Telegram ni mtandao huru kwahiyo kama unaona kuna kitu ukiripoti hakifanyiwi kazi jua ya kwamba sio tatizo ndo maana unaona kuna uhuru mwingi na pia wazungu wanataka kuitumia kwa kupata taarifa nyingi za watu kwa sababu wanaamini ni mtandao upo huru sana
Pameanza kuchangamka wanageukana na watu maarufu na wenye hela ellon musk hawaelewi tena huyo nae tena, pia nayule mwanzilishi wa wickrics ,mabillionea wote walioko Europe wamerudi kwao china
Ningewachangia ila shida qmuongeagi siasa za tanzania uwezi kusafisha sebule ya jirani yako wakati uvunguni mwa kitanda chako kunanuka nautaki ata kujuwa nini sababu ya arufu mbaya iyo tanzania inanuka rushwa ,ufisadi,ila amtaki kuongelea au kuchunguza ndokwanza mpo busy na kumsapoti mama wa uarabuni 😂😂😂
Ndomaana Leo telegram ina loading sana Alf ailet new mpya 😮 tutakimbilia wap xx wafuasi wa telegram
Amna kitu kitu unachokosa ukiwa telegram xax wakenya walifanya kama mtandao wao vile maana ndo wanaongoza kwa magroup n bot
Ndoman haifanyi kazi
Kwa hiyo wote tunaotumia telegram tujuane huku tunaweza kupanga mipango naikaeleweka😂😂
Hapo wako sawa
Jamaa anisimamia privacy ya telegram lazima atatoka.
Mbona mitandao yote.
Wao wana taka I fungwe ili tuendeleye kuaminishwa uwongo na izo media zao acha telegram tuone ukweli bana
Ndio maana telegram Jana na Leo inazengua
Telegram ni mtandao huru kwahiyo kama unaona kuna kitu ukiripoti hakifanyiwi kazi jua ya kwamba sio tatizo ndo maana unaona kuna uhuru mwingi na pia wazungu wanataka kuitumia kwa kupata taarifa nyingi za watu kwa sababu wanaamini ni mtandao upo huru sana
Mmekamata sbb ni mrusi
hujasikiliza vizur au ?
@@user-wd2bc7bf5xhajasikiliza vizuri kivipi? Ukweli ni kwamba kakamatwa sababu ni Mrusi na wanataka Telegram waicontrol wao
Asili yake ni urusi lakini ana uraiya wa ufaransa Arab Émirates
Sky wimbo wa harmonize ujana hatuuoni tena TH-cam
Kwel kabisa jamaaa ana ugomvi na nani sijui😂😂😂😂
Kisa ni mrusi,hawawez urusi
aisee toka juzi telegram yangu ni mawenge sasa sijui itakuaje
Dah! 😢
Hao wanacho kitaka ni control ya hiyo Telegram hamna lolote!!
Hana kosa uyo ni siasa za geopolitics tu,wana lao tu
Sema muda wao mfupi sasa hivi tumejua mbivu na mbichi watajisumbua sana kupotezea mambo ila ndiyo wazidi kuharibu
Western countries wanazingua ,,,
Tunaijua Hiypo
Pameanza kuchangamka wanageukana na watu maarufu na wenye hela ellon musk hawaelewi tena huyo nae tena, pia nayule mwanzilishi wa wickrics ,mabillionea wote walioko Europe wamerudi kwao china
Huyu jamaa ana stahiri kuwajibishwa telegram ni mtandao wakiharifu
Acha mihemko mtandao gani hauna mambo ya hovyo?
Sana
Bilion au milion?
Ningewachangia ila shida qmuongeagi siasa za tanzania uwezi kusafisha sebule ya jirani yako wakati uvunguni mwa kitanda chako kunanuka nautaki ata kujuwa nini sababu ya arufu mbaya iyo tanzania inanuka rushwa ,ufisadi,ila amtaki kuongelea au kuchunguza ndokwanza mpo busy na kumsapoti mama wa uarabuni 😂😂😂
Sure watu wanapost `pron` nyingi za watoto, af uki report hazifutwi. Japo naitumia Telegram kuingiza hela ila jamaa wamnyoshe kwanza
😅😅Ndiooo_🤦🏿♀️ 😅😅
Km wanataka waifungie nchin mwao tataz n mamb ya siasa tyu Apo
Mtandao una uhuru fanya utakacho usichokitaka usikiangalie
Kwani unafikiri kuna mtoto asokuwa na na umri mkubwa zaidi ya 18 anaweza akaijua Telegram?
@@MrTop-wj7no Kuna video za uchi za watoto wadogo, na uki report hawazifuti
Kijana anamiaka 19 na billionaire
39 l
39
Mashoga nyie
Tunaijua Hiypo