EXCLUSIVE: RICHARD KIJANA ALIYETOBOA kwa KILIMO cha VITUNGUU MAJI MPAKA KUWA MILIONEA wa MAGARI...

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 23 ส.ค. 2024
  • EXCLUSIVE: RICHARD KIJANA ALIYETOBOA kwa KILIMO cha VITUNGUU MAJI MPAKA KUWA MILIONEA wa MAGARI #tronimotors
    CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
    ========================
    Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

ความคิดเห็น • 31

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  11 หลายเดือนก่อน +2

    JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!

  • @maseaJoe8676
    @maseaJoe8676 10 หลายเดือนก่อน

    Congratulations nimesoma mengi asante sana🥰

  • @navioma4882
    @navioma4882 11 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera kaka

  • @mathiasswai7006
    @mathiasswai7006 11 หลายเดือนก่อน

    Nice congratulations 👏👍🎉

  • @FrancisLyamuya-ou1eb
    @FrancisLyamuya-ou1eb 11 หลายเดือนก่อน

    Oya hongeraa kwa juhudi inatakiwa urudishe Ruzuku ngage kwetu

  • @tukuyufm
    @tukuyufm 11 หลายเดือนก่อน +4

    Jinsi tuyaonavyo, jinsi tuyaskiavyo ya watu duniani ni tofauti na uhalsia wa utendeshi uliowapitia.

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 11 หลายเดือนก่อน +1

      Unaishi kwakusikia tu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @tukuyufm
      @tukuyufm 11 หลายเดือนก่อน

      @@Mpakauseme asante sana bless

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 11 หลายเดือนก่อน +3

    0:52

  • @Jackylmariam-qy6qe
    @Jackylmariam-qy6qe 10 หลายเดือนก่อน +1

    Njia ya kufanikiwa ni ndefu hongera Sana mtu hawez kuadisia ad nilivyoshindaga njaa iyo ni kwa ufupi

  • @nurdiniathumani9388
    @nurdiniathumani9388 10 หลายเดือนก่อน +1

    RUAHA AU RUHAA

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu mwandishi kibogoyo kweli kila kabila ina watubwenye pesa wakiwa wadogo makabila yanatoka wapi hapo

  • @nickylyanga2139
    @nickylyanga2139 11 หลายเดือนก่อน

    Kwa hawa watoto wa siku izi tunawasomesha ..wakirudi mtaaani wanataka wapate ajira ...hata umshaur ajiajili au umuwezeshe ajiajiri hataki et kwa hiyo mm nimesoma bule tu ...sintakua nimepoteza muda... Ni shida kwa kweli

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 11 หลายเดือนก่อน

      Si watoto wa sikuizi kwani waswahili tangu kitambo wanaona kuajiriwa ndio vizuri, huwe mwalimu hupo kwenye kitengo fulani serikalini basi hapo wazee wanajivuna kila wakati na hadithi inakuwa ni wewe tu huku na majigambo 🤣lakini hawajui kuwa u mtumwa so na swala watoto ni kwasababu hawajaona mfano katika njia nzuri kutoka kwa wazazi wao, kwani wewe mzazi ndio mfano wa kwanza kwani maisha ni mfumo , kama wewe mwenyewe patupu basi ata huo uzao wako unakwenda hivyo na vinginevyo ni bahati tu hao watoto wapate knowledge yakujua mambo hayo yataka yaende vipi

  • @mohdmohd8428
    @mohdmohd8428 11 หลายเดือนก่อน

    Kajitahid sana na kuna muda kautumikia

  • @dotnatajoseph2620
    @dotnatajoseph2620 11 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu kaka anajielewa sana kajivu vizur kuhusu bandali safi sana

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 11 หลายเดือนก่อน

      yeah

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 11 หลายเดือนก่อน

    Kuna miji2 imekuwa mchungi kwa wa2,Mungu kalibariki,lakini ni nirushi kwa wanaolifanyia kaxi,najiulixa lilivyokuwa mchungi lingerushwa ingekuwaje?leo hii halisemi kabisaa lilikuwa mchungi.

  • @ahmuhally4430
    @ahmuhally4430 11 หลายเดือนก่อน +5

    Tatizo watu wanasema walipoanzia na kisha walipo sasa ila hawasemi mchakato wa hapo Between poor to rich

    • @user-rv7zt6tj3d
      @user-rv7zt6tj3d 11 หลายเดือนก่อน +7

      Hicho ndicho binadam anataka kuskia ila hatak kuskia changamoto zote mpk kufika hapo na hakuna atayekwambia maan changamoto zinatofautian yawezekana ukaanza wewe kilimo lkn mapito yake yakawa tofaut na wewe na kamwe hazifanani so ukitaka kufanya jambo fanya na hakuna kazi au jambo lisilona changamoto so ukiendelea kusubiri waliofanikiwa wakwambie ni risk gan wamepitia utakufa maskin, uthubutu ndio unamfikisha mtu alipo sasa lasvy mtaaendelea kuamin kuna sehem wanatoa pesa 😂 utalaumu bure amka na thubutu

    • @deogratiusyudatadei5658
      @deogratiusyudatadei5658 11 หลายเดือนก่อน

      @@user-rv7zt6tj3d 🤝🤝🤝 huo ndiyo ukweli mm na weza kwambia nimeanza kujitafuta kwenye kilimo huu ni mwaka wa5 napanda na shuka na kila ninapo shukua nakuwa nakitu kipya nimejifunza na naweza kusema mpaka nije kusimama na kuwa imara ni miaka 5 ijayo changamoto kwenye kilimo au kitu chochote ambacho MTU huamini kua siku moja atafanikiwa na kuwa tajiri kina mauza uza kibao Kuna ushirikina upo ndani na Kuna kulogwa na kila atakeye umia na mafanikio yako kwahiyo changamoto azifanani kabisa ni asilimi chache Sana utakuta Zina fanana

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 11 หลายเดือนก่อน

      Unataka uambiwe kila kitu 🤣🤣

    • @user-rv7zt6tj3d
      @user-rv7zt6tj3d 11 หลายเดือนก่อน

      @@Mpakauseme 🤣

    • @priscamwabulanga5294
      @priscamwabulanga5294 11 หลายเดือนก่อน +1

      Sasa akisema kila mchakato aliopitia si kipindi kitachukua miaka mingi kuisha

  • @mwasangwaleagriculturalact8510
    @mwasangwaleagriculturalact8510 11 หลายเดือนก่อน +2

    Sawa kilimo

  • @bashiruhassani1017
    @bashiruhassani1017 10 หลายเดือนก่อน

    Kuna mdada apo anaonekana ajapenda wagen waje