Mafundisho ya Mwalim Mwakasge, hayapiti bure napenda sana mafundisho yake Yananiinua sana kiiman ❤ Mungu akupe maisha marefu zaid kwa ajili yetu na Afya njema siku zote Mungu akutunze vema Baba
Asante Bwana YESU nimekuona ukinihudumia wakati nimeshiriki.nikiwa saudia rabia.nimeiona nguvu yako ktk kushiriki.mlinde mtumishi wako bafo tuna mhitaki endelea kusema nadi kupitia yeye.sifa na utukufu ni kwako.M MUNGU wa miungu.
Kwanza na nashukuru Mungu kwa ajil ya mahubir haya nimejifunza Mambo makubwa Sana Usishirik mwil na damu ya Yesu kabla maandaliz nakujua miiungu iliyoshikilia maisha yangu na ya watoto wng na familia yangu Mungu nisaidie kufungua macho ya rohon Mungu akubarik mchungaji
Asante Mungu Baba kwa damu ya agano iliyo bora sana kuliko ya wanyama. Yesu Kristo msimamizi wa agano lililobora zaidi naomba unisaidie sana shughulika na yote yanayonizuia kwenye maisha yangu. Katika jina la Yesu Kristo Amina. Nashukuru sana kwa kutupa ujumbe huu Mwalimu Christopher Mwakasege na timu yote na MANA.
Mafundisho ya Mwalim Mwakasge, hayapiti bure napenda sana mafundisho yake
Yananiinua sana kiiman ❤
Mungu akupe maisha marefu zaid kwa ajili yetu na Afya njema siku zote Mungu akutunze vema Baba
Namtukuza Mungu aliyeniungqnisha kwenye huduma hii hakika ni neema tu❤❤🇸🇦🇰🇪
Mungu naemwa mini akuonge zee miaka kama ezekiel mwalimu wangu
Asante Bwana YESU nimekuona ukinihudumia wakati nimeshiriki.nikiwa saudia rabia.nimeiona nguvu yako ktk kushiriki.mlinde mtumishi wako bafo tuna mhitaki endelea kusema nadi kupitia yeye.sifa na utukufu ni kwako.M MUNGU wa miungu.
Kwanza na nashukuru Mungu kwa ajil ya mahubir haya nimejifunza Mambo makubwa Sana
Usishirik mwil na damu ya Yesu kabla maandaliz nakujua miiungu iliyoshikilia maisha yangu na ya watoto wng na familia yangu
Mungu nisaidie kufungua macho ya rohon
Mungu akubarik mchungaji
Asante Mungu Baba kwa damu ya agano iliyo bora sana kuliko ya wanyama. Yesu Kristo msimamizi wa agano lililobora zaidi naomba unisaidie sana shughulika na yote yanayonizuia kwenye maisha yangu. Katika jina la Yesu Kristo Amina. Nashukuru sana kwa kutupa ujumbe huu Mwalimu Christopher Mwakasege na timu yote na MANA.
Asante sana baba na mama Mwakasege, nimebarikiwa mno .
Namshukuru Mungu kwa ajili ya ujumbe huu
Mungu akubariki sana Mwalimu pamoja na tim nzima ya Mana
Mungu naomba ukuze Imani yangu
Mungu umeipenda Sana Tanzania, sifa na heshima zikurudie wewe .
Asante Mungu kwa kulisikia neno lako siku hii ya leo. Abarikiwe mtumishi wako uliye muita kwa jina lako 🙏
Mungu umbariki mtumishi wako
Asante Yesu kwa mafundisho navuka kiiman barikiwa baba
Ubarikiwe Sana mwalimu wangu Christophe kwa Neno iyo 💥💥💥 tunawafata tukiwa kwenye inchi ya Drc🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Mungu tupe macho tuone juu ya miungu ya kigeni
Asante yesu kwa somo hili Amen
Asante baba Mungu azid kukutunza kwajil YETU
Asante mtumishi wa Mungu kwa mafundisho bora, naomba sanaaaaaaa mwenyezi Mungu akuagize uje kukomboa taifa la Kenya haswa mombasa tunaangamia
Mjiorganize watu wa mombasa alafu mu invite mwalimu mwakasege aje Mombasa kuhudumu
Mungu akubark
Asante kwa neno mwalimu mwakasege
Aksante kwa mungu kwayote pia ku ujumbe. Nami usinipita katika yote. Amen.
Ameen namba ya kutoa sadaka JAMAN
Najiunganisha na iyo ibada kwajina la yesu
Asante baba Kwa dam ya agano
Najiungamanisha na hii ibada kwa jina la Yesu
Ubarikiwe kwa neno la uzima
Mungo akubariki mtumishi kwa somo
Amen asante yesu
Mwalimu mwema hebu bwana akapanue mipaka yako na akupe afya njema uendelee kutufunza
asante sana Baba Mwalimu.
Amen Baba Mtumish Mwal
mungu baali kagoma kuja kuchukua sadaka daah kwani yy NI fala Ana mjua MUNGU Vita yake si ya kitoto
Nina swall mmoja
Asante Yesu
Hakika nabarikiwa Sana na mahubiri yako mtumishi wa mung
baba naomba niombe malango ya yamefungwa kabsa
Amen
Niseme tu Amen
Najiunganisha na maombi haya katika jina la Yesu 🙏🙏
Haleluya!!!
Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen
Asante Mungu wetu
Amen 🙏 🙏 🙏
Ameni 🙏
Amen Amen.
Glory be to god
Ameen
Ameni
Amen Amen
nondo za ukweli
Amina
Hii niya lini jamani
👏🙏
Amen
Amen Amen
Asnte yesu kwa damu yako yadhamani
Amen 🙏 🙏 🙏 🙏
Mungu asante kwakuikumbuka bukoba
Amen
Amen
Amen
Amen