#PART2

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 มิ.ย. 2024
  • #PART2: EX-WIFE wa Q CHIEF ASIMULIA ALIVYOTOA MIL 100 KUMSAIDIA ASITUMIE 'UNGA' - WALIVYOACHANA...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

ความคิดเห็น • 38

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  หลายเดือนก่อน +2

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 หลายเดือนก่อน

    Nimependa sana huyu dada nimejifunza kitu kikubwa.mnoo natamani kukuina inshallah Mungu akutunzie na familia yko❤❤

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n 26 วันที่ผ่านมา +1

    Wadada wengi oman
    Wamedoda majumbani walah,no ndoa,njoo uwatibu maskn.mdada anafikisha 40 hajaolewaaa afu kuzaa nje ni AIBU😢 DINI HAIRUHUSU

  • @shamzone388
    @shamzone388 หลายเดือนก่อน +2

    Dini ya kiislam haikatazi mwanamke kuolewa akiachika akimaliza wda anaweza kuolewA na mume mwengine
    TumekatazwA kuzini

  • @user13375
    @user13375 26 วันที่ผ่านมา

    Kumbe rakaa mbili ni noma😮😮😮

  • @saynabmohammed6263
    @saynabmohammed6263 หลายเดือนก่อน +3

    Vip tutampata dida nahitaji kuongea nae

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 9 วันที่ผ่านมา

    Dah ttzo la q chillah tumejua lilipoanzia kumbe ww mshangazi una majini au sio

  • @fidelitekarigirwamuyangwa973
    @fidelitekarigirwamuyangwa973 หลายเดือนก่อน +1

    Naomba nambazako majina Niko ici jirani zambia

  • @MiriamMlele
    @MiriamMlele 27 วันที่ผ่านมา

    Kweli mungu anakupenda usimuache. Kweli mungu anatuaziia mema kutupa tumahini siku zetu Za mbele

  • @michaelmaziku991
    @michaelmaziku991 หลายเดือนก่อน +1

    Amesharud dada kwhy mrudie tu akuoe

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah kumbe alikuwa mke wa q Chila
    All in all pole kwa yote

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed345 หลายเดือนก่อน +2

    Tupen majina anayotumia mitandaon huko

    • @ukhutfatumah1154
      @ukhutfatumah1154 หลายเดือนก่อน

      Ingia Instagram ya global utaona wamemtag

  • @salehkhamis3000
    @salehkhamis3000 หลายเดือนก่อน

    Wadada wengi wanaotoka Africa na kuacha waume au wapenzi wao, huwaga wakifuka huko akili zao kupata wanaume wenye makaratasi Ili wapate sheria so ndugu zangu tunaotuhusu wanawake wetu kwend kutafuta maisha nje tuwe na mioyo ya subra sana au umuache akafanye mambo yake akn haumuwezi kuwa sawa japo wachache wanaweza ila wengi wao ni shida haswa Kam hana dini

  • @huseintajo8113
    @huseintajo8113 หลายเดือนก่อน +1

    mimi nipo tayari nikuoe

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari หลายเดือนก่อน

      Duuu mzee wa kitonga unataka fursa😂😂😂

  • @annajohn3377
    @annajohn3377 29 วันที่ผ่านมา

    Chillla kun mwanmke alikujana naee muhez tanga kwa bib yake tukaend muon akasem ameshamuoa dar alikua mwanamk mkubwa kwake anavuta masigara hadharan watu tumebaki tunashangaaa mpk ndugu zake sasa cijui ndio huyu km ndio huyu kweli mungu yupo

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n 26 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂😂😂😂njoo oman

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 หลายเดือนก่อน +2

    Dida, Rihaab sio riaab

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari หลายเดือนก่อน +3

      Kuna shida kukosea mbona nawewe umekosea ni rehab (rehabilitation) kukosea vitu vya kawaida

    • @fatmaalnabhani3609
      @fatmaalnabhani3609 หลายเดือนก่อน

      @@FahadAbubakari Asante sana

    • @fatmaalnabhani3609
      @fatmaalnabhani3609 หลายเดือนก่อน

      @@FahadAbubakari sifikiri sijui inavyoandikwa, nimeandika kuionesha zaidi ili watu wa fahamu baina ya riab na rehab

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari หลายเดือนก่อน

      @@fatmaalnabhani3609 sasa unakosoaje kwa kuandika jambo ambalo ulijui kwa yakini

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari หลายเดือนก่อน

      @@fatmaalnabhani3609 usjali Dada hamna mjuaji nikuelekezana na kuchangamshana kidogo usjali Dada yangu it's ok mkamilifu Allah sie wote twajifunza

  • @HanzFudr
    @HanzFudr หลายเดือนก่อน

    I think this women was cheating

  • @afandechanel1507
    @afandechanel1507 หลายเดือนก่อน +4

    Kumbe kazi yako ni kuolewa na kuachika

    • @masalakulwa7601
      @masalakulwa7601 หลายเดือนก่อน +2

      olewa na wewe uachike kama yeye

    • @pengefeza2563
      @pengefeza2563 หลายเดือนก่อน +4

      Inaruhusiwa kwenye dini.

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 หลายเดือนก่อน +1

      KUOLEWA NA KUACHIKA UNAIITA KAZI??? KISWAHILI CHA WAPI HICHO.

    • @afandechanel1507
      @afandechanel1507 หลายเดือนก่อน

      ​@@salimmalaka256 kama hauna D mbili itakua ngumu kwako kuelewa

    • @lenniefei6710
      @lenniefei6710 หลายเดือนก่อน

      kuolewa, kuoa, kuacha na kuachika ndio maisha yenyewe hayo ama wewe wa wp