USHUHUDA WA BINTI ALIYEKUWA MCHAWI KITENGO CHA KUWAANGUSHA WACHUNGAJI•Chanzo ni Bibi,Kafara ya Mama

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 ก.ย. 2024
  • JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
    M-pesa Lipa Namba.5634017
    AirtelMoney Lipa No.3878783
    Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
    Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
    PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
    1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
    2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
    #ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV

ความคิดเห็น • 94

  • @fayreen
    @fayreen 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu atusaidie sijui mengii ila wengine hutoa shuhuda za kuongezea chumvi lakini kama kweli nishuhuda isiyo na chumvi bc mungu mwema na atusaidie kukaa kwenye pindo lake ameen🙏🏿🙏🏿

  • @user-iy9oj5fn8l
    @user-iy9oj5fn8l 3 หลายเดือนก่อน +1

    PIA HIZI SHUHUDA KUWENI NAZO MAKINI KUZICHUNGUZA KABLA HAZIJATUMWA KWA HADHARA, PIA MSHIRIKISHENI ROHO MTAKATIFU,AMEN

  • @edgarfaustus6379
    @edgarfaustus6379 ปีที่แล้ว +11

    Jitahidi kuweka distance na msimuliaji apate confidence ya kuongea

  • @gerardineakima1766
    @gerardineakima1766 ปีที่แล้ว +3

    Muulizaji uko professionnel kwakazi yako kbsa hakukuwa rahisi kumuhoji ila umejitahidi utazani anakigugumizi Mungu atubariki sote kwapamoja

  • @joycegeorge-mf5kn
    @joycegeorge-mf5kn ปีที่แล้ว +7

    Bado anahitaji maombi ya ukombozi Zaid na kuvunja hayo maagano
    Bado hayupo vizur

  • @barikiwa22
    @barikiwa22 5 หลายเดือนก่อน +1

    Cha msingi ni kuwa na IMANI na kumpenda Mungu. Unaweza ukakesha lakini huna IMANI so ni kazi bure. Unaweza ukasali kidogo lakini una IMANI KALI, hakuna atakaye kukaribia. Tukuze imani zetu wapendwa

  • @marionoti5760
    @marionoti5760 ปีที่แล้ว +1

    Huyu hapa ni mwongo aliyepitiliza, wengi wa watu wanaojitangaza kuwa watakatifu, ni wachumia tumbo, hawaogopi kutunga hadithi za uwongo,wanadhani utakatifu ni kuchonga mdomo badala ya Matendo. Anayempenda mungu hajiinui, huinuliwa na wanao mzunguka/majirani.

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 ปีที่แล้ว +2

    Promover TV naipenda INJILI na shuhuda za UKWELI. Kazi YENU ikue iwafikie WENGI wapone na waacha kutesa viumbe WENGINE bure hakuna faida kwani siku moja MUNGU ataichukua roho yako kabla hujatubu na kumkabali kuwa Jesus is lord and non other. Amen mtumishi

  • @Brasolebasoto
    @Brasolebasoto ปีที่แล้ว +4

    Nimempenda Sana mtangazaji anauliza maswali mazuri

  • @mackfasonmoshi4629
    @mackfasonmoshi4629 ปีที่แล้ว +4

    Atukuzwe Mungu kwa binti huyu kuokolewa...

  • @flavianarwebangira6726
    @flavianarwebangira6726 ปีที่แล้ว

    Eee Mwenyezi Mungu wasaidie watoto wetu wakujue ww pekee na kukutumikia ww pekee. Hongera sana Promover Tv kwa kazi nzuri sana ya kumwaibisha shetani.

  • @silasnatir7915
    @silasnatir7915 ปีที่แล้ว +4

    Nashukuru kwa ushuhuda nzuri promover TV ushuhuda zenu ulinifanya nikaokoka namshukuru mungu

  • @reachelchemtai2604
    @reachelchemtai2604 ปีที่แล้ว +1

    Asente yesu kwa usuhuda wa nguvu ya mungu shatani hutesa watu wa mungu pole Sana Dada kwa hiyo yote

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 ปีที่แล้ว +1

    Wanaomba wanafunga wanaemfungia hana nguvu nampenda.Mungu.maana.roho.hutusaidia kutuombea

  • @selafinlisiely6009
    @selafinlisiely6009 ปีที่แล้ว +5

    Definitely God is good,
    Ila Kuna hatari ninayo hiona hapa"sisi wakristo wengi wetu tunapenda kusikiliza shuhuda za watu,ingawa Ndani nyingine Zina mitego, wache watapata ushindi kwa shuhuda Ila wengi wataangamizwa"
    Ukichua nafasi kumtazama huyu bint bado mapepo yana muongoza Nini Cha kusema na Nini Cha kuficha, wapenda tuwaombee wenye hii channel, wasije wakanaswa na chombo hii kikatumiwa na mashetani Kama lilivyo jina lake promo,
    Tunahitaji maombi na Elimu zaidi Ila huyo binti bado yupo Chini ya mamlaka ya Giza,
    Ili unielewe ninacho sema unahitajika kuwa rohoni, utaona
    Amani iwe nanyi nyote

    • @catherineawinja7417
      @catherineawinja7417 ปีที่แล้ว

      Ni kweli hata mm sijakuwa na amani

    • @selafinlisiely6009
      @selafinlisiely6009 ปีที่แล้ว

      @catherinewinja Bwana Yesu akutunze

    • @catherineawinja7417
      @catherineawinja7417 ปีที่แล้ว

      Amina

    • @festinamwakipale3919
      @festinamwakipale3919 ปีที่แล้ว

      Kuna watu hawaamini.uchawi.ndugu zangu.wakristo.kuja.yesu.dunian alilijia giza ukiwemo.uchawi ma'ana ndo vita ya kanisa kushindana.kwetu ss si kwA mwili ni lohon.ndo ukiingia.lohon.unakutana na uganga uchawi

    • @norahabuyeka9617
      @norahabuyeka9617 ปีที่แล้ว

      Ahsante sanà kabla nione nione umeandika nini nimeshangaa kuhisi hivyo,anavyomwangalia

  • @wilsonmichael1156
    @wilsonmichael1156 ปีที่แล้ว +3

    Samahani mtangazaji, usipende kuuliza maswali. Muache mtoa ushuhuda wake mfululizo alafu akimaliza ndio umuhoji maswali kwenye vipengele ambayo havijaeleweka nahisi itapendeza zaidi. Maoni yangu

    • @pudensianamhasi5364
      @pudensianamhasi5364 ปีที่แล้ว +2

      Mtu mwenyewe siunamuona kujieleza hawezi?asipoulizwa hawezi jiongoza huyu,.

    • @wilsonmichael1156
      @wilsonmichael1156 ปีที่แล้ว

      @@pudensianamhasi5364 Asante ni kweli, hawezi kujieleza kwasababu ni kama amebanwa flani hivi. Angekua huru nahisi angejieleza vizuri.

  • @janethmwihumbo1289
    @janethmwihumbo1289 ปีที่แล้ว +3

    Jina la Bwana libarikiwe Sana kwa kumtoa mtoto huyu kwenye vifungo vya uchawi ila Mama ake angemwambia uenda naye ataokoka nakujihami pia na uyo bibi

  • @juliethswai4263
    @juliethswai4263 ปีที่แล้ว +3

    ila bado anahitaji ukombozi hayuko sawa

  • @haldhatonmoha5858
    @haldhatonmoha5858 ปีที่แล้ว +1

    Tumsifu Yesu huyu dada Bado ako na spirit of confusion anatakiwa kukaa chini ya maombi ya ukombozi...na maombi ya utakaso na Toba...Kwa maana anavamivamia anapotaka kutoa Siri ..

  • @evermayala5817
    @evermayala5817 ปีที่แล้ว +1

    Mungu ni mkuu. Asnte kwa wokovu na wachawi wanazidi kumbuka Sasa tunawajua hawatu ababaishi

  • @user-up8uq3ih2i
    @user-up8uq3ih2i 8 หลายเดือนก่อน +1

    Nyoa vizur kama jactani hanakasoro bingu yake

  • @AnnaDastan
    @AnnaDastan 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu awalinde sana watoto wetu

  • @deomajuva2432
    @deomajuva2432 ปีที่แล้ว +3

    Ongeza nguvu ya maombi utamkomboa tu Mungu hashindwi kitu

  • @messimessi7255
    @messimessi7255 ปีที่แล้ว +2

    Umekaa karibu sana na msimuliaji, ebu jitahid kuweka umbali

  • @magrethmollel1078
    @magrethmollel1078 ปีที่แล้ว +10

    Huyu binti sidhani kama amefunguka vizuri atakuwa bado wanamfatilia

    • @mackfasonmoshi4629
      @mackfasonmoshi4629 ปีที่แล้ว

      Endelea kumwombea. Na anahitaji mafundisho sahihi ya Biblia ya Kuukulia Wokovu. Mungu ni mwema. Amina.

    • @pudensianamhasi5364
      @pudensianamhasi5364 ปีที่แล้ว

      Anaonekana bado kuna vitu vinamsumbua huyu,,Mungu amsaidie kwakuwa yeye mwenyewe anatamani kabisa kuacha

    • @kikosibenderajehovanisitea9688
      @kikosibenderajehovanisitea9688 ปีที่แล้ว

      Ni kweli bado hayupo sawa

    • @magrethmollel1078
      @magrethmollel1078 ปีที่แล้ว

      @@pudensianamhasi5364 anatamani kutoka ila bado ameshikiliwa ila hakuna linalomshinda Mungu akitaka kuachiliwa atatoka

    • @jovinjones4777
      @jovinjones4777 ปีที่แล้ว

      uko sahihi, anahitaji mchungaji mwenye upako mkubwa amfungue

  • @saumukarisa9873
    @saumukarisa9873 ปีที่แล้ว +3

    Huyu dada ni afanye bidii akamuone mtumishi katekela aliyekua Chief star wakichawi atasaidika

  • @ashambena6910
    @ashambena6910 ปีที่แล้ว +2

    Mungu ni mwenye uweza

  • @JeremiaShimba-cq8mq
    @JeremiaShimba-cq8mq ปีที่แล้ว +1

    Hakika Bwana Yesu ni Bwana wa Bwana atuokoae wote!

  • @cuthbertsebastian9626
    @cuthbertsebastian9626 ปีที่แล้ว +4

    Jitahidi kuweka distance na watoto wazuri huwa wanshindwa kufocus na kusimulia.

    • @messimessi7255
      @messimessi7255 ปีที่แล้ว

      Kweli amekaa nae karibu Sana ..sio mkao wa kimahojiano

  • @MeshackKajela
    @MeshackKajela 21 วันที่ผ่านมา

    Mchingaji hana cha kumsaidia mtu anaetaka kukombolewa 😂😂

  • @lydiamichael5509
    @lydiamichael5509 ปีที่แล้ว +1

    Mungu ni mwema

  • @bankanievicent9181
    @bankanievicent9181 ปีที่แล้ว +1

    Kwa wachungaji wa sasa walivyo kisiasasiasa na kimadilimadili, uwezo wao ni mdogo sana wa kiroho wa kupambana na uchawi

    • @ruthmdassa633
      @ruthmdassa633 ปีที่แล้ว

      Huyo binti bado ana Chembe za uchawi ajitahidi kuomba na kufunga

  • @norahabuyeka9617
    @norahabuyeka9617 ปีที่แล้ว +1

    Huyu Binti nikama anafiçha mengi,Hana myiriko wa ushuhuda

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 4 หลายเดือนก่อน

    Hivi kila mbinti anapewa uchawi na Bibi yake??Mpaka naogopa Wabibi wengine

  • @JoshuaMnyanjoka
    @JoshuaMnyanjoka 4 หลายเดือนก่อน

    Elisha majaliwa

  • @annkim2690
    @annkim2690 ปีที่แล้ว +1

    Maskini pastor alikua nawakati Mugumu kweli Yani watoto wote ni wachawi

  • @atulindakanuma4144
    @atulindakanuma4144 8 หลายเดือนก่อน

    Oooooh

  • @annkim2690
    @annkim2690 ปีที่แล้ว

    Nilisikia mtumishi mwingine akisema kuhusu hio mambo ya kufunga tukifunga Tatu wao wanafunga saba

  • @cuthbertsebastian9626
    @cuthbertsebastian9626 ปีที่แล้ว

    Mbona kama unamtongoza ???? Eeee😊😊 cheki anavyo hema dah

  • @UsafiMichael-mc8kt
    @UsafiMichael-mc8kt ปีที่แล้ว

    Brooh acha dada asimulie ndipo upate MUda wa maswalĩ?🖐️

  • @Yudawise
    @Yudawise ปีที่แล้ว

    BWANA YESU naomba uniokoe , na wasichana wazur

    • @josephatjoseph1755
      @josephatjoseph1755 ปีที่แล้ว

      Tuko pamoja na mimi pia naomba hilo pia ndo mapungf yangu hayo

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 ปีที่แล้ว

      Sijawaelewa lakini we mwanaume unamwita yesu bwana wako kisha akuokowe na wanawake Sijawaelewa

    • @obedcosmas1649
      @obedcosmas1649 ปีที่แล้ว

      ​@@alzawahirabdallah2299BWANA MAANA YAKE NI HESHIMA ANAYOPEWA MTU ANAEKUMILIKI KWA KILA KITU

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 ปีที่แล้ว

      @@obedcosmas1649 sasa yeye anamilikiwa na yesu kwa kila kitu

  • @NellyRebiam-tu8uf
    @NellyRebiam-tu8uf ปีที่แล้ว

    Anauliza maswali mengi kabla ya ushuhuda kupangiliwa.mi hata sielewi.amwache maswali kidogo

  • @SafiAkinyi8361
    @SafiAkinyi8361 ปีที่แล้ว

    Hii nayo ni kali mambo na uchawi hii MUNGU ATUSAIDIE

  • @daxmediaupdates
    @daxmediaupdates ปีที่แล้ว

    Jina la bwana lihimidiwe

  • @coolwaveac7659
    @coolwaveac7659 ปีที่แล้ว +1

    Mtihani kwakweli nimejifunza kitu japo msimuliaji tumenampata kwa tabu yaani anaongea kama hajiamini vile sijui tatizo ni nn

    • @JifunzeNenoLaMungu
      @JifunzeNenoLaMungu ปีที่แล้ว

      Ni Mtu wa Arusha na kupiga story kwenye mic kazi kama hujazoea kwanza..

    • @coolwaveac7659
      @coolwaveac7659 ปีที่แล้ว

      @@JifunzeNenoLaMungu ahh Sawa nashukuru Kwa kunifaamisha

  • @atulindakanuma4144
    @atulindakanuma4144 8 หลายเดือนก่อน

    Wenyewe wanafungaje et mbn tunaona wanakula

  • @wilsonmichael1156
    @wilsonmichael1156 ปีที่แล้ว +3

    Sorry mtangaji. Hiyo distance sio sawa.

  • @charlespeter580
    @charlespeter580 ปีที่แล้ว

    Hiyo distance inaondoa uwepo wa Mungu, wewe kaka umekosa hekima kabisa siku nyingine usirudie kufanya hivyo, wewe ni kaka na huyo ni binti unapo fanya hivyo unalitukanisha jina la Yesu. Hiyo distance unapaswa kukaa na mkeo sio mabinti wengine

    • @graceshayo5763
      @graceshayo5763 ปีที่แล้ว

      Heeeh jmn mna mawazo ya ajabu na nyie

    • @basilisamsaka8469
      @basilisamsaka8469 ปีที่แล้ว

      Jamn ni Kwa kajili ya kutumia kinasa sauti sasa akiwa mbl ataongea naye vp?mawazo mabaya hayo tukisaokoka na kutisha miili yetu, YESU akae ndani yetu

    • @victorianchimbi8640
      @victorianchimbi8640 6 หลายเดือนก่อน

      Kuna watu muda wote mnawaza uzinzi tu, kipaza sauti ni kimoja afanyaje

  • @Shalom2018
    @Shalom2018 ปีที่แล้ว

    Mungu ni mwema