BAHARIA: WALITOSWA BAHARINI/ SAMAKI MTU/ ALINIOKOA/ NILIKATAZWA KUSEMA/MAISHA/UMALAYA!... | PART 11
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ต.ค. 2024
- --
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Dar24 #Dar24Media
Kipindi hiki kinaruka kila siku ya Jumamosi na Jumatano saa nne kamili asubuhi, kama unasimulizi/mkasa wasiliana nasi kupitia namba..#0653127761
Anaishi wapi hapa dar brother dupa
All and all hyu bro he’s very smart the way talking nimependa na still anaweza hata kua mwalimu wa maisha na lugha pia bro 🫡 let’s check ill do same thing
Subhanallah mungu awe naye pia mshike mkono na harambee ikifanikiwa mnunulieni kiwanja mjengeeni japo apate room 2 na sebule na apate msingi afanye kibiashara chochote
Noma sana
Kama hutaki kuchangia kaa kimya sio kuanza kumponda Baharia, haya ni maisha kuna kuanguka na kusimama leo kwake huwezi jua kesho kwako.
Respect 🙏!!!
Kabisa respect
Safi sana My Brother atuwezi kuacha kumchangia Mzee wetu tujifunze mengi sana kutoka kwake Ayo ndio maisha ya Dunia unaweza aina shida Mungu bado anakupenda sana kuanza moja ni seemu ya Maisha 🤝
Pole sana brother 😢😢 kwakwel Ani daaah kweli sio poa sasa Mimi Niko Mayotte apa nitatumaje uwo mzigo brother t
Namba uliyotaja na iliyo kwenye screen mbona haziendan
Namba uliyotaja na iliyo kwenye screen mbona haziendan
Anaishi wapi hapo dar bro
Kaka muda si mrefu nakucheki lakini pia naomba kufahamu size ya viatu na suruali anazovaa shati tamkadiria. Ilikuwa ndoto yangu kuzamia hadi nilipo oa na kupata watoto ndipo ndoto hii ikapotea
Mimi naomba kuuliza miak26 NDAni ya Canada then kaludi kachoka nini kilicho mkwamisha ili tujifunze
Respect
Kumchangia ni muhimu
Kumchangia ni muhimu Acha tujivute Sheikh!
Anastahili kwel support dupa, hapo tutasaidia tunpoweza kaka dupa
Sawa kaka tutakuchangia
Sawa Mzee Baba Dupa, nimekusoma mwanangu
Ongeza dakika mkuu unabana sana
Hiki kipindi ni imala sanaaa
UYU MZEE MBONA ANAKAAA KISHA ANANGULUMA MMMH AU KOO YAKE ILIMEZA SANA VITU VIKARI SANA HALIKUWA MZEE
WA MITULINGA SANA MZEE!???
Pamoja
Duu kweli maisha safalindefu ila good tu
Mwanetu amejaaliwa gat fat big one
Hehehehehe
Huyu mtafutieni kipindi huko pia itafaa sana. kipindi hicho kite mla chake😂😂😂😂
Nitafata story zake ila kusaidia siwezi ntawapa yatima miaka 25 canada unarudi hivo wakati wa canada wakija africa miaka 5 wanacuma Ma bilioni
Haulazimishwi dupa amesema atakaeguswa haya maisha Kuna kupanda na kusha acha kujisahau
Hayo maneno Wala hayana faida kama huwez kaa kimya hapo hajalazimishwa mtu kutoa na unapo ongea jaribu kufikiri kabla tumia akili
@MwandigaRihobe-fm3it My Brother Mungu akosei yeye amempitosha yao maisha kwa kusidio la ili na Ssi leo hapa tuje kuzifunza kutoka kwake pengine leo tusinge yasikia aya maisha aliyo yapitia Je kama watu wote wangukuwa wanaenda ngambo wanafanikiwa ungeyasiki aya😮Maisha Safari ndefu sana brother au Je kama wewe angekuwa anajua kesho yake unazani angeenda uko basi iyoo ndio kazi ya Mungu anampa amtakaye yeye kwenye hii Dunia Embu jaribu kufuta iyo SmS yako
@@bakari-si1pwhakika!!!
Utakufa mdomo wazi
Yaani miaka 26 ndani yacanada anarudi hana chochote alichofanya wala alichokibeba akuna haja yakumsaidia mtu uyo yeye si alijiona amefika kule canada sasa ndio fundisho kwawengine wanaojifanya nchi zawatu ndio kwao kumbe wanajiongopea nyumbani in nyumbani.
Acha ushoga wewe tembea uwake wewee
@@ramamwaswa3898 wewe ndio choko ujui lolote mimi mwenyewe baharia lakini najuwa ninachokifanya sichukulee poa lazima uwekeze nyumbani sio unabweteka tu hana story zozote zaidi yamadem tu zee zima alioni haibu pumbavu
Malighaaaafi
Hiyo kazi aliyokuwa anafanya hakuwa analipwa? Alimsaidia nani huku Bongo? Tunafahamu watu walioko Canada wanalipwa vizuri $15 kwa saa kima cha chini. Pesa alitumiaje?
Brother hii Dunia sio kitu unaweza ukawa pesa ukapitia misusuko mpaka ukaludi moja ata ujasikia story mpaka m😅wisho unasema hivyo Mimi mwenye baada ya kukimbia uko mkoani kuja Bongo Dar es salaam mwaka2015 nikapata kazi seemu kwenye pesa nyingi sana ila nilijitolea kwa moyo moja ila nilifukuza ka ubwa kokoo nikibakiwa 👖👕🩴ata kumi sina😭 Nikakutana na mtu akanishika mkoni mpaka saa niko Kigamboni nimejenga na niko na mifugo kibao na pia nimepata kazi kwenye Depot moja ya mafuta maisha yamekuwa sawa Mungu pekee mweza wa yote
Dolar 15 ni pesa ndogo sana kwa miji mikubwa kama Vancouver, Toronto
UYU MZEE AMEKOSEA NINI
MPAKA AMELUDI NYUMBANI BONGO!??? TUPENI SABABU
TUJIFUNZE ZAIDI dupanga vipi? Mzee
Ngrrrrrrruuuuu 😅😅
KAMA UNA ELA YA KUMCHANGIA KAUSHA SIO MNA PONDA WANAOENDA CANADA WANA RUDI NA ELA HAWA WA MIAKA HII 5 KUANZIA 2018 HUYO MWAMBA 94 NDIO KAINGIA SIO BADO NCHI ILIKUWA SIO CANADA MNAYO IJUWA NYIE
Duu kweli maisha safalindefu ila good tu
Duu kweli maisha safalindefu ila good tu
Duu kweli maisha safalindefu ila good tu