JIFUNZE: Hatua Saba Ambazo kila Biashara Lazima Ipitie
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
- JIFUNZE: Hatua Saba Ambazo kila Biashara Lazima Ipitie
Mkurugenzi wa Kampuni ya Global Publishers, ametoa somo la ujasiriamali hasa katika eneo la biashara na kupitia somo lake la leo utaweza kufahamu hatua saba ambazo kila biashara lazima ipitie.
Fuatilia kipindi hiki maalum uweze kujipatia elimu ya ujasiriamali bure kabisa ambayo ukiitumia vizuri utaweza kukuza biashara yako na kujipatia mafanikio makubwa.
lnstal GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis. .
TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1
kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishe... FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .
Asante my mentor umenitia moyo nipo kwenye hatua fulani hapo, sasa nitamove
Somo zuri sana Asante sana
Brother mashauli muendelezo tafadhari.. Ikibidi uingie deep kuelezea hiyo mifumo
Kweli some zur
Nimebarikiwa
Nmejifunza kitu kupitia mashauri but brother plz go deep kwenye mifumo
Umeongea Uhalisia Kabisa Apooo
Ni sababu gani hupelekea kushuka kibiashara?
Furaha huleta maendeleo
Nimependa huo ushauri maana nam nmepitia hk hk Kaka mashauri
Good work
Hawa wano dislike sijui wanatokea wapi. Kitu konk lkn lazima .wafanye ivo.
Watu tunatofautiana.....Hiyo ni aina ya Criticism
Somo nzuri sana
Uchawi Sio Kupaa Ucku Tu
Nipo kwenye kuhangaika
Kweri Kaka
Mimi binafsi sikuona kama Makonda amekosea chochote.
Mada zurii lakn unaongea maneno mengii kuliko kwend kweny mada
Naomba namba yako mtaalam ya kwangu ni hii 0718338222
Nimewaelewa