Mambo 4 yakufanya uchukiwe na mumeo 1.unapokua mpinzani wa kila kitu,kukosoa 2.unapokua mtu wa makelele, unalaumu kila kitu 3.kutomuamini kwenye kila kitu 4.kutokujipenda,kujijali,kujiweka nadhifu
Mwanaume anakukatisha tamaa kila unalofanya hata chakula chako anakosoa mara leo umepika kikavu kesho umezidisha chumvi yani hata siku moja hutoskia chakula kitam labda upikie mgeni! Hakwambii umependeza hata ukimuuliza unanipenda anakubeza anakunyima kwenda salon anataka kila kitu yeye ndoakuamulie! Bado anacheet nanimuongo sana
Uaminifu inategemea na tabia yake mwenyew maan kama unaongea jambo Moja Kila siku na bado baada ya muda anarudia lilelile Kwa namna nyingine na Kwa mtu mwingine hapo lazima ukose uaminifu juu yake
Chunguza vile unamkumbusha au unamsahihisha. Yawezekana lugha na maneno yako ni aidha ya kulaumu, ya kuamrisha, ya kukejeli, ya kumlinganisha na mtu mwingine, ya kusimanga n.k. Rekebisha kwa tone (sauti) ya upendo atakuelewa. Mwanaume ukimrekebisha kwa tone ya ukali sana au kwa kumuamrisha ata-respond usivotarajia kabisa. Niamini ninachokuambia. Na mara nyingi atakujibu kwa matendo kwa kutofanya au kufanya kinyume kabisa na matarajio yako. Na inaweza kukushangaza. Sisemi usrekebishe anapokosea, HAPANA. Ila jaribu kurejea - SAUTI NA MANENO YAKO WAKATI WA KUREKEBISHA. Kama nimekushauri vibaya - NISAMEHE! 🙏
Umenisaidia sana pia najipenda mwenyewe maana tumevaa izo night dress na mafusho tumejifusha rakini wapi baba mwenye ulka ni mwenye ulka yake tu tena unafanya kazi umsumbui kuhusu pesa ata asipo toa ela anakuta chakula na usiku wamanane anakurudia for now nimejifunza kitu doctor Niko na Aman na mwenyewe anashangaa mbona aniulizi chochote 🙏🙏🙏
Shukran Sana dr cris mauki
Thanks Dr
Mambo 4 yakufanya uchukiwe na mumeo
1.unapokua mpinzani wa kila kitu,kukosoa
2.unapokua mtu wa makelele, unalaumu kila kitu
3.kutomuamini kwenye kila kitu
4.kutokujipenda,kujijali,kujiweka nadhifu
Umeongea ukweli mtupu🙌🏾
Mwanaume anakukatisha tamaa kila unalofanya hata chakula chako anakosoa mara leo umepika kikavu kesho umezidisha chumvi yani hata siku moja hutoskia chakula kitam labda upikie mgeni! Hakwambii umependeza hata ukimuuliza unanipenda anakubeza anakunyima kwenda salon anataka kila kitu yeye ndoakuamulie! Bado anacheet nanimuongo sana
Kweli
Achana nae huyo kuwa bize tafuta pesa pendeza afu usifatilie mambo yake....hii itakusaidia i hate watu wanaochit😒😒
Yaani umeongea ukwel kabisa kuna midume aina shukran ata umfanyeje aoni
Kuna kiti chako special mbinguni dr.
Preach brother 👏👏👏👏
Dr Wanaume hawana jema hata ufanye zaidi ya sana hawana uaminifu labda kidogo awe na hofu ya Mungu.
Thank you Doctor for the marriage advice, I live in Drc🇨🇩
Uaminifu inategemea na tabia yake mwenyew maan kama unaongea jambo Moja Kila siku na bado baada ya muda anarudia lilelile Kwa namna nyingine na Kwa mtu mwingine hapo lazima ukose uaminifu juu yake
Nime achana na wanawake wawili ulicho kisema kwel
Waoh😮
Uyo ni Mamangu,mpiga kelele,mpingamizi
😢Kuna wanaume aiseee siyo msaada lazima tukumbushe hata ulimkumbusha hakuna anachokifanya😮
yan kama uy wng aende t ananiigizia ukimwambia una mwanamke anaxhikilia kama kigezo na majb makal xan
Mimi najipenda mpaka najiogopa
Dr,kuna wanaume ni Victoria mpaka kichefuchefu.
Hahahaaa mbona me kibonge jamani khaa!
Doctor unatufokea jaman,, eti unalala na beberu Khaa 😁😁
😢Kuna wanaume aiseee siyo msaada lazima tukumbushe hata ulimkumbusha hakuna anachokifanya😮
Chunguza vile unamkumbusha au unamsahihisha. Yawezekana lugha na maneno yako ni aidha ya kulaumu, ya kuamrisha, ya kukejeli, ya kumlinganisha na mtu mwingine, ya kusimanga n.k.
Rekebisha kwa tone (sauti) ya upendo atakuelewa. Mwanaume ukimrekebisha kwa tone ya ukali sana au kwa kumuamrisha ata-respond usivotarajia kabisa. Niamini ninachokuambia. Na mara nyingi atakujibu kwa matendo kwa kutofanya au kufanya kinyume kabisa na matarajio yako. Na inaweza kukushangaza.
Sisemi usrekebishe anapokosea, HAPANA. Ila jaribu kurejea - SAUTI NA MANENO YAKO WAKATI WA KUREKEBISHA.
Kama nimekushauri vibaya - NISAMEHE! 🙏
Safi san.
Ngoja nitafute pesaa bhas haya mambo ni mengii sanaaa 😂
Wanajifanya hawaoni hii video
Mm nikama yote nafanya😢😢anakasirika alafu anarudi sawa but hua anaumia
duh! Point zote ni Konk! Hongera doctor! Utaokoa wengu!
Je kama mwanaume anakudaganya na kuchiti ndani ya miaka kumi utamwamini tena
Hachana nae uanze upya mim nmesikiliza mafundisho yake meengi yamenisaidia sana
Umenisaidia sana pia najipenda mwenyewe maana tumevaa izo night dress na mafusho tumejifusha rakini wapi baba mwenye ulka ni mwenye ulka yake tu tena unafanya kazi umsumbui kuhusu pesa ata asipo toa ela anakuta chakula na usiku wamanane anakurudia for now nimejifunza kitu doctor Niko na Aman na mwenyewe anashangaa mbona aniulizi chochote 🙏🙏🙏
@@PhilomenaSteven-tq2tx👏👏👏
Kaka Mimi ninashda nitumie namba za wassp
nimependa hiyo sehemu y kijipenda mwenyewe.
hayo yote nilishayafanya, da Mungu nisamehe
I hope ume chenge
😢Kuna wanaume aiseee siyo msaada lazima tukumbushe hata ulimkumbusha hakuna anachokifanya
Kbisa
Asante kwer nimejigunza
Dr ubarikiwe🙏asantee kwa elimu🤝
Asante sana kwa kutufindisha,.
Asante sana Dr .
Wewe ni mwamba sana 💪
ASante Dr ❤❤❤
Unakuta mdada analala na dela
😂😂😂yaan mimi mwenyewe nalalaga bila nguo nasina mume🙈 sasa mtu unakuaje na mume unalala na nguo
😂😂😂😂
@@saraphinasahani5104 hahaaaaa
🤣khaa jaman hii too much unalalaje na dela😀
@@philomenamushi5606 😂😂😂🤣
Yameshatokea .. je tufanyeje tupendwe tena😢
Anza upya tuuu, na uhakikishe hurudii makosa
@@Neema-fh1wp kwa mwanaume mwingne au kwa Hy Hy ?
@Jamilaissa1386 ..Kama mnamawasiliano mazuri endelea nae lakini kama hakuna tena upendo wala usiogope kuanza upya kwa mwanaume mwngne 🙏
Shukrani sana Dr kwa somo zuri. Ubarikiwe.