INTERVIEW: Mwana FA kuhusu maisha, muziki, P Funk, Jokate na mengine.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 16 ก.ย. 2024
  • Kutana na mkongwe wa bongofleva mwenye zaidi ya miaka 10 kwenye muziki anaoufanya na ameweza kukaza bila kupotea, hii ni Exclusive Interview ambayo amezungumzia vitu vingi vya muziki na vingine vinavyomuhusu.

ความคิดเห็น • 57

  • @kyannickk2be
    @kyannickk2be 8 ปีที่แล้ว +8

    nakumbuka ilitoka 2002 nikiwa form II, ilifanya nikupende kuwa msanii namba one mpaka leo...huwezi amini nina mistari kichwani ya nyimbo zako za mwanafalsafani...respect you

  • @nas153
    @nas153 8 ปีที่แล้ว +3

    interview nyingi umeweka ila kusema ukweli hii umetutendea haki 100%
    shukran sana blaza.

  • @joseevennant1470
    @joseevennant1470 8 ปีที่แล้ว +5

    Silalamiki sina viatu wenzangu hawana miguu thanks for coming br, bG up xn mkuu!

  • @AlexMumoMalonza
    @AlexMumoMalonza 4 ปีที่แล้ว +2

    Mwana FA i look so much up to you.This guy is super cool!!!!! Muhenza wamebahatika kua na mbunge muelewa sana

  • @stephanomoshi4144
    @stephanomoshi4144 8 ปีที่แล้ว +2

    Johnson Meshack from ngaramtoni arusha,,,,Mwana FA uko bie sana,asanten kwa kuja ipo classic ile kinoma

  • @francismoshy3286
    @francismoshy3286 8 ปีที่แล้ว +3

    Daah jamaa yuko vzur sana kwny interview......big up FA

  • @khalidnassor8820
    @khalidnassor8820 7 ปีที่แล้ว +5

    Vichwa viwili tu na vikubal tz. FA na blue

  • @sabrinamohammed3980
    @sabrinamohammed3980 8 ปีที่แล้ว +2

    asante sana mtu wangu wa nguvu naomba utuletee John makin

  • @khadijamalifedha5862
    @khadijamalifedha5862 8 ปีที่แล้ว +2

    umeona eee *Nasser mungu ambariki sana mtu wetu wa nguvu

  • @mwanahella9650
    @mwanahella9650 8 ปีที่แล้ว +2

    🙌🙌🙌asante kwa kuja FA
    asante kwa ngoma kali

  • @hadijazaidi4649
    @hadijazaidi4649 8 ปีที่แล้ว +3

    uko vzr

  • @khadijambuta4360
    @khadijambuta4360 7 ปีที่แล้ว +2

    ukweli upo vizuri sana mwan fa😘😘

  • @mufamozmufash1537
    @mufamozmufash1537 8 ปีที่แล้ว +2

    mungu akubarikie kazi yako

  • @rashidhassan3964
    @rashidhassan3964 4 ปีที่แล้ว +2

    Am a fun of Mwana Fa, so humble

  • @binamubinamu1151
    @binamubinamu1151 3 ปีที่แล้ว +2

    Millard upo poa Sana Kaka nakukubali hady kesho

  • @lazarojanuary2249
    @lazarojanuary2249 6 ปีที่แล้ว +2

    Kazi nzuri millard

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 2 ปีที่แล้ว +1

    Kati ya wasanii ninao wakubali, my legendary ❤️

  • @saumusalimuhassan772
    @saumusalimuhassan772 8 ปีที่แล้ว +2

    Big up sana bro FA Mr Coundouwn

  • @rashidmgaya8852
    @rashidmgaya8852 8 ปีที่แล้ว +3

    nice bro

  • @stumaialiy4077
    @stumaialiy4077 7 ปีที่แล้ว +2

    I like this!!

  • @nelsonnmwaipaja6980
    @nelsonnmwaipaja6980 5 ปีที่แล้ว

    narudi tena upo sahihi apo f.a unaweza ukatoa nyimbo na msanii mkubwa wa nje ya nchi mwisho wa siku inaonekana kituko tu wasanii ipendeni lugha yenu big up millard ayo

  • @nganashesabore5295
    @nganashesabore5295 8 ปีที่แล้ว +1

    Nakuelewa sn Millard na kazi zako zinatubariki sn.

  • @michaeljeremiah1353
    @michaeljeremiah1353 8 ปีที่แล้ว +3

    master plan..fa uyu jamaa kiboko bongela intaeview aise

  • @mudyommary3803
    @mudyommary3803 8 ปีที่แล้ว +3

    good broo!

  • @mbarukumhina5755
    @mbarukumhina5755 8 ปีที่แล้ว +2

    ahsante millard

  • @yusuphkakondo5607
    @yusuphkakondo5607 8 ปีที่แล้ว +2

    That's Great!!!!

  • @haralbeey
    @haralbeey 8 ปีที่แล้ว +3

    Mwana fa umemsahau dazz baba

  • @MohamedAli-mr8oj
    @MohamedAli-mr8oj 4 ปีที่แล้ว +1

    Upo vizurii sana Falsafa

  • @josephmwandagha1722
    @josephmwandagha1722 7 ปีที่แล้ว +2

    nina mabinti dam dam..hehe....mwana fa "mabinti" was my first intro to him, back in 2003 apo. my fav east african rapper, hehe....luh dat nigga!!!! n he's a kenyan if u ask me, lol, ingawaje twajua ni wa bongo, hehe

  • @mohammedrashid7735
    @mohammedrashid7735 8 ปีที่แล้ว +3

    nimemic mwana fa ft jay dee

  • @josephmwandagha1722
    @josephmwandagha1722 7 ปีที่แล้ว +3

    hermy b!

  • @florianissaya3194
    @florianissaya3194 8 ปีที่แล้ว +1

    Big up Bro.....muite na AY

  • @rajabukabelwa9464
    @rajabukabelwa9464 8 ปีที่แล้ว +2

    nice interview

  • @rashidimugisha5591
    @rashidimugisha5591 8 ปีที่แล้ว +2

    very nice

  • @mwijashaba4937
    @mwijashaba4937 8 ปีที่แล้ว +1

    nice bro upo gud

  • @rajabumwalimu3231
    @rajabumwalimu3231 5 ปีที่แล้ว +3

    Siwaambii msiusie,sisemi zipu mfungue,sisemi muache kuwa wema,ila ujinga usienderee kwamba kila anaye kufa kwa ngoma mkadhani ni kicheche....daah...lakini alikufa kwa ngoma

  • @machibyasaid1397
    @machibyasaid1397 8 ปีที่แล้ว +1

    interview imetulia sana

  • @alkhalifakhalifa3315
    @alkhalifakhalifa3315 8 ปีที่แล้ว +2

    Millard nini una angalia on your right.kila video ukiifanya ni hivo hivo

  • @Be.BestEver
    @Be.BestEver 6 ปีที่แล้ว +2

    34:40

  • @evankya1955
    @evankya1955 8 ปีที่แล้ว +1

    great interview

  • @emmanuelzao
    @emmanuelzao 3 ปีที่แล้ว +1

    😎

  • @paulswai1237
    @paulswai1237 8 ปีที่แล้ว +1

    aya

  • @azamatb9479
    @azamatb9479 2 ปีที่แล้ว

    Namkubali sana

  • @Be.BestEver
    @Be.BestEver 6 ปีที่แล้ว +3

    39:01
    ilibidi nipause kwanza nicheke

  • @barnabamasigani221
    @barnabamasigani221 ปีที่แล้ว

    Gwiji FA

  • @rithajulius1424
    @rithajulius1424 8 ปีที่แล้ว +2

    Nice broo

  • @amrysalum863
    @amrysalum863 ปีที่แล้ว

    I get around 2023

  • @nelsonnmwaipaja6980
    @nelsonnmwaipaja6980 5 ปีที่แล้ว

    umenena bro ngwair hatofananishwa kamwe nyimbo mliopiga ya demu sikiliza duu mlitisha xana

  • @innocentmushi1550
    @innocentmushi1550 3 ปีที่แล้ว

    Hapo 10:55 aisee, binamu anajua nyie

  • @devidezbon6312
    @devidezbon6312 8 ปีที่แล้ว +1

    poa

  • @innocentmushi1550
    @innocentmushi1550 3 ปีที่แล้ว

    diddy kuimba kwenyewe hajui😆😆

  • @adnoicembogho4421
    @adnoicembogho4421 ปีที่แล้ว

    @Millard Ayo mkumbushe @mwanafa hiii

  • @sabrinamohammed3980
    @sabrinamohammed3980 8 ปีที่แล้ว +2

    asante sana mtu wangu wa nguvu naomba utuletee John makin

  • @hadijazaidi4649
    @hadijazaidi4649 8 ปีที่แล้ว +2

    uko vzr