SABABU 4 ZINAPOLEKEA KUSHINDWA KUSAMEHE | DEO SUKAMBI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 29 ม.ค. 2024
- Karibu katika kipindi cha UPONYAJI WA FAMILIA na Pastor Deo Sukambi.
Unaweza Kusapoti huduma hii
TIGO PESA 0715 104 034 (DEOGRATIUS SUKAMBI)
M PESA 0746 104 034 (DEOGRATIUS SUKAMBI)
Endelea kunifuatilia kwenye kupitia
/ deosukambi
/ deosukambi
/ deosukambi1
Usisahau ku subcribe kwa mafundisho zaidi
www.youtube.com/@DeoSukambi?s...
#DeoSukambi #Familia #Malezi #Watoto #Ndoa #MahusianoUnaweza Kusapoti huduma hii
Nashukuru sana sana nimekwelewa sana tatizo Hilo ninalo nashukuru sa
Hakika wewe ni mwalimu mzuri sana sana barikiwa leo hd keshokutwa. Saluti
Hakika wewe ni mwalimu mzuri sana sana barikiwa leo hd kesho kutwa. Saluti kwako Teacher
Kaka Deo nimekuelewa sana sana ,nitachukua Hatua za mabadiliko,Asante Mungu Anaona jitiada zako za kufundsha watu wake,mimi ni mmoja wapo
Amen barikiwa sana
Mimi nina kufatilia nikiwa Marekani kwa kweli huwa una nisaidia sana
Asante sana mwalimu🇷🇼
Mimi kundi namba 3😂Mungu nisaidie😂😂😂
Niyautukufu sana mungu akutuse sana🔥🔥🔥🔥
Hataree sana Ahsante sana Apostle kwa Elimu
Mtu anipe summary
Ameeen 🙏🏻🙏🏻
Nikweli kabisa
Jawabu la upole hupunguza hasira Bali nenoliumizaro huchochea ghadhabu
Heeeee kumbe wanawake tumedekezwa na mifumo???!!!
Mifumo imetuharibu
ha ha ha ha ha ni kweli, kuna siku nilijiuliza mbona wanasema ....... kuzuia unyanyasaji wa wanawake na watoto......, nikajiuliza kwani wanaume hawanyanyaswi?
yani kama Mimi niko hapo 3 nazani Kuna siku ataelewa kua alinikosea wapi
Je ni sawa kusafri na kukaa mbali na mme wako kwa muda ata wa mwezi ili utulize akili yako?
Sio dhambi na sio kosa ila inawezekana hilo lisilewe suluhisho la kudumu la tatizo linalowasumbua..ni vema kujua kiini cha tatizo kinachofanya hadi akili yako ichoke kuwa karibu naye..kwenda mbali naye kwa muda kunakupa tu unafuu lakini sio tiba
Hakika wewe ni mwalimu mzuri sana sana barikiwa leo hd keshokutwa. Saluti
Hakika wewe ni mwalimu mzuri sana sana barikiwa leo hd keshokutwa. Saluti