mungu huwa nakuelewa sana. Mungu akubariki sana na akuongezee siku za kuishi ili uendelee kutuelimisha. Maana si wewe unayetuelimisha bali ni Roho mtakatifu aliye ndani yako.
Huwa namwuliza Mungu kwa nini sikukuona zamani maana maisha yangu yasingejaa huzuni ubarikiwe najua kwa wakati wa Mungu ukifika atatukutanisha.
Hakika wewe ni mwalim nafurahi sana nikiwa nasikia mafundisho Yako mazuri Mungu akutunze
Jefrin Nakuunga mkono kuhusu huyu Mwalimu wa Neno....Tutendee kazi mafundisho haya...
Nazidi kubarikiwa mno
Following on the topic from Kenya, pastor I can testify you've been of a blessing to my sister and I, we've seen God in another dimension.
The holy spirit is at work
Namshukuru Mungu Leo nimenena kwa lugha kwa Mara ya kwanza huu nimuujiza mkubwa sana kwangu
Amen, Asante Yesu napokea
Ubarikiwe sana.nimeelewa vizuri
Always watching from Kenya and being blessed by your preaching and getting more understanding of the holy spirit
Amina
Oooh yes am watching in barhrain be blessed mtumishi najua mungu ataweka giza kuu kwa njia ya madui zangu wasinifikie wala kuniona 🙏🙏🙏
Powerful message
Nashukuru sana kwa nzuri pst
Amen mtumishi
I really need to see the holyspirit in my finances.
Napenda somo linalohusu holly spirit
Pst u a blessing tome God bless you
Asante Yesu
Amen Amen
I need the holyspirit to work in every area of my life. This is very critical.
Very true servant of Jehovah, practicals are very important.
Ubarikiwe mno mpakwa mafuta wa Bwana
Asante najifinza safi sana
Nimebarikiwa sana kupitia ujumbe huu
Biblia ni tamuuu
Natamani siku moja nionane na wewe Mtumishi wa Bwana
Amen Baba 🙏Nami nimepokea kama Mungu alivyotaka.
Thank you Jesus 🙌🏿
Be blessed 🙏 pastor
Aiseee, What a deep Revelation . Learning so much
Amen *7
Be blessed
Mafundisho mazuri ssna
Mungu azidi kuwatia nguvu
Ubarikiwe mtumishi
It's true,and I have witnessed.
Thank you man of God
Be blessed pastor for the great teachings I receive the Holy spirit in Jesus mighty name. Ameeen
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
❤❤❤❤
Nazidi kubarikiwa mno
ubarikiwe mtumishi
Amina
Amen *7
Be blessed
Amen Amen Amen
Nakuelewa mtumishi
Amen
Be blessed