KING DAVID AWAKUMBUSHA MFALME WA SHOW NI NANI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
- Tazama Full Episodes mpya za BSS SEASON 14 kwa wakati kwenye ST Swahili kila Jumapili saa 3 usiku, kupitia dikoda ya Startimes au App ya Startimes ON
:Vionjo vipya (BSS EXTRA) ni kila jumatatu, jumatano na Ijumaa saa 2:30 usiku ndani ya StarTimes Swahili Channel
Bongo Star Search
Follow Our Pages
Facebook: / bongostarsearch
Twitter: / bongostarsearch
Instagram: / bongostarsearch
SnapChat: BongoStarSearch
TikTok: bongostarsearch
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz
Uyu mdada mwenye vest nyeupe uwa ana vibe sana 🙌🏽🔥 😍🇹🇿🇨🇳
Sana
Madam Rita tunajua wewe ni Chief Judge lakini jaribu kutokuwa unacrash judgement za wenzio, kama unaona mawazo ya wenzio hayafai usingewaweka hapo ungejudge mwenyewe. Lakini uliona wanafaa kuwepo na wanajua kazi yao ndio maana ukawaweka hapo sasa kwanini kila wanachojudge unawacrash?! Unawaonyesha nini hao washiriki?! Kwamba wadharau judges wengine wakusikilize wewe tu?! Hebu heshimu judgement za wenzio basi kama wao wanavyoheshimu judgement yako.
Piga like kama tuko pamoja, good performance
CONGRATULATIONS MY BROTHER KING DAVID♥❤♥❤♥❤
@Mina nice dress umeua, yani kigauni kimekaa sehemu yake. ...👏
sema mtu unajua mnooooo ❤
king kauwa kabisa 🎤🎤🎶🎶💥🔥🔥🔥
High pick song intertiment 💥💥💥 voco yann😅😅😅 umetisha Madam
Huyu jamaa namfananisha mwendo wake na Peter Msechu
Salma ana anaona sana
Kweny hii nyimbo mi naon sijamuelew yan haimbi ila anapig show tu hii ya leo hapn next time jitaidi bro
He always doing that
The band 😋🎉
Huyu ndio bingwaa
Nilishasema ukisindana na huyu jamaaa unakuta mwili unaisha nguvu😂😂 keep it up bro🥳🥳🥳
Anajitahid na mwili wake
Madam Rita acha hasira wa judge vzr
Leo haijakuwa nzuri kama last time, huo ndio ubaya wa raising the bar very high, people will always want the same standard, bro these things will let you down
Nilishasema mpenzi Hela zake this season imeisha hamsikii ntakuja kumpa mwenyewe
I like the shishi baby vibes 🙌🏼
Vocal yake kali anajua kuimba na anaburudisha sana
King ❤
PHD ya Mziki iko hapa
Master jay bana 🤣🤣🤣🤣
Usipo shinda nainunua BSS dadeki😂😂🔥🔥🔥 nakupatia wewe
Lakini haimbi lugha nyingine kama Allan
Asiposhinda bSS inafungwa kakaa
@@artisthusnatalal3099 kwani ni mashindano ya lugha kaka
@@pbugzake Ukiimba tofauti huwa ni bonus. Inaweza kukuongezea marks. Besides mimi ni dada🙈
@@artisthusnatalal3099 duu my bad, njoo nkueleweshe vzr kuhusu mashindano😅
Kula yangu Kwa David
wakwanza leo bora zimeanza ndefu
Unatishaaaaa balaa sana
Kwan huyo king David nimoto wachungaji?
❤❤❤
Dogo unaiwakilisha morning Star Safi home boi
Tumtumie sister aone
@@mcharvey3578 yeah sister julitha
Madam Ritha why crushing other judges unaboa no freedom of expressions there
Here we go blood
Hongera kaka ukovizur
How he encourage you shishi?
Mwambaaaaaa,,balaaaa
Shiloleee 😂😂😂😂
iv kumbe n mm ndo nmemuona huyo dada mwenye cnglend nyeupe maziwa yake
Izi NI talent zakienyeji
Hivi mlishawahifikiria kuwa master J angemuoa Salama ndoa Yao ingekuaje? Au watoto wangezaliwa wangekuwa Wana silika gan😂😂😂
Mauwa yakoooo bollo
Huyu hapana Leo kaimba kawaida siungi mkono
Mshindi
Uyu nae anastail km shoga
Matumizi mazur ya maneno .
C wampe hel zake tu aendee zak jmn mashindan yaendelea ety 😂😂😂😂
Huyu jamaaa yeye anakuja kufanya shoo 😀😀😀
Shilole akicheza utafkiri kajumba kanatembea
Mshindiiii
Sijamkubali king David sijui kwa Nini?nisiwe mnafiki
Kwan wamekwambia ku comment ....wewe kubar wanaokuhusu kisicho kuhusu achana nachoo🙄 King David maua yako acha apewe🎉🎉🎉
Anajua hadi anajua Tena, wewe acha roho mbaya nadhani mziki hujui ww
You can do better than this. Today wasn't good
Amevaa vibaya sana kwa mwili wake, Yani ka Shoga lidada flani ivi😅
Uyu jama akishida sutorudi kuona uyu ujinga
Hawezi kushinda hata
😂😂😂😂we jamaa mnafiki kwan umelazimishwa kuona 😂
Chilole
Sema tunao jua mziki uju jamaa tunaona kuimba bado anapga TU kilele
Show zake nying mda anaotumia kupiga kelele ni mwingi kuliko kuimba 😂😂
Huyu jamaa kwa razaq bado sana
Hapana hakuna kitu
Mwamba kanogesha kuliko hata Zombie
Huyu jamaa kama vile Upinde 🌈
Hii comment imefanya nione wewe ndo 🌈🌈 , its not ur fault its ur bald head
Umejuaje kama wewe sio upinde 🌈🌚
Thats some gay shit🤓, nsungae does ur mama know that your gay
We jamaa mafi kweli unamuitaje mwenzako upinde kama wewe huliwi sijui bro, utakufa ukiharisha kaka edwin😂😂
@@vostudios1083 angalia morphology broh
❤❤❤
Huyu hapana Leo kaimba kawaida siungi mkono