ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Lambert na odemba Huwa ndo waandishi Bora sana bila kumsahau kikeke
Leo milima imekutana ❤hii ndo intervew yangu bora sana kufanywa na online Media tangu huu mwaka umeanza @sky much respect 4 u
Mimi ni mama kabisa lakini nimewapenda sana wanangu. Mungu awazidishie hekima na busara. ❤❤❤
Stanislaus Lambert one of my best 🔥 MKUTUBI One of my best interview ulikua na mzee Makosa 🎉
Miongoni mwa watangazaji Bora na wazuri katika kiwanda cha habari ana utulivu wa hali ya juu, anajua kuswitch maswali na Ana vocal nzuri Bro endelea kufanya kazi kipaji chako kinajieleza nakubali xana zaid ya xana.......
Uyu kijana genius nilianza kumfahamu Dar24 stancelaus mhoji mbowe, mchungaji hananja
Huyo bingwa kbs interview yake na mzee makosa ni moja ya interview bora
Chief Odemba,Stanislaus Lumbert na Farhia Middle nilishawahi kuwa endorse ni watu wa maana sana hawa!
pamoja sana mkuu,, nakukumbuka sanaa
Kazi kazi
HABARI ZA AMERICA GIT TALENT ZA WA TANZANIA SIJAONA SNS TEAM HAKUNA MATATA
Salute bro
Nimeanza kumsilikiliza 2013 miaka hile yupo times fm
Namuona. captain huyuu hapa kabisaa namna ya kutamka maneno vinzuri na kuongea kwa Madaha huku akijiamini
Tunaomba utuletee interview ya doctor chein
Mmi. Nakumbuka alipokuwa mbeya. Alikuwa. Na kipind. Akieleza. Freemason
Huyu jamaa ni bingwa sana anatisha mno namkubaali sana
me sio mwanasiasa lkn show zake nazifatilia sana
BBC Hard talk
Inspector General police officer
Mwabukusì
Mwana sana huyu mkali tangu kitambo
Mlete madeleka please
Namkubali sana huyo mwamba. Big up
Lambert na odemba Huwa ndo waandishi Bora sana bila kumsahau kikeke
Leo milima imekutana ❤hii ndo intervew yangu bora sana kufanywa na online Media tangu huu mwaka umeanza @sky much respect 4 u
Mimi ni mama kabisa lakini nimewapenda sana wanangu. Mungu awazidishie hekima na busara. ❤❤❤
Stanislaus Lambert one of my best 🔥 MKUTUBI
One of my best interview ulikua na mzee Makosa 🎉
Miongoni mwa watangazaji Bora na wazuri katika kiwanda cha habari ana utulivu wa hali ya juu, anajua kuswitch maswali na Ana vocal nzuri Bro endelea kufanya kazi kipaji chako kinajieleza nakubali xana zaid ya xana.......
Uyu kijana genius nilianza kumfahamu Dar24 stancelaus mhoji mbowe, mchungaji hananja
Huyo bingwa kbs interview yake na mzee makosa ni moja ya interview bora
Chief Odemba,Stanislaus Lumbert na Farhia Middle nilishawahi kuwa endorse ni watu wa maana sana hawa!
pamoja sana mkuu,,
nakukumbuka sanaa
Kazi kazi
HABARI ZA AMERICA GIT TALENT ZA WA TANZANIA SIJAONA SNS TEAM HAKUNA MATATA
Salute bro
Nimeanza kumsilikiliza 2013 miaka hile yupo times fm
Namuona. captain huyuu hapa kabisaa namna ya kutamka maneno vinzuri na kuongea kwa Madaha huku akijiamini
Tunaomba utuletee interview ya doctor chein
Mmi. Nakumbuka alipokuwa mbeya. Alikuwa. Na kipind. Akieleza. Freemason
Huyu jamaa ni bingwa sana anatisha mno namkubaali sana
me sio mwanasiasa lkn show zake nazifatilia sana
BBC Hard talk
Inspector General police officer
Mwabukusì
Mwana sana huyu mkali tangu kitambo
Mlete madeleka please
Namkubali sana huyo mwamba. Big up