WAZIRI WA NISHATI NA MADINI: AMTUMBUA KIGOGO WA TANESCO, BAADA YA UMEME KUKATIKA NCHI NZIMA mp4
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ย. 2024
- ~-~~-~~~-~~-~
Please watch: "LIVE:SHUHUDIA WAZIRI MKUU AKIWASILI UKEREWE"
• LIVE:SHUHUDIA WAZIRI M...
~-~~-~~~-~~-~ #hakikahiinifahariyetu #hakikahiinifahariyetu
Safi sana👍
Muheshimiwa njoo huku Ruvuma- Songea ni ufisadi mtupu Tanesco ,wananchi wamelipa pesa ili waunganishiwe umeme majumbani lakini lolote la maana zaidi ya kupigwa tarehe tu lengo ni kwamba mpaka utoe rushwa ndipo uunganishiwe umeme.
vizuri imekuw mazoea kil siku unawaza kukatka kwa. umeme axsnt mh waziri
Kazi kweli kweli,
Kumfukuza sio dawa Tafuteni suluhu
Umeme wenyewe mbovu
Waziri huku mkoa wa pwan I tuna shida kweli ya umeme hapa kongowe tumetoa taarifa Tanesco atujapata ufumbuzi umeme auna nguvu ya kufanya kazi zetu binafsi Waziri tusaidie
Nguzo ni mali ya mwananchi au tanesko tunauziwa kwanguvu naomba jibu
Hapa nipo nyumbani usiku huu huku Mwanza hakuna umeme.yaani hii ni shida aisee,mtu unarudi nyimbani umechoka angalau ipumzime utazame taarifa eto umeme hakuna.Tanescco inahitaji mashirika mengine kama manne hivi mpate ushindani na ikibidi mpotee kabisa
Fukuza fukuzaaaa