@@AlexcpetroCpetro Tukatae utumwa huu na huu tayari tunaingia kuongozwa kidkteta kigaidi! Amkeni tuikatae ccm na vibaraka wake wote! Watanganyika ni muda wa kuchagua Rais Mtanganyika na kura zilindwe! Ila naona hawa wamejoandaa kupora uchaguzi kwa nguvu zote! na hata kukamata watu na kuua watu!!!
Machawa mnachambua magazeti kichawachawa! Hovyoooo kabisa! Mnaongelea polisi kuua watu kwa risasi na kuweka vionjo vya kichawachawa! Kwa nini msiweke vionjo vya kuonyesha kwamba maandamano ni haki ya wananchi kikatiba na yanastahiri kufanyika kwa Amani huku polisi wakilinda Amani ya wananchi??? Mko bize kuchombeza kwa uchawa kwa habari za kutisha wananchi!
wewe tumia akili hebu chukua mfano mwachiwe muandamane na polisi iweke ulinzi mpaka mwisho wa maandamano yenu hayo maandamano ndio yatazuiwa wasiojulijana kutoteka watu na kuuwa ? nchi yeyote inayoshinda kwa nguvu za maandano jua polisi na jeshi la inchi hiyo wamechoka na huo utawala kama bado jeshi na polisi wanatumikia nchi mtasagwa kama mbu.
Hii nchi Ina watu wa hovyo Sana, watu wasio na uthubutu wa kusema kweli na kukemea maovu bila kujali yamefanywa na nani! Nchi hii inahitaji Kina Mbowe na Kina Lisu wengi zaidi ili kusafisha na kuondoa uchafu wa kiutawala na matumizi mabaya ya vyombo vya Dola! Kuna wakati ninakubaliana na Ukweli kwamba "Amani haiji ila kwa ncha ya Upanga" Bila kuheshimu uhuru na haki za watu kuna siku nchi hii watawala wataiingiza katika machafuko makubwa!
Mashauriano miaka zaidi ya sitini wamekalia viti hawaondoki, watungaji katiba ni wale wale, wanatuletea viongozi waovyo tu kila siku. Police wa Bara ndio wanatumwa siku zote. Zanzibar 1995 na 2001 waliokuja ni police wabara. hawa police nimagaidi lazima tuundamane miaka 60s hatuna mabadiliko ya haki kwa raia. Watanzania tuundamane.
Mimi naona hivi vyombo mtandaoni ni namna ya kujaza matumbo yao maana hamji na njia ya kusuruhisha. Mfano Chadema kwa Hali ya kawaida kama kweli wapo makini Hawezi kunyamazs ikiwa karibu asilimia kubwa watu wao ndio wanapotea. Vyombo bus usalama vinasema havijui kwa vile hawako nao Nadhani tungejadili ni Nani ahusike kama ni wao kwa wao uchunguzi unafanywa washitakiwe. Tatizo ambalo Sisi tusiojua kitu linashangaza ni kila MTU hausiki kila MTU hajui nyie nanyi mnaongea Yale Yale tunakwenda wapi?/
Chadema Wana haki na wanalia hawana Amani wanawezatekwa muda wowote wakapotezwa, kwahiyo ni Bora waachwe waandamane kuliko kushindana nao. Wapi tayari kwa lolote
Hakuna serikali hata moja duniani inayowe kuridhia kuchezewa na kikundi cha baadhi ya watu, ulisema chadema inatetea wananchi ni uongo. Kuna acr, ccm, cuf n.k. hatutaki upumbavu wao.
Hawa ndio watu wa habari do!! Watu walikufa kwa kutete taifa lao na haki za watoto wao siyo uhau wa chama .ndio maana Leo hii ccm hawataki kukubaliana na ukweli na wameshindwa kuelewa nyakati badala yake wanaforce na kuleta machafuko , Ninyi watu wa habari mnavyoanalys insue muwe na ueledi uliotukuka ,Kumbuka , UKIWA DHAIFU UTAKUWA CHAWA
Kenya bado sana😂, walipewa hiyo haki ya maandamano ila kinyume chake walichokifanya ni kinyume sana, watu waliharibu kila😂 kitu hapa utasema wanatushinda ?
Kama wasojulikana hawajulikani sasa haya mazungumzo ni mapatano baina ya nani na nani cz issue kubwa ni utekaji umekithiri asa kidogo nawaza kwamba hayo mazungumzo yatamalizaje utekaji? Na kama mazungumzo ndio njia yakumaliza utekaji asa chadema wanazumgumza na nani cz anaetakiwa kuwepo mezani na chadema kutokomeza hili swala upande mwingine uo ambao ndo hao hawajulikani! hapa ndo utajua wasojulikana kwanini hawajulikani. Nafikiri njia bora iwe kukaa na kupanga njia bora ya kulikabili hili swala na japo lina viashiria vyakisiasa ila tuweke siasa pembeni viongozi wetu wakae pamoja viongozi wa nyanja zote zakiusalama na zingine ikiwemo io yakisiasa tushirikiane kwa njia yoyote bora iliishe maana mambo yamekua mengii sana.😢
Hawa wapuuzi leo wamejadili hii issue kiwoga na unafiki mwingi. Na hawataki kujiuliza maswali ya msingi kama kwanini serikali ikataze maandamano ya amani? Mbona yale yaliyooita waliruhusu kwanini haya wakataze? Sababu ni nini? Pia haya maandamano sio ya chadema, ni ya wapenda haki na amani wote, japo yameitishwa na chadema. Na chadema wanasema haina haja kuogopa kuumizwa au kufa kwenye maandamano kwa sababu adhabu wanazopata huko mtaani hazina tofauti na zile labda watakazopata kwenye maandamano(wanatekwa, wanateswa na hata pengine kuuawa). Wanajiuliza kuna adhabu kubwa kuliko kuuawa?
@@khaalidcheo5383 kwa sasa utacheka kwa kuwa hatuna ukobozi wa kifkra,siku tukipata ukombozi wa kifikra hauta Cheka Bali utafurahi.Nivyema tukabadilika na si kujikinai katika mbawa za kuitwa wanyonge wakati tunateseka.
Ovyooo. Kura unapiga ya nini wakati unajua atakayetangazwa hata kama hujamchagua? Unaamini sanduku la kura kwa mazingira ya tume ya uchaguzi vyombo vya dola vya Tz? Unaota mchana kweupe.
Bila mapambano serekali ya umoja wa kitaifa Zanzibar isingepatikana,.
Tanzania hajawahi kuwa na amani. Amani bila haki ni uongo
CCM watatumaliza wahunii kabisa
@@AlexcpetroCpetro Tukatae utumwa huu na huu tayari tunaingia kuongozwa kidkteta kigaidi! Amkeni tuikatae ccm na vibaraka wake wote! Watanganyika ni muda wa kuchagua Rais Mtanganyika na kura zilindwe!
Ila naona hawa wamejoandaa kupora uchaguzi kwa nguvu zote! na hata kukamata watu na kuua watu!!!
Kwa hiyo ninyi watangazaji mnaunga mkono upuizi wa unaofanywa na Hii Selikari,endeleeni sasa,yakiwafika mtajua.
Machawa mnachambua magazeti kichawachawa! Hovyoooo kabisa!
Mnaongelea polisi kuua watu kwa risasi na kuweka vionjo vya kichawachawa! Kwa nini msiweke vionjo vya kuonyesha kwamba maandamano ni haki ya wananchi kikatiba na yanastahiri kufanyika kwa Amani huku polisi wakilinda Amani ya wananchi???
Mko bize kuchombeza kwa uchawa kwa habari za kutisha wananchi!
Inaumiza saana😢kama wanawapa sifa mapolisi badala ya kukemea uchawa tu
wewe tumia akili hebu chukua mfano mwachiwe muandamane na polisi iweke ulinzi mpaka mwisho wa maandamano yenu hayo maandamano ndio yatazuiwa wasiojulijana kutoteka watu na kuuwa ?
nchi yeyote inayoshinda kwa nguvu za maandano jua polisi na jeshi la inchi hiyo wamechoka na huo utawala kama bado jeshi na polisi wanatumikia nchi mtasagwa kama mbu.
Mpaka hapo watangazaji nanyie mmekubali kuwa polisi ni wauwaji tarehe 23 wanaweza kuuwa zaidi tena hazarani?
Ya allah libaliki taifa langu tanzania utuepushe na kila aina ya mashafuko
Hii nchi Ina watu wa hovyo Sana, watu wasio na uthubutu wa kusema kweli na kukemea maovu bila kujali yamefanywa na nani! Nchi hii inahitaji Kina Mbowe na Kina Lisu wengi zaidi ili kusafisha na kuondoa uchafu wa kiutawala na matumizi mabaya ya vyombo vya Dola! Kuna wakati ninakubaliana na Ukweli kwamba "Amani haiji ila kwa ncha ya Upanga" Bila kuheshimu uhuru na haki za watu kuna siku nchi hii watawala wataiingiza katika machafuko makubwa!
Kaka uko sawa kabisaaa.
Tunahitaji watu wanaojua matumizi sahihi ya akili zao kama wewe.
Mashauriano miaka zaidi ya sitini wamekalia viti hawaondoki, watungaji katiba ni wale wale, wanatuletea viongozi waovyo tu kila siku. Police wa Bara ndio wanatumwa siku zote. Zanzibar 1995 na 2001 waliokuja ni police wabara. hawa police nimagaidi lazima tuundamane miaka 60s hatuna mabadiliko ya haki kwa raia. Watanzania tuundamane.
Wananchi wanapigania nchi na haki sio chama! Wale wa CUF walikuwa wanapigania nchi sio chama
Hata ukiwa kimya bado utakufa tuu,hata mzee ali kibao hakuna aliyemjua tulikuja kumjua alipo kufa wazo la Lipumba siliungi mkono.
My brother umenena point,hatujui Kesho ni wewe au mimi tutafuata
Point broo
Mimi naona hivi vyombo mtandaoni ni namna ya kujaza matumbo yao maana hamji na njia ya kusuruhisha. Mfano Chadema kwa Hali ya kawaida kama kweli wapo makini Hawezi kunyamazs ikiwa karibu asilimia kubwa watu wao ndio wanapotea. Vyombo bus usalama vinasema havijui kwa vile hawako nao Nadhani tungejadili ni Nani ahusike kama ni wao kwa wao uchunguzi unafanywa washitakiwe. Tatizo ambalo Sisi tusiojua kitu linashangaza ni kila MTU hausiki kila MTU hajui nyie nanyi mnaongea Yale Yale tunakwenda wapi?/
Nakupigia CUF tulifia Zanzibar yetu
Bila kupigiwa kelele nchi na uongozi uliopo hawatabadirika Tania zao za udikteta
Lipumba ashaua chama hana jipya
Chadema Wana haki na wanalia hawana Amani wanawezatekwa muda wowote wakapotezwa, kwahiyo ni Bora waachwe waandamane kuliko kushindana nao. Wapi tayari kwa lolote
Sio wamekufa semeni waliouliwa
𝔫𝔞𝔲𝔠𝔥𝔲𝔨𝔦𝔞 𝔪𝔲𝔲𝔫𝔤𝔞𝔫𝔬😢😢
Watu wanapaswa kufahamu "Watu wafikiri zaidi"
WAPUUZI WATATU
Wapeleke mahakamani hao wapuuuzi watatu,ili wewe ambaye si mpuuzi usije ukaambukizwa upuuzi wao.
Hakuna serikali hata moja duniani inayowe kuridhia kuchezewa na kikundi cha baadhi ya watu, ulisema chadema inatetea wananchi ni uongo. Kuna acr, ccm, cuf n.k. hatutaki upumbavu wao.
Mama mama hekima ni muhimu zaid ya Nguvu
Machafuko hayawezekani hap tanzania labda kenya
We hando nikibararaka wa ccm usitishe watu ccm wamezoea kuuwa watu na kuwateka
Sio Ando pekeake ata zembela pia
Hawa ndio watu wa habari do!! Watu walikufa kwa kutete taifa lao na haki za watoto wao siyo uhau wa chama .ndio maana Leo hii ccm hawataki kukubaliana na ukweli na wameshindwa kuelewa nyakati badala yake wanaforce na kuleta machafuko , Ninyi watu wa habari mnavyoanalys insue muwe na ueledi uliotukuka ,Kumbuka , UKIWA DHAIFU UTAKUWA CHAWA
For every action there is equal but opposite reaction.
Dj hapendi uchambuzi wa magazet kalala nyuma ya desk
Haki ndiyo inazaa amani
Maandamano ni haki ya kikatiba kabisa ila inavyochukuliwa sindoilivyo hata kenya wanatushinda kwa democracy
Kenya bado sana😂, walipewa hiyo haki ya maandamano ila kinyume chake walichokifanya ni kinyume sana, watu waliharibu kila😂 kitu hapa utasema wanatushinda ?
Kapewa kesi😮
Wanaowaua watu wakiandamana kwa amani ni akina nani
Kama wasojulikana hawajulikani sasa haya mazungumzo ni mapatano baina ya nani na nani cz issue kubwa ni utekaji umekithiri asa kidogo nawaza kwamba hayo mazungumzo yatamalizaje utekaji?
Na kama mazungumzo ndio njia yakumaliza utekaji asa chadema wanazumgumza na nani cz anaetakiwa kuwepo mezani na chadema kutokomeza hili swala upande mwingine uo ambao ndo hao hawajulikani! hapa ndo utajua wasojulikana kwanini hawajulikani.
Nafikiri njia bora iwe kukaa na kupanga njia bora ya kulikabili hili swala na japo lina viashiria vyakisiasa ila tuweke siasa pembeni viongozi wetu wakae pamoja viongozi wa nyanja zote zakiusalama na zingine ikiwemo io yakisiasa tushirikiane kwa njia yoyote bora iliishe maana mambo yamekua mengii sana.😢
Hando huyu uchawa ni too much!
Heriiiiiiii
Hakuna mtu anae fia chama watu tunafia haki hatakama chadema itapotea lakini haki yawatu kuishi ipatikane
Hawa wapuuzi leo wamejadili hii issue kiwoga na unafiki mwingi. Na hawataki kujiuliza maswali ya msingi kama kwanini serikali ikataze maandamano ya amani? Mbona yale yaliyooita waliruhusu kwanini haya wakataze? Sababu ni nini?
Pia haya maandamano sio ya chadema, ni ya wapenda haki na amani wote, japo yameitishwa na chadema. Na chadema wanasema haina haja kuogopa kuumizwa au kufa kwenye maandamano kwa sababu adhabu wanazopata huko mtaani hazina tofauti na zile labda watakazopata kwenye maandamano(wanatekwa, wanateswa na hata pengine kuuawa). Wanajiuliza kuna adhabu kubwa kuliko kuuawa?
Maandamano ya nini Mimi naandamana maandamano ya Ekaristi Takatifu maana yananosogeza karibu na Mungu, mengine tumshukuru MUNGU
Ndiyo waambieni wakina mage kimavi😮😊
HAKUNA SHIDA BILA KUFA HAKUNA HAKI
Wacha tukafe tuwaokoe mapunguani Kama nyie mnaoitetea utawala wa kidhalimu
Cuf wamebaki wasaliti,nyie waandishi kama mafala hamjui kwamba asilimia 90ya wanachama wa cuf walihamia act
Kwa nini mnakimbilia kwenye maandamano???? Waachie vijana wetu . nyie hamfai kabisa hata kwa dawa.
Maulid Ww Hauna Upande Kwel
Hawajafia chama wamefia nchi yao
Yani wewe Hando huoni shida zilizopo nchi hii?
Ando mshamba sana
Kwaiyo unataka zizidi au? Raha gn unayotaka zaid ya aman achanj ovyo ovyo pia semen na njaa zenu rizika unachopata
LABDA WAANDAMANE KWENYE MITANDAO 😢😢😢😢😢SACCOOS WAMECHEMSHA DAKIKA 90 HAWAZIWEZI
Wewe kama unaona ni upuuzi,tuache tuliotayari tuandamane tumechoka kutekwa,kuuwawa,ghalama za maisha kupanda unyanyaswaji.Siku yakikufika utaelewa.
@@NuruLutembeja-h1rtunakusubilia paleeee.ila usisaau kubeba nafamilia yako kwenye ayo maandamano yenu.
😂😂😂
@@NuruLutembeja-h1r MAANDAMANO HAYASAIDII UNGEENDA KWA MCHUNGAJI AU PALOKO ANGEKUFANYIA MIUJIZA 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@@khaalidcheo5383 kwa sasa utacheka kwa kuwa hatuna ukobozi wa kifkra,siku tukipata ukombozi wa kifikra hauta Cheka Bali utafurahi.Nivyema tukabadilika na si kujikinai katika mbawa za kuitwa wanyonge wakati tunateseka.
Mimi Chadema kindakindaki.ushauri wangu tusiandamane.wametuzamilia.tutaonana ktk masanduku ya kura tu.
Ovyooo. Kura unapiga ya nini wakati unajua atakayetangazwa hata kama hujamchagua? Unaamini sanduku la kura kwa mazingira ya tume ya uchaguzi vyombo vya dola vya Tz? Unaota mchana kweupe.