Pt1_"Nilikuwa naua mpaka watu 21 kwa siku"|USHUHUDA WA BINTI WA BURUNDI ALIYEKUWA WAKALA WA SHETENI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 39

  • @ridiajofrey8276
    @ridiajofrey8276 8 หลายเดือนก่อน +4

    Ee Mungu Linda watoto wangu wanaishi na Bibi Yesu wsfunike damu ya yesu

  • @Haule-fe5qe
    @Haule-fe5qe ปีที่แล้ว +2

    Ubarikiwe sana 🙏...... mtumishi bado shuhuda za... matendo makuu....ya.. Mungu kwa..watu🎉🎉🎉

  • @endlessloveofchristlovewor9991
    @endlessloveofchristlovewor9991 ปีที่แล้ว +13

    Kila ulimi utakiri kwamba Yesu ni BWANA, na kila goti litapigwa

  • @lydiabenjaminmgalula6189
    @lydiabenjaminmgalula6189 2 หลายเดือนก่อน

    Asante Yesu kwa neema yako😔🙌

  • @jeanpaulnduwarugira2065
    @jeanpaulnduwarugira2065 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana mtumishi wa Mungu,alakini ningependa nimuulize uyo binti wa Yesu,amesema arikuwa anauwa watu,mtu akifa arikuwa anamubeba aje kuzimu anmuvmchukuwaje?

  • @agnestunu5527
    @agnestunu5527 ปีที่แล้ว +7

    EEH HUU ULIMWENGU SI SALAMA KABISA,MUNGU NILINDE PAMOJA NA FAMILIA YANGU

    • @SelestinaJoshua-pn4zv
      @SelestinaJoshua-pn4zv ปีที่แล้ว +3

      Ukisema upewe macho ya rohoni unaweza kujifungia ndani usitoke kabisaa mpaka Mungu atakapokuchukua

  • @sarifusteven4634
    @sarifusteven4634 ปีที่แล้ว +4

    Faida za ushuhuda akuna kumtukuza shetani nikumuaibisha pia inawapa wateule kupigana na adui wanae mjua mbinu zake hatakama ATA zibadilisha

  • @ammykissbeats3296
    @ammykissbeats3296 ปีที่แล้ว +4

    Duuuh Mungu atusaidie

  • @velmaanyango6225
    @velmaanyango6225 ปีที่แล้ว +4

    Jamani volume iko chini sana

  • @judyngowi391
    @judyngowi391 ปีที่แล้ว +1

    Kwakweli inabidi kujifunika kwa damu ya Yesu kila saa, na kuishi maisha ya toba, ajali zingine zinatokea unashangaa zimetokeaje, ndio mambo kama haya

  • @shamim-shammy
    @shamim-shammy ปีที่แล้ว +3

    Hizo shuhuda hata kanisani kwako unaweza kuzipata, lakini shuhuda kama hizi zinafunua kazi za shetani ambazo ni mara chache sana kuzipata( unaweza ukatizama tu kanisani kwenu ni mara ngapi imetokea shuhuda kama hizi

  • @m.m.tvmbebamaono
    @m.m.tvmbebamaono ปีที่แล้ว +2

    Sauti iko chini sana

  • @neemakamgisha2951
    @neemakamgisha2951 ปีที่แล้ว +1

    Mmmmmmmh kwakwel siri za shetani zinafichuka kumbe ndiko wanako enda hao mitume wanaojifanya naona 🤣🤣🤣🤣🤣🙌 asante YESU wewe ni mfalme wa wafalme

  • @goodstar4790
    @goodstar4790 ปีที่แล้ว +3

    Jina la bwana lihimidiwe

  • @maxiesecurityservicesltd11
    @maxiesecurityservicesltd11 ปีที่แล้ว +1

    Sauti iko chini kabisa

  • @djpmjemah2042
    @djpmjemah2042 ปีที่แล้ว +1

    Sauti iko chino sana Mtumishi

  • @mikerutto8164
    @mikerutto8164 ปีที่แล้ว +1

    Jacktan please muhulize kuzimu aliokua inafanana aje?. Nikama ole ya katekela ama?

  • @saradavirginia-kd7tn
    @saradavirginia-kd7tn ปีที่แล้ว +1

    Mungu unilinde na família yangu

  • @khadijamwenda1851
    @khadijamwenda1851 ปีที่แล้ว +3

    Mtangazaji muulize kwanin wasilmu hawaogopwi kuzimu? Na wala hawashambuliwi kwenye misikiti yao???

    • @fabianmkimbu880
      @fabianmkimbu880 ปีที่แล้ว +6

      Shetani Hana vita na mtu asiye mkristo wa kweli,kwa maana hawamsumbui lkn mkristo wa kweli ni hatari kwake kwamaana wakati wa maombi ya mkristo mapepo yanaungua na kuzimu inatetemeka na vitu vyao vinaharibika,ndiyo maana kuna vita kati ya mkristo wa kweli na shetani,lkn muislam au mpagani au anaejiita mkristo lkn hafanyi mapenzi ya Mungu hawana madhara kwa shetani manake anaweza kuwafanya chochote na wakati wowote.

    • @khadijamwenda1851
      @khadijamwenda1851 ปีที่แล้ว +1

      @@fabianmkimbu880 Asante Kwa maelezo mazuri

  • @sarifusteven4634
    @sarifusteven4634 ปีที่แล้ว +2

    Hawa watumishi wanafanya kazi kubwa sikutegemea mtu anaongea TU kuwa vunja Moyo Kuna mawili katumwa eti wanamtukuza shetani kuwa na haibu kidogo

  • @ezrakaranja9195
    @ezrakaranja9195 ปีที่แล้ว +1

    Enyewe inatisa ila izi niezi zamusho
    Tushuge isiwe kuna bishara kati

  • @beverlyseko965
    @beverlyseko965 ปีที่แล้ว +2

    Nasiubiri kuona siku moja mkituletea ushuhuda wa Mungu ametenda hiki na kile tumemtukuza shetani sana.

    • @sarifusteven4634
      @sarifusteven4634 ปีที่แล้ว +2

      Unajua Nini maana ya shuhuda

    • @m.m.tvmbebamaono
      @m.m.tvmbebamaono ปีที่แล้ว +2

      Kwani wewe mpaka hapo hauoni Mungu amefanya nini? Mtu anaposhuhudia maana yake Mungu ameshafanya anachokifanya ni kumwaibisha shetani maana Yesu amesha ameshajitwalia utukufu.

    • @sarifusteven4634
      @sarifusteven4634 ปีที่แล้ว

      UsikaLili maisha zipo shuhuda za mtu kwenda mbinguni jazihesabiki na kurudi kama sio chuki binafsi

    • @sarifusteven4634
      @sarifusteven4634 ปีที่แล้ว

      Fikili kabla ujahandika unajua promova tv unashuhuda ngapi za mbinguni

  • @Omba770
    @Omba770 ปีที่แล้ว

    Ulikuwa naua watu 21 kwa siku? Labuda kwa silaha vinginevyo ni upuzi mtupu,wadanyanye wajonga...

  • @njeyaduniatv
    @njeyaduniatv ปีที่แล้ว

    SASA NDO UMEOA MDADA KAMA HUYU , SI HATARI😁😁😁

  • @Omba770
    @Omba770 ปีที่แล้ว

    Huyu mkongo,ni hatari

  • @ninabizimana6869
    @ninabizimana6869 ปีที่แล้ว

    Burundi bujumbura buyenzi number ngapi

  • @sarifusteven4634
    @sarifusteven4634 ปีที่แล้ว +2

    Uyo hapo chini hana just nini maana ya shuhuda au anaongea TU Nani anatukuza shetani