BAHARIA: KUTOSWA BAHARINI/ SAMAKI MTU/ ALINIOKOA/ NILIKATAZWA KUSEMA/ MAISHA SIO RAFIKI/ UMALAYA!
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 28 ก.ค. 2023
- Inasikitisha sana, lakini ndivyo ilivyokuwa katika utafutaji wa maisha wa Bahari Mlachake, kutoka safari ya Treni hadi Melini na kujikuta yupo nchi za ughaibuni, ameishi Maisha ya kustaajabisha sana, lakini alikubaliana na hali halisi, ni sehemu ya bindaamu waliowahi kumuiona SAMAKI MTU Baharini!
--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#china #canada #mbanga
Kipindi hiki kinaruka kila siku ya jumamosi na juma tano saa nne kamili asubuhi, kama una simulizi/mkasa wasiliana nasi kwa namba #0653127761
Ebna my brother mbanga mimi natokea Tandika naishi Canada 🇨🇦 uyo ni mdogo wangu muhulize l
wa kitaa chetu hapa ila MImi ndio kaka yake mkubwa kwenye maisha Aya Bundala wa kitaa...mimi ni A.K.A nyei ...nipo hapa Canada nanyuwa matambala yake yote...na Akina Binanasi jamadini wote tunajuwa...Bundala
Huyo Michael Aloyce Kilango alikua anakaa kiluvya gogoni,alikua Canada akarudishwa na sasa yuko Belgium huko. Anachosema jamaa ni sahihi kbs
Daaah huyo namsifu alisoma primary miburani alikuwa anakaa maghorofani tandika na Alex pia alisoma miburani primary na alikuwa anakaa tandika Mtaa wa kitunda wote nilsoma nao Miburani
Saf sanaa kipindi kipi vizuri sana. Tunapata darasani kubwa sana ambalo hata huko mavyuonii hupatiii
Sema kaka siku izi una improve ata kuongea safi Sana
Pole sana classmate (forest hill) wangu ila maisha ya kiuni ulianza hata ulivyo form one.maisha ni kuchagua
Napenda sana mixer ya kiswaz na Blair
Ii kali na budaa yuko vizuri kimombo
Ya know wat a mean,I feel ya Gee....unyama sana....
😂😂😂
Noma na mm nna story yangu ya safari South Africa
Dah hii simulizi kali saana.tusiache kujifunza ..
I like this scenario the THUG life and OUTLAW.
Ongea tu Kiswahili mkubwa utaeleweka vizuri
I can behave to do it myself....noma sana
Noma na kukubali DUPA
Profesamichoro hapa kutoka lstanbul Turkey Baharia mbishi
Mzee unapatikana vp
Suspense well created
Ok poa . kusoma sio skuli tu hata mitaani kunaelimisha na ndio kwenye elimu ya kweli na kwa vitenndo wacha tusikilize tujifunze
Nilikuwa Naye kitambo nyong'o engalus
Se man ✊
Ongea kiswahili tuu kaka, tutakuelewa😂😂😂😂
Kuongea ni sanaa, na ni mazoea ya mtu baada ya muda flani.Hata wewe kuna mambo watu labda hawakwambii unaweza kuta kuna msamiati huwa unautumia vibaya au mara nyingi, na wengine labda unawakera, lakini wanaishi tu na wewe😆😆
Naona Mzee hata matamshi ya lugha ya kiswahili ni ya kizungu😂.
Nakubali Forest Hill Secondary school aliyosema ni kweli ilikuwa wahindi tupu
Lo!nimemkumbuka Forest nilisoma form one tu 91,alikuwa muhuni toka kipindi hicho
Huyo mwamba anavyoongea ananiua ananikosha kinyama
😂😂 Stori nzuli hasaunavyo ongea na sleing unaniongezea hop
Nilimsikia mwana kwny gangana
Part 3 yake lini
Haijatoka Part 2
Baharia anavunja yai
Hedaru home ❤❤😂
Kweli wewe bahari unachanganya vyeo vya wakuu wa jeshi. Bora usitaje 😅😅😅😅
Nyong'o lends ramadhani kitambo
smart English oooh kill me
Kk atuoni muendelezo unapost lini kk
😅😅
"bandala stole kachori" 😂😂😂
Nimeona tatoo ya mtangazaji😂😂😂😂
Tatoo ni haramu kwenye uislam na hata mkiristo moja alithibitishia kwenye Imani Yao haijaruhusiwa kuchora tatoo
Tuma nyengine
Pale BBC ukiwa kwenye interview ukiweka English kidogo tu mtangazaji anaifasiri ili kuonyesha kuwa neno lile k enye kiswahili lipo na haina haja ya kuliongea kwa kiingereza Sasa ndg yang mswahil unajitoa ufahamu kujifanya hujui kuongea kiswahili vzr mpk utie kizungu halaf mwandishi anasapot mi nasema haiko sawa. Mzungu akiweza kuongea kiswahili anapenda aongee bila kutia neno la kwao lakn mswahili akiweza kizungu kidg tu mmekwisha na pengine hata akiongea kiswahili hawezi kutofautisha matumizi ya R na L, hebu tuacheni Mambo ya kudharau ya kwetu!!!!!!
Huyo ni swaga zake alafu ukisema tufate vyetu hata hiyo smartphone ni uzungu
Nlubali
Tunajifunza ila mbaba anaupiga kingereza hahahahaaa interview ya leo kali ila mtangazaji mwambie baharia azungumze kiswahili tu ili wote tumuelewe
Kingereza huelewi?
Ubaharia umemuingia ndo maana anaongea ngel jmn😅
@@user-op7zl7fo1r shule za kinyamwezi lazima
Kuna Ajagani transient wote ni wabongo???😄🇹🇿🇬🇷
Tunajifunza vingi kwenye hizi stor