MWISHO WA DUNIA UNA MAMBO MAZITO YA KUTISHA...!!

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 14 ก.พ. 2020
  • #wasafi #TheStoryBook #KIAMA Simulizi inayohusu mambo yatakayotokea Siku ya Mwisho wa dunia kama inavyosimuliwa toka baadhi ya vitabu vay dini.
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 1.9K

  • @ochubaddest1728
    @ochubaddest1728 4 ปีที่แล้ว +716

    Kama umepanga kumrudia mungu gonga like apa

  • @alimruu6906
    @alimruu6906 3 ปีที่แล้ว +168

    Kama unaamini mwisho wa dunia uko karibu gonga like apa

    • @alexshukrani6718
      @alexshukrani6718 ปีที่แล้ว +5

      Sikuhiyo hatutakumbuka hatu kugonga like

    • @janetbwari7845
      @janetbwari7845 ปีที่แล้ว

      Wawawa kwa kweli kapisa Dunia yaisha lililo paki ni.sisi kujiweka tayali kwa mahana ajui siku Wala sana

    • @benjaminrwegasira2450
      @benjaminrwegasira2450 ปีที่แล้ว +4

      Acheni story za kutishana imezen watu wafanye ibada ,nani ajue siku ya mwisho?

    • @edsonmkonge-kk9yi
      @edsonmkonge-kk9yi ปีที่แล้ว +3

      The fuck of the end of of the world

    • @maryaugustino8716
      @maryaugustino8716 ปีที่แล้ว +1

      Matukio yote tunayo yaona naona muda umefika ssa, tunatakiwa tuyaishi yale yampendezayo Mungu.

  • @naimamunishi1241
    @naimamunishi1241 4 ปีที่แล้ว +57

    Inatisha sana eh mwenyez mungu mtukufu tujaalie mwisho mwema ummat MUHAMMAD s.a.w😭😭😭

    • @veronicacuri2332
      @veronicacuri2332 ปีที่แล้ว

      Uongo mungu alisema hata tuangamiza kwa maji Tena🧐🧐

    • @ndagoabdallah1632
      @ndagoabdallah1632 6 หลายเดือนก่อน

      Sawa sawa ameni

    • @user-in7tl6nq1e
      @user-in7tl6nq1e 5 หลายเดือนก่อน

      Amiin yaa Rabbi Allah 🤲🤲

    • @MACHOYATAI-jk6fu
      @MACHOYATAI-jk6fu 3 หลายเดือนก่อน

      Muhammad hana uwezo wa kukupeleka mbinguni mwamini yesu

    • @wahidaramadhan
      @wahidaramadhan 3 หลายเดือนก่อน

      Ameen

  • @tatuhuruka8428
    @tatuhuruka8428 2 ปีที่แล้ว +42

    Ya - Allah utusamehe madhambi yetu na utupe mwisho mwema amen

  • @ismailrajabumwandika3654
    @ismailrajabumwandika3654 4 ปีที่แล้ว +153

    Kama waamini kiama kipo gonga like

    • @lucasjohnleo3051
      @lucasjohnleo3051 3 ปีที่แล้ว

      Hakuna mwishon wa dunia

    • @roymhando2601
      @roymhando2601 3 ปีที่แล้ว +1

      Tukubaliane na hali tu wabongo kwan ndo tumo dunian sas hakuna namna

    • @roymhando2601
      @roymhando2601 3 ปีที่แล้ว +1

      Gonga like kama unaamin yote haya

  • @jofreyfesto8075
    @jofreyfesto8075 4 ปีที่แล้ว +154

    Daaaaaaaah Ee Mungu unijalie niumalize mwendo salama. AMEN

    • @phylliswambui2067
      @phylliswambui2067 3 ปีที่แล้ว

      Amen

    • @salimomary2726
      @salimomary2726 3 ปีที่แล้ว

      @@middletigervevo si mambo ya kiroho mambo ya kiroho ni nini inatakiwa umfundishe mtu kwa lugha ambayo hata mwingine anaweza kujfunza ninacho jua me nihiki ili tufaulu mbele ya Mwenyezi mungu inatakiwa tumfulahishe yeyetu Mwenyezi mungu daima mpaka mwisho wa maisha yetu ili tupate ahadizake alizo tuahidi na kwa kuacha yote alio yakataza ndio tutafaulu tuache tunayo yajua na tunayo ambiwa na viongozi wadini

    • @rajabdigega4720
      @rajabdigega4720 2 ปีที่แล้ว

      Allah the great

    • @alexshukrani6718
      @alexshukrani6718 ปีที่แล้ว

      Unatakiwa uache uzinzi

  • @jumannerajabu235
    @jumannerajabu235 4 ปีที่แล้ว +25

    Kaka mungu atakulipa kwa ukumbusho huu kwa kila mwenye akili timam ataacha machafu yete na kurudi kwa Allah muumba wa kila kitu

  • @abdallahmniga4080
    @abdallahmniga4080 4 ปีที่แล้ว +37

    Daaaaa!! Tatizo la diamond kuwafukuza hawa wasimulizi huwa linaniuma sana maana ipo siku na yeye atasimuliwa....Bigup sana jamali...👍🏻👍🏻

  • @aminakhamis2342
    @aminakhamis2342 4 ปีที่แล้ว +421

    Mungu atujaalie mwisho mwm na kauli thabit ya Allah🤲😢😭

  • @diapesapius1895
    @diapesapius1895 4 ปีที่แล้ว +178

    Mungu nisaidiee nimalize mwendo salama!

    • @gracemsigwa5977
      @gracemsigwa5977 4 ปีที่แล้ว +1

      Mmhh maneno yanachoma sn yaan yanachoma mungu tusaidie

    • @gracemsigwa5977
      @gracemsigwa5977 4 ปีที่แล้ว +2

      Umemaliza mwendo? Bado

    • @robbyzakaria9934
      @robbyzakaria9934 4 ปีที่แล้ว +1

      Kabisa atusaidie haswa😪😥

    • @tizzomushi4072
      @tizzomushi4072 4 ปีที่แล้ว +1

      Eeh! Mungu tupe subira

  • @tallmunyama5250
    @tallmunyama5250 3 ปีที่แล้ว +86

    Kama unamkubali uyu jamaa gonga like twende sawa👍

  • @blackwinnersdancers
    @blackwinnersdancers 4 ปีที่แล้ว +17

    Daaah jamal unajuaaaa🔥🔥🔥 km unaamini GONGA LIKE hapa

  • @ashurahussein9748
    @ashurahussein9748 4 ปีที่แล้ว +39

    Yarabbi atujaalie mwisho mwema🤲...Jamal unajua wasiokutaka wasisikilize hatujawaforce👌

  • @yassersahin6639
    @yassersahin6639 4 ปีที่แล้ว +109

    Mwenyezi mungu atujalie mwish mwema

  • @rukiamatano7764
    @rukiamatano7764 4 ปีที่แล้ว +33

    "Subhanallah,Allah tustiri waja wako utusaheme makosa yetu utupe mwisho mwema ya rabbi🙏

  • @cosmaskering3738
    @cosmaskering3738 ปีที่แล้ว +6

    Eeh Bwana uirehemu moyo wangu na uongoze siku zote maishani...twakuomba utusamehe sisi waja wako!!

  • @melissalablonde9580
    @melissalablonde9580 4 ปีที่แล้ว +131

    Eemungu tupe mwisho mwema 🤲🤲🤲

    • @yusup3727
      @yusup3727 4 ปีที่แล้ว

      Melissa Lablonde mungu tusaidie

    • @ramadanmaulid8015
      @ramadanmaulid8015 4 ปีที่แล้ว

      ndugu ww andik 2 kusoma mwachie dogo asababish

    • @melissalablonde9580
      @melissalablonde9580 4 ปีที่แล้ว

      @@ramadanmaulid8015 njo nini Sasa kaka

    • @mkamamuyenjwa5742
      @mkamamuyenjwa5742 4 ปีที่แล้ว +3

      @@melissalablonde9580 Hakuna ajuaye siku wala Saa.Hivyo tuwe na kiasi tukeshe tukiomba.Tena cha muhimu kama unajua kuna dhambi bado unayo acha.

    • @fastnetpangani6650
      @fastnetpangani6650 3 ปีที่แล้ว

      Mwambie Mungu akupe mwisho mwema, sio atupe mwisho mwema kwasababu maandiko yanaeleza "Kila MTU atabeba mzigo wake mwenyewe"

  • @suhailaali4175
    @suhailaali4175 4 ปีที่แล้ว +40

    Ameanza kujiongeza Sasa! Simulizi YA leo imebebwa na hisia YA hali YA Juu! Hongera

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 4 ปีที่แล้ว +124

    Yaarab tujalie mwisho mwema😭😭. Ameen🙏

  • @paustinenyabs7023
    @paustinenyabs7023 2 ปีที่แล้ว +30

    Mungu wangu tuhurumie sisi wenye dhambi twaomba msamaha 😭😭

    • @ShaibuKibana
      @ShaibuKibana 8 หลายเดือนก่อน

      kweli mungu wetu tuepushe namabaya

  • @fromenapatrick1188
    @fromenapatrick1188 4 ปีที่แล้ว +149

    Wanadamu tumwamin Mungu peke kwan iman ndo itakayo tuponya, lakin pia napenda makala zako big up sana bro jamali mustaphs

  • @DurahRich
    @DurahRich 4 ปีที่แล้ว +366

    now tunakuelewaaaaaaa❤️ kama naww umeelewa gonga like

    • @petromtakati2975
      @petromtakati2975 4 ปีที่แล้ว +5

      Achen tumuelewe tu jamani mwenzetu anajipayia ridhiki hapo

    • @begaca
      @begaca 4 ปีที่แล้ว +2

      Tazama Huyu Jamaa Alivyofundi...... Duh

    • @moanahjackymuh454
      @moanahjackymuh454 4 ปีที่แล้ว +1

      Kajitahi😂😂😂😂😂😂 ajibezisheee kiduuuunchu

    • @felisterandrew8741
      @felisterandrew8741 4 ปีที่แล้ว +1

      Maajabu ya dunia

    • @mwanakombomtella8968
      @mwanakombomtella8968 4 ปีที่แล้ว

      Mwenyezmungu tunaomba utujalie mwisho mwema.

  • @minzletluhunga1164
    @minzletluhunga1164 3 ปีที่แล้ว +10

    Eeeee MUNGU utuhurumie sisi wakosefu tuwe na mwisho mwema wa dunia utusamehe makosa yetu AMEN.

    • @vonmo3769
      @vonmo3769 ปีที่แล้ว

      Tumwamin I Mungu atupaye uzima

  • @sharonnasambu6753
    @sharonnasambu6753 3 ปีที่แล้ว +3

    Kama unamkubali jamal na uko hapa 2021 baada ya corona kutuangaisha gonga like tukisongaah. Mungu nijalie mwisho mwema

  • @sbreezedaclassictz3132
    @sbreezedaclassictz3132 4 ปีที่แล้ว +93

    Shukran Jamal Hili ni somo Tosha. Mwenyezi mungu atujalie mwisho mwema😢amin

    • @mohammedjuma7878
      @mohammedjuma7878 4 ปีที่แล้ว +1

      Ameen

    • @deogratiasnzelani160
      @deogratiasnzelani160 4 ปีที่แล้ว +1

      Ameen mdogo wangu Jamari Mungu amekuongoza kuyaongea haya sababu hata makanisani au misikitini sasahivi hayahubiriwi haya isipokuwa kanisani kwangu tabata kisukuru Eagt utawasikia wachungaji na mitume wanahubiri kuvunja laana na vifungo lakini kuwaambia watu Mambo ya lazima hamna mwisho unakuja lkn hakuna ajuae Mathayo 24:36 na Bwana Yesu aliapa kwamba lazima yatatokea haya Mathayo 24:35

    • @lontinebrazos3568
      @lontinebrazos3568 4 ปีที่แล้ว

      Amen 🙏🙏

    • @elizabethkarisa9121
      @elizabethkarisa9121 2 ปีที่แล้ว

      Eee mungu utaisadie !

    • @raphaelkombe9394
      @raphaelkombe9394 2 ปีที่แล้ว

      Mwenyezi mungu mapenzi yako yatimee

  • @alimbarouk9353
    @alimbarouk9353 4 ปีที่แล้ว +14

    Subhanallah yaarabi tujalie mwisho mwema turudi kwako tukiwa tumetubia amin

  • @emmanuelnzaligo6262
    @emmanuelnzaligo6262 4 ปีที่แล้ว +27

    Inatisha sana ila tunaomba utuleteage mafundisho kama haya mara kwa mara huenda tukabadilika ubarikiwe sana na kazi njema

  • @lightnessjose4984
    @lightnessjose4984 4 ปีที่แล้ว +21

    Mungu tutie nguvu zako ili siku hiyo tukuone na tukulaki 🙏

    • @ngunitv
      @ngunitv ปีที่แล้ว +1

      Thank you watching/ngunitv

    • @ngunitv
      @ngunitv ปีที่แล้ว +1

      Watching /ngunitv

    • @ngunitv
      @ngunitv ปีที่แล้ว

      Ngunitv

  • @diamondplatnumz191
    @diamondplatnumz191 4 ปีที่แล้ว +94

    NICE

  • @twalhaadam952
    @twalhaadam952 4 ปีที่แล้ว +9

    Allah tupe mwisho mwema sisi waja wako WAISLAMU ya rabb🤲🤲😭😭hussnul AL khatima ya ALLAH

  • @danieltuya3089
    @danieltuya3089 3 ปีที่แล้ว +3

    Mungu atupe neema siku ikfka kiama wote tuwe tumeungama madhambi tuliyo tenda Kama unaamin comment amen

  • @josephinepeter7393
    @josephinepeter7393 4 ปีที่แล้ว +8

    Kweli mungu ulituumba kwa mapenzi yako na tunakuomba utunusuru na janga hili maana tumejua siri nyingi ila hii umetufichia,jina lako na lihimidiwe 👼

    • @eriminahchai8489
      @eriminahchai8489 ปีที่แล้ว

      Mbona walikosa jibu na wao ni waerevu mungu pekee

  • @elizalwakatare8070
    @elizalwakatare8070 4 ปีที่แล้ว +81

    Hongera aisee kumbe siku hizi unaandika na kusimulia

    • @womenmuungano881
      @womenmuungano881 4 ปีที่แล้ว +1

      Eee mungu tunusuru wote waja wako

    • @rasykizanjbari4996
      @rasykizanjbari4996 4 ปีที่แล้ว

      @@womenmuungano881 amin thumma amin hakuna ajuae kesho

  • @johnhamis3647
    @johnhamis3647 4 ปีที่แล้ว +63

    Jamali unajua,stor ni kali kinomaa,,fany mchakato uandike mwendelezo inakaa haijaisha,,

  • @deedzomper3876
    @deedzomper3876 4 ปีที่แล้ว +3

    Mungu tusamehe

  • @mwanaishahussein2635
    @mwanaishahussein2635 4 ปีที่แล้ว +5

    Amiin, na ninamuomba MUNGU aichukue roho yangu kalbla ya siku hiyo ya kaiama🤲🤲🇰🇪

  • @ramadhanathuman940
    @ramadhanathuman940 4 ปีที่แล้ว +34

    Allah atujalie mwisho mwema

  • @hamistally2854
    @hamistally2854 4 ปีที่แล้ว +16

    Nice kumbe daimond platnam kumbe pia anaangalia stor book bosss Simba baba laooo

  • @evanskapkesosio899
    @evanskapkesosio899 4 ปีที่แล้ว +14

    msimulizi mzuri, congratulations from Kenya

  • @marryafam2842
    @marryafam2842 3 ปีที่แล้ว +11

    Nimejikuta nalia😭😭😭Ya Allah nipe mwisho mwema na unisamehe

  • @winfridmsindo984
    @winfridmsindo984 4 ปีที่แล้ว +133

    Janmani tuache unafiki huyu mwamba wengi mlimsema kwamba hajui Leo tena mmegeuka ✍️🙏🤝kweli binadamu cyo watu wazuri wamejawa na unafiki

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 4 ปีที่แล้ว

      Winfrid Msindo Maneno ya dudubaya yaweke akilini anasemaga vishonoko

    • @suleymanmj7948
      @suleymanmj7948 4 ปีที่แล้ว +1

      Huyu anapita kwenye njia ya mtiga abdallah style , bila hivy wangepotea,

    • @hamidhamadhamad5653
      @hamidhamadhamad5653 4 ปีที่แล้ว +2

      Hyu ni Jamal niambae aliekua anaandika story alaf mtiga abdallah yeye anasoma ila saiv yeye Jamal ndie anasoma pmj nakuandika mwenyewe

    • @suleymanmj7948
      @suleymanmj7948 4 ปีที่แล้ว

      @@hamidhamadhamad5653 sijakataa uzuri wa uandishi wake,, lakin kuandika na kufanyia kazi ni vipaji viwili tofaut, alipoondoka mtiga jamaa alitumia style yake kila mtu alimkataa akajiongeza akapita njia ile ya mtiga, ndo leo munasema katulia, ukweli anajua ku edit story,

    • @smilestucke4932
      @smilestucke4932 4 ปีที่แล้ว +3

      Winfrid Msindo kiukweli kwenye ukweli inabidi pasemwe ukweli,awali jamaa alikua akitumia mfumo wausimuliz ambao ulikua ukiboa kusikiliza,mfumo huu mpya amejitahid na at least unatia haja ya kumsikiliza,na hamna asojua hilo,au ndio nyie mnaotaka kusema Bongo star search judges walimuonea Harmonize!??,msikilize Harmonize alokua akiimba Malaika na huyu wa leo ndio utajua kua mtu akizingua watu wanaona na akijiweka sawa watu wanaona,kiufupi Jammal jitahid kuweka mfumo wako wa usimulizi imara zaid ya hapa ulipo kwa sasa kwan umesonga mbele kidogo tofauti na ulipokua awali..

  • @ayubufrank
    @ayubufrank 4 ปีที่แล้ว +6

    Nilipo gundua kua ww ndo mwandishi na sasa ww ndo unasimulia kiroho safiii nakukubali na maisha yanaendelea 🤝🤝🤝🤝

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp8224 ปีที่แล้ว +5

    MUNGU atujaalie mwisho mwema inshallah

  • @chunaamina8719
    @chunaamina8719 4 ปีที่แล้ว +5

    Subhanah Allah Mungu a tunusuru turudi kwa muumba wetu, ambao hawamkumbuki aliewaumba Na kuamin kudura zake

  • @ligikuutv5309
    @ligikuutv5309 4 ปีที่แล้ว +8

    Go go u done my friend

  • @wessinemadrama
    @wessinemadrama 4 ปีที่แล้ว +21

    Asanté sana Wasafi media Mwenye Anapenda wfd Agonge like

  • @ezrakawogo2568
    @ezrakawogo2568 4 ปีที่แล้ว +11

    mungu atutetee wapendwa,,, huo wote ni ukwelii unaopatikan kwenye biblia katika kitabu cha ufunuo wa yohana....

  • @shabaniramadhani4109
    @shabaniramadhani4109 4 ปีที่แล้ว +4

    Qur,an 99:1 --- 99:8 ni xku nzito mnooo Allah tujalie mwisho mwema InshaAllah😢😢😢😢😢🙏🙏🙏🙏🙏

  • @yirgayemyirgah7820
    @yirgayemyirgah7820 4 ปีที่แล้ว +15

    Daaaah Jamal umetisha mzeee bonge moja la story ...asante kwa kutukumbushaaa tunajisahau sana

  • @lazaroelias9227
    @lazaroelias9227 4 ปีที่แล้ว +13

    Uko vizuri sana, hii ni fundisho kubwa sana maana binadanu ni mfano wa maua

  • @anelkaofficial4354
    @anelkaofficial4354 4 ปีที่แล้ว +48

    7:22 Hapo ndo nimeanza kuogopa Mpaka nimeacha kuangalia 😭😭😭😭😭

    • @neemapemmanuel2681
      @neemapemmanuel2681 4 ปีที่แล้ว +2

      Usiogope ndo tunakoelekea

    • @husnamsofe8601
      @husnamsofe8601 4 ปีที่แล้ว

      You don't need to be afraid the thing is to do what God told us.

    • @issabellnjambi8136
      @issabellnjambi8136 4 ปีที่แล้ว +3

      ACCEPT JESUS CHRIST AS YOUR PERSONAL SAVIOUR HE IS THE ONLY WAY, TRUTH AND LIFE AND YOU WILL NOT BE AFRAID YOU WILL BE SAFE AND SECURED

    • @nacielipaulos4101
      @nacielipaulos4101 3 ปีที่แล้ว

      Dah hata mim nimeogopa

  • @MagrethJohn-pt8hg
    @MagrethJohn-pt8hg 17 วันที่ผ่านมา

    Mungu ni wa upendo saana na huruma atatutetea, TUSAMEHE DHAMBI ZETU NA UTUNUSURU NA GHARIKA YA MATESO AMEEN

  • @kirupyseleman582
    @kirupyseleman582 4 ปีที่แล้ว +31

    Story book haita kufaa kumbe mwamba uko vizuri kwanza tushaizoea sauti yako endelea kutuletea story br✌🙏🙏🙏🙏✍️✍️✍️

  • @seiftupa7959
    @seiftupa7959 4 ปีที่แล้ว +601

    kama wasikiliza uku wasoma comment like apa plzz

  • @mbogimanoti8359
    @mbogimanoti8359 3 ปีที่แล้ว +1

    Wa kenya twapenda sana the story book

  • @dibah613
    @dibah613 3 ปีที่แล้ว +1

    Ewe mungu tuepushe mbali na maovu ya kishetani..zidi kuwakumbusha wana wako wakujue zaidi

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 4 ปีที่แล้ว +40

    Hii sku anajua mwenyewe ALAH,hakuna cha msomi wala kidudu mtu yyte ataweza tabir..YA ALAH ATUPE MWISHO MWEMA.....🙌mama hamjui mtoto kweli ni cku NZITO😰

    • @gdgfdg5272
      @gdgfdg5272 4 ปีที่แล้ว +2

      Hpo kweli mwisho wa dunia n kifo cha mtu dunia haiishi mtu ndiye huisha

    • @husseinmagessa7721
      @husseinmagessa7721 2 หลายเดือนก่อน

      ukisoma Mathayo 24 skumbuki vzul ni mstali wa ngap ila hata Yesu mwenyewe anakili kutojua ni lini mwisho wa dunia wala maraika yeyote mbinguni ajuae mwisho wa dunia ispokua Mungu pekee

  • @franklinemoi8516
    @franklinemoi8516 4 ปีที่แล้ว +27

    Tushakukubali Jamal April 💪💪💪💪💪💪💪 ila usimchokonoe Mondi 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

    • @amoskizigha4781
      @amoskizigha4781 4 ปีที่แล้ว +1

      😂😂😂😂😂

    • @shennaarasheed1587
      @shennaarasheed1587 4 ปีที่แล้ว +1

      Achokonolewi amkumbuke mungu yy amchonoa mungu Nani mchonoaji zaidi Ni Jamal au mondi

  • @vj2wk6mq8f
    @vj2wk6mq8f 4 ปีที่แล้ว +2

    Waaah...natazama kutoka Nairobi kenya...ngonga like tusonge kwa pamoja

    • @user-yr1sh6wr3v
      @user-yr1sh6wr3v 3 หลายเดือนก่อน

      Bt kumbuka mwenyezi mungu pekee ndiye ajuae vyenye kutakuwa ayo mengine ni ya malimwengu tu

  • @judithmundele228
    @judithmundele228 3 ปีที่แล้ว +1

    Mungu nipe mwisho muzuri nawa toto wangu

  • @josephmkuar7133
    @josephmkuar7133 4 ปีที่แล้ว +4

    Tushakuzoea kwasasa Jamal hii story Umetisha sana 🙏🙏🙏

  • @maestro1902
    @maestro1902 4 ปีที่แล้ว +20

    Hadi na tetemeka ee Mungu nipe mwisho mwema

    • @stevenshirima4479
      @stevenshirima4479 4 ปีที่แล้ว

      Patrick Dilort r

    • @husnamsofe8601
      @husnamsofe8601 4 ปีที่แล้ว +1

      Amina sisi sote.

    • @storanoti8329
      @storanoti8329 3 ปีที่แล้ว

      Huruma yako yatoshaaa

    • @marylucas7382
      @marylucas7382 3 ปีที่แล้ว

      Tubu Zambi Zako zote Na kuacha Leo hiiii hakika utauona ufalme WA mbingun

  • @itsbahboy5434
    @itsbahboy5434 4 ปีที่แล้ว +2

    Mungu tunaomba utusamehe madhambi yetu amina

  • @rahmaoman470
    @rahmaoman470 ปีที่แล้ว +3

    Yaa Allah tujaliye mwisho mwema na utusamehe makes yetu

  • @leoncearistides3448
    @leoncearistides3448 4 ปีที่แล้ว +80

    Bonge la story kbsa baba saiv unajua kusimlia bhn @jamal April big pU

  • @hajikishua1410
    @hajikishua1410 4 ปีที่แล้ว +24

    R l p mtiga 😥mazalau yalikuponza ukajiona umesha kuwa star Aina Noma piga kazi mwenyewe jamaLi

    • @jumasufiani6551
      @jumasufiani6551 4 ปีที่แล้ว +1

      Kwan mtiga katolewa

    • @nickalreadyknows
      @nickalreadyknows 4 ปีที่แล้ว +1

      Kwan ni lazima mjomba si ni maamuz acha kukarii na kupangiana pimbi ww

    • @hajikishua1410
      @hajikishua1410 4 ปีที่แล้ว

      @@nickalreadyknows mjomba ako Nani wewe mi siwezi nikawa kaka wa mama ako akati mimwenyewe bado mdogo unataka nisikutombee mwanao nini

    • @nickalreadyknows
      @nickalreadyknows 4 ปีที่แล้ว

      HAJI KISHUA acha kukariri ww pimbi mtiga mtiga kila mtu na namna mipango yake anavyojiona kutoa sio kosa

    • @hajikishua1410
      @hajikishua1410 4 ปีที่แล้ว

      @@nickalreadyknows Nani Sasa kka lili kwani mi pale nimeandikaje acha kuongea uboya Soma kwanza ki2 ndo utowe coment sio unakuwa unakulupuka

  • @mudathirrashid4751
    @mudathirrashid4751 2 ปีที่แล้ว +5

    Congratulations jamal we don't know we will happen but one day yes

  • @sophiaslasslas2292
    @sophiaslasslas2292 4 ปีที่แล้ว +7

    mungu atusaidie sana jamani make nampenda sana mwanangu sjui itakuewaje 😭😭😭😭😭😭🙏🙏

  • @sebastianfesto8777
    @sebastianfesto8777 4 ปีที่แล้ว +95

    There is nothing in this world above the Lord we need to stay and walk in God. We are like candles

  • @victoriadavid9211
    @victoriadavid9211 4 ปีที่แล้ว +167

    Tumrudie mungu jamani 😢

    • @ireenkin308
      @ireenkin308 4 ปีที่แล้ว +2

      Kabisa

    • @maryammct3967
      @maryammct3967 4 ปีที่แล้ว +1

      Kweli kabisa

    • @maryammct3967
      @maryammct3967 4 ปีที่แล้ว +2

      Allah atupe mwisho mwwema yarab 😭😭😭😭😭😭😢😢😢

    • @robbyzakaria9934
      @robbyzakaria9934 4 ปีที่แล้ว +1

      Yaani kweli kabisaa😭😥😪

    • @happymussa9864
      @happymussa9864 4 ปีที่แล้ว +1

      E mungu tusaidiye

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 3 ปีที่แล้ว +1

    Subuhanallah Allah atujaalie Mwisho mwema lnshallah mtihani

  • @marymeja1936
    @marymeja1936 2 ปีที่แล้ว +1

    Ee mwenyezi MUNGU tupe mioyo mikunjufu tukutumikie kwa Roho na kweli. amen

  • @halimasssomar8793
    @halimasssomar8793 4 ปีที่แล้ว +13

    Mi mwanzo siku iyo nitakuwa nisha kufa..mungu nijalie mwisho mwema....

    • @halimasssomar8793
      @halimasssomar8793 4 ปีที่แล้ว

      @@lampadshigonko3006 kufa nitakufa naamini hilo..lkn kufikia kuiyona iyo siku y mwisho wa dunia..sina uakika uo

    • @nusuraharuna7333
      @nusuraharuna7333 4 ปีที่แล้ว +1

      Ewe mwenyezimngu tujalie waja wako mwisho mwema

  • @daniellouisbeckford8222
    @daniellouisbeckford8222 4 ปีที่แล้ว +7

    Ee Mungu tusaidie tukutii wewe 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @maguoshao1300
    @maguoshao1300 4 ปีที่แล้ว +1

    Storii nzuriii japo kwa uuwelewa wa kawaida mwisho wa dunia ni pale unapofariki unapokata pumzi ndo mwisho wako!

    • @mbonicashoo3459
      @mbonicashoo3459 ปีที่แล้ว

      mwisho wa dunia upo.hakuna kitu kisichokuwa na mwisho.soma vitabu vya dini

  • @user-fy6ck9di1f
    @user-fy6ck9di1f 9 หลายเดือนก่อน +3

    This story, Is very attractive to learn families, do not forget, always any time,brings this.

  • @joyceglam4612
    @joyceglam4612 4 ปีที่แล้ว +77

    The word of God is true and amen🙏 thanks be God

  • @wahidymrosso7600
    @wahidymrosso7600 4 ปีที่แล้ว +6

    Mwenyezimungu tujalie mwisho mwema wa maisha yetu duniani

  • @munnymusa3497
    @munnymusa3497 3 ปีที่แล้ว +2

    SubhanaAllah😧 husnul khatima ya Allah...Amiin

  • @nashahaji3576
    @nashahaji3576 4 ปีที่แล้ว +25

    Maneno haya yananiumiza mno ya Allah atunusuru 🙏

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 3 ปีที่แล้ว

      Kwa nn ukhty

  • @yonamwakamele
    @yonamwakamele 4 ปีที่แล้ว +379

    Maneno yananichoma
    Binadamu ni maua
    Ikipita wiki moja
    masikini nasahau kabisaa
    Ooh niko na ubaya
    Eeh niko na ubaya
    Bwana nibadilishe

    • @amourboyall9485
      @amourboyall9485 4 ปีที่แล้ว +7

      Naikubali sana the story book kama na ww unaipenda gonga like tuende sawa

    • @halimasssomar8793
      @halimasssomar8793 4 ปีที่แล้ว +5

      Inategemea na roo na moyo wako..km mm kila siku...nikiamka mzima..lkn akili usema anytime nafa mungu akipenda..so utakiwi kusaau kifo..sababu unacho unatembea nacho..cha msingi ukiwa bado mzima...bs fanya bidii utende yalo mema ili upate mwisho mwema

    • @cosmasbrian6849
      @cosmasbrian6849 4 ปีที่แล้ว

      Yona Mwakamele n

    • @papaesco5198
      @papaesco5198 4 ปีที่แล้ว +1

      Kweli broo but inabidi umuabudu mwenye mbingu na Ardhi ndio utaokoka hii siku

    • @komboabdallah5317
      @komboabdallah5317 4 ปีที่แล้ว

      Binadamu ni kama maji ya MTO ,ukigusa basi ndo yamepita

  • @mcmsemakweli5256
    @mcmsemakweli5256 4 ปีที่แล้ว +45

    Jamal 👊 Big up Bro unakuwa kila siku, kazana usichoke 💪

    • @aminakhamis2342
      @aminakhamis2342 4 ปีที่แล้ว +2

      Mungu atupe mwisho mwm na kauli thabit inshallah 🤲😢😭

    • @faithmhagama9325
      @faithmhagama9325 3 ปีที่แล้ว +1

      Mungu pekee ndiye anayejua ila matendo yako yatakufiksha mbinguni

  • @ramadhaniamri3465
    @ramadhaniamri3465 2 ปีที่แล้ว +2

    Mungu Baba Tunakuomba Utupe Mwisho Ulio Mwema,Na Pia Tunaomba Utupe Kauli Thabiti....Aamiin

  • @michelinemapendo6652
    @michelinemapendo6652 3 ปีที่แล้ว +10

    Eeeee Mungu wangu nipe mwisho mwema tuepuche natama za duniya, 🙏🙏🙏😭😭

  • @thenextmvp8568
    @thenextmvp8568 4 ปีที่แล้ว +6

    Jamaa anajua sana

  • @massogaholmes452
    @massogaholmes452 4 ปีที่แล้ว +55

    Lord have mercy on our soul

  • @merveillendaya133
    @merveillendaya133 4 ปีที่แล้ว +2

    Mungu wa rehema, uiokwe nafsi yangu, na huruma yako iwe juu yangu

  • @bekaflavourbeka2201
    @bekaflavourbeka2201 3 ปีที่แล้ว +1

    Mh mungu mkubwa atabaliki tu mwisho mwema

  • @hassan0256
    @hassan0256 4 ปีที่แล้ว +109

    Jamal kanyaga twende Tumechelewa Sana !
    Nasemajee Kanyaga twende Tumechelewa Sana !
    Ila namimi mwanzo nilikua sikuelewi kabisa ila naanza kuelewa na kuzoea 😄

    • @donraykiko4243
      @donraykiko4243 4 ปีที่แล้ว +1

      Seng* umenichekesha sanaaa bana

    • @sofiaasukuku8238
      @sofiaasukuku8238 4 ปีที่แล้ว +1

      Yuko fresh sana

    • @hassan0256
      @hassan0256 4 ปีที่แล้ว

      @@sofiaasukuku8238 Yap Tatizo lilikua mazoea

    • @rajabukiseto4103
      @rajabukiseto4103 4 ปีที่แล้ว +1

      Jamaa yuko vzur sana kwahii ametishaaaa

    • @hassan0256
      @hassan0256 4 ปีที่แล้ว +2

      @@rajabukiseto4103 Hata zile Comments za kumtaka Mtiga zimepungua Sana

  • @makeiromakeiro359
    @makeiromakeiro359 4 ปีที่แล้ว +29

    1st viewer from 254

  • @shifaazawadi4438
    @shifaazawadi4438 4 ปีที่แล้ว +2

    Allah atujalie mwisho mwema hapa duniani na ahera

  • @nzwilamakonda8053
    @nzwilamakonda8053 4 ปีที่แล้ว +13

    Huyu ndye alikuwa anaandika story na inasimuliwa na mtiga ila sasa hv anaandika yy na kutia manjonjo yeye ameweza sana

  • @catherinesteven968
    @catherinesteven968 3 ปีที่แล้ว +2

    Eeeh mwenyezi mungu tupe mwisho wa kheri🙏

  • @rayoneeugene8177
    @rayoneeugene8177 4 ปีที่แล้ว +13

    Sauti imekaa poah sana 💪

    • @Gold_trucker
      @Gold_trucker 4 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣🤣 mzee naww upo uku

    • @hassanimikidadi1254
      @hassanimikidadi1254 3 ปีที่แล้ว

      Saut ilipita shule nawashaur kumjua zaid mtume Wa Islamic bwana Muhammad siyaoni mageni Ila kama nilvyoyasikia ktk mafunzo ya Muhammad s a w

  • @tedyypaulo3300
    @tedyypaulo3300 4 ปีที่แล้ว +2

    Mungu unipe mwisho mwema mimi na familia yangu kwa hatujui tuendako

  • @mtumakini2863
    @mtumakini2863 4 ปีที่แล้ว +8

    Mungu atujalie mwisho mwema,tuishi kwa upendo na amani kwani hakuna atakayeishi milele ktk hii dunia,jiulize wangapi ndugu na jamaa hatuko nao? Tumrudie Mungu,wanadamu tunajisahau sana! Like kama tupo pamoja

  • @patrickcalton6268
    @patrickcalton6268 4 ปีที่แล้ว +21

    Tuletee mastory za Mars na majupita uko💥

  • @toney..
    @toney.. 4 ปีที่แล้ว +51

    God is always there for you!

  • @charitynyambura2468
    @charitynyambura2468 4 ปีที่แล้ว +52

    Only God know, about this day even jesus does not know, may God guide us

  • @adilaamani1770
    @adilaamani1770 4 ปีที่แล้ว +2

    Allah atupe mwisho mwema