BAHARIA: KUTOSWA BAHARINI/ SAMAKI MTU/ ALINIOKOA/ NILIKATAZWA KUSEMA/ MAISHA SIO RAFIKI/ UMALAYA!

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ก.ค. 2023
  • Inasikitisha sana, lakini ndivyo ilivyokuwa katika utafutaji wa maisha wa Bahari Mlachake, kutoka safari ya Treni hadi Melini na kujikuta yupo nchi za ughaibuni, ameishi Maisha ya kustaajabisha sana, lakini alikubaliana na hali halisi, ni sehemu ya bindaamu waliowahi kumuiona SAMAKI MTU Baharini!
    --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #china #canada #mbanga

ความคิดเห็น • 53

  • @dar24media
    @dar24media  ปีที่แล้ว +8

    Kipindi hiki kinaruka kila siku ya jumamosi na juma tano saa nne kamili asubuhi, kama una simulizi/mkasa wasiliana nasi kwa namba #0653127761

    • @nasibujuwe3038
      @nasibujuwe3038 11 หลายเดือนก่อน

      Ebna my brother mbanga mimi natokea Tandika naishi Canada 🇨🇦 uyo ni mdogo wangu muhulize l
      wa kitaa chetu hapa ila MImi ndio kaka yake mkubwa kwenye maisha Aya Bundala wa kitaa...mimi ni A.K.A nyei ...nipo hapa Canada nanyuwa matambala yake yote...na Akina Binanasi jamadini wote tunajuwa...Bundala

  • @timothybanda3219
    @timothybanda3219 ปีที่แล้ว +12

    Huyo Michael Aloyce Kilango alikua anakaa kiluvya gogoni,alikua Canada akarudishwa na sasa yuko Belgium huko. Anachosema jamaa ni sahihi kbs

  • @ramadhanikioza9913
    @ramadhanikioza9913 11 หลายเดือนก่อน +3

    Daaah huyo namsifu alisoma primary miburani alikuwa anakaa maghorofani tandika na Alex pia alisoma miburani primary na alikuwa anakaa tandika Mtaa wa kitunda wote nilsoma nao Miburani

  • @MichaelStewart-cl3fo
    @MichaelStewart-cl3fo ปีที่แล้ว +5

    Saf sanaa kipindi kipi vizuri sana. Tunapata darasani kubwa sana ambalo hata huko mavyuonii hupatiii

  • @andrewdankanidankanichilal8944
    @andrewdankanidankanichilal8944 ปีที่แล้ว +8

    Sema kaka siku izi una improve ata kuongea safi Sana

  • @peterrulagora7403
    @peterrulagora7403 3 หลายเดือนก่อน

    Pole sana classmate (forest hill) wangu ila maisha ya kiuni ulianza hata ulivyo form one.maisha ni kuchagua

  • @emanuelmhoja2411
    @emanuelmhoja2411 11 หลายเดือนก่อน +2

    Napenda sana mixer ya kiswaz na Blair

  • @abdulazizbrek4980
    @abdulazizbrek4980 11 หลายเดือนก่อน +2

    Ii kali na budaa yuko vizuri kimombo

  • @stanastana3199
    @stanastana3199 ปีที่แล้ว +6

    Ya know wat a mean,I feel ya Gee....unyama sana....

  • @andrewdankanidankanichilal8944
    @andrewdankanidankanichilal8944 ปีที่แล้ว +5

    Noma na mm nna story yangu ya safari South Africa

  • @InnocentWillbald-du9en
    @InnocentWillbald-du9en ปีที่แล้ว +3

    Dah hii simulizi kali saana.tusiache kujifunza ..

  • @themanofgod7562
    @themanofgod7562 11 หลายเดือนก่อน +2

    I like this scenario the THUG life and OUTLAW.

  • @johnkalubea8555
    @johnkalubea8555 ปีที่แล้ว +2

    Ongea tu Kiswahili mkubwa utaeleweka vizuri

  • @pascalmgina
    @pascalmgina 11 หลายเดือนก่อน

    I can behave to do it myself....noma sana

  • @liltanz2267
    @liltanz2267 ปีที่แล้ว +2

    Noma na kukubali DUPA
    Profesamichoro hapa kutoka lstanbul Turkey Baharia mbishi

    • @user-th8vm4zc2i
      @user-th8vm4zc2i 11 หลายเดือนก่อน

      Mzee unapatikana vp

  • @gilbertmunga5351
    @gilbertmunga5351 ปีที่แล้ว

    Suspense well created

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 ปีที่แล้ว +1

    Ok poa . kusoma sio skuli tu hata mitaani kunaelimisha na ndio kwenye elimu ya kweli na kwa vitenndo wacha tusikilize tujifunze

  • @user-ce2kq5xr9u
    @user-ce2kq5xr9u 11 หลายเดือนก่อน +1

    Nilikuwa Naye kitambo nyong'o engalus

  • @ibrahimngayonga7210
    @ibrahimngayonga7210 11 หลายเดือนก่อน

    Se man ✊

  • @Boaz22
    @Boaz22 ปีที่แล้ว +3

    Ongea kiswahili tuu kaka, tutakuelewa😂😂😂😂

    • @moneythemes
      @moneythemes 11 หลายเดือนก่อน

      Kuongea ni sanaa, na ni mazoea ya mtu baada ya muda flani.Hata wewe kuna mambo watu labda hawakwambii unaweza kuta kuna msamiati huwa unautumia vibaya au mara nyingi, na wengine labda unawakera, lakini wanaishi tu na wewe😆😆

  • @saidnoumani7244
    @saidnoumani7244 11 หลายเดือนก่อน

    Naona Mzee hata matamshi ya lugha ya kiswahili ni ya kizungu😂.

  • @cchimodzi3858
    @cchimodzi3858 11 หลายเดือนก่อน

    Nakubali Forest Hill Secondary school aliyosema ni kweli ilikuwa wahindi tupu

    • @peterrulagora7403
      @peterrulagora7403 3 หลายเดือนก่อน

      Lo!nimemkumbuka Forest nilisoma form one tu 91,alikuwa muhuni toka kipindi hicho

  • @DomsonMendez
    @DomsonMendez 11 หลายเดือนก่อน +1

    Huyo mwamba anavyoongea ananiua ananikosha kinyama

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 ปีที่แล้ว

    😂😂 Stori nzuli hasaunavyo ongea na sleing unaniongezea hop

  • @hudsonhenry1849
    @hudsonhenry1849 ปีที่แล้ว +1

    Nilimsikia mwana kwny gangana

  • @zahirallyzorro3940
    @zahirallyzorro3940 11 หลายเดือนก่อน

    Part 3 yake lini

  • @zahirallyzorro3940
    @zahirallyzorro3940 11 หลายเดือนก่อน

    Haijatoka Part 2

  • @Josh_1194
    @Josh_1194 11 หลายเดือนก่อน +1

    Baharia anavunja yai

  • @mariayoeni4211
    @mariayoeni4211 11 หลายเดือนก่อน

    Hedaru home ❤❤😂

  • @KhadijaMiteya-hh8xl
    @KhadijaMiteya-hh8xl 11 หลายเดือนก่อน

    Kweli wewe bahari unachanganya vyeo vya wakuu wa jeshi. Bora usitaje 😅😅😅😅

  • @user-ce2kq5xr9u
    @user-ce2kq5xr9u 11 หลายเดือนก่อน

    Nyong'o lends ramadhani kitambo

  • @hamzahabits7912
    @hamzahabits7912 8 หลายเดือนก่อน

    smart English oooh kill me

  • @lazaroleonard3630
    @lazaroleonard3630 11 หลายเดือนก่อน

    Kk atuoni muendelezo unapost lini kk

  • @aziza9093
    @aziza9093 ปีที่แล้ว

    😅😅

  • @saidnoumani7244
    @saidnoumani7244 11 หลายเดือนก่อน

    "bandala stole kachori" 😂😂😂

  • @ruwaidamabrouk1797
    @ruwaidamabrouk1797 11 หลายเดือนก่อน +1

    Nimeona tatoo ya mtangazaji😂😂😂😂

    • @muhammadkassim6291
      @muhammadkassim6291 11 หลายเดือนก่อน

      Tatoo ni haramu kwenye uislam na hata mkiristo moja alithibitishia kwenye Imani Yao haijaruhusiwa kuchora tatoo

  • @saidimaulidi-be9ds
    @saidimaulidi-be9ds ปีที่แล้ว +1

    Tuma nyengine

  • @aloycelucas1823
    @aloycelucas1823 11 หลายเดือนก่อน +1

    Pale BBC ukiwa kwenye interview ukiweka English kidogo tu mtangazaji anaifasiri ili kuonyesha kuwa neno lile k enye kiswahili lipo na haina haja ya kuliongea kwa kiingereza Sasa ndg yang mswahil unajitoa ufahamu kujifanya hujui kuongea kiswahili vzr mpk utie kizungu halaf mwandishi anasapot mi nasema haiko sawa. Mzungu akiweza kuongea kiswahili anapenda aongee bila kutia neno la kwao lakn mswahili akiweza kizungu kidg tu mmekwisha na pengine hata akiongea kiswahili hawezi kutofautisha matumizi ya R na L, hebu tuacheni Mambo ya kudharau ya kwetu!!!!!!

    • @DomsonMendez
      @DomsonMendez 11 หลายเดือนก่อน +2

      Huyo ni swaga zake alafu ukisema tufate vyetu hata hiyo smartphone ni uzungu

  • @user-bt3sw7dv7k
    @user-bt3sw7dv7k 9 หลายเดือนก่อน

    Nlubali

  • @aisharamadhani1948
    @aisharamadhani1948 ปีที่แล้ว +1

    Tunajifunza ila mbaba anaupiga kingereza hahahahaaa interview ya leo kali ila mtangazaji mwambie baharia azungumze kiswahili tu ili wote tumuelewe

    • @stanastana3199
      @stanastana3199 ปีที่แล้ว +1

      Kingereza huelewi?

    • @user-op7zl7fo1r
      @user-op7zl7fo1r ปีที่แล้ว +1

      Ubaharia umemuingia ndo maana anaongea ngel jmn😅

    • @stanastana3199
      @stanastana3199 ปีที่แล้ว

      @@user-op7zl7fo1r shule za kinyamwezi lazima

  • @kotadapotar5094
    @kotadapotar5094 11 หลายเดือนก่อน

    Kuna Ajagani transient wote ni wabongo???😄🇹🇿🇬🇷

  • @user-ho1th5ce6n
    @user-ho1th5ce6n 11 หลายเดือนก่อน

    Tunajifunza vingi kwenye hizi stor