ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Nimependa sanaa asande sanaa
Karibu san
Somo nzuri sana ntajaribu
Nashukuru sana ❤️
Hongera sana, naomba kuuliza naweza kupataje bag za kuuzia Ice cream, asante sana
Sokoni utapata ulizia tu vifuko vya barafu utapewa boss
Ni vema
Asante sana kwa somo zuri
Nice
Naomba maelekezo ya kiweka rangi iwe namvuto mim ni kiweka linakuwa haing'ai vzr
Yafaa kutengeneza kwa maji baridi.maana nimeona ww umeweka jikoni.msaada tafadhali
❤❤
Kilo Moja2
Oky gud meelewa
Nashukuru sana kwa kuelew
Mim nikitengeneza inakua lain lakin utamu unajitenga pale napoweka kwenye frij tatizo nn?
Mi Huwa nachanganya na ngano
Ooh sawa ila ata CMC ni nzuri
Nasikia ukieka ngano huwa raini sana. Kwa unga nusu ngano waeza korogea size gani dia.
Naomba uwekevipimo vya maji Lita Tano
Sawa best soon video inakuja
Izo rangi sina flavour au ni rangi tu?
Ukiwa na flavor itapendez zaidi ila kam huna so lazima unaweza weka rangi tu 💙
Nmeipenda hyo
Hyo bag ( kartasi) inaitwaje?
Ukifika sokoni waulize karatasi za kufungia barafu watakupa...
Jaman nisaidieni nimejalibu kutengeneza barafu ila zimegoma kuganda nimekosea wapi
Mbona mm natengeneza lakin znakua kama na uchachu
Sukari weka ya kutosha
hicho ulichoweka cha njamo kinaitwaje
Mbona nimechemsha unga wa ubuyu ukakatika
Hakikisha unakoroga mda wote best
Kaka mambo nimependa kiukwer ila naitaji kujifunza zaidi hauna group wassap la mafunzo
Pow sina group ila tutakuw na darasa la barafu siku so nyingi karibu sana ❤️
Mimi zinakuwa ngumu
Labda utakuw unagandish mda mrefu san maan mm nikisem masaa 2 kwako ya kawa mengi sana kwaiyo jaribu kujua friji lako linatakaje 💪
Asanteee ubarikiwe
Nashukuru sana
Ukitaka kutengeneza za biashara maybe barafu 60 inabid unga wa ubuyu uwe kiasi gani
Kiasi icho nilicho weka pigia mahesabu utapata tu best
Unaweza kutengeneza bila kuweka jioni uji yaani kutengenezq kwa maji baridi
Hapna
Kaka UKitaka kitengeneza Lita kumi je
CMC huweki?
CMC hatuwek
Kwann hatuweki?
Unaweza ukaweka lakini mm ni mewaelekez wale ambao hawawez kupat
@@Georges.Kitchen shukran👋
Karibu ❤️
Nimependa sanaa asande sanaa
Karibu san
Somo nzuri sana ntajaribu
Nashukuru sana ❤️
Hongera sana, naomba kuuliza naweza kupataje bag za kuuzia Ice cream, asante sana
Sokoni utapata ulizia tu vifuko vya barafu utapewa boss
Ni vema
Asante sana kwa somo zuri
Nice
Naomba maelekezo ya kiweka rangi iwe namvuto mim ni kiweka linakuwa haing'ai vzr
Yafaa kutengeneza kwa maji baridi.maana nimeona ww umeweka jikoni.msaada tafadhali
❤❤
Kilo Moja2
Oky gud meelewa
Nashukuru sana kwa kuelew
Mim nikitengeneza inakua lain lakin utamu unajitenga pale napoweka kwenye frij tatizo nn?
Mi Huwa nachanganya na ngano
Ooh sawa ila ata CMC ni nzuri
Nasikia ukieka ngano huwa raini sana. Kwa unga nusu ngano waeza korogea size gani dia.
Naomba uwekevipimo vya maji Lita Tano
Sawa best soon video inakuja
Izo rangi sina flavour au ni rangi tu?
Ukiwa na flavor itapendez zaidi ila kam huna so lazima unaweza weka rangi tu 💙
Nmeipenda hyo
Hyo bag ( kartasi) inaitwaje?
Ukifika sokoni waulize karatasi za kufungia barafu watakupa...
Jaman nisaidieni nimejalibu kutengeneza barafu ila zimegoma kuganda nimekosea wapi
Mbona mm natengeneza lakin znakua kama na uchachu
Sukari weka ya kutosha
hicho ulichoweka cha njamo kinaitwaje
Mbona nimechemsha unga wa ubuyu ukakatika
Hakikisha unakoroga mda wote best
Kaka mambo nimependa kiukwer ila naitaji kujifunza zaidi hauna group wassap la mafunzo
Pow sina group ila tutakuw na darasa la barafu siku so nyingi karibu sana ❤️
Mimi zinakuwa ngumu
Labda utakuw unagandish mda mrefu san maan mm nikisem masaa 2 kwako ya kawa mengi sana kwaiyo jaribu kujua friji lako linatakaje 💪
Asanteee ubarikiwe
Nashukuru sana
Ukitaka kutengeneza za biashara maybe barafu 60 inabid unga wa ubuyu uwe kiasi gani
Kiasi icho nilicho weka pigia mahesabu utapata tu best
Unaweza kutengeneza bila kuweka jioni uji yaani kutengenezq kwa maji baridi
Hapna
Kaka UKitaka kitengeneza Lita kumi je
CMC huweki?
CMC hatuwek
Kwann hatuweki?
Unaweza ukaweka lakini mm ni mewaelekez wale ambao hawawez kupat
@@Georges.Kitchen shukran👋
Karibu ❤️