#1 AKILI ZA KUCHANGIWA - MAU MPEMBA - FUMBUA MACHO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 พ.ค. 2023
  • #maumpemba #KomboKichwa #fumbuamacho
    AKILI ZA KUCHANGIWA - MAU MPEMBA - FUMBUA MACHO
    Furahi na jifunze na vichekesho vya Mau Mpemba. Mau Mpemba ni msanii wa Zanzibar anaejulikana sana kwa aina yake ya sanaa ya maigizo kwa kutumia asili yake ya Pemba. Kwa kushirikiana na wasanii mbali mbali Tanzania, Mau Mpemba anasisimua na kuvunja mbavu za watu wengi wanaopenda aina yake ya maigizo.
    Aina ya sanaa anayofanya Mau Mpemba ni mfano wa kuingwa kwani, anatumia kile kidogo alichonacho ili kufurahisha na kuelimisha pia.
    Ukihitaji kuunga mkoni harakati za wasanii hawa ili waweze kuleta furaha kila siku katika jamii zetu, hakikisha unatangaza biashara yako au kutoa ushauri wako kupitia.
    +255 777 001500
  • ตลก

ความคิดเห็น • 87

  • @S.king_7
    @S.king_7 ปีที่แล้ว +25

    Naombeni Like zenu wadau, mimi ndo wa kwanza leo

  • @truthspeaker2062
    @truthspeaker2062 ปีที่แล้ว +5

    Mimi sijawahi kwenda pemba ila nimepata habari zao kuwa ni watu wakarimu sana ukarimu wa kizanzibari basi umebakia pemba . Nimesikia tu

    • @gyeong5972
      @gyeong5972 10 หลายเดือนก่อน

      Huo Ndyo ukweli karbu sana

  • @hamidyakoub6865
    @hamidyakoub6865 ปีที่แล้ว +3

    Mau kaz nzur

  • @HassanAli-eq8ko
    @HassanAli-eq8ko ปีที่แล้ว +2

    Kaz nzr sana

  • @mohammedkhkombo4439
    @mohammedkhkombo4439 ปีที่แล้ว +2

    Kanzi nzuri sana

  • @RashidRashid-wv9ud
    @RashidRashid-wv9ud ปีที่แล้ว +5

    Mau zimwi likujuwalo halikuli likwakwisha

  • @shaibhasan9233
    @shaibhasan9233 ปีที่แล้ว +2

    Daaah wallah mnajua sanaa

  • @alhimnamussasaid3619
    @alhimnamussasaid3619 ปีที่แล้ว +5

    Tatizo ni huo mziki hauendani na maadili yetu lkn kazi nzuri sana

  • @dullamuwise4802
    @dullamuwise4802 ปีที่แล้ว +2

    kaz nzr sn

  • @muniraahmedawadh2619
    @muniraahmedawadh2619 ปีที่แล้ว +3

    Pamoja sana wapendwa

  • @muslihmazruitogether807
    @muslihmazruitogether807 ปีที่แล้ว +3

    Kaz mzur sana

  • @jeandezanzibar
    @jeandezanzibar ปีที่แล้ว +7

    Wa kwanz from Zanzibar ❤

    • @SubiraSalum-pq9vo
      @SubiraSalum-pq9vo ปีที่แล้ว +2

      Hujanihadisia km mau amerejea 😅😋

    • @jeandezanzibar
      @jeandezanzibar ปีที่แล้ว +1

      @@SubiraSalum-pq9vo hahahhah 😆😆😆😆😆

  • @shaibhasan9233
    @shaibhasan9233 ปีที่แล้ว +3

    Nyie mnajua sanaa

  • @mwanawetumwatumwa3000
    @mwanawetumwatumwa3000 8 หลายเดือนก่อน

    Ma Shaa allaha ❤❤

  • @RashidAli-rn3ro
    @RashidAli-rn3ro 9 หลายเดือนก่อน

    Naomba umetisha dah....eti mdomo mrefu km kisakunde

  • @Filamumaridhawa
    @Filamumaridhawa 8 หลายเดือนก่อน

    Jamani nyinyi munaelimisha sanaaa

  • @IsmailiallyIsmaili
    @IsmailiallyIsmaili ปีที่แล้ว +2

    Nakubal

  • @shaviercharvinho18
    @shaviercharvinho18 ปีที่แล้ว +2

    mau umepania mara hiii

  • @SalehSaleh-hs7wt
    @SalehSaleh-hs7wt 10 หลายเดือนก่อน

    Kazi🔥🔥🔥

  • @abdullaabdullahmpakanjia2336
    @abdullaabdullahmpakanjia2336 ปีที่แล้ว +3

    Fundi wazidi chafukwa

  • @elrikeshnassor
    @elrikeshnassor ปีที่แล้ว +2

    Big up

  • @salwasuleiman3525
    @salwasuleiman3525 ปีที่แล้ว +4

    Nzuri nimeipendaa

  • @hajiharoub8125
    @hajiharoub8125 8 หลายเดือนก่อน

    Nakubali kaz

  • @shaviercharvinho18
    @shaviercharvinho18 ปีที่แล้ว +2

    itaendelea au ndio ishafikia mwisho

  • @khamiswapemba9019
    @khamiswapemba9019 ปีที่แล้ว +4

    Kazi mzuri Mau moemba,mzee mwinyi na team yote kwa ujumla

  • @jumamohamed4808
    @jumamohamed4808 ปีที่แล้ว

    Mafunzo mazuri san

  • @rogojr712
    @rogojr712 ปีที่แล้ว +9

    Assalam alaikum munaigiza vizuri kwa kutoa mafunzo ila tunaomba musieke miziki kwa maana tunapenda vipindi vyenu lakini hatupendi miziki kwa maana Allah kaharamisha shukran

  • @KhamisAli-ud4pu
    @KhamisAli-ud4pu ปีที่แล้ว +1

    Wakuja pemba aje tu hakuna ubaya ukiskia maneno ya kuambiwa ndokama hayo karibun sana

  • @OmanOman-ky2oo
    @OmanOman-ky2oo ปีที่แล้ว +4

    Kiswabi mganga😂😂😂😂

  • @abassmkubwa7242
    @abassmkubwa7242 ปีที่แล้ว +2

    Dah, ii ingalikuwa na muendelezo ❤

  • @salimsaid572
    @salimsaid572 ปีที่แล้ว +2

    You are so good, thank you for your video, it is so good

  • @wardahaly4194
    @wardahaly4194 ปีที่แล้ว +1

    Kaz mzr

  • @binmasoud4150
    @binmasoud4150 ปีที่แล้ว +2

    Fantastic nice message na imekuja kwa style safi sana, hongereni

  • @omarbosiomar8608
    @omarbosiomar8608 ปีที่แล้ว +6

    Much love 🎉🎉

  • @killingofficial5005
    @killingofficial5005 ปีที่แล้ว +1

    MashaAllah Kaz Kaz Allah awajalie vzid kukuw vpaji vyenu INSHA ALLAH

  • @alhimnamussasaid3619
    @alhimnamussasaid3619 ปีที่แล้ว +5

    Dongoo eti baba ana mashamba ma4 ya mikarafuu 🤣🤣🤣🤣

  • @ramadhanikondo6114
    @ramadhanikondo6114 ปีที่แล้ว +1

    Kiswabi kiswabi unanifanya niwaze kuja pemba

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 ปีที่แล้ว +2

    Haaaaaaaa kiswabi wee eti wajua wazunguza na jini dongo unavijembe weye. ama kweli akili za kuchangiyawa changanya na zako

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 ปีที่แล้ว +1

    Nawapenda sana mungu awabariki sana❤❤❤❤

  • @shaviercharvinho18
    @shaviercharvinho18 ปีที่แล้ว +1

    ety wajuwa kama wazungunza na jini

  • @fatmasaid9765
    @fatmasaid9765 ปีที่แล้ว +1

    Eti kitabu cha matusi nilichorithi kwa bibi yangu mau mpemba nimecheka mpaka basi

  • @kundiidd8755
    @kundiidd8755 ปีที่แล้ว +3

    👏👏👏

  • @ayoubkhamicmzume7970
    @ayoubkhamicmzume7970 ปีที่แล้ว

    Nyie noma sana hongereni sana pmoja

  • @affanabdullahkhamis6330
    @affanabdullahkhamis6330 ปีที่แล้ว +3

    Ukupigao 😅 utamalizia..............😂

  • @mohdsaad2736
    @mohdsaad2736 ปีที่แล้ว +3

    ❤❤❤😊😊😊😊😊

  • @HalimaHalima-id2cb
    @HalimaHalima-id2cb ปีที่แล้ว

    Mnaweza sana hongereni sana🔥🔥🔥🔥

  • @SamiraameirSamira-qt9yn
    @SamiraameirSamira-qt9yn 10 หลายเดือนก่อน

    Mganga kampatika kiswabi wa swabiina mwamize na ukengele weee na unn vile😂😂

  • @ayoubkhamicmzume7970
    @ayoubkhamicmzume7970 ปีที่แล้ว

    Naomba hongera

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 ปีที่แล้ว

    Wenyeji wengine balaa

  • @FatmaKhamis-eq3sh
    @FatmaKhamis-eq3sh ปีที่แล้ว

    Kiswabi jamani nakupenda bureee

  • @kombokichwa815
    @kombokichwa815 ปีที่แล้ว

    😂😂😂😂😂😂Kazi nzuri sana

  • @OmanOman-ky2oo
    @OmanOman-ky2oo ปีที่แล้ว +3

    ❤❤❤

  • @suleimanshaaban8756
    @suleimanshaaban8756 ปีที่แล้ว

    Good job

  • @affanabdullahkhamis6330
    @affanabdullahkhamis6330 ปีที่แล้ว +3

    👍

  • @zakomone7672
    @zakomone7672 ปีที่แล้ว

    MashaLLAH ❤❤❤❤

  • @BinWaalid-dk5sm
    @BinWaalid-dk5sm ปีที่แล้ว

    Ukipigao ndio ukufunzao

  • @user-zw8yf7vr1c
    @user-zw8yf7vr1c ปีที่แล้ว

    Muendelezooooo

  • @user-fp8ng6hw3o
    @user-fp8ng6hw3o ปีที่แล้ว

    Mr dongo mm naomba hio kanzu maana duhh

  • @user-sw4kc6zp1g
    @user-sw4kc6zp1g ปีที่แล้ว

    Naomba kesha olewa??

  • @cottonempire6804
    @cottonempire6804 ปีที่แล้ว +1

    Kiswabi motooo..

  • @YilaMan
    @YilaMan ปีที่แล้ว +2

    Hhhhhhhhhhh

  • @user-qo8uj1ym4m
    @user-qo8uj1ym4m ปีที่แล้ว

    Mau na suriya kwa mwinyi mpeku umeyakanyaga😂

  • @Aishashop-fb4cw
    @Aishashop-fb4cw 4 หลายเดือนก่อน

    No

  • @fifo262
    @fifo262 ปีที่แล้ว

    Kifuku nkunye du dongo ww

  • @zionzanzi
    @zionzanzi ปีที่แล้ว +2

    Sijawahi kufika Pemba. Nilitaka kwenda zamani lkn nilikatazwa nikaambiwa usije ukaenda 😂😂 sasa kwani jamani kweli ukienda Pemba Utarogwa ? Au ndo kweli kuna mambo ya ushirikina kuliko ubinaadamu? Siiamini

    • @nassorhaji2637
      @nassorhaji2637 ปีที่แล้ว +1

      Hizo ni fikra potof mm mbona nimeenda na mgeni wangu

    • @zionzanzi
      @zionzanzi ปีที่แล้ว +1

      @@nassorhaji2637 fikra potovu? Unaambiwa tahadhari kabla ya asari. Kuuliza sio kosa. KAULIZE NINI WALICHOMFANYA MKAPA. MIE MZANZIBARI PEMBA KWETU. DAM.DAM.

    • @nassirmohamed8492
      @nassirmohamed8492 ปีที่แล้ว +1

      Mm Mkenya nishaenda mara nyingi ni uongo mtupu tena pemba watu wakarimu kuliko huku zanzibar

    • @aminaothuman6784
      @aminaothuman6784 ปีที่แล้ว +1

      Uyo alokwambiy wapemba washirikina anakuoneya gere mana anajuwa ukienda kama umwana mme utapata mke na kama umwana mke utapata mume nahusu ushirikil sipemba sehem zote ila ukiwachokoza hawakuachi uhakika 😄😄😄😄😄

    • @salimnassor1177
      @salimnassor1177 ปีที่แล้ว +1

      So kwli ht kdg

  • @wardahaly4194
    @wardahaly4194 ปีที่แล้ว +1

    Kaz mzr