🔴

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 3 ต.ค. 2024
  • #raissamia #bashe #mpina

ความคิดเห็น • 52

  • @EdithaNyambo
    @EdithaNyambo 3 หลายเดือนก่อน +3

    Mungu akujalie afya njema Rais wetu,kazi yako hakika ni njema. Nawaombea na wasaidizi wako waongozwe na hofu ya Mungu ili nchi yetu iwe na amani na mafanikio yakapatikane

  • @GodfreyKiyeyeu
    @GodfreyKiyeyeu 3 หลายเดือนก่อน +5

    Mama wew umpenda haki !! Mama mtazame mpina umpe uwaziri

  • @HaulSidney
    @HaulSidney 3 หลายเดือนก่อน +7

    Huyu mama, angekuwa na uzarendo wa nchi hii,angemtumia mpina, mbunge mpina ndiyo mwana CCM wa ukweli,

  • @CYPRIANMACHIBULA
    @CYPRIANMACHIBULA 3 หลายเดือนก่อน +5

    MPINA arudishwe bungeni

  • @hamudshabani7801
    @hamudshabani7801 3 หลายเดือนก่อน +7

    Hakuna raisi hapa tumepigwa

  • @MariaCassian-e2i
    @MariaCassian-e2i 2 หลายเดือนก่อน +2

    Rais tunaomba ututendee haki tunamuhitaji MPINA Rais tunaomba mumtendee haki MPINA😂😂😂😂😂😂

  • @Landisy
    @Landisy 2 หลายเดือนก่อน +4

    Mpina jamani Ni mbuge mzalendo mrudisheni bungeni

  • @eliakazilo6078
    @eliakazilo6078 2 หลายเดือนก่อน +3

    Bi Mkubwa namshangaa,Kama anaweza kumtumia MAKONDA.sijuwi kwa Nini anashindwa kumtumia Mpina?

  • @AbdallahJumah-f1e
    @AbdallahJumah-f1e 3 หลายเดือนก่อน +4

    Mama Abdul huduma tulizo fanya Serikalini hatulipwi ni kwa niniii TULIPENI

  • @ShabaniKidedea
    @ShabaniKidedea 2 หลายเดือนก่อน +1

    Brother soon utakuja kuwa kiongozi wa nchi

  • @AdamKaponda
    @AdamKaponda 3 หลายเดือนก่อน +3

    Mpina ccm haitambui mchangowako wananchi tunatambua mchango wako ndani yabunge lililo kosa uhalali,wewe sawa na shedrac,meshac na abinego

  • @FrankSalehe-us7zg
    @FrankSalehe-us7zg 3 หลายเดือนก่อน +3

    Mama angalia watu wenyeakili ufanyenao kazi sio mabokas kama kinabashe mabendela fuata upepo

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 3 หลายเดือนก่อน

      The repeated changes taking place are unprecedented

  • @omarkapula588
    @omarkapula588 3 หลายเดือนก่อน +5

    Acheni kutudanganya wajinga kabisa msiyumbishe akili za watu kwa maslahi yenu

  • @eliakazilo6078
    @eliakazilo6078 2 หลายเดือนก่อน +1

    Swala la Bashe naMpina ,Ni mtambuka..Ni kwamba Ni sawa watoto wa Mama na Baba mmoja .Ni kwamba mdogo kamuona mkubwa ,anaiba sukari.mdogo kamchongea kwa Bi Mkubwa..je?Bi Mkubwa ataamua vipi?? vipi?

    • @desmondchelango
      @desmondchelango 2 หลายเดือนก่อน

      🤦🥶🥶🥶🥶🥶

  • @PeterkedimoniNgobela-ek6ty
    @PeterkedimoniNgobela-ek6ty 3 หลายเดือนก่อน +1

    Chapa kazi mama

  • @gasperaroni5751
    @gasperaroni5751 2 หลายเดือนก่อน

    Mama tunakuomba mpina arudi bungeni wamemuonea sana

  • @petermboje5839
    @petermboje5839 หลายเดือนก่อน

    Mama mtetee mpina kulinda chama chako kwani magapi yamefanywa na viongozi baadhi kwa kinyume ila hawakuchukuliwa leo mpina anaonekana amekosea

  • @jordantwarindwa5399
    @jordantwarindwa5399 2 หลายเดือนก่อน

    UMEDANGANYA SIJAONA ULICHOKIANDIKA HAPO JUU KATIKA VIDEO HII

  • @chichelazaro3629
    @chichelazaro3629 3 หลายเดือนก่อน +1

    Muwe wakweli, hakuna issue ya Mpina hapa. Nafikili hii ni video yangu ya mwisho kuitazama kutoka Ngolo TV. Vichwa vyenu vya habari sio kilichomo ndani...
    Kweli sasa nimeamini Ayo TV haina mpinzani

  • @PhilkevinFelix
    @PhilkevinFelix 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mimi ninampenda sana huyu Mama. Ninamuombea kwa Mwenyezi Mungu azidi kumbariki, azidi kumlinda na kila aina ya husuda,azidi kumpa busara,hekima, maono ya kuifanya nchi yetu izidi kuwa sehemu nzuri na bora ya kuishi. Ushauri wangu ni kwamba uundwe mfumo madhubuti wa kutekeleza na kuwapatia wananchi wa Tanzania wake kwa waume, vijana na wazee, watoto na wenye mahitaji maalum haki zao. Pia pawepo na mipango sahihi ya kurithishana na kuyaboresha kulingana na nyakati haya yaliyoletwa na haki jinai. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kazi iendelee.

  • @clarencehilary5588
    @clarencehilary5588 2 หลายเดือนก่อน

    Hatukutaki kabisaaa mama we nanda tu tuachie tanganyika yetu

  • @Aziz-p6s
    @Aziz-p6s 2 หลายเดือนก่อน

    Samia ongea kwa sauti ya dolla unabembeleza mno unaboa

  • @mubarakmohammed7311
    @mubarakmohammed7311 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mbona hakugusia?

  • @SaleheMkomwa
    @SaleheMkomwa 3 หลายเดือนก่อน +2

    R
    ETI WANASEMA MWANAE NDO ANASHILIKIANA NA BASHE KWENYE KUPANDISHA SUKARI JE NI KWELI?

    • @ziadasadiki8196
      @ziadasadiki8196 3 หลายเดือนก่อน

      Kwa hiyo Bashe hajui wajibu wake hadi afundishwe??

    • @eliakazilo6078
      @eliakazilo6078 2 หลายเดือนก่อน

      Hizo Ni nyepesinyepesi..Ila UKWELI Bashe Ana watu wakubwa nyuma yake..wanatunisha misuli...Lakini kwa sababu wabunge wa ndioo Ni wengi Ni tatizo..wa kumtetea Mpina simuoni..nakuona Mpina Kama the first blood..maana Rambo alikuwa anajipigania peke yakee..UHAI wake ulikuwa hauna mtetezi..rushwa bungeni imesambaa Sanaa kwa swala la sukari.. na Hawa mafisadi wapo tayari kuviua viwanda vyetu vya sukari..na kwa ujinga wa watanzania tunakubali.. kitu kingine Ni Mkubwa Ana huruma Sanaa,Ana aibu saana.kwenye Baraza lake la mawaziri,wapo Kama 5 ,wanatakiwa awatoee..anavyozidi kuwaachia ,ndio Hali inazidi kuwa mbayaa,tunaumiaa

  • @NeemaPaulo-wf3oz
    @NeemaPaulo-wf3oz 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kaz iendeleeee,mama mungu akubaliki

  • @emmanuelgastine9826
    @emmanuelgastine9826 2 หลายเดือนก่อน

    Mama Samia nakushukuru sana kwani tangu umekuwa Rais ndo naona napokea mshahara anagalau unakaa masaa hata 6

  • @AdamKaponda
    @AdamKaponda 3 หลายเดือนก่อน +1

    Rais chama unachokiongoza kina lao lamoyoni ovu kuhakikisha sheria kandamizi zidumu,muendelee kubakia madarakani,, hukutaifa linasambaratika,kilio na machungukilamahali,ccm haioni zaidi ya kuagiza mbelekwambele na kutafuta pesa za rushwa kuwahonga watanzania(pikipiki,majikoyagasink)

  • @ElishamaMulokozi-pi8nm
    @ElishamaMulokozi-pi8nm 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mbona unanuga katika atoa kauli ya hapa taarifa ya tume ya haki jinai

  • @AbdilahiMriri
    @AbdilahiMriri 3 หลายเดือนก่อน +1

    Asante sana Mungu akubariki akupe umri mrefu wa kunihangaikia tuwe mke na mume wako kihalali mwaka huu kuanzia mwezi huu wa sita jamani jamani Madamu Rais mpenzi wangu jamani samahani kama nakosea mwenyewe unavyosemaga nikuvute hadi katikati ya bahari uogelee jamani jamani Madamu Rais mpenzi wangu jamani.

  • @bahatitumaini347
    @bahatitumaini347 2 หลายเดือนก่อน

    Mpina bonge la mzalendo

  • @MakoleMakoye
    @MakoleMakoye 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ngollo tv sina haja ya kuwafatilia tena make hamjielewi

  • @AdamKaponda
    @AdamKaponda 3 หลายเดือนก่อน +1

    Rushwa,rushwa,rushwa ni dhambi acha kuhonga pikipiki na majiko munajiondolea heshima

  • @AlexMgimwa-pm2pi
    @AlexMgimwa-pm2pi 2 หลายเดือนก่อน

    Hakuna jipya

  • @evelynmwaimu-vd9jo
    @evelynmwaimu-vd9jo 3 หลายเดือนก่อน +1

    Inachosha nafsi ns akili pale nchi ikitawaliwa na genge la watu wanaohubiri wasichokiamini

  • @Mussa-id9jb
    @Mussa-id9jb 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mhhh

  • @Maximillianchacha-fm9yi
    @Maximillianchacha-fm9yi 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mbwa ccm

  • @michaelnsingija
    @michaelnsingija 3 หลายเดือนก่อน

    mungu atusaidie tu tumepigwa nyingi

  • @zuenahamoud1532
    @zuenahamoud1532 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mbwaaa wewe mama

    • @ezekielshija9251
      @ezekielshija9251 3 หลายเดือนก่อน

      Wewe Zuena Acha hizo!

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo 2 หลายเดือนก่อน

      Mama yako yy atakuwa nguruwe na wewe utakuwa mtoto wa nguruwe!

    • @mkadammkadam
      @mkadammkadam 2 หลายเดือนก่อน +1

      Jina lako halifanani kutumia mdomo aliokupa Mwenyezi Mungu kutamka maneno kwa binaadam mwenzio licha kwa kiongozi wako wa Nchi, rudi kwa Mungu wako na kumuomba msamaha haraka.

  • @mariaanthoniangowi9376
    @mariaanthoniangowi9376 3 หลายเดือนก่อน +1

    CCM ukingoni

  • @NassoroKulondwa
    @NassoroKulondwa 3 หลายเดือนก่อน

    Mpina kaumiza wengi kwenye uwaziri wake akae pembeni

    • @JafethTully
      @JafethTully 3 หลายเดือนก่อน

      Utakaa wewe pembeni

    • @ezekielshija9251
      @ezekielshija9251 3 หลายเดือนก่อน

      Hata umeme huumiza wengi.

  • @MtaniRobert
    @MtaniRobert 3 หลายเดือนก่อน

    Rubbish.