Mkutano wa Republican: TRUMP aiingia kama SHUJAA akiwa na BANDEJI sikioni, wafuasi walia kwa furaha

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 24 ส.ค. 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

ความคิดเห็น • 121

  • @agwalubifaridah7079
    @agwalubifaridah7079 หลายเดือนก่อน +41

    Kujaribu kumuuwa huyu mwamba tayariWashampa uongozi

  • @ifmknowledgepower7333
    @ifmknowledgepower7333 หลายเดือนก่อน +17

    Tayari kawa rais trump 🎉

  • @KaguttaEdson
    @KaguttaEdson หลายเดือนก่อน +26

    Wapinzani wake Wana kazi Sana kwasasa

  • @beatechnician3000
    @beatechnician3000 หลายเดือนก่อน +5

    zamani nilidhani trump ni mtu mbaya bt kusema kweli after watching a lot of his past videos when he was interviewed,this man is a peace loving man nd a good man may Allah give him hidaya

  • @muhengamakunga
    @muhengamakunga หลายเดือนก่อน +21

    huyu jamaa wame mpa umaalufu wenyewe wasinge angaika kutaka kumua

  • @NdovuDentalClinic_
    @NdovuDentalClinic_ หลายเดือนก่อน +11

    Huyu ndo Raisi sasa , sio hao wamama wa NATO na njama zao 😂😂

  • @joycehaule9717
    @joycehaule9717 หลายเดือนก่อน +4

    Hallelujah God is good BWANA YESU MTETEZI WA TRUM...YAN MUNGU AKIAMUA KUKUPA UKUU ANAINUA CHOCHOTE CHA KUKUPAISHA , WAMEPIGA SIKIO WANEPOTEZA POINT NDO WASHA MUINUA JAMAA

  • @IbniAbbas-yz3kt
    @IbniAbbas-yz3kt หลายเดือนก่อน +26

    Trump kuwa hai ni Mpango mzuri wa Mungu hapa Duniani

  • @filskischannel9737
    @filskischannel9737 หลายเดือนก่อน +5

    His the next president of USA no doubt

  • @Amirmgunya-pt2zm
    @Amirmgunya-pt2zm หลายเดือนก่อน +9

    Ataibadiri dunia kwa kuamua dunia iingie vitani au vita vyote vinavyo piganwa kuvisitisha tutaona yatakayo jiri

  • @lovenessvisent9408
    @lovenessvisent9408 หลายเดือนก่อน +8

    Jamaa akitabasamu kama analia yani 😂😂

  • @samirmswahili
    @samirmswahili หลายเดือนก่อน +4

    Sky noma sana kwenye kipaza saut

  • @AliKaroyo
    @AliKaroyo หลายเดือนก่อน +10

    Naisi Trump Anachembe Chembe Za Kitanzania Maana Uyuu Mzee Ana heka heka Sana Uyuu 😂😂😂😂

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 หลายเดือนก่อน +2

      Ikiwa tzn itakuwa ni Magufuli maana huyu jama hapangiwi anafanya kile anacho hisi ni sahihi.

    • @ukweli255
      @ukweli255 หลายเดือนก่อน

      Ila JPM ALILINDWA NA SHERIA MBOVU HAKUWAHI KUSHITAKIWA TRUMP YEYE ANAMASHITAKA 91 HADI SASA​@@sonnyr1899

    • @joycehaule9717
      @joycehaule9717 หลายเดือนก่อน +1

      Magu too

    • @hanifa9153
      @hanifa9153 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

    • @faustinebahenobi3412
      @faustinebahenobi3412 หลายเดือนก่อน

      Mbaguzi

  • @gaagwasaugustino2584
    @gaagwasaugustino2584 หลายเดือนก่อน

    Kila lakheri Donald Trump, Mungu akupe kibali tena uwe Rais wa Marekani katika kipindi kijacho tena,ushinde urais tena! Mungu awe pamoja na wewe katika kila hatua yako.

  • @user-ez9vi4pf3g
    @user-ez9vi4pf3g หลายเดือนก่อน

    Dunia ina mambo mengi sana nathani mungu akituangalia viumbe vyake mda mwengine ana enjoy

  • @amotvtz1302
    @amotvtz1302 หลายเดือนก่อน +7

    Jamaa anamkwar

  • @eagleeyes4449
    @eagleeyes4449 หลายเดือนก่อน +5

    Ningekuwa usa angekula kula kura yangu, jamaa nalikubali sana

  • @worldhappiness1181
    @worldhappiness1181 หลายเดือนก่อน +2

    No way, he emerge more stronger than ever.

  • @nghoshajohn2398
    @nghoshajohn2398 หลายเดือนก่อน

    Kazi yenu kujadili ya us yakwenu sasa😢😢

  • @abroadconnectededucationlt5435
    @abroadconnectededucationlt5435 หลายเดือนก่อน +2

    my icon

  • @youngyayoo2805
    @youngyayoo2805 หลายเดือนก่อน +2

    Triumph is winning

  • @thabitngangila8562
    @thabitngangila8562 หลายเดือนก่อน

    Sky umetisha kwa makala hii

  • @linnerphilip4260
    @linnerphilip4260 หลายเดือนก่อน +1

    Mi ningeacha 😂😂 siasa asee sio kwa kunusurika

  • @WakizazikipyaBolole
    @WakizazikipyaBolole หลายเดือนก่อน +7

    Wa kwanza jama nipe like zangu❤❤❤

  • @user-jo5ig8ww1b
    @user-jo5ig8ww1b หลายเดือนก่อน +2

    Hope atamaliza vita 😢jamani

  • @user-lq4cm4rq6z
    @user-lq4cm4rq6z หลายเดือนก่อน

    Mungu ampe ushindi wakishindo

  • @godfreyfrugence4176
    @godfreyfrugence4176 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu Jamaa akingia madarakan ukraine hawana chao tena

  • @deniccgabriel6153
    @deniccgabriel6153 หลายเดือนก่อน +3

    Cctutaishia kuangalia siasa za wenzetu kama story wakati yakwetu yanatushinda😅😅

    • @boyfromtansania7788
      @boyfromtansania7788 หลายเดือนก่อน

      Umelazimishwa kuangalia

    • @user-vf3wt3sb1h
      @user-vf3wt3sb1h หลายเดือนก่อน

      Yaani tunavyoshabikia utadhani tunajua atakachokifanya atakapokuw rais. Bila kujua kwamba wamarekani wote sera zao nizile zile.

  • @ndayikezaoscar3467
    @ndayikezaoscar3467 หลายเดือนก่อน

    SIASA MBAYA SANA.

  • @SostenesMabala-tt8pt
    @SostenesMabala-tt8pt หลายเดือนก่อน

    Afirca tutaelewa tu

  • @user-qk4lx4hg7g
    @user-qk4lx4hg7g หลายเดือนก่อน

    Ila na trump nae kashazeeka Ila ndo hivyo tuu ndo kadhasmua 😂

  • @YunusAliHassan
    @YunusAliHassan หลายเดือนก่อน +1

    Sijaona kumpa mkono huyu Black man au sijaangalia vizuri

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu128 หลายเดือนก่อน

    baba huyu ana mungu

  • @patrickmunishi2277
    @patrickmunishi2277 หลายเดือนก่อน +1

    MSICHOKIJUA KUUSU TRUMP
    HUYU BWANA NI MYAHUDI HALISI NA YUPO MAREKANI KWA KUSUDI LA MUNGU,NA LAZIMA LITATIMIA

  • @kingsniper9769
    @kingsniper9769 หลายเดือนก่อน +1

    Watakumalizia

  • @user-pt4ft7ow1s
    @user-pt4ft7ow1s หลายเดือนก่อน +1

    ❤❤love

  • @user-pd5hl9di2q
    @user-pd5hl9di2q หลายเดือนก่อน

    Mungu kakuchagua tayari

  • @user-cw8zn2dn6m
    @user-cw8zn2dn6m หลายเดือนก่อน +1

    Aise hadi chozi yaani. Huyu ndiye rais wa USA.

  • @user-eg1ts2fu9z
    @user-eg1ts2fu9z หลายเดือนก่อน +1

    ule mwind vipi aliyeonekana kupewa nafasi ya umakamu wa uraisi

  • @SostenesMabala-tt8pt
    @SostenesMabala-tt8pt หลายเดือนก่อน

    Sio leo toka shamburio lake

  • @listerwami6825
    @listerwami6825 หลายเดือนก่อน +3

    Ujanja tu huo, mzungu hamkosagi MTU yaani apige sikio

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 หลายเดือนก่อน

      Akili za kichawi kabisa

    • @user-ni2kv3yf6e
      @user-ni2kv3yf6e หลายเดือนก่อน +1

      Mungu na mzungu nani zaidii we unaon kbs mtu muombaj alaf unaongelea mzungu

    • @aminasittusaid3830
      @aminasittusaid3830 หลายเดือนก่อน +3

      Huko ni kumpa binadamu uwezo usio wake. Mwenye uwezo wa kutokosa kitu chochote atakacho ni Mwenyezi Mungu peke yake.

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 หลายเดือนก่อน

      Unawaza uchawi tu.. mlenga shabaha hakuwa huru kufanya huo uhalifu,alitetemeka.. ni tukio baya sana.

    • @machachehardware5975
      @machachehardware5975 หลายเดือนก่อน

      Alivaa bullet proof yambavu haikumdhulu

  • @samuelurio1519
    @samuelurio1519 หลายเดือนก่อน +1

    🔥🔥🔥

  • @Official83640
    @Official83640 หลายเดือนก่อน +5

    Mm mnanichanganya mkisema jaribio la kumuua kwahy hawakutaka kumuua walikuwa mazoezini ama mie ndy la 7 B

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 หลายเดือนก่อน +1

      Ilitakiwa wasemeje?

    • @RaphaelSiwale
      @RaphaelSiwale หลายเดือนก่อน +1

      Tupo pamoja

    • @Official83640
      @Official83640 หลายเดือนก่อน

      @@rumdeesonsoa1811 We pia km mm tu tulia upate majibu mm nimeuliza na ww unaniuliza nikujibu nn

    • @mustafakimalio9129
      @mustafakimalio9129 หลายเดือนก่อน

      Ni jaribio kwa sababu hawakufanikiwa kumuua,,​@@Official83640

    • @drewsondeniss709
      @drewsondeniss709 หลายเดือนก่อน +1

      Wanavyo sema jaribio wanamahana walifeli kutekeleza jambo lao ndomana wanaita jaribio (wamejaribu wakashindwa) ila wangemuua isingekua jalibio

  • @damsonwilson5202
    @damsonwilson5202 หลายเดือนก่อน

    Huyu ndie Rais Ajaye Kwa Sasa

  • @papa_noah_3tone
    @papa_noah_3tone หลายเดือนก่อน

    mpango umeenda kama ilivyopangwa

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l หลายเดือนก่อน +1

    Trump tunamtaka USA. Maana alituambia africa hamna akili na ukweli africa hatuna akili

  • @deejeydaev
    @deejeydaev หลายเดือนก่อน +1

    Mwamba iyo

  • @HusnaHussen-qj7re
    @HusnaHussen-qj7re หลายเดือนก่อน +2

    First one❤

  • @SuleAmber-lw2tx
    @SuleAmber-lw2tx หลายเดือนก่อน +2

    Trump ana mbwembwe sana

  • @mussaisaac
    @mussaisaac หลายเดือนก่อน +1

    Mzee bado yuko fiti.

  • @babuumaeda7671
    @babuumaeda7671 หลายเดือนก่อน

    😂😂 Waijue RISASI ilivyo maana hata wao wanaagiza tu Uwa huyu 😢😢 lwo kwai aliwahi agiza kuua kwa Drone IRAN 😢leo kwake imemkosa kiduchuuuu😅😅😅

  • @brunoh_bx
    @brunoh_bx หลายเดือนก่อน

    Jamaa tayal ameshapita huyu😂😂

  • @YunusAliHassan
    @YunusAliHassan หลายเดือนก่อน

    Sijaona kumpa huyu Black man mkono au sijaangalia vizuri

    • @user-oz8mc7mz7z
      @user-oz8mc7mz7z หลายเดือนก่อน

      Amnyime kweli bimaana mna gubu

  • @ibrahimkihulya8934
    @ibrahimkihulya8934 หลายเดือนก่อน

    We're 6t
    P😊 3:28 😊l😊

  • @zclassicfashionz1573
    @zclassicfashionz1573 หลายเดือนก่อน

    Kila ndoto yenye amani utimia

  • @ShekhMufyd-mn9zn
    @ShekhMufyd-mn9zn หลายเดือนก่อน

    Mungu anamakusudio yake kumuweka hai hiki kiumbe

  • @d-manb-free3478
    @d-manb-free3478 หลายเดือนก่อน

    Fight Fight Fight 😂😂😂

  • @patriciatumain172
    @patriciatumain172 หลายเดือนก่อน

    Welcome again trump

  • @WilbertChambilo-yl1kc
    @WilbertChambilo-yl1kc หลายเดือนก่อน

    Mwamba huyo hapo sasa, Israel, nchi za magharibi ziweweseka coz ni rafiki na Trump na ni adui na mashoga

  • @peacemuzaliwa2563
    @peacemuzaliwa2563 หลายเดือนก่อน

    Jembe limerudi kibabe 😂😂 gonga 👍

  • @hazygardmericho9571
    @hazygardmericho9571 หลายเดือนก่อน +1

    mamae moto wasonga mlulu

    • @babag7138
      @babag7138 หลายเดือนก่อน

      Yuwi agwe rece du moto wowamala

  • @SostenesMabala-tt8pt
    @SostenesMabala-tt8pt หลายเดือนก่อน

    Naamini tundu lissu nilais tanganyika

  • @Deadskytz
    @Deadskytz หลายเดือนก่อน +1

    The Simpsons

  • @SalumJuma-iz2gj
    @SalumJuma-iz2gj หลายเดือนก่อน

    Baiden na trampo wote sio wamaana kwetu afrika ila trampo nimshenz zaid akiwa rais mara ile alisema afrika ni kama mikundutu maranyengine alisema afrika inahitaji kutawaliwa tena pia alizifungia nchi za kiislam kuigia afrika ata kipindi cha makufuli Tanzania pia alipiga marufuku trampo tuombe mingu uyu jamaa asiwe rais

  • @geofreymilinga2965
    @geofreymilinga2965 หลายเดือนก่อน

    Kaimu raisi kaongea mbaka mwili umesisimuka

  • @user-ec7us6vf6w
    @user-ec7us6vf6w หลายเดือนก่อน

    Tyar Trump ni Raic

  • @ramadhanisalum3898
    @ramadhanisalum3898 หลายเดือนก่อน

    Kuna siku alipita mtaani kwetu frolida jamaa mtu Poa sana kuliko umuonavyo uso wake

  • @mweyoms5548
    @mweyoms5548 หลายเดือนก่อน

    Democrat wamepata doa la hatari sana nyakati hizi hata kama hawajahusika

  • @jasirimjasirimedia7940
    @jasirimjasirimedia7940 หลายเดือนก่อน

    President Trump's

  • @Gulfnas1
    @Gulfnas1 หลายเดือนก่อน

    Biden kazi anayo

  • @LastdayJesu4153
    @LastdayJesu4153 หลายเดือนก่อน

    Rais mpya wa usa😅

  • @d-manb-free3478
    @d-manb-free3478 หลายเดือนก่อน

    Israel na Ukraine hawamtaki😂

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 หลายเดือนก่อน

    Pale fitna dhidi yako inapobadilika na kuwa baraka ndio hii

  • @drbendentist8687
    @drbendentist8687 หลายเดือนก่อน

    Biden akishinda GEN Z wanaingia mtaani 😂😂

  • @Dangotemagairo
    @Dangotemagairo หลายเดือนก่อน

    😭😭😭 Donald Trump

  • @innocentfortunatus725
    @innocentfortunatus725 หลายเดือนก่อน

    Trump ni mwamba wa USA 🇺🇸

  • @SaudaZigaba
    @SaudaZigaba หลายเดือนก่อน

    😂

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 หลายเดือนก่อน

    Putin kausika na shambuliz

  • @husseinmdwangi8966
    @husseinmdwangi8966 หลายเดือนก่อน

    Dah sky bana na ww una mikwala sana eti pambanapambana!mara jambo la kuonekana kwa Trump hailikua rasm kwenye ratiba ya mkutano huo ingawa lilitarajiwa na wengi duh!!

  • @SostenesMabala-tt8pt
    @SostenesMabala-tt8pt หลายเดือนก่อน

    Kunamijinga inasemaga mmwatu wanalindwa. Pumbavu mlinzi nimungu tu kudadadeck

  • @muttae2
    @muttae2 หลายเดือนก่อน

    Hii risasi iligusa kidogo sikio wakati imepigwa kwa upande😂 daah. Hapa tumepigwa.

  • @anthonyassenga2365
    @anthonyassenga2365 25 วันที่ผ่านมา

    TRUMPMANIA USA th-cam.com/video/4uP_5t0q8uk/w-d-xo.html