Kama movie za kibongo zingekuwa simulizi...na mtiga ndie anaesimulia baas ata uongo ungekuwa una sound kama ukweli...big up bro nazikubali simulizi zako sana tu🇰🇪
Kama kun mtu alizaa mtoto na akamuacha akiwa na umri wa miaka 10 na yy akiwa na miaka 30! Baada ya ndege kurudi baba atakuwa na miaka 30 mtoto anamiaka 47!😁😁😁
Kisa si cha kweli!! Hakuna uthibitusho wa tukio hili kutokea hata kidogo! Story inapatikana kwenye blog ya umbea! Na nilikutana nayo nilipoangalia movie ya Manifest. 92 si mbali sana! Taarifa za Hii habari zingekuwa zaidi ya zilivyo kwenye mtandao! Hakuna verified chombo cha habari kilichoreport hii Hii habari, na Hakuna abiria aliyehojiwa kuhusu hili tukio . Ni completely FAKE
uzur unamtukana mama yako na mwanamke wako na ndg zako wakike pia ,ww ni wa ajbu sana nilijua tu utakua mtu fulani usiye muelewa mwenye IQ ndg sana ,ndio maana unataja kiungo cha aliyekuzaa ni ajabu sana
Mtiga proud of you my brother am from in Tanzania African my brother, jamani tujivunie kuwa mtiga, hapa Tanzania nipeni like za mtiga, mtiga I wish you all the best of your life, 🙏👏👏👏❤️🙏❤️❤️
Nani katia shaka kama mimi? KUOKOTA KALENDA!! DAH! HAPO NDIO KIZUNGU MKUTI, WASAFIRI WANASAFIRI NA KALENDA AFU NDEGE INAPOTUWA WANADONDOSHA KALENDA! MISTERE! natia shaka.
th-cam.com/video/0iXevskHVoY/w-d-xo.html QUR-ANI TAFSIRI. *suratul faatiha* Ijuwe kuisoma suratul faatiha na tafsiri yake. *una weza kutumiya kwa kujifunza kusoma qur-ani na kumfunza mtoto wako* 😊Usi sahau kumfikishiya na mwengine ili tufaidike sote. Usisahau ku *subscribe, like na ku comment*.
habari hii iliripotiwa na gazeti ambalo huku kwetu tunaweza kulifananisha na ''sanifu''..ilikuwa ''HOX'' taarifa ya kubuni tu na haijawahi kutokea hiyo kitu. lakini ni hadithi nzuri.
Tukio kama hili si chache vile kuchapishwa kwa gazeti tu. Basi ata vyombo vya habari ata za hapa kwetu zingejaa hadithi hii. Ata kwa sasa abiria pia wangekuwa bado wanaishi na wangekuwa washahidi tosha kwa vyomb vya habari. Na ata kwa listi ya 1955 ya ndege zilizopotea ama kuanguka hakuna dalili za Pan Amerucan flight 914. Hizi tu ni fiksi sio ukweli
Hii story nimeshaisikia hapo mwishoni ndo umedanganya, baada ya pilot kuiondoa ndege ili aende miami ilionekana kwenye rada kwa mda halaf ikapotea tena, hivyo hiyo mambo ya kuwa ndege ilitua na watu wake wakaoekana wapo vilevile ni uongo, hao watu wote wangekuwa ni mastaa na tungeona story zao kwenye mitandao
Ndio unashangaa hii je ile ya train ya mexico ilipotea na kuonekana nchi nyingine miaka kama 40 sikumbuki vizuri ikiwa na abiria walewale teina miaka nyuma zaidi ya ile iliyopotea
Search neno "The mistery of Bermuda triangle" utapata story nyingi sana za kupokea kwa ndege zaid ya 360 na meli zaidi ya 250 katika eneo hilo hilo LA Bermuda triangle...au pembe tatu ya shetani....kuna watu wanaamini eneo hilo ni Portal dimension ya Kwenda sayari zingine....wengine wanaamini hilo eneo ni eneo lenye viumbe vyenye ukubwa usio wkawaida na ndio huvizuru vyombo hivyo...wakati theory nyingine inadhani eneo hilo ni eneo ambalo binadamu na vyombo vyao hujikuta wamesafiri mbele ya muda au nyuma ya muda...mfano...tuko mwaka 2019 then unasafiri hadi mwaka 2150 (Time travel)
Ukisoma concept ya black holes utakuja kukubali kuwa hiki n kwlei ..kuna zone inaitwa black holes ambayo ina kani kubwa snaa ya mvutano, kubwa zaidi kuliko ya duniani. ..so ndege ikipita katika hiyo zone itachukua muda kuitoka na pia Hilo eneo haliitambui muda (time) yani ukipita Hilo eneo hauwi infected by Time kama duniani kama vile kuzeeka au mabadiliko ya kimaumbile ...unabakia vilevile hata baada ya miaka hamsinj . Someni kujua habari za black holes
Uko sahihi sana, jamaa anatoa chai. Anaweza kusimulia lakini kuchambua vyanzo vya taarifa na kusimulia kama ilivyo kutoka sources nyingine hawezi. Anasimulia ilimradi watu wafurahie.
Ndio maana ndege zinapotea angani mashetani yanachukua ndege daaha mungu atulinde kwenye safari zetu za anga.. Kama Malaysia Air lines haijaonekana mpaka Leo hata mabaki wala kamba za viatu hawajaziona
Tunao irudia 2024 hii story like zenu hapo
Tupo nayo
😮😢
😢
Tupoo hapa
Bana miaka 37 wee
Wanao sikiliza na kusoma comments wakiwa na head set gonga like yako apa.
Jamil Mwinge mm apa
Kama nakuona vile
Kweli mm siamini
Hahahaha wanatuona watoto sasa
👋👋
Kma unawachomolea berti wasimulizi wa channeel nyngne na unamkubal mtiga gonga like hapa
Hajamzid yule wa global tv
Kla mtu anauwezo wake lkn ananias Edgar ndo baba lao
Nuru Kymwager#,who's is Edgar the narrator of this story
We Ananias ana sauti nzuri ya kusimulia
Oz mask Wpa zlipo
Tunaosikiliza #The story book 2021 tujuane 🚶🚶💯💯
Nipo nawe
kama unapenda sauti ya mtiga gonga like hapaa,sauti yake inahamasishaa sanaa
sana maansha Allah,kwakeli amejaliwa sauti mzuri yenye mvuto
Haki sauti yake inapendeza
Winma Zachariah
@@ameenaoman7416 h
ako sawa
Wangapi waliokuwa wakiisubiria youtube
👇
Samwel mimi
Mimi
Mm
kumbe kuna sayar watu hawafi na hawazeeki dah kweli dhambi ya dunia imetutafuna ee mungu inusuru dunia yetu.
Hiyo ndio mungu.....ukisoma kisa cha watu wa pangoni katika suratul khaf....uwezi shangaa na hili mungu ana miujiza mingi.
Kama movie za kibongo zingekuwa simulizi...na mtiga ndie anaesimulia baas ata uongo ungekuwa una sound kama ukweli...big up bro nazikubali simulizi zako sana tu🇰🇪
Nakubali Kazi nzuri
kwa nini?
Suleiman Mbwana from u.s.a 🇺🇸 doing great job b. Low-key
@@kyataonline5262
Kachumbald
@@paschalsiso4431 nini hiyo?
Moja ya watangazaji bora kabisa Tanzania Mtiga Abdallah salute sana kaka
So true jamani Mtiga Abdallah ana namna ya kufanya the story kuwa na mvuto wa kipekee..amefanya the story book iwe ma best program in 88.9
iko kitu akiwez kuwa ukukweli cz iyo ilienda na haikuweza kurudi tenaah
Going balaa
Msikiliz ananis ndio utaelew yupoje, yule ndio namuelew mm
American supernatural drama television series.
manifest
Tunao sikiliza na kusoma comments tukiwa na headset tugonge like zetu hapa
HIKI KISA KINATISHA KULIKO MOVIE YA INSYUKA😁😁😁😁
Teh
nahis iltoka mbinguni au c o
Munira Ahmed y
Yolanda
Rose mhando yelusalemu
hv nyie waomba like kwenye kazi za watu mnawazaga nini kenge nyie ?
acheni ushamba
Ningeamini kama angehojiwa abiria aliyetoka ndani ya ndege hiyo kama alivyohojiwa yule bibi aliyenusurika katika ajali ya meli ya Titanic
Official Kamdudu umepewa nawewe kamdudu like inaashilia kua mkopamoja watanzania bwana
Godliving Moshi umeona eh ?
hawa jamaa wanatupiga fix hawana lolote
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😃😃😃😃😃😃
Kama unapenda story za jamali gonga like hapo
Kama kun mtu alizaa mtoto na akamuacha akiwa na umri wa miaka 10 na yy akiwa na miaka 30! Baada ya ndege kurudi baba atakuwa na miaka 30 mtoto anamiaka 47!😁😁😁
Hahshs umewaz mbl sanaaaaaaa
Hahahahahaaaaa umetishaaa bro
Hahhahahaaahaaaaa
U genius
I like it😂😂😂😂😂
Kisa si cha kweli!! Hakuna uthibitusho wa tukio hili kutokea hata kidogo! Story inapatikana kwenye blog ya umbea! Na nilikutana nayo nilipoangalia movie ya Manifest. 92 si mbali sana! Taarifa za Hii habari zingekuwa zaidi ya zilivyo kwenye mtandao! Hakuna verified chombo cha habari kilichoreport hii Hii habari, na Hakuna abiria aliyehojiwa kuhusu hili tukio . Ni completely FAKE
Truee this is fake made up story. 🤣😂🤣🤣🤣😂🤣😂, doesn't make sense. No media has ever reported such thing.m Ona haina evidence kama vile titanic
Kama unakubari hii sauti like hapa....
Kwenye hii ndege kulikuwa hamna mjamzito ???nafkiria tu hapa peke yangu sielewi
Ujauzito nao ulisimama
Bado ana mimba🙄
Hahah
Atari
Kila kitu ili stand still
Mtanganzaji niombeee mungu nkishika hela in sha Allah ntakupa mil 1 kama zawad 🙏🙏🙏
the story book naipenda sana tena sana kazi nzur san wasaf limited oyooo wcb for life
Mko vzr sana
I will be back again
Story Kama movie ya MAZERUNNER 3 wangap wameiona
Nzuri sana na sielewi vipi kweli kuwezekana th-cam.com/video/rcSqFJpREBA/w-d-xo.html
Maajabu ya mungu mungu nimkubwa
Ningepata bahati hiyo ya kutozeeka
big up mtiga abdallah unajua sana bro nazikubali story zako, km naww unamuelewa mtiga kushinda mm gonga like twende sawa
Hawa wazungu Mungu anajaribu kuwaonesha yupo lakin ni wabishi tu
Mzungu gani asiyeamimini Mungu broo au unajifurahisha na maneno yako
kwa story zako nitakufuata mpaka unichoke Niko na mwanachuo line Nakupenda Sana bro
Niko hapa leo lkn jamaa Yuko vzr Sana kwenye simuliz, na hii historia inatufundisha kitu
Miaka yote cjawai isikiia ndo nackia leo hii kali
Ulipo na mm nipo
Ashasema ni storybook,, hope it's a fiction too,,not reality coz wueeee,,,the likes of 'hyena and hare'
Sasa mtiga hao watu waliendelea kuish Au walienda wap Yan mwisho wao hao abiria walishuka ndan ya ndege salama wakaungana na family zao?
Swali hili nataman kulifumbua
Moja Kipindi Bora Wasafi TV
Ni Wasafi Fm bro
Kama unakubali kwamba ni hadisi za kufkilika gonga like apa
🤣🤣🤣🤣hi poul
Na sasa mlijuaje hiyo ndege ilikaa aje miaka 37 angani
Tuna subili sana kazi mnachelewa kuziachia
mmmhhh huu uongo unaofanana na ukweli any way fresh mm nimeinjoy bhna maan ximuliz n nzuri
hiyo ndege na watu wake walikuwa kwenye anga la past time travel, then wakarudi kwenye future time travel.
Duh atihh
Mungu acheni aitwe mungu
Ndo nin
fake story, ilitungwa
Dj afro ako wapi
Eeee Dunia iko na mambo kabisa 😱😱
Asante kwa istoria 🙏
Kama story hii umeanza kuisikiliza katika redio gonga like
Hii taarifa ni confirmed Fake news. Fanyeni utafiti wa kutosha kabla ya kulisha vitu watu kwenye media.
Nyie unaoomba like kwenye post za watu zinawasaidia nin kwan?? Sijaelewa bado
Hahahaha
Mungu wangu fanya urudiye 🤦♀️🤦♀️🤦♀️ Asante sana myiga 🙏🙏🙏
P
,
Love historical event keep on from kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Wakenya tuko locked in💪💯💯 🇰🇪
Tuseme miujiza tu ya mungu 😲😲😲
Sasa hao abiria walisema vipi mbona unatoa habari nusunusu...???
Time travel
Wa saba kukomenti mnipe like na mimi
_Uongo Mzuri Sana Huu_
Ogh
Ogd
huna akili wewe kbsa
@@genarahaswile2990 akili unayo wew kum#
uzur unamtukana mama yako na mwanamke wako na ndg zako wakike pia ,ww ni wa ajbu sana nilijua tu utakua mtu fulani usiye muelewa mwenye IQ ndg sana ,ndio maana unataja kiungo cha aliyekuzaa ni ajabu sana
ndege iliyopotea kisha ikarudi
Here before 1k views storybook ndo kiboko piga like 255 and 254
Hilo no kitendo cha Ajabu.
Dunia ina mambo ya kushangaza sana! usikute na sisi tuliopo hapa duniani tumepotea
😂😂aloo
Hahahaha kwa kweli
Haaaa
Kama unatazama hii video saf gongs like
sasa hao waluorudi na hiyo ndege hawakuojiwa??
Wonderful job bro. Quran talks about this.
Yes
What does it say
Why your writing misteatk
@@kingray6691 in Suratul khaf a similar icident when men came out of caves with ancient currency 300yrs they said they had slept
Haipiti siku bila kusikiliza story zake napenda sana ❤❤
Blaza isije ikawa umecheck series ya "MANIFEST" ndo ukapata story hii 🤔🤔
Lothphin Kiponda hahahhhahahhaha katizama Manifest
acheni kukaza ubongo fatilia kipi kilianza kat ya movie na hlo tukio mwaka 1955 kaa kitalam mzee
Hio manifest ni nzur?
@@elitegeneration1613 jamaa anatuletea story bila kufanya utafiti, iyo story ilitungwa kitambo
Baada ya rubani wa ndege hyo kuiondosha ndege hapo airport alipotua ndege ilipotea angani na haijaonekana tena mpka leo
Daaah nimeamini ni kweli cyo mara ya kwanza kuckia hii nakubali sanaaaaa
Hii ni uongo ulio pitiliza😢 siezi amini😅
Mtiga proud of you my brother am from in Tanzania African my brother, jamani tujivunie kuwa mtiga, hapa Tanzania nipeni like za mtiga, mtiga I wish you all the best of your life, 🙏👏👏👏❤️🙏❤️❤️
Flying for 37 years , no change in age? Hii dunia inamambo 😓
It's all hoax
Wewe HAPO ULIPO HUSTAILII KUTANGAZA APO KWA SAUTI YAKO ILIO JAAA UELEDIIIII UNGETAKIWAA KUWA BBC BE BLESED
😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁maajabu hayo
Mtangazaji Una Mafua Uongo kwel 🤣🤣🤣🤣
Sauti yako inatisha pekee yake
Nani katia shaka kama mimi? KUOKOTA KALENDA!! DAH! HAPO NDIO KIZUNGU MKUTI, WASAFIRI WANASAFIRI NA KALENDA AFU NDEGE INAPOTUWA WANADONDOSHA KALENDA! MISTERE! natia shaka.
Nimeongeza comment moja ndo iwe 255 comments😂. Hawa wakenya wasituibie comments zetu 😂
Lynco Klein 🙄🙄🙄🙄 huwa natazama wasafi TV n I'm a fan, huwa hatuna was na nyinyi so msituanze
daaa! inastua xna
hayo n majabu y musa
Walikuwa wakila nini
th-cam.com/video/0iXevskHVoY/w-d-xo.html
QUR-ANI TAFSIRI.
*suratul faatiha*
Ijuwe kuisoma suratul faatiha na tafsiri yake.
*una weza kutumiya kwa kujifunza kusoma qur-ani na kumfunza mtoto wako*
😊Usi sahau kumfikishiya na mwengine ili tufaidike sote.
Usisahau ku *subscribe, like na ku comment*.
_Mtiga Unatisha Bro, Kazi Zako Zimesimama Unajua Kuamsha Amsha_
Muba Nassor ako ka muandiko vip
@@newforcejv9721 _Kawaida Tu_
habari hii iliripotiwa na gazeti ambalo huku kwetu tunaweza kulifananisha na ''sanifu''..ilikuwa ''HOX'' taarifa ya kubuni tu na haijawahi kutokea hiyo kitu. lakini ni hadithi nzuri.
Ely broo
Allahu akibar
This looks like "The Manifst Series' HEHEHE
So true
Yeah, same story
Tukio kama hili si chache vile kuchapishwa kwa gazeti tu. Basi ata vyombo vya habari ata za hapa kwetu zingejaa hadithi hii. Ata kwa sasa abiria pia wangekuwa bado wanaishi na wangekuwa washahidi tosha kwa vyomb vya habari. Na ata kwa listi ya 1955 ya ndege zilizopotea ama kuanguka hakuna dalili za Pan Amerucan flight 914. Hizi tu ni fiksi sio ukweli
Uongo njoo utam kolea😎🤔😃😃😃
Huu ni uongo mkubwa kutoka kwao wazungu au kwa mtunga hadithi fulani
what's the name of the narrator?BIGUP BRO,,ur voice captures the listener into the story
Mtiga Abdallah
@@aliandrew3537 mm
Ndege hii ni freemanson tupu
sio kwel bruh,umetuuza ndege ilipo tua ilitua na watu wote wakiwa mafuvu bhnaaa...ifatilie vizur io story.
Rich Wayne
Kama watu wote walikuwa mafuvu Basi haikutua ili anguka, maana Rubani ni sehemu ya hao watu usemao wote walikuwa mafuvu!
@@noelmarapachi1808 hapo tu
Kama watu walikuwa mafuvu?? Je rubani naye???
Subhanallah this is the story im the Quran... Subhanallah people... Muslims this is like the people who woke up with very old moneys ankbut
Mie hata story ikiwa ya uongo sijal... But I enjoy to listen the story!.
😁😁
@@adelinekato2762 ok
Kama mie
😅
ALLAHU AQQBBAR QABERAN YAKHLUKU KULL SHEY ALLAHU AQQBAR KHALIKU KULL SHEY WA YAARAAFU KULLU SHEY WA NAHNA MA NAAFF SHEY.SADAQA LLAHU L, ADHEEM
Hii story nimeshaisikia hapo mwishoni ndo umedanganya, baada ya pilot kuiondoa ndege ili aende miami ilionekana kwenye rada kwa mda halaf ikapotea tena, hivyo hiyo mambo ya kuwa ndege ilitua na watu wake wakaoekana wapo vilevile ni uongo, hao watu wote wangekuwa ni mastaa na tungeona story zao kwenye mitandao
Ndugu iko kitu kinaitwa Time travel
Soma vitabu utaelewa
Ndio unashangaa hii je ile ya train ya mexico ilipotea na kuonekana nchi nyingine miaka kama 40 sikumbuki vizuri ikiwa na abiria walewale teina miaka nyuma zaidi ya ile iliyopotea
Ni ukweli hata kuna movie yake
Kiukweli MTIMGA unadauti ya kusimulia unamzidi JAMALI japo watabisha ila unaweza mzee baba
Sauti ya mtiga inafanya simulizi kuwa nzuri zaidi hata kama story n ya kawaida
Angetafutwa mmoja wapo aliekuwa ndani ya ndege hiyo ili wamhoji tumsikie, aseme walikuwa wapi.
Kaka hii hatar kabisa 😂😂😂😂😂😂😂sema MwAnangu mimi nakuelewa
Rocky vlogs 😂🤣
nambie
Mungu anapenda kuhonesha wazungu kama yupo
hii hadithi inatisha maana sio kwa miujiza hio
Search neno "The mistery of Bermuda triangle" utapata story nyingi sana za kupokea kwa ndege zaid ya 360 na meli zaidi ya 250 katika eneo hilo hilo LA Bermuda triangle...au pembe tatu ya shetani....kuna watu wanaamini eneo hilo ni Portal dimension ya Kwenda sayari zingine....wengine wanaamini hilo eneo ni eneo lenye viumbe vyenye ukubwa usio wkawaida na ndio huvizuru vyombo hivyo...wakati theory nyingine inadhani eneo hilo ni eneo ambalo binadamu na vyombo vyao hujikuta wamesafiri mbele ya muda au nyuma ya muda...mfano...tuko mwaka 2019 then unasafiri hadi mwaka 2150 (Time travel)
Suratul kahf
Nazikubali Sana story zako broo nielekeze jinsi ya kuzi danwolodi
mtiga upo vzuri sana kwenye simulizi hata iwe mbaya,itavutia tuu hongera sana
Uongo huo aseee
Aboi 4rm Makambako respect mtiga abdala
Usiwapotoshe watu.Ndege hiyo haikukaguliwa ilhali ilitoweka tena mpaka sasa haijapatikana tena.
Ukisoma concept ya black holes utakuja kukubali kuwa hiki n kwlei ..kuna zone inaitwa black holes ambayo ina kani kubwa snaa ya mvutano, kubwa zaidi kuliko ya duniani. ..so ndege ikipita katika hiyo zone itachukua muda kuitoka na pia Hilo eneo haliitambui muda (time) yani ukipita Hilo eneo hauwi infected by Time kama duniani kama vile kuzeeka au mabadiliko ya kimaumbile ...unabakia vilevile hata baada ya miaka hamsinj .
Someni kujua habari za black holes
Lakini kitu kikivutwa kwenye black hole sidhani kama kinaweza kutoka tena.
Wooow!!! Waah..hii ni kali !!!!
Nafikiri hii sio concept ya black holes.....ni concept ya time dilation.....
Nimekusoma
Very insightful I've read so much like situations in the Quran
Hii story huwa naiamini nusu tu
Ila nnavojua Mimi baada ya Ku take off Venezuela haikurudi tena duniani mpaka Leo hii
Uko sahihi sana, jamaa anatoa chai. Anaweza kusimulia lakini kuchambua vyanzo vya taarifa na kusimulia kama ilivyo kutoka sources nyingine hawezi. Anasimulia ilimradi watu wafurahie.
@@gudaguda2170 ndo hivo mzee
Natokea ubungo nimepanda Daladala naelekea kariakoo toka mwaka 1897 namwambia konda mbona hatufiki.
😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂
Au tupo kuzimu.
😁😁😁😁
Mimi Githurai
Peter Drury of stories...Gonga likes za jamal .. Watching from Austria
kama unavyo sikia kuna viumbe wanaofabana NA binadamu wamekuja duniani NA chombo chao, basis NA ndege hiyo iliingia kwenye sayari nyingine.
Wabongo😂😂👐
Ndio maana ndege zinapotea angani mashetani yanachukua ndege daaha mungu atulinde kwenye safari zetu za anga.. Kama Malaysia Air lines haijaonekana mpaka Leo hata mabaki wala kamba za viatu hawajaziona
Aaai walikula nini hio miaka yote
Ndio nashidwa
Kama waliungana na ndugu zao mbona hakuna mahojiano yoyote na hao abiria na nahamini wangekuwa hai mpaka leo baadhi yao