JINSI YA KUONGOZA BIASHARA KUTOKA SIFURI HADI MABILIONI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 24 ส.ค. 2024
- Utakayoyaona na kujifunza humu ndani yatabadili maisha yako milele, yawezekana si Profesa au Mwalimu wako aliwahi kukufundisha ukweli huu, alitumia muda mwingi kukufundisha mambo ambayo katika ulimwengu wa leo hayafanyi kazi...
Napenda sana MR.ERIC mafundisho yake yenye kujaa unyenyekevu.Maana si rahisi mtu akitoka kuelezea alikotoka kiurahisi.Mungu ambalikisana pamoja na wengine kama yeye.Alafu nauona wito wa uchungaji kwake!
Touching story 😥 Mwenyezi Mungu atusimamie tufikie kusudi alilotuwekea
Hawa ndo motivator tunaowahitaji sio waliopiga hela wakawa matajiri.......Ubarikiwe sana
Nakupenda sana we kaka , naomba no Yako kwa maelezo zaidi binafsi
Karibu kwenye fulsa itakayo badilisha maisha yako kwa muda mfupi BONYEZA link goo.gl/7Z4mju
Thank you so much brother nime enjoy sana
Nimejifunza kitu hapo kumbe tusiwalaum wazazi sana sana tupambane ili tuwe baraka kwa wazazi
God bless uuu!!
kweli bb unaogea ni sahihi tunashukuru kwa fundisho lako
Kiongozi unaweza
Really this is street university
namshukuru mungu kwa kutupatia watu wenye vipaji km hawa hakika Ni mfano wakuigwa has a kwangu become I want to be a milionea asante xana kaka umenibadilisha xana kwa sasa kwa vitabu vyako vingi nilivyosoma
happy chipanyanga nice
Punguzeni urefu wa utambulisho na misifa, tunaitaji vitu vya msingi
Ooooooh
Nipe number za mr.Eric tafadhali
Eric nkukubli sana naomba kukuona walau tu nijue ratiba yako nijue upo wapi nitakuja
tunajifunza mengi sana kupitia nyinyi
Luka Mbalai
😁
Ndugu zangu nmejifunza mengi sana katka maisha yangu naahidi kuyafanyia kazi huenda ndo msaada wangu
Hata Mimi naamini nitashinda kupitia huo ushuuda
.