The Story Book : CHUMBA NAMBA 2805 ‘Kisa Cha Utata wa Kifo Cha Jennifer Fairgate’ (Part 01)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 28 เม.ย. 2024
- The Story Book : CHUMBA NAMBA 2805 ‘Kisa Cha Utata wa Kifo Cha Jennifer Fairgate’ (Part 01)
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Kila mtu humu kama unamkubal Jamal gonga like ndio nini sasa? Like apewe Jamal anaefanya kazi kukusanya taarifa kwa kutuelimisha.
Yani wana boa na kama wanataka like si waanzishe chanel zao
True that.
Perfect said
Hahaha Nakubali afu hawa watu utawakuta kila channel… nipe likes😂😂😂
💯%🤝
Ivi izo like zinawasaidia nn jaman em achen tuenjoy na stor naomb like naomba like zinawapa nini izo like oky ukipa milion moj like zinakupa nn ushamb aisee
Nothing hurts like when you want to help your family, but you are not financially stable.. may God open all Closed doors for us this new week amen 🙏🙏
Allahumma aamin
Amen
Amen
Amen!!indeed.
Vamos
Iv n serious mnasikiliza au mnaomb like tu,,, kila mtu naona anaomb like ty😂😂
Kama unamkubali Jamal April gonna like hapa
Sanah jamal
😂😂au sio
I wish jamal could bring the story book everyday,, but i know how hard it is to make it. Otherwise Jamal your the best
Huyu ndugu nimekubali nimsomaji wa mambo mingi Sana ,he is so much bright.
Juz jan n leo nilikuwa ntafuta njia nikuulize una drop lini mzigo thanks God umejua kunifuraisha
Big up Jamal
From Kenya .I keep on searching for new episodes za Prof Jamal...tunakupenda Jamal kazi safi.
Fan namba 1 wa Intro za #TheStorybook🔥🔥🔥
Kutoka 254 Nairobi, Naomba likes tafadhali
Utakula likes?
Jaman Leo nimechelewa sana sijui kama nitapata angalau Likes 10
Upeleke wap
😂😂😂
Kweli wewe Hasara😂😂
Mara zote mimi husema Jamal nu zaidi ya zawadi ya watanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 kutoka kwa mwenyezi MUNGU
Aisee kaka wewe Ni hatari san kwa simulizi zenye kifuraisha kuelimisha na kuburudisha mungu akubariki🙏🙏
Namkubali Jamal Maeneo ya Marekani Kusini nawapata mbashara Mbaka Kisii County Kenya 🇰🇪 Hii ni ngine utamu ulioje Mola akubariki kwa sababu unajua vile tunangojea kila toleo the Story book
Watu wanaomba like badala ya kuckiliza kisa😅😅
Wasenge sana wanazingua nakereka sana bas tu
🤣🤣
Jamal tupe stories kila wiki tafadhali🙏big fan from Kenya +254.
Mimi n the story book tunaomba like zetu😂😂
😂😂😂😂mmezipata
Asante sana Prof Jamal ,kwa video zako,ambazo nimekua nikizitazama,zimenifunza mengi ambayo sikua nayajua
Yeah Maumivu Yangu Nayapoza Kwenye THE STORY BOOK..
KENYA NA TANZANIA ndio nchii bora East Africa
I love what Jamal is doing I love his narrations. I'm addicted to this voice and the research..... from Kenya
Here we go proffessol🎉🎉❤
Hii simulizi inafanana na ya mwanamke wa isdal na ni hukohuko norway,big up jamal 👏
Sure
Yap
Leo nimewahi na mimi naomba like yako kama unamkubali jamal april profesa
Acha ushamba😂😂
Kisha likes zakuongezea maisha Au kufuta dhambi?
King Jamal drop your like to this Man🔥🔥
I do really appreciate this guy❤❤❤
Kama unamkubali professor jamal gonga like yako hapa.one love professor ❤
Kwakweli nimeisikiliza kwa makin noma sana jamal uko vizuriiii kwa simuliziii
Oy jamaa anajua mungu amuweke milele na ampe umri mrefu inshallah
Jamani uyu Jamal anajua kusimulia ❤😊napenda anavyoeelezea 😊😊namkubali sana ❤❤❤
Jamali nakukubali sana mungu akupe maisha marefu sanaaa
Hii simulizi inafanana simulizi nyingine ya ujasusi tena huko huko norway 🇳🇴 au ni mimi nimejichanganya
Izi Habari Kuzifuatilia Usiwe Na Njaa Wala Mawazo Utajua Umuhimu Mkubwa Wa Izi Habari Binadamu Upaswi Uishi Kwa Udanganyifu Angekua Ameweka Ukweli Angejulikana Au Alikua Na Sili Kubwa Sana Na Wenda Alikua Anaishi Kwa Maelekezo Zaidi Bila Kujua Badae Yake Akuna Binadamu Mwenye Kuijua Kesho Bila Kufa Ukifa Ndio Utaijua Kesho Ya Dunia Nyingine Lakini Kwa Apa Duniani Kamwe Akuna Aliyeweza Kuijua Kesho Naona Manabii Wa Mungu Waliotumwa Moja Kwa Moja Na Mungu Waliokua Na Uwezo Wa Kuagiza Chakula Kutoka Mbinguni Na Waliokua Wanafunikwa Na Mwavuli Wa Mawingu Kuwakinga Na Jua
Dah professor we are waiting for part 2 we real love the story book indeed with wasafi media halla5
Uko vizuri sana mzee kwa utafiti wako na simulizi zako mzee hongera kwahilo
hiv ndo vitu vyangu mimi, nakubali sana story za kipelelezi na mauji ya kutatanisha...kama mwanamke wa isidali
Bila shaka huyo mdada alikua muhalifu lakini pia hajajiua bali aliuliwa na watu wenye ujuzi mkubwa wa kuua.
welcome back Prof:Jamal April,,
Simulizi kali sana ya kijasusi nimeipenda, big up kwa jamal
NAMKUBALI JAMAL NAIKUBALI STORY BOOK❤ LIKE PAPO CHACHE KWANGU
Hebu tafuta story ya first president of Kenya, some information claim, he did much good for Kenyan, but after growing up am receiving other information claiming, the first president betrayal mau mau team...
Amos, Social Media Analysis.
The brain i wish one day i will be like you unatisha sana bro napenda kazi yako
jamaa anafany kazi nzuur sn nakubl sn uko vzl chukua mauwa yak 🌹🌹🌹
Kila mtu huwa ana kipaji chake hongera jamal april tunajifunza mengi
BRAVO JAMAL APRIL KWA STORY MZURI SANA 👏 🇹🇿 ❤❤❤
Kakah unajua mpk unakela.... 🙌🙌🙌
First mimi hapa😂
Thanks u always refresh our mind and enjoy the amazing stories
Nawakubali Santa story book
Umeongea kwel mwshooo
Jamal wewe ni noma🇲🇿🇲🇿🇲🇿🤝🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Ulipotea kaka, ulitunyima raha sana
Pamoja sana wajina
Usiwache hata siku moja Jamal endelea kuifanya story book kabisaa hujui unavyowaelekeza wengi
The legend is back
Good Jamal.❤❤❤❤
Naomba nianze kwa kumtukana Jamal, mpuuzi ,katili , mwehu umetuacha wakiwa sana bwege wewe umetufanya tuwe kama mayatima mwehu wewe usirudie tena kutuacha hivi
Unajuwa unajuwa unajuwa na tena
Saut amebalikiwa sana uyu jamaa
Nashauri Mara moja moja utuwekee simulizi za Tz za kipelelezi. Kuna mtu anaitwa buyobe Twitter anaandika sana hizo mambo.
Usimponze Jamal wetu😂😂😂
@@zayumar2955hajui kuwa Buyobe huwa anakumbana na visanga vizito kila cku anakimbizwa na watu asiyewajua😂
Fortunates beyobe atal huyu mtu mzee wa uzi
@@MuhidiniLebba mbona mnanitamanisha kujua historia yake naipataje Sasa 😅😅😅
Anaitwa buyobe nani
hii story inafanana na ya mwanamke wa isdali alaf ni hukohuko norway
Jamal Jamal prof 😌😍🥰
😮😮 jamal yupo na vuzir
The special one and only professor jamal April
The Story Book Jamal April nimefurahi kuona umeipiga hii story kwenye Ramada Resort Hotel
jamal april,very good great historian
Umetisha san broo😂😂😂😂😂😂😂😂
mtu asijribu kunipee likes😊
Nice
Kama unaamini MB ZAKO HAZIJA ENDA BURE GONGA LIKE MOJA❤❤❤
Bravo story book 😅😅
Asante kwa story nzuri JAMAL
twende sawa kaka❤❤❤
Mungu ampumizishe kwa amani
Watu wana wivu jaman et like za nini sijui nini we si unipe niliichoomba ad ajue sababu haya nipen like😅
We ni ngombe takataka sana
@@geoffreymakana5677 huyo ngo'mbe ni mama Ako aliokuzaa
Zinakusaidia nn sasa
Onga like na huku
Simulizi nzuri sana
Nzuri sana da adi raha yn 🎉
Tuna kufutilia sana Jamaal....much love za 254 frm Oman we Respect you
I love ur well researched stories.
Sijutiii kutumia Mbs zangu kuangalia na Kusikiliza The Story Book maaana najifunza mengii mno
Nakubali sana the story book
Perfect mkali wao Professor
Kaka jamali mungu akubariki
Uko vizuri brother
Hii ndio story Sasa 🤝
Keep up brother
Tuandalie moja ya mazazi ya mtume muhammad s.a.w mpka kifo chake
Jamali April respect brother
Jamaal ......... 👉👉👉👉👉👉👉Like
SaLutE sanaa Kwako..❤🎉
Vip story ya mamadou moustapha NDALA PROFESSOR
Great video
Good story jamal
Jamaal can you please search Pig Killer ? Hii story ya serial killer. Very interesting story
@jamal April unasauti nzuri
Kama unanikubali gonga like
🎉🎉 Nipewe like zaah proffesor Jamal
I really like your job
Brilliant professor 💯