Maoni: Upi mustakabali wa nchi za Sahel?

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ก.ย. 2024
  • Baada ya baadhi ya nchi zinazoongozwa kijeshi katika kanda ya Sahel kutangaza muungano mpya na nia ya kuwa na pasipoti ya pamoja, maswali ni mengi yanayoibuka ikiwemo ikiwa tija ya mwelekeo huo. Na je, ni kipi kimechochea mwelekeo huo? Mengi zaidi ni kwenye kipindi cha #Maoni mbele ya#MezaYaDuara. Nahodha wa zamu ni Josephat Charo

ความคิดเห็น • 9

  • @shariffmacheso3768
    @shariffmacheso3768 23 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Sawa sawa

  • @anny19988
    @anny19988 13 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Yaani vyombo vya magharibi kutwa kuwawaza AES. Hao ndo washafaulu na wamekuwa chanzo cha mabadiliko barani Afrika na hawarudi nyuma. Viva AES

  • @shariffmacheso3768
    @shariffmacheso3768 23 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Safi sana

  • @marckannan6597
    @marckannan6597 20 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mjadala wa leo wachangiaji wameonyesha uwezo mdogo sana wa kuchangia wengi wameweka ushabiki wa dini

  • @shariffmacheso3768
    @shariffmacheso3768 23 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Sina nambayako ningekutumia soda

  • @marckannan6597
    @marckannan6597 21 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Kifupi hawana uwezo kabisa

  • @shariffmacheso3768
    @shariffmacheso3768 23 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mchambuzi wa kwanza amemaliza

  • @anny19988
    @anny19988 13 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Propaganda zenu kueneza mambo ya uongo kuhusu AES havitafanikiwa, waafrika wameamka. Kuna channel za uhakika kama Simulizi na Sauti ya Fredrick Bundala wenye habari za ukweli zisizo na uchochezi wala propaganda . Viva AES