Mwanzilishi na CEO wa Telegram Pavel Durov akamatwa Ufaransa

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

ความคิดเห็น • 45

  • @MwatatuHamisi-lu4cn
    @MwatatuHamisi-lu4cn 19 วันที่ผ่านมา +10

    Ndomaana Leo telegram ina loading sana Alf ailet new mpya 😮 tutakimbilia wap xx wafuasi wa telegram

  • @MwatatuHamisi-lu4cn
    @MwatatuHamisi-lu4cn 19 วันที่ผ่านมา +5

    Amna kitu kitu unachokosa ukiwa telegram xax wakenya walifanya kama mtandao wao vile maana ndo wanaongoza kwa magroup n bot

  • @JanethMathias
    @JanethMathias 18 วันที่ผ่านมา +2

    Ndoman haifanyi kazi

  • @deogratiusyudatadei5658
    @deogratiusyudatadei5658 18 วันที่ผ่านมา +4

    Kwa hiyo wote tunaotumia telegram tujuane huku tunaweza kupanga mipango naikaeleweka😂😂

  • @MaurusMpinga
    @MaurusMpinga 19 วันที่ผ่านมา +4

    Hapo wako sawa

    • @auriumlabs
      @auriumlabs 18 วันที่ผ่านมา +1

      Jamaa anisimamia privacy ya telegram lazima atatoka.

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 18 วันที่ผ่านมา +1

      Mbona mitandao yote.

  • @yusafbayu7016
    @yusafbayu7016 18 วันที่ผ่านมา

    Wao wana taka I fungwe ili tuendeleye kuaminishwa uwongo na izo media zao acha telegram tuone ukweli bana

  • @SuryaAneth
    @SuryaAneth 18 วันที่ผ่านมา +1

    Ndio maana telegram Jana na Leo inazengua

  • @ibrahgoye8152
    @ibrahgoye8152 18 วันที่ผ่านมา +1

    Telegram ni mtandao huru kwahiyo kama unaona kuna kitu ukiripoti hakifanyiwi kazi jua ya kwamba sio tatizo ndo maana unaona kuna uhuru mwingi na pia wazungu wanataka kuitumia kwa kupata taarifa nyingi za watu kwa sababu wanaamini ni mtandao upo huru sana

  • @MohamedLanga-dg4tf
    @MohamedLanga-dg4tf 19 วันที่ผ่านมา +7

    Mmekamata sbb ni mrusi

    • @user-wd2bc7bf5x
      @user-wd2bc7bf5x 19 วันที่ผ่านมา +1

      hujasikiliza vizur au ?

    • @MrTop-wj7no
      @MrTop-wj7no 18 วันที่ผ่านมา

      ​@@user-wd2bc7bf5xhajasikiliza vizuri kivipi? Ukweli ni kwamba kakamatwa sababu ni Mrusi na wanataka Telegram waicontrol wao

    • @sofunnystars5557
      @sofunnystars5557 18 วันที่ผ่านมา

      Asili yake ni urusi lakini ana uraiya wa ufaransa Arab Émirates

  • @NickTrickaddictedboy18
    @NickTrickaddictedboy18 19 วันที่ผ่านมา +4

    Sky wimbo wa harmonize ujana hatuuoni tena TH-cam

    • @gamerstech5689
      @gamerstech5689 18 วันที่ผ่านมา +1

      Kwel kabisa jamaaa ana ugomvi na nani sijui😂😂😂😂

  • @TuntufyeMwakaluka
    @TuntufyeMwakaluka 19 วันที่ผ่านมา +3

    Kisa ni mrusi,hawawez urusi

  • @ibrahim_427
    @ibrahim_427 15 วันที่ผ่านมา

    aisee toka juzi telegram yangu ni mawenge sasa sijui itakuaje

  • @ConsciousBNB
    @ConsciousBNB 19 วันที่ผ่านมา +2

    Dah! 😢

  • @Gulfnas1
    @Gulfnas1 19 วันที่ผ่านมา +2

    Hao wanacho kitaka ni control ya hiyo Telegram hamna lolote!!

  • @MohammedBwanga
    @MohammedBwanga 18 วันที่ผ่านมา +1

    Hana kosa uyo ni siasa za geopolitics tu,wana lao tu

  • @neglonino1086
    @neglonino1086 19 วันที่ผ่านมา +3

    Sema muda wao mfupi sasa hivi tumejua mbivu na mbichi watajisumbua sana kupotezea mambo ila ndiyo wazidi kuharibu

  • @fakridadyzubery8744
    @fakridadyzubery8744 19 วันที่ผ่านมา +2

    Western countries wanazingua ,,,

  • @zachariamwita3926
    @zachariamwita3926 19 วันที่ผ่านมา +2

    Tunaijua Hiypo

  • @AFRICA_D669
    @AFRICA_D669 19 วันที่ผ่านมา +2

    Pameanza kuchangamka wanageukana na watu maarufu na wenye hela ellon musk hawaelewi tena huyo nae tena, pia nayule mwanzilishi wa wickrics ,mabillionea wote walioko Europe wamerudi kwao china

  • @Thehubby4u
    @Thehubby4u 18 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu jamaa ana stahiri kuwajibishwa telegram ni mtandao wakiharifu

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 18 วันที่ผ่านมา

      Acha mihemko mtandao gani hauna mambo ya hovyo?

    • @bonifacewanyonyi3555
      @bonifacewanyonyi3555 18 วันที่ผ่านมา

      Sana

  • @user-cp8df8ik5h
    @user-cp8df8ik5h 18 วันที่ผ่านมา +1

    Bilion au milion?

  • @UyRonaldo
    @UyRonaldo 14 วันที่ผ่านมา

    Ningewachangia ila shida qmuongeagi siasa za tanzania uwezi kusafisha sebule ya jirani yako wakati uvunguni mwa kitanda chako kunanuka nautaki ata kujuwa nini sababu ya arufu mbaya iyo tanzania inanuka rushwa ,ufisadi,ila amtaki kuongelea au kuchunguza ndokwanza mpo busy na kumsapoti mama wa uarabuni 😂😂😂

  • @hkaniugu
    @hkaniugu 19 วันที่ผ่านมา +2

    Sure watu wanapost `pron` nyingi za watoto, af uki report hazifutwi. Japo naitumia Telegram kuingiza hela ila jamaa wamnyoshe kwanza

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 19 วันที่ผ่านมา

      😅😅Ndiooo_🤦🏿‍♀️ 😅😅

    • @bensonswai-hl6fn
      @bensonswai-hl6fn 19 วันที่ผ่านมา

      Km wanataka waifungie nchin mwao tataz n mamb ya siasa tyu Apo

    • @Fgldesigns
      @Fgldesigns 19 วันที่ผ่านมา +1

      Mtandao una uhuru fanya utakacho usichokitaka usikiangalie

    • @MrTop-wj7no
      @MrTop-wj7no 18 วันที่ผ่านมา

      Kwani unafikiri kuna mtoto asokuwa na na umri mkubwa zaidi ya 18 anaweza akaijua Telegram?

    • @hkaniugu
      @hkaniugu 18 วันที่ผ่านมา

      @@MrTop-wj7no Kuna video za uchi za watoto wadogo, na uki report hawazifuti

  • @bestpriceafrica
    @bestpriceafrica 18 วันที่ผ่านมา +1

    Kijana anamiaka 19 na billionaire

  • @MohamedLanga-dg4tf
    @MohamedLanga-dg4tf 19 วันที่ผ่านมา +2

    Mashoga nyie

  • @zachariamwita3926
    @zachariamwita3926 19 วันที่ผ่านมา

    Tunaijua Hiypo