KING DAVID NA VIKOTI VYA MISSO MISONDO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
- Tazama Full Episodes mpya za BSS SEASON 14 kwa wakati kwenye ST Swahili kila Jumapili saa 3 usiku, kupitia dikoda ya Startimes au App ya Startimes ON
:Vionjo vipya (BSS EXTRA) ni kila jumatatu, jumatano na Ijumaa saa 2:30 usiku ndani ya StarTimes Swahili Channel
Bongo Star Search
Follow Our Pages
Facebook: / bongostarsearch
Twitter: / bongostarsearch
Instagram: / bongostarsearch
SnapChat: BongoStarSearch
TikTok: bongostarsearch
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz - บันเทิง
On my side I think when Asagwile performed this Song, he killed it. Sioni atakayefanya kama yeye. Kenya tuko locked baya
Since the beginning I already said this guy is the🎉 champion of BSS
Huyu jamaa ndo mshindi wa bss hakika🎉🎉
nakubaliana na ww
Anadizevu ila kuna jamaa mkali zaidi yake anaitwa onesmo
@@jackmata4368ameshatoka
Exactlylyyyyyy!!!!!!!!
Huyu jamaaa ni Mshindi mna-west time bureeee
Huyu jamaa kwa sebene ni balaaa!!🙌
Nakuombea mwanangu Devi baraka zangu ziko nawe❤❤❤❤
This guy is the winner of bss this season 🎉
Tayar huyu ndo bingwa, alwayz watu waoimbaga hii nyimbo waga wanakuwa washinda 😂😂😂🎉🎉 king david go go and win
From Kenya I would like see king David singing love song
King David kaupiga mwingi much love from +254
unazijua goosebums ww 😂😂ndo kitu na feel kwa ichi kipaji
The only king david🎉🎉
Huyu ndo mshindi wa BSS mwaka huu ❤❤❤❤❤❤
Much love king David #Kenya
Mwanangu we mshindi
Kibongr mwepesi😂😂❤
Mependa vibe we mkaka nomaaaaaa af noma tena
KING namkubali sana.
Mjomba unafaa kuingia Agape Gospel Band
Anatumia nguvu sana, ila anajua sanaaa, hongera sana
Moto sana 🎉🎉
Nilikua shabiki wa dynamic ila kwanzia leo nimehama team nimeamia kwa afro mamaa 😂😂🫡 nasema APEWE ADVANCE KING DAVID
Winner season 14🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Huyu jamaaaa ni music 🔥🔥🔥🔥
@MIna, nice dress, yani imeenda nje ya ulimwengu sio nje ya dunia.....u looks awesome 👌.
David 'Daudi Always this name is winner since day one
Ameen
Niseme ule ukwel yan bongo star search ya mwaka huu mic zenu ni mbaya yan haztoi saut nzur kbs. Msimu ule aliyechukua brian yule albino ndo ulikuwa bomba sana mtu anaimba unamskia vzur,,, na ule msimu mlifanyia show zenu pale palm village yan mpk mtu unainjoy the way mtu anaimba na saut inatoka vzur km ulaya
Aloo huyu jamaa ni motooo
Mshindi wa bss 2023
202..????😂
Top three yangu BSS 1. KingDev, 2. Razack.
King David ni performance kila show ni kali angushi watu
HAKUNAGA KING AISE JUA MZIKI 🎉
Huwa nakupenda san we kaka unaupiga mwingi
Mungu akutangulie king dav uwe mshindii
Wozaaaaaaa❤
KING DAVID wewe ni mwamba na nusuuuhh😂😂😂🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Woow 😊
Jamaa ana sauti aisee imenifanya kudawnload hii nyimbo
Asante David ❤
U have to win my Gee
Noma sana
🎉🎉🎉🎉🎉 kaka unajua Hadi unakera 🎉🎉🎉 hatari hatar
Bravoooo
❤❤❤❤ umekosha moyo wangu wee
No doubts🔥🔥
Noma sanaaaa
Wow amazing
Awe winner tu🎉
This guys next leve🎉
Uko vzr mno kaka daaah
Christian Bella wa msss haya ndo mambo yako kaka hongera sana
Aliyerudia mara kumi kama mimi gonga like apa
😅kati ya king David na Razak mmoja wake ndo atakuwa namba Moja from 254
Ww ni star hakuna wakupingaa
Katisha❤❤❤
DAVID Unajua unatukosha moyo nikiwa Canada
Love yoooooooooou!
Top 3
❤❤ mkal sanaa
Ametisha huyu mwamba
Huyu jamaa anajua sana
Mwamba noma
King dev ndio mshindi wa bss
My Nambie sake
Kazi IPO aisee Allan anakazi kwa uyu jamaa na razak
Muende mkampigie kura huko sio kuishia kusema humu et mshindi wangu
Mshindi wetu♥❤♥❤♥
Huyu ni mshindi na 3.
Duuuu hatar mno
Unajua
Mimi kutoka USA NAKOMETI KWAMBA ASIPOKUWA MSHIDI MTAKUWA MUME MNYOGEYA
Nice one
Fala anaweza huyu
David ❤❤❤❤
Bss ya msimu huu,wakali wote sasa sijui mshindi atakua nani
huyu juwaaa mkalii mnooo
Huyu jamaa alistahili kuwa mshindi
Huyuu jamaa yuko moto...
Kiukweli anajua saaana
Umenikubusha Asagwile
Nimejikuta nacheza tu
Waooooh ❤️❤️❤️❤️❤️
❤❤
Aweeeh
Bro kama ujawa mshindi ni kwa sababu tu ufanani na mziki
Jamaa anakiwasha balaa khe kivumbi 🏃🏃
Mshindi wa BSS ni huyu
Kashinda tayar
nyoko sana
unatakiwa ushinde tu
Hyu ndio mshindi
Linajua mpaka linajua Tena kudadadeki
Jamaa hatari
Wampe hela zake bn aondoke asipopita ntaliaa sn ntalia sana
Huyu mwehu anaimba bana...
Mpeni heka yake😂
🔥
Sasa wahuni ni huyu au ni razaq😂
Mshindi kashapangwa hapo haya mashindano ya kisenge tu
🎉
🎉🎉🎉