KURA YA MAPEMA HAIYONDOKI INABORESHWA ZAID WAZEE WAGONJWA WAJAWAZITO WALEMAV WATAPIGA KURA YA MAPEMA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 29 ก.ย. 2024
  • TOA MAONI YAKO KWA KUTUMA SMS AMA KUPIGA KWA KUTUMIA SIMU NAMBA 0773 95 35 31 AU 0777 94 54 74 AU 0777 37 37 87 FACEBOOK PAGE TIFU TV ZANZIBAR ,TIFU TV KIJAMII ZAID.
    #Tifutv #zanzibar #kijamiizaidi

ความคิดเห็น • 119

  • @w4058
    @w4058 3 หลายเดือนก่อน +14

    Alaysa llahu biahkamulihakimin hakimin na Allah anazijuwa mbinu zenu ovu na atawaweka mnapostahiki madhalim waku Hasbunallah Waniimal Wakiil anawaumbuwa bila wenyewe kujijuwa

  • @allymaha-tv5lf
    @allymaha-tv5lf 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kila mbinu za uovu tumieni lakin inshaallah madam mna nia ya kufanyia wenzenu hamtoshinda Maisha litakalo baki kwenu hivyo hivyo Kuwauwa watu mjibebeshe jukumu Kwa Allah. wizi kura kama hivyo mnavyo panga au kuwatumia Vijana ambao hawajitambui Kwa kupiga kura mia mia . na kubiruwa matokeo na kufuta uchaguzi pale ambapo mnapoona mmeshindwa hayo ndio mnayoyajua lakin Kwa zanzibar hii ccm haishindi kwa njia ya kura ya. halali haishindi

  • @Maajidabdillah
    @Maajidabdillah 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ata kama act wana mabaya yao ila hawajaifikia ccm kwa uovu ila kizuri nikua dunia ni mapito subir mfukiwe ndipo mtaiona wizi wa mapema

  • @nassorsharifu9837
    @nassorsharifu9837 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kura ya mapema ndio njia ya wizi

  • @MattarMohammed-f5v
    @MattarMohammed-f5v 3 หลายเดือนก่อน +2

    Kura ya mapema ni nini kama si wizi, kwani hao wazee wa pensheni, walemavu, waja wazito na wagonjwa si wapige kura wao kwanza kisha kura ziendelee kupigwa kwa wenginine siku hiyohiyo moja

  • @ZaidSeifSuleiman
    @ZaidSeifSuleiman 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa hali hii Zanzibar hamna uchaguzi niuchafuzi

  • @SalumFuraha
    @SalumFuraha 3 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu nae

  • @khalidmwinyi1981
    @khalidmwinyi1981 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa mungu hakuna act wala ccm uko kuna uislam tuu

  • @hafidhhemed1514
    @hafidhhemed1514 3 หลายเดือนก่อน +1

    Uchaguzi Kwa CCM ni worst nightmare.. ikikaribia uchaguzi wanatapatapa

  • @kassim1262
    @kassim1262 10 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂Hata kesho mbele yahakki kuna wtu wtaingia motoni mapema kwaio inabidi tujitathmini duniani hkuna atakaebakia hata ujikute unauezo wkufanya nakuamua utkufa nautahesabiwa matendo yko

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna6122 3 หลายเดือนก่อน

    Hivi niulize hii zanzibar km hawawezi democracy kwanini wasiseme tu why wanajipa shida chama tawala wameona wapi duniani kura ya mapema Nchi hii naishi ina watuilioni 80 lkn hatupigi kura ya mapema na Walemavu wagonjwa hawana idadi

  • @alyspare4850
    @alyspare4850 3 หลายเดือนก่อน

    punzi isikuhadae ww mzee na kutegemea siasa siku ikifika utakwenda kujibu kwa allah

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 3 หลายเดือนก่อน

      Atajibu kabla hajafika kwa Mungu wake Unguja ni ndogo wenzake walikuwa kama yeye na mwisho wao ukawa mbaya sana. Basi Dua na Loooh za Wananchi ndio zitamrudi yeye na wenzake.

  • @ibrahimabdullah1887
    @ibrahimabdullah1887 3 หลายเดือนก่อน +6

    Wee mbwaa utamutaje mvuta bangi wezio

  • @SaidHassan-ot3un
    @SaidHassan-ot3un 3 หลายเดือนก่อน +5

    Basi kama wagonjwa wote wapige kura ya mapema ndio sote maana hakuna mzima maisha yameshatutia ugonjwa

  • @seifmohamed8725
    @seifmohamed8725 3 หลายเดือนก่อน +9

    Mansoor umemwita mvuta bangi ! Jee wewe ukiambiwa khanithi au msenge utasemaje hiyo

  • @saidalhinai1131
    @saidalhinai1131 3 หลายเดือนก่อน +8

    Mamaako mvuta bangi mbwa koko

  • @WakaWaka-eu9ky
    @WakaWaka-eu9ky 3 หลายเดือนก่อน +3

    Wee dimwa huna swaga ni kibaraka wa ccm t huez kumwita mwenzio mvuta bangi ww je mvita unga au

  • @ashahamad-mq3iz
    @ashahamad-mq3iz 2 หลายเดือนก่อน +2

    Wewe mbona unakashifu watu mbona yenu mumeyasau mukumbuke na umauti mafisadi wa Kitanzania wizi udhuluma ndio sera yenu kweli ACT haina nia njema je nyinyi munaouwa watu muna nia njema COM wacheni woga maana hamujiamini mumezoa kuiba kura hata aibu hamuna

  • @alimau7939
    @alimau7939 3 หลายเดือนก่อน +10

    CCM Chama cha Mabaradhuli

  • @alimau7939
    @alimau7939 3 หลายเดือนก่อน +5

    CCM Chama cha Mabaradhuli

  • @lailafakhihaji
    @lailafakhihaji 3 หลายเดือนก่อน +3

    Dunia nzima basi wagonjwa wapo Zanzibar tu mbona muna hila huko bara kunako watu wengi hakuna kura ya mapema au bara hawagnjwi achena hila zenu uwizi tu kutaka kupiga kura mara sabasaba

  • @MwigaAdam
    @MwigaAdam 3 หลายเดือนก่อน +8

    Mungu anawaona nalolote litakalotokea mutakuwa mas... Uul mbele ya Allah.

  • @LUBAINAMOHDRAJAB
    @LUBAINAMOHDRAJAB 3 หลายเดือนก่อน +7

    Kuwa mkweli maana ya kura ya mapema ni nini. Kama sio wizi.

  • @muhidinimohd1470
    @muhidinimohd1470 3 หลายเดือนก่อน +2

    Usitutukanie mansoor wetu anathamani kubwa zanzibar

  • @mohammedbakar4142
    @mohammedbakar4142 3 หลายเดือนก่อน +7

    Subhanallah yarabi yani ccm mnazalisha chuki zanzibar yani ccm kiswahili unamwita mwenzako mvuta bangi @Mansour Yussuf Himid

  • @jombadulla
    @jombadulla 3 หลายเดือนก่อน +3

    asha bakar ashatangulia mbele ya haki,John pombe magufuli ashaenda,na wew ursenda,mwyi mkuu ashaenda,kwa kila nafs itaonja unauti,ata wew ipo ciku utaenda,fanya amali njema

  • @YussufJuma-z5u
    @YussufJuma-z5u 3 หลายเดือนก่อน +4

    Na ww pia ishalla utakufa mapema

  • @NoufelSalim
    @NoufelSalim 3 หลายเดือนก่อน +4

    Wote woga huo ila kura ya mapema haipo.

  • @nassorsharifu9837
    @nassorsharifu9837 3 หลายเดือนก่อน +2

    Hapo ni baada ya kuona miaka saba ya nyongeza haiwezekani

  • @humoudseyd7310
    @humoudseyd7310 3 หลายเดือนก่อน +3

    Daaa yani hata aibu hamna sasa mnaogopa nini kuta kupigwa kama nchi zengine zinavopiga? Mnajishrukia 😂 duu kumbe mnaogopa hahahaha

  • @alinassor391
    @alinassor391 3 หลายเดือนก่อน +6

    Sasa km kweli mnajiamini hio kura ya mapema inamaana gn mpaka Wagonjwa wa akili pia nao wapige kura ya mapema lkn wizi upo palepale ndio lengo lenu ila inshaallah m.mungu atawahukumu apa apa duniani

  • @FarhatSeif-p3t
    @FarhatSeif-p3t 3 หลายเดือนก่อน +2

    Nakuambie hapo hakuna la ukweli hata moja alosema. Anawazuga mibunju wenzie tu. Khanithi mtef tef bora Mauzinde kuliko huyu.

  • @salyali7807
    @salyali7807 3 หลายเดือนก่อน +6

    Laanatullah ... Hasbiyallah waneemal wakeel

  • @YussufPandu-es7ou
    @YussufPandu-es7ou 2 หลายเดือนก่อน +1

    Zanzibar inawezakufanya uchaguzi kwa nusu SAA tu kama ilivyo nchj ya isrrael,,,lakini ulimwengu mzima unajuwa zanzanbar hakuna uchaguzi ni ubabaishaji tu,,wapiga kura laki tano uchaguzi siku mbili???? Hii ni balaa

  • @batashqiraa9936
    @batashqiraa9936 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kura ya mapema imeandaliwa maalum kwa ajili ccm kupata njia ya kuiba kura, hlf unamtukana mansour ni mvuta bangi, kibusara umefeli na huna busara, unamtukana mtu kwenye jukwaa jee wewe unavuta nini??? Si unavuta madawa ya kulevya, yaani jitu likiwa halina aibu utalijua tu uso umempauka aibu imetoka ktk uso wake

  • @karamahfoudh8
    @karamahfoudh8 3 หลายเดือนก่อน +1

    Chaaa ajabu hivi visiwa vina watu takriban milio 1.8 wakati urusi na afrika kusini itakua na idadi gan wao wanapiga siku moja na wanatoa matokeo vp wao Hawana wagonjwa na watu maalum Ila cc visiwa hivi tu

  • @VillaBoy-fv2zw
    @VillaBoy-fv2zw 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kwan wazanzibar wajing kuw wasielew leng len haliyakuw ccm nyot mulisom bila kuelimik wajing wakubw nyiny

  • @BinshakbuHemed-gb2zi
    @BinshakbuHemed-gb2zi 3 หลายเดือนก่อน +1

    Nahis. Uyujamaa. Alkua. Anamushia. Bangi. Mansour. Halafu. Analiwa. Uyuuuu

  • @mangofish9079
    @mangofish9079 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ila cha ajabu kwa ccm kila wakiiba ndio wanazidi kujidhihirisha kama hawana watu wa kutosha zanzibar kura ya mapema kwa wapiga kura 5 ndio nini sasa?

  • @HalidMuhammad-gi9qy
    @HalidMuhammad-gi9qy 3 หลายเดือนก่อน +1

    Jamani maneno ya chuki ya nini kumwita mtu mvuta bangi ni ujinga na ushoga pamoja na chuki zako sio za chama unayumba pumzi tu hizi

  • @lailafakhihaji
    @lailafakhihaji 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hizi ni dalili za kuwaogopa wapinzani mna lenu jambo twawajua uzuri kwani hao mnaowapigisha kura mara mbilimbli ndo wanotoa siri acheni dhulma nyie uhai mfupi

  • @rashidmohdkhaji7649
    @rashidmohdkhaji7649 3 หลายเดือนก่อน +1

    Wajidanganya aliye akiwaleya kashakufa uji uji basi hapa hapatoshi tena

  • @saidsheha-wn4qw
    @saidsheha-wn4qw 3 หลายเดือนก่อน +5

    Ewe Allah, tunakuomba waja wako, wewe ndo wakuombwa hakuna mwengine ispokua wewe, mshushie laana kila aliye katika katika chama cha mapindizi. Iangsmize ccm na watu wake kama ulivyomuangamiza Firaun na wagh wake. Amin

    • @jaffaralimakame1533
      @jaffaralimakame1533 หลายเดือนก่อน

      LAANA IMEANZA KWAKO WEWE USHAANZA KULAANIKA

  • @ahmedalbalooshi8518
    @ahmedalbalooshi8518 3 หลายเดือนก่อน +1

    Huko ACT kuna mvuta bangi, hii kauli haikubaliki kwa vile ni kumkash

  • @wardadvaz
    @wardadvaz 2 หลายเดือนก่อน +1

    Dimwa huna jipya madaraka yamekulevya ccm hamna jipya

  • @AbdallahSalim-is3db
    @AbdallahSalim-is3db 3 หลายเดือนก่อน +4

    Tafuta kazi ufanye ujipatie rizki ya halali kua c c m sio lazima. kinyume na hivo utahesabu majaji hd kiama.

  • @nassorseif7907
    @nassorseif7907 3 หลายเดือนก่อน +5

    Kwani kura ya mapema ni sheria ya Allah kua haifutiki Hio kura ya mapema ndio chanzo cha mauwaji na nyinyi ndo munaonadi amani na utulivu kila sehemu kwahio munashilikilia jambo ambalo tayar mmeshaliona athari yake ili mupate kuua wenzenu madhalimu wakubwa nyinyi Allah atawangamiza km alivo muungamiza Firauni na watu wake

  • @ISSAJR-fo5nt
    @ISSAJR-fo5nt 3 หลายเดือนก่อน +4

    Kwani walemavu wapo Zanzibar tu au ninyi ndo mnaowatia ulemavu?

  • @Lundege_Hips
    @Lundege_Hips 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mbona Ccm kama wao ndio tume ya uchaguzi

  • @wardadvaz
    @wardadvaz 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ccm zbar mnatuangusha hakuna jipya 😅

  • @khamisjuma7616
    @khamisjuma7616 3 หลายเดือนก่อน +4

    kama haijaondoka basi ccm itaondoka .hata iweje ndufu yangu

  • @KassimAlly-xp4dz
    @KassimAlly-xp4dz 3 หลายเดือนก่อน +2

    Ccm haitadum Zanzibar kwa miaka 10 ijayo In Shaa Allah naomba muhifadhi hii comment Mwinyi hatomaliza miaka yake 10 abadan

    • @SanguloRaahoo
      @SanguloRaahoo 3 หลายเดือนก่อน

      Endelea kujipa moyo ccm ni milele na milele

    • @SaidHassan-ot3un
      @SaidHassan-ot3un 3 หลายเดือนก่อน +2

      @@SanguloRaahoo ikiwa ww hauna uhakika wa kesho basi ndio hivyo hivyo kwa jambo lolote hukaa kwa muda uliokadiriwa na alla

    • @AbdulhaamidSoud
      @AbdulhaamidSoud หลายเดือนก่อน

      Hakuna Cha milele walikuwepo waengerza na waliondoka ​@@SanguloRaahoo

  • @AliAbdullah-oy6yo
    @AliAbdullah-oy6yo 3 หลายเดือนก่อน +1

    Nahisi kichefuchefu hata kusikiliza

  • @feisalmwinyi2429
    @feisalmwinyi2429 3 หลายเดือนก่อน +1

    Wallah wingi walotouliwa binafsi Mh khamis mobeto tu ndo nnae mkubali jama sijawai msikia akiongea kumkashif mtu.. lkn pia ata akiongea unamuona fika hayupo kugombanisha wapinzani na Mh Rais mwinyi lkn hawa wengine wallah wapo kimaslai na kumgombanisha Rais wetuu mpendwa Hussein mwinyi na wapinzani na wananchi

  • @khatibal-zinjibari6956
    @khatibal-zinjibari6956 3 หลายเดือนก่อน +1

    KURA ZA WIZI NA MAUWAJI NI PALE PALE

  • @ahmedalbalooshi8518
    @ahmedalbalooshi8518 3 หลายเดือนก่อน +1

    Semeni tu kuwa ni mbinu ya kuiba kura wala hakuna shaka.

  • @AhmedSeif-il1xx
    @AhmedSeif-il1xx 3 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu jamaa nimsenge yy nawezake

  • @Zanzibar-e4h
    @Zanzibar-e4h 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hiyo inaitwa kura ya mauwaji

  • @AhmedSeif-il1xx
    @AhmedSeif-il1xx 3 หลายเดือนก่อน +1

    Magufuli yuko wapi

  • @ahmedalkiyum7592
    @ahmedalkiyum7592 3 หลายเดือนก่อน +2

    Dunia bana kwsho yake mtu haijuwi

  • @ZaidSeifSuleiman
    @ZaidSeifSuleiman 3 หลายเดือนก่อน +3

    Ccm Zanzibar wamechanganyikiwa

  • @drabdi6806
    @drabdi6806 หลายเดือนก่อน

    hapo naomba niwasanue yaani lengo leo wale watu wa bara walioletwa kupiga kura huku zanzibar wawahi kupiga kura ili siku ya kura yenyewe wasafir waende kupiga kura kule bara

  • @SazafKiba
    @SazafKiba 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ccm mutaondoka mwaka huu

  • @allyalsubhy6899
    @allyalsubhy6899 3 หลายเดือนก่อน +1

    Na Jecha yukowapi

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed5157 3 หลายเดือนก่อน +4

    nachafukwa na nyoyo kuwaskiliza hawa

    • @binmasoud4150
      @binmasoud4150 3 หลายเดือนก่อน

      Kweli hasa😮

  • @allyalsubhy6899
    @allyalsubhy6899 3 หลายเดือนก่อน +1

    Labda mnavuta pamoja

  • @KhamisSeif-t3d
    @KhamisSeif-t3d 2 หลายเดือนก่อน

    Wewe mshenzi usiejitambua wacha kutufitinisha Wazanzibar wenzangu na hasa vijana tujiepushe na watu kama Hawa ccm tonge

  • @SuleimanSalim-ql3ny
    @SuleimanSalim-ql3ny 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mim huaga nasema hviii ccm yeyote akisema jambo lolote kuhsu kura uongozi ama nchi basi liamin ata km analosema ni ovu km firoun

  • @wakwetu2444
    @wakwetu2444 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hiyo ni Kura ya wiz.

  • @KhadijaHussein-qn2ge
    @KhadijaHussein-qn2ge 2 หลายเดือนก่อน

    Firauni kaondoka iwe ccm bwana watondokatu haiwi dunia inamwisho je wajinga hawa wanaojifanya miungu watu mtatuuwa sana lakini hatukati Tampa

  • @delasdiego6537
    @delasdiego6537 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hatutaki kura ya mapema fala ww

  • @ZANAMBER
    @ZANAMBER 3 หลายเดือนก่อน

    Kwani hiyo tume ni mali ya ccm na hiyo kura ya mapema ni mali ya ccm au ni. Mali ya wananch au ni jeuri ya madaraka na hapo wenye nia nje nani ?

  • @SazafKiba
    @SazafKiba 2 หลายเดือนก่อน

    Sasa mbona bara Kuna watu weng hakuna kura ya mapema munataka iwe znz tu Nia yenu kuwa watu kwa idadi kubwa ila mungu yupo baba utakufaa ww mapema

  • @AbdallahJuma-wb8lq
    @AbdallahJuma-wb8lq 23 วันที่ผ่านมา

    Namkifika,kwa,mungu,pigeni,kura,ya,mapema,msijemkasahau,kupiga

  • @TalibMsham
    @TalibMsham 3 หลายเดือนก่อน +2

    Pigeni ya asbh mchna na ya usiku dunia yenu

  • @AbdulhaamidSoud
    @AbdulhaamidSoud หลายเดือนก่อน

    Ulijuwaje mansoor ni nvuta bangi kama si nyote wavuta bangi??

  • @muslihpandu6
    @muslihpandu6 หลายเดือนก่อน

    Sas kam yeye mvuta bangi ww nan sas maana naon hujielew mtu mzima

  • @nassorsharifu9837
    @nassorsharifu9837 3 หลายเดือนก่อน

    Hapo ni baada ya kuona miaka saba ya nyongeza haiwezekani

  • @alihassan3648
    @alihassan3648 3 หลายเดือนก่อน +1

    Tuoni mkae milele

  • @AbdulSaid-bn2gi
    @AbdulSaid-bn2gi หลายเดือนก่อน

    Usitutukanie mansour wetu ww una laana kubwa

  • @Rukaiya-lt3hm
    @Rukaiya-lt3hm 2 หลายเดือนก่อน

    Nyie maccm mutadhulumu mpaka siku ya kiama

  • @ZaidSeifSuleiman
    @ZaidSeifSuleiman 3 หลายเดือนก่อน +1

    Utumbo mtupu

  • @seifmohamed8725
    @seifmohamed8725 3 หลายเดือนก่อน +1

    Pia umesikia bwana wako amos makala kamujibu nyoko wee

  • @nassorsharifu9837
    @nassorsharifu9837 3 หลายเดือนก่อน

    Hakuna uchaguzi hapo

  • @KhamisSalum-wz8cy
    @KhamisSalum-wz8cy 26 วันที่ผ่านมา

    Unagongwa

  • @shaameshaame9721
    @shaameshaame9721 2 หลายเดือนก่อน

    ovyo kabisa

  • @hasinabukheiti
    @hasinabukheiti 3 หลายเดือนก่อน

    Mashaka tu

  • @mohamedsheikh6618
    @mohamedsheikh6618 3 หลายเดือนก่อน

    Mhh, mheshimiwa mimi sikuelewi wewe ni nani zaidi ya kukuona kuwa ni ccm, lakini hiyo haisumbui sina ulazima wa kukujua inatosha vyovyote ulivyo ni wewe tu na mungu wako kwa aliokubariki nayo, jambo muhimu napenda kukumbusha lisije likasahaulika katika maboresho ya kura ya mapema ni vyema ikafanyika usiku ili kuwapunguzia usumbufu maalibino na wazee wanaopokeapenshen wasisumbuke ama na jua kali au mvua, ni wazi mkifanya hivyo hata matokeo ya uchaguzi atakuwa mazuri kwa wagombea kwani vimeandikwa katika bibilia matendo - - - - - - hufanyika kwenye giza 👍

  • @CholoNassor-h8r
    @CholoNassor-h8r 3 หลายเดือนก่อน

    Ivi hawa wanazania sisi ni wajinga wacha inyeshe tuone panapo vuja hatujali kitakachotokea hata mke anaachika simbuse hawa vilaza wa madaraka

  • @kitosio
    @kitosio 3 หลายเดือนก่อน

    Hakuna kibaya ktk mazungunzo yaliyotolewa bila kuzingatia uhasama WA vyama

  • @seifserenge3340
    @seifserenge3340 3 หลายเดือนก่อน

    Yaonekana mna huruma kweli CCM, hamtaki raia wenu wapate tabu hata chembe,

  • @abdnassor
    @abdnassor 3 หลายเดือนก่อน

    6:12

  • @BakariMakame-j5f
    @BakariMakame-j5f 3 หลายเดือนก่อน

    Mi napita 2 world on fire kumbe inavyotwa

  • @husseinbakar2358
    @husseinbakar2358 3 หลายเดือนก่อน

    Nyie ndio mliokaa na kujali matumbo yenu

  • @HassanHassani-s3i
    @HassanHassani-s3i 3 หลายเดือนก่อน

    Kamakurayamapema hitaondo ka utaondokaww ishaallah

  • @seifseifmohamed7118
    @seifseifmohamed7118 3 หลายเดือนก่อน +1

    Iyendelee milele hata miaka elf.

  • @jaanjaan111
    @jaanjaan111 3 หลายเดือนก่อน

    Nahisi unajifurahisha wakati utasema

  • @saidsheha-wn4qw
    @saidsheha-wn4qw 3 หลายเดือนก่อน

    Alikuwepo Firaun, leo yuko wapi?

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 3 หลายเดือนก่อน

    Et mvuta bang mmoja mansoor 😊😊

  • @Time-ev3dw
    @Time-ev3dw 3 หลายเดือนก่อน

    Umoja wa walaji😊😊