BIASHARA YA BARAFU LITA 10/Barafu za 100 100/Jinsi yakutengeneza Barafu

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 ส.ค. 2024
  • #barafu #barafuzaukwaju

ความคิดเห็น • 51

  • @maryamrahma1907
    @maryamrahma1907 ปีที่แล้ว

    Mashaallah ❤❤❤

  • @ThomasMassae
    @ThomasMassae 4 หลายเดือนก่อน

    Nimeipenda kazi Yako.

  • @halimasuleimanjafar8781
    @halimasuleimanjafar8781 หลายเดือนก่อน

    Napenda saaanaa Kaz hiii uku kwetu tunaita malai

  • @graceakoth113
    @graceakoth113 ปีที่แล้ว

    elimu nzuri kweli,,,swali ni hivyo vya viji akienda kuuza nje atahifadhi vipi ili zisilowe maji njiani ama baada ya muda

  • @AnnaMwanakatwe-f8j
    @AnnaMwanakatwe-f8j 25 วันที่ผ่านมา

    Hiyo ni rahisi nimeipenda
    5:58

  • @user-hs3io8su5w
    @user-hs3io8su5w 9 หลายเดือนก่อน

    Saw byasawa hiyo n frij aina gan inagandisha vzr

  • @africatodayke
    @africatodayke ปีที่แล้ว +3

    mafundisho muhimu sana. fan from kenya here. your content is tops

    • @ikamalle
      @ikamalle  ปีที่แล้ว +1

      Asante

    • @priscamateru3812
      @priscamateru3812 10 หลายเดือนก่อน

      Jamani nimependa sana nilikuwa naomba atuambie izo juice cola nifleva inafleva gani

    • @priscamateru3812
      @priscamateru3812 10 หลายเดือนก่อน

      Napia kama anauza hamsini zinafaida nzuri?? Naizo zavijiti anauza bei gani

    • @hanaanyusf
      @hanaanyusf หลายเดือนก่อน

      ​@@ikamalleHi dear where can I get that fridge please help

  • @halimasuleimanjafar8781
    @halimasuleimanjafar8781 หลายเดือนก่อน

    Ni rahis tu kufunga 😊

  • @user-su5oi5wb6c
    @user-su5oi5wb6c 8 หลายเดือนก่อน

    Nice

  • @mkamirachel9006
    @mkamirachel9006 17 วันที่ผ่านมา

    Guud

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 ปีที่แล้ว +1

    Nzuri

    • @ikamalle
      @ikamalle  ปีที่แล้ว

      Asante dear

  • @khairatmohamed7569
    @khairatmohamed7569 11 หลายเดือนก่อน +3

    Litre 10 unaweza kutoa barafu ngapi?

  • @swafaamohamed9603
    @swafaamohamed9603 11 หลายเดือนก่อน

    Habari dada mafunzoooo mazuri sanaaaa,nKuomba unieleze zaidi hizo juice cola ni flavor gani ametumia

  • @AnnaMwanakatwe-f8j
    @AnnaMwanakatwe-f8j 25 วันที่ผ่านมา

    Na unatumia sukari ipi unapotengeneza barafu lain dada na kwa vipimo gani naomba msaada

  • @GladnessKalibata
    @GladnessKalibata 3 หลายเดือนก่อน

    Naomba unionyeshe unavyoweka barafu zavijiti

  • @anthonynjoka6146
    @anthonynjoka6146 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana kwa hii video.Naweza nunua hizo karatasi za kufunga barafu wapi?

    • @mwasitiomtima1896
      @mwasitiomtima1896 ปีที่แล้ว

      Maduka ya viungo au vifungashio mbona vingi

  • @mariamisser3247
    @mariamisser3247 10 หลายเดือนก่อน

    Hatumii sukari

  • @badawyhaji9288
    @badawyhaji9288 ปีที่แล้ว +1

    😋😋😋😋😋

  • @AgathaWilliam
    @AgathaWilliam 3 หลายเดือนก่อน

    Naomba unielekeze namuna ya kutengeneza barafu za vijiti

  • @leaapolo976
    @leaapolo976 ปีที่แล้ว

    Tuonyoshe nayavijiti my dear

  • @ShamSaidy-nm5qg
    @ShamSaidy-nm5qg ปีที่แล้ว

    Linapatikana wap ilo fliza

  • @yesnomads
    @yesnomads ปีที่แล้ว +1

    Mafunzo mazuri ya kutengeneza barafu

  • @zahrahmakota9488
    @zahrahmakota9488 6 หลายเดือนก่อน

    tangu lini umeanza kusema ok,,kwa hyo umemgeza yule mama wa aroma of zanzibar mh hupendezi ika

    • @ikamalle
      @ikamalle  6 หลายเดือนก่อน

      Embu growup uko

  • @neemapeter4572
    @neemapeter4572 ปีที่แล้ว

    Ninashida ya freeji zuri

  • @juliaabel7794
    @juliaabel7794 5 หลายเดือนก่อน

    Kindly show how to seal the ice

  • @MeryLyatuu-to9ks
    @MeryLyatuu-to9ks 8 หลายเดือนก่อน +1

    Kumbe hata ukiloweka ukwaju unafaa kutengeza askim ?

  • @user-gx8ij6bu8z
    @user-gx8ij6bu8z 2 หลายเดือนก่อน

    Atuonyeshe baleful za kwenye kikombe

  • @jescasamson6060
    @jescasamson6060 7 หลายเดือนก่อน

    Kati ya maji moto na baridi ni yapi yanatengeneza barafu laini

  • @-jess--jes
    @-jess--jes 10 หลายเดือนก่อน

    Naomba unifunze please

  • @amanikomanya8342
    @amanikomanya8342 ปีที่แล้ว

    Tunaomba na izo za kijiti

  • @user-cm6bm5nl2d
    @user-cm6bm5nl2d หลายเดือนก่อน

    Huo ukwaju ni kiasi Gani?

  • @BrigethAssenga-qr7kk
    @BrigethAssenga-qr7kk ปีที่แล้ว

    Dada nimepanda naomba namba Yako uzid kunifundixha zaidi plz

  • @lilianelyly633
    @lilianelyly633 ปีที่แล้ว

    Lita10za maji mbuyu kilo ngapi???

  • @user-rp2ix6qz4c
    @user-rp2ix6qz4c 5 หลายเดือนก่อน

    Mbna ladha yako ni ya unga

  • @lmison9484
    @lmison9484 ปีที่แล้ว

    Asante, ila je unaweza fanya za matunda tofauti tofauti? Asante 😋

  • @aminarashidi165
    @aminarashidi165 ปีที่แล้ว

    Dada Niko nje ya mada ivi ile kata ya biscut nitapata wapi naomba unisaidie

    • @ikamalle
      @ikamalle  ปีที่แล้ว

      Maduka ya vyombo ama vifaa vya keki

    • @ShamSaidy-nm5qg
      @ShamSaidy-nm5qg ปีที่แล้ว

      Ilo flaza gan

  • @LAILATRASHID-ll8dm
    @LAILATRASHID-ll8dm ปีที่แล้ว

    Ukwaju na ubuyu kiasi gani?

    • @priscamateru3812
      @priscamateru3812 10 หลายเดือนก่อน

      Kwamfano ukitaka kufunga ndoo moja kubwa je unaweka ukwaju kiasi gani naubuyu unga wake kiasi gani

  • @teclajackson9220
    @teclajackson9220 ปีที่แล้ว

    Ni lazima kutumia maji yaliyochemshwa? Au maji ya kawaida tu ya bomba yanafaa?

  • @ShamSaidy-nm5qg
    @ShamSaidy-nm5qg ปีที่แล้ว

    Ilo fliza linatikana wap

    • @ikamalle
      @ikamalle  ปีที่แล้ว

      Kwenye maduka ya mafriza na mafriji

    • @salummussa1139
      @salummussa1139 ปีที่แล้ว

      Huku Zanzibar yamejaa Mafriza na mafriji yanayo uzwa