Mahojiano maalum na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, CHALAMILA. Classmates wanapokutana kwa mahojiano.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ก.ย. 2024
  • Classmates wanapokutana kwa mahojiano. Mahojiano kamili na Mheshimiwa Albert Chalamila, @albert_john_chalamila ambaye ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam yanapatikana TH-cam
    / ebmswahili
    Utakutana na Full Interview ya SAA MOJA NA DAKIKA 42.
    Shukrani ziende kwa Mkuu wa Mkoa Chalamila, na pia team iliyinisaidia kurekodi na kuweka sauti na mwanga sawa. Hawa ni VAN IMAGE PRO @van_imagepro akiwa na GALLIS @gallissz_gallery pamoja na WILLIAM (LIAM) @liampassiv
    Kama una kazi hawa ni watu nimewaamini sana kwa uwezo wao na dedication na uaminifu mkubwa kwenye kazi.
    Jiunge na EBM SCHOLARS Community ebmscholars.lo...
    DONATE TO EBM SCHOLARS
    1. PayPal www.paypal.com...
    2. CASH APP cash.app/$EBMS...

ความคิดเห็น • 52

  • @christiangideon8663
    @christiangideon8663 วันที่ผ่านมา +4

    Hongera sana Kaka EBM mambo mazuri sana tumeyapata toka kwa bro Chalamila kudos to you mkuu

  • @MuhsiniAmrani
    @MuhsiniAmrani 23 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mr Makuliro na mh Challamila hongereni sana kwa kufanikisha hii interview kwani mmetufunza mengi sana katika muda mfupi na ni matumaini yangu mr Makuliro atazidi kutuandalia mahojiano na viongozi wanaojitambua ili jeneresheni mpya iweze kujifunza na kuboresha maisha yao kwa weledi.

  • @NgelejaCharles-ng7bh
    @NgelejaCharles-ng7bh วันที่ผ่านมา +3

    Mzee wakazi Ebm hongera

  • @samwelmchuma3299
    @samwelmchuma3299 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Kudos EBM, splendid interview with comrade Chalamila RC dsm

  • @Really-football
    @Really-football วันที่ผ่านมา +4

    Mtu wa maana sana EBM umetutoa mbali sana 😂

  • @johnsonyokoyana5127
    @johnsonyokoyana5127 17 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Hongera sana Brother EBM, naona carrier yako ya habari unaipeleka level nyingine.

  • @agnesfelex8292
    @agnesfelex8292 15 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Hongera sana kaka tunashukuru kwa Elimu unayotupa na MUNGU akubariki 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @mtushindirena2981
    @mtushindirena2981 วันที่ผ่านมา +1

    Ebm tupo pamoja na mzee chalamila,Mungu Watunze

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 วันที่ผ่านมา

    Hongeren snaa kumbe mtoka mbali sana mungu awabarik sana kwa upendo wenu piga kaz chalamila mungu akuongoze mkuu wa mkoa wangu dsm changamoto zipo baba seem yeyote ya kutafuta ugali Kuna mengi nimejifunza hapa shukran Sana Mr EBM

  • @bobbsalumnyalu1114
    @bobbsalumnyalu1114 วันที่ผ่านมา +2

    EBM safi sana hii

  • @mohammedbaraka9230
    @mohammedbaraka9230 วันที่ผ่านมา +1

    Good brother EBM

  • @herielnk
    @herielnk วันที่ผ่านมา

    Mtu wa tatu hapa. Hongera sana EBM

  • @ZeeLaVyeti4.8
    @ZeeLaVyeti4.8 วันที่ผ่านมา +1

    Chalamila anaelezea mambo Kwa uweledi na utulivu mkubwa Sana.

  • @ShabaniSudi-d1x
    @ShabaniSudi-d1x วันที่ผ่านมา +2

    Ernest Boniphace Makuliro, brilliant and super vision guy. This interview done here in Tanzania this time?

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 วันที่ผ่านมา

      Wapo dar es salaam

    • @ShabaniSudi-d1x
      @ShabaniSudi-d1x 11 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      @@josephlorri431 hii ilikuwa lini? EBM alikuja far?

  • @issandule1750
    @issandule1750 วันที่ผ่านมา +2

    Tumekupgia kura ktk ma group yetu ya pi EBM

  • @dorothymoshi
    @dorothymoshi วันที่ผ่านมา

    Am so proud of you Kaka endelea kupasua anga

  • @mtushindirena2981
    @mtushindirena2981 วันที่ผ่านมา +1

    Kumaliza foleni nikitu kigumu sana maana hata wazungu wameshindwa kumaliza ila wamepunguza nadhani yawezekana kupunguza.

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ วันที่ผ่านมา

    Ubarikwe saana kazi nzuri

  • @Jackson-Novat
    @Jackson-Novat 21 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Kaka EBM hongera sana.

  • @MkoiTvTz
    @MkoiTvTz วันที่ผ่านมา

    Aluta Kontinuo bro Erest

  • @vannymokoca358
    @vannymokoca358 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mupungeze kuhuwa watanzania wew chalamila

  • @ZeeLaVyeti4.8
    @ZeeLaVyeti4.8 วันที่ผ่านมา +2

    Wa kwanza kabisa

    • @EBMSWAHILI
      @EBMSWAHILI  วันที่ผ่านมา +1

      Asante, na karibu sana

  • @BuhetySharia
    @BuhetySharia วันที่ผ่านมา

    Dah ni nzuri sana

  • @Salumchiwili2023
    @Salumchiwili2023 วันที่ผ่านมา

    Nikiangalia mfumo wa kiuongozi Tanzania na katiba ilivyo inaonyesha kabisa haiendani kabisa na mfumo wa vyama vingi kuna mkanganyiko mwingi sana

  • @eliasnganira7661
    @eliasnganira7661 วันที่ผ่านมา

    Kweli seminary Albert ungefukuzwa . Ww ni mtundu mtundu sana 😢😮😅😊😢😮😢

  • @kevinchalamila6068
    @kevinchalamila6068 วันที่ผ่านมา +1

    EBM MAWAZO MAZURI

  • @peterlugomoka3605
    @peterlugomoka3605 วันที่ผ่านมา +1

    Ebm

  • @izereswabri78
    @izereswabri78 วันที่ผ่านมา

    Hivi ulisema kam mwezi September tuanz ku apply summer camp

  • @kevinchalamila6068
    @kevinchalamila6068 วันที่ผ่านมา +1

    Kongole kwa mahojiano yenye kujenga

  • @Alltogethercrew
    @Alltogethercrew 23 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Safi mkuu

  • @NanahBrown
    @NanahBrown วันที่ผ่านมา +1

    Tuko pamoja

  • @AliciaKyai
    @AliciaKyai วันที่ผ่านมา

    Kaka yangu chalamila nakumbuka nilikuwa school of law

  • @ahmedalfan8075
    @ahmedalfan8075 วันที่ผ่านมา

    🤝🤝🤝

  • @jacobsimkoko3096
    @jacobsimkoko3096 วันที่ผ่านมา

    Nimefurahi

  • @praygodmtera9907
    @praygodmtera9907 23 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Shukrani

  • @ramadhaniomarishauri9905
    @ramadhaniomarishauri9905 13 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Ndio maana Akili zenu zinafanana

  • @DaghauMsule-e3u
    @DaghauMsule-e3u วันที่ผ่านมา

    Ndgu naomba namba yako

  • @antonimwamahonje
    @antonimwamahonje 19 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Tuliosoma MALANGALI TUJUANE

  • @kevinmary7129
    @kevinmary7129 วันที่ผ่านมา

    Mkuu wa mkoa mwehu kichaas tahira chizi Kabisaaa, ukorofi wake ukichaaa sanaaaaa

  • @mboyipaul
    @mboyipaul วันที่ผ่านมา

    Majamaa Yana kumbu kumbu haya

  • @kevinchalamila6068
    @kevinchalamila6068 วันที่ผ่านมา +1

    Kongole

  • @kevinmary7129
    @kevinmary7129 วันที่ผ่านมา +1

    Maisha sio kwenda US au ulaya, Unaona jamaaa ni mkuuu wa mkoa wewe bado uko US unagaga kupiga ndebe huna maisha 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

    • @christiangideon8663
      @christiangideon8663 วันที่ผ่านมา

      Hujielewi wewe, US utalinganisha na mkuu wa Mkoa? Aiseee

    • @_motivementor
      @_motivementor วันที่ผ่านมา

      yawezekana ulishatafuta fursa ukaamua kukata tamaaa ndgu ni wivu unakusumbua kaka kla m2 akule kwa urefu wa kamba yake na as always human beings 2meumbwa kwa utofaut na mapungufu baina ye2 so kla m2 ako na v2 avpendavyo na asivyopenda so we kama umeamua kubaki bongo its well and good m2 akiamua kwenda marekan anywhere sio dhambi wala so bro ningependa ubadrike ayo so maisha ni ushaur wa bure tu naweza nkakupatia maana najua ata nikitukana ni kazi bure but kukupatia elimu tu ni ki2 important nimeona hauko nayo mungu azidi kukubariki ndgu😢

    • @aoloathumani10
      @aoloathumani10 23 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      ​@@christiangideon8663Mkuu wa mkoa yupo juu tena mkoa wenyewe wa dar es salaam, unatengeneza mabillion ya pesa kwa siku, ila kikubwa ni kwamba hao wote wamejitafuta na tayar wamejipata sio lazima wote wafanane au wawe wakuu wa Mikoa, Naamin huyo EBM safar yake Moja ya kutoka Us kuja Tanzania inagharimu si chini ya mill 5, ambayo ni pesa nyingi so ni kwamba yupo vizur, ana maisha yake US, nyumba yake lakin pia ni Veteran wa jesh la Us na pia kasoma, so simuoni mwenye njaa hapo wote wako vizur ingawa vipato vinaweza kutofautiana kutokana na mazingir wanayoishi, so sidhan kama EBM anajuta kuwa Marekani au Chalamila anajuta kuwa Tanzania, kila mtu kafanikiwa kule aliko.

    • @EBMSCHOLARS
      @EBMSCHOLARS 23 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

      Maisha ni mipango yako na malengo yako mwenyewe. Sio kila mtu atakuwa na same dreams. Mfano Mimi hata unipe ukuu wa mkoa, au ubunge sitaki sababu sio dream life yangu. Kuna mwingine yeye ni biashara mwingine yeye ni kilimo tu nk. Mafanikio ni kutimiza ndoto zako si kutimiza expectations za watu wengine.

    • @_motivementor
      @_motivementor 23 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      @@EBMSCHOLARS thats true brother mm nimeshafikia hatua yaan ata unipe urais wa TZ au ukuu wa majeshi still bdo ntakataaa coz sio mipango na dream yangu so bnadam tunatofautiana haijalishi unapata pesa kias gani but je moyo wako upo katika peace of mind yaan sehem uliopo kwa sasa ndy uliokua umepanga au what next after there?!...keep pushing EBM bnadam bn ndy 2shaumbwa na mapungufu so 2jarbu kuish kwa kuvumiliana 2 ili maisha yaende God bless u all🫡

  • @izereswabri78
    @izereswabri78 วันที่ผ่านมา

    Hivi ulisema kam mwezi September tuanz ku apply summer camp