ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
asante kwa somo nilitaman sana kujua znatengenezwaje Mungu akubark
I tried it wow it’s really amazing
Imeuuwaaa,asante sanaa haika wew umenifanya niwe mjasiliamali wew pamoja na mziwanda.jamaan asanten sanaa nawapendaa
Siopowa asante sana
Wooow nimependa sana
Looo Leo nimejua Asante sana
I will try this aisee,watoto wanapenda colourful things..nice video Ika
Barafu zavutia hadi raha😋👌
Wanikumbusha utotoni😋😋😋😋😋 recipe rahisi nitajaribu
Jamani, nimetamani barafu sasa. Zinaonekana tamu sanaaa.
MaashaaAllah nimezipenda haswa hizo za vikopo
Nmeipenda Sana hii asante kwa ujuzi Mungu akubariki
Zinavutia kweli. Yummy 😋
Dah nimejua nilikua najiuliza wanafanyaje Asante sana 🙏
Recipe Maziwa 2 little Corn flour one table spoonMaziwa ya power one cupSugar 2 cups Vanilla one tbsp Boil till thick Divide into three put colour each it's different colour
Mngeandik kiswahili maitaji jmn ili kila MTU afahamu
Nahitaji kujifunza zaid kutoka kwako nafanyaje?
Dada ko kutokana na ivo vipimo vya lita mbili za maziwa unatoa mifuko ngap ya barafu?
Nzri sana Dada Asànte
Asate sana❤❤
Nzuri
Sasa mbona sion ukijb maswal? Je kwa biashara hapo faida ipo kwel? Maana watoto weng hununua baraf sh 100
Wow looks very sweet 👌🏽💯💙💙💙 thanks
Nice video 👏🏽
Asante dada Ila samahani maranyingine hivyo vikopo vyarangi ya ugoro funika kwa foil ili vijiti vikae sawa😍
Looks yummy 😋
Good job
Nimependa
I love your sessions thank you so much
Nice video
Thank You 🥰
Hiyo nimeipenda
Nimependa MNGU Akubaliki
Asante saana dada sa sa mim nataka kutengeneza sa kuuza je naweza kuongeza maji?
Somo lijalo Naomba ziwe zakuuza 100_200 please maana hapo niakula nyumbani hata ukiuza kwabei zamitaani hupati faida
Zina faida dada
Samahani je naweza kutumia sukari nyeupe?
Dada unafundisha vizur sana
Maziwa lita 2 maji unaweka kiasi gani? Na unatoa icekreem ngapi?
GLORY TO GOD
Nimependa jmn
Je ukiweka cornflouw huweki kilainishi na zitakua laini.asante saana kwa somo
Ukijua dadangu
Ziko vizuri sana kwa kweli sasa kwa kuuza utauzaje let's say hizo ulizotengeneza
Nimeipenda shukran
Naomba unifunfishw
Dada aika nilikuwa nakuuliza je ice cream ya maziwa zinaweza kukaa siku ngapi bil kualibika
Asnt
Asante kwa utaalamu.
Samahan dada je nawezaje kupata rangi mbili kwenye ubuyu??
Ahsante sana kwa askrim tamu.Mi nahitaji hivyo vipo vyeupe vyenye mfuko wa bluu nitavipata wapi?
Kwenye maduka ya vyombo
Shukran
Naomba yako dada
Lazima uweke maziwa?
Jamani mwenzenu huku ngongo LA mboto ..nikinunua rangi za asikilimu napata zinamichumvi hataree
tuletee icecream za jelly
Sorry nilazma maziwa au hata kitu kingne?
Mashalllaha asante khabmt
Dada umetisha na Mimi nimejalibu leo nimewezaa
Maziwa hatutii maji
Maji huweki
Naomba kujua hivyo kikombe ulinunua wapi nami naitaji
Hii corn flour n unga to ya ugali wa kawaida ama vipi
Ulizia Corn Flour dukani (Redgold ama Zesta)
Asante mpnz
Nimekuelewa zimependeza nakama za ukwaju naomba unieleweshe
Ni lazima kutumia maziwa ya unga? Jibu plz
Can you use ordinary food color
Naomba kuuliza zinakuwa lain au ndoozile ukinyonya zinaisha utam alafu ngum kama jiwe la barafu
He baweza jutengebeza bila kugandisha maji kwanza
Umepata wap vikopo hivyo?
Nilikuwa naomba namba yako kama hauto jali my dear
Zinakua lain au ngumu?
Hasante Sana Sasa ukiweka nyingi hizo food color hazitakuwa chungu ?
Hapana
Umefunga na machine hizo asikilimu za mifuko
Nime penda sana
Samahani naomba kujua hiyo fonfrawa unaweza kurunia kwenye barafu za ubuyu
Lazima nisabscribe hii chanel nimeipenda.
Corn flour ni unga gani pliiz
Asante
Izo rangi ni food color ama
Kuna mtu katumia video yako hivi hivi ila ni mkaka
Mbona haujibu koment
Upatie namba zako my
Kama nikidilute maziwa itaweza kutoka na uzito huoo
Ndio uzito unatokana na corn flour
Faniflawa ndio nn
Kwani iyo corn flour ndio cmc
Contacts
huwez chujuwa
Naomb namb zako 0718195056
hivi vikopo vinapatikana wapi?
asante kwa somo nilitaman sana kujua znatengenezwaje Mungu akubark
I tried it wow it’s really amazing
Imeuuwaaa,asante sanaa haika wew umenifanya niwe mjasiliamali wew pamoja na mziwanda.jamaan asanten sanaa nawapendaa
Siopowa asante sana
Wooow nimependa sana
Looo Leo nimejua Asante sana
I will try this aisee,watoto wanapenda colourful things..nice video Ika
Barafu zavutia hadi raha😋👌
Wanikumbusha utotoni😋😋😋😋😋 recipe rahisi nitajaribu
Jamani, nimetamani barafu sasa. Zinaonekana tamu sanaaa.
MaashaaAllah nimezipenda haswa hizo za vikopo
Nmeipenda Sana hii asante kwa ujuzi Mungu akubariki
Zinavutia kweli. Yummy 😋
Dah nimejua nilikua najiuliza wanafanyaje Asante sana 🙏
Recipe
Maziwa 2 little
Corn flour one table spoon
Maziwa ya power one cup
Sugar 2 cups
Vanilla one tbsp
Boil till thick
Divide into three put colour each it's different colour
Mngeandik kiswahili maitaji jmn ili kila MTU afahamu
Nahitaji kujifunza zaid kutoka kwako nafanyaje?
Dada ko kutokana na ivo vipimo vya lita mbili za maziwa unatoa mifuko ngap ya barafu?
Nzri sana Dada Asànte
Asate sana❤❤
Nzuri
Sasa mbona sion ukijb maswal? Je kwa biashara hapo faida ipo kwel? Maana watoto weng hununua baraf sh 100
Wow looks very sweet 👌🏽💯💙💙💙 thanks
Nice video 👏🏽
Asante dada
Ila samahani maranyingine hivyo vikopo vyarangi ya ugoro funika kwa foil ili vijiti vikae sawa😍
Looks yummy 😋
Good job
Nimependa
I love your sessions thank you so much
Nice video
Thank You 🥰
Hiyo nimeipenda
Nimependa MNGU Akubaliki
Asante saana dada sa sa mim nataka kutengeneza sa kuuza je naweza kuongeza maji?
Somo lijalo Naomba ziwe zakuuza 100_200 please maana hapo niakula nyumbani hata ukiuza kwabei zamitaani hupati faida
Zina faida dada
Samahani je naweza kutumia sukari nyeupe?
Dada unafundisha vizur sana
Maziwa lita 2 maji unaweka kiasi gani? Na unatoa icekreem ngapi?
GLORY TO GOD
Nimependa jmn
Je ukiweka cornflouw huweki kilainishi na zitakua laini.asante saana kwa somo
Ukijua dadangu
Ziko vizuri sana kwa kweli sasa kwa kuuza utauzaje let's say hizo ulizotengeneza
Nimeipenda shukran
Naomba unifunfishw
Dada aika nilikuwa nakuuliza je ice cream ya maziwa zinaweza kukaa siku ngapi bil kualibika
Asnt
Asante kwa utaalamu.
Samahan dada je nawezaje kupata rangi mbili kwenye ubuyu??
Ahsante sana kwa askrim tamu.Mi nahitaji hivyo vipo vyeupe vyenye mfuko wa bluu nitavipata wapi?
Kwenye maduka ya vyombo
Shukran
Naomba yako dada
Lazima uweke maziwa?
Jamani mwenzenu huku ngongo LA mboto ..nikinunua rangi za asikilimu napata zinamichumvi hataree
tuletee icecream za jelly
Sorry nilazma maziwa au hata kitu kingne?
Mashalllaha asante khabmt
Dada umetisha na Mimi nimejalibu leo nimewezaa
Maziwa hatutii maji
Maji huweki
Naomba kujua hivyo kikombe ulinunua wapi nami naitaji
Hii corn flour n unga to ya ugali wa kawaida ama vipi
Ulizia Corn Flour dukani (Redgold ama Zesta)
Asante mpnz
Nimekuelewa zimependeza nakama za ukwaju naomba unieleweshe
Ni lazima kutumia maziwa ya unga? Jibu plz
Can you use ordinary food color
Naomba kuuliza zinakuwa lain au ndoozile ukinyonya zinaisha utam alafu ngum kama jiwe la barafu
He baweza jutengebeza bila kugandisha maji kwanza
Umepata wap vikopo hivyo?
Nilikuwa naomba namba yako kama hauto jali my dear
Zinakua lain au ngumu?
Hasante Sana Sasa ukiweka nyingi hizo food color hazitakuwa chungu ?
Hapana
Umefunga na machine hizo asikilimu za mifuko
Nime penda sana
Samahani naomba kujua hiyo fonfrawa unaweza kurunia kwenye barafu za ubuyu
Lazima nisabscribe hii chanel nimeipenda.
Corn flour ni unga gani pliiz
Asante
Izo rangi ni food color ama
Kuna mtu katumia video yako hivi hivi ila ni mkaka
Mbona haujibu koment
Upatie namba zako my
Kama nikidilute maziwa itaweza kutoka na uzito huoo
Ndio uzito unatokana na corn flour
Faniflawa ndio nn
Kwani iyo corn flour ndio cmc
Hapana
Contacts
huwez chujuwa
Naomb namb zako 0718195056
hivi vikopo vinapatikana wapi?