SIRI NNE (4) KUHUSU MAUMIVU | DEO SUKAMBI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 ต.ค. 2024
- Karibu katika kipindi cha UPONYAJI WA FAMILIA na Pastor Deo Sukambi. Leo tunajifunza SIRI NNE (4) KUHUSU MAUMIVU.
Kwa ushauri nasihi piga +255 746 104 034 au e-mail booking@deosukambi.com
Unaweza Kusapoti huduma hii
TIGO PESA +255 715 104 034 (DEOGRATIUS SUKAMBI)
M PESA +255 746 104 034 (DEOGRATIUS SUKAMBI)
Endelea kunifuatilia kwenye kupitia
/ deosukambi
/ deosukambi
/ deosukambi1
Usisahau ku subcribe kwa mafundisho zaidi
www.youtube.co...
Deo Sukambi is Counselor | Mentor | Pastor | Public Speaker | Corporate trainer | Author
#DeoSukambi #Familia #Malezi #Watoto #Ndoa #Mahusiano
Asante nimebarikiwa,,ninapitia iyo hali,mafunzo yako yamenibalisha kimawazo
DR.upo Vizur👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽
🇦🇪 umenifunza mungu akuinue zaidi ishi Sana
"Your success is on the other side of your pain"
Thank u very much Dr. Deo.
Nakupta mchungaj wangu,mafundisho yako hkika ymenitoa sehem moja kwenda ingne,,,nkuskiliza kutokea oman,,naitwa Rehema
Mafundisho mazuri GOD bless you 🙏
Duhh,,hakika wewe ni dkta wa saikolojii,,ni kweel kabisaa,,realy apreshet,,mungu akupe umri mrefuu kakaa
Nataman nikupigiee uweze kunisaidiaa zaidii...
Upo sahihiii saaanaa ,,,Asante sanaa....
Nawashukuru wote na kuwapongeza wote waliyonitendea mabaya maana mmenipa kusongo mbele.
Niushauri tu, mkuu ongeza kipindi angalau mala2 kwa wiki.
Parenting class am in 2parents
Give me your phone number please
Yaani mimi sitaki kabisa kukaa nyumbani
Maana ndio yanakuja
Asante sana kaka nakufatilia kutoka sweden najifunzaaa
Baba uwasamehe koz hawajuwi walitendalo.nimekuelewa saànaa mkuuu
pastor deo hakika mimi binafsi unazidi kuniponya na kunibadilisha na naona matokeo ya namna ninavozidi kujitambua kumbe unaweza ukawa na PHD lakini ukawa hujitambui tuheshimu sana vipawa vya watu respect sn kwako kaka
❤🎉
Mi naitwa shija ndobehe nakusikiliza kutoka dar es salaam kinondon tupo pamoja Sana mwalim kwa masomo yako
hongera sana kwa mada nzuri. Mungu akubariki sana kwa kukubali kutumika kama chombo chake kwa ajili ya 'kuwajenga' na 'kuwaganga' wenye maumivu. Ni somo zuri maana mfano wa Bwana Yesu umenivutia sana. Be blessed.
Ps. Nimebarikiwa kupata ufahamu,Mungu akubariki sana uzidi kuelimisha jamii kwasababu sendof na kitchen paty hazina maarifa yoyote dhidi ya Bible
Nawashukuru nakuwapongeza wote waliowahi kuniumiza
Asante sana mwalim
Deo asante cn.nahitafuta upya
Kwakweli tunatokota,maana mmh
Halafu unajua ni kama inakuja automatically sasa hadi uje uwaze nje ya box uwiii
🇴🇲🎉
Asante sana mtumishi Kwa mafundisho haya ,umepoza moyo wangu,,,, very powerful lesson😢, am healed and am sure am going far because of the pains Iam passing through,,,,, Josephine from Saudi Arabia
Pastor DEO unaposema tusiyatafakari mweeeh 😢😢 how... Wanaposema ukipigwa na magumu yapokee na yakubali ile kumourn....sasa tusiyatafakari tena how
Somo zuri sana, " Mtu asipojifunza kutoka kwenye maumivu au historia atairudia".
Nadhani ni vizuri kila changamoto anayo Kutana nayo Mwanadamu yeyote yule, ni muhimu kujua yeye siyo wa kwanza kukutwa na hilo jambo na pengine huenda lake ni dogo. Lakini kubwa zaidi ni kutokukaa sana kwenye maumivu na kukubari kutoka na Funzo .
Pator Deo asante kwa vipindi vizuri. Maumivu makali huwa yanachukua muda gani kwisha?