Hizo shuhuda hata kanisani kwako unaweza kuzipata, lakini shuhuda kama hizi zinafunua kazi za shetani ambazo ni mara chache sana kuzipata( unaweza ukatizama tu kanisani kwenu ni mara ngapi imetokea shuhuda kama hizi
Shetani Hana vita na mtu asiye mkristo wa kweli,kwa maana hawamsumbui lkn mkristo wa kweli ni hatari kwake kwamaana wakati wa maombi ya mkristo mapepo yanaungua na kuzimu inatetemeka na vitu vyao vinaharibika,ndiyo maana kuna vita kati ya mkristo wa kweli na shetani,lkn muislam au mpagani au anaejiita mkristo lkn hafanyi mapenzi ya Mungu hawana madhara kwa shetani manake anaweza kuwafanya chochote na wakati wowote.
Kwani wewe mpaka hapo hauoni Mungu amefanya nini? Mtu anaposhuhudia maana yake Mungu ameshafanya anachokifanya ni kumwaibisha shetani maana Yesu amesha ameshajitwalia utukufu.
Ee Mungu Linda watoto wangu wanaishi na Bibi Yesu wsfunike damu ya yesu
Ubarikiwe sana 🙏...... mtumishi bado shuhuda za... matendo makuu....ya.. Mungu kwa..watu🎉🎉🎉
Kila ulimi utakiri kwamba Yesu ni BWANA, na kila goti litapigwa
Ameen
AMINA
Asante Yesu kwa neema yako😔🙌
Asante sana mtumishi wa Mungu,alakini ningependa nimuulize uyo binti wa Yesu,amesema arikuwa anauwa watu,mtu akifa arikuwa anamubeba aje kuzimu anmuvmchukuwaje?
EEH HUU ULIMWENGU SI SALAMA KABISA,MUNGU NILINDE PAMOJA NA FAMILIA YANGU
Ukisema upewe macho ya rohoni unaweza kujifungia ndani usitoke kabisaa mpaka Mungu atakapokuchukua
Faida za ushuhuda akuna kumtukuza shetani nikumuaibisha pia inawapa wateule kupigana na adui wanae mjua mbinu zake hatakama ATA zibadilisha
Duuuh Mungu atusaidie
Jamani volume iko chini sana
Damu ya Yesũ ina nena mema
Kwakweli inabidi kujifunika kwa damu ya Yesu kila saa, na kuishi maisha ya toba, ajali zingine zinatokea unashangaa zimetokeaje, ndio mambo kama haya
Hizo shuhuda hata kanisani kwako unaweza kuzipata, lakini shuhuda kama hizi zinafunua kazi za shetani ambazo ni mara chache sana kuzipata( unaweza ukatizama tu kanisani kwenu ni mara ngapi imetokea shuhuda kama hizi
Sauti iko chini sana
Mmmmmmmh kwakwel siri za shetani zinafichuka kumbe ndiko wanako enda hao mitume wanaojifanya naona 🤣🤣🤣🤣🤣🙌 asante YESU wewe ni mfalme wa wafalme
Jina la bwana lihimidiwe
Sauti iko chini kabisa
Sauti iko chino sana Mtumishi
Jacktan please muhulize kuzimu aliokua inafanana aje?. Nikama ole ya katekela ama?
Mungu unilinde na família yangu
Damu ya Yesũ ina nena mema
Mtangazaji muulize kwanin wasilmu hawaogopwi kuzimu? Na wala hawashambuliwi kwenye misikiti yao???
Shetani Hana vita na mtu asiye mkristo wa kweli,kwa maana hawamsumbui lkn mkristo wa kweli ni hatari kwake kwamaana wakati wa maombi ya mkristo mapepo yanaungua na kuzimu inatetemeka na vitu vyao vinaharibika,ndiyo maana kuna vita kati ya mkristo wa kweli na shetani,lkn muislam au mpagani au anaejiita mkristo lkn hafanyi mapenzi ya Mungu hawana madhara kwa shetani manake anaweza kuwafanya chochote na wakati wowote.
@@fabianmkimbu880 Asante Kwa maelezo mazuri
Hawa watumishi wanafanya kazi kubwa sikutegemea mtu anaongea TU kuwa vunja Moyo Kuna mawili katumwa eti wanamtukuza shetani kuwa na haibu kidogo
Enyewe inatisa ila izi niezi zamusho
Tushuge isiwe kuna bishara kati
Nasiubiri kuona siku moja mkituletea ushuhuda wa Mungu ametenda hiki na kile tumemtukuza shetani sana.
Unajua Nini maana ya shuhuda
Kwani wewe mpaka hapo hauoni Mungu amefanya nini? Mtu anaposhuhudia maana yake Mungu ameshafanya anachokifanya ni kumwaibisha shetani maana Yesu amesha ameshajitwalia utukufu.
UsikaLili maisha zipo shuhuda za mtu kwenda mbinguni jazihesabiki na kurudi kama sio chuki binafsi
Fikili kabla ujahandika unajua promova tv unashuhuda ngapi za mbinguni
Ulikuwa naua watu 21 kwa siku? Labuda kwa silaha vinginevyo ni upuzi mtupu,wadanyanye wajonga...
SASA NDO UMEOA MDADA KAMA HUYU , SI HATARI😁😁😁
Huyu mkongo,ni hatari
Burundi bujumbura buyenzi number ngapi
Uyo hapo chini hana just nini maana ya shuhuda au anaongea TU Nani anatukuza shetani
Hajui analolijua msameheni