Huyu jamaa mm hua namfanana nisha kama raisi wetu Rip JEMBE LETU MZEE WETU BABA ETU mzee MAGUFULI jembe Allah akuounguzie na adhabu ya Qabri uko uliko❤❤❤❤
Magufuli alikua na hofu ya Mungu asingevamia nchi yeyote na kuua watoto na kubaka wanawake, hayakukuta tulia,,,,, Magufuli muache mtu wa Mungu alale salama
Yani kweli pesa sabuni ya roho,, mama yangu ana miaka 63 ila anaonekana ni mzee zaid ya putini hekaheka ya maradhi imemdhoofisha sana ukijumlisha na ugum wa maisha basi tafrani
Duh! DJ SMAA kama ni kweli kwamba Israel alirusha ndege F-35 ikiwa na bomu la nuclear kwenda kuipiga Iran na kwamba kabla haijatekeleza shambulio hilo ikatunguliwa na Warusi, basi Warusi wapi sayari nyingine kabisa
Yaan vita vya ulimwengu vinanukia yaani haviepukiki hawa mashoga hawakubali kushindwa kabisa kwahiyo mapambano yataendelea yaani watu ni kujiandaa tuu maana ww 3 haiepukiki.
Uchaguzi sio haukuwa huru bali ulikuwa huru sana zingatia huru sana ila wao magharibi walitaka Putin ashindwe na angeshindwa hata uchaguzi usingekuwa huru wangesema ulikuwa huru madam Putin kashindwa. Sasa wamechelewa sana kususa kwao hakutupunguzii chochote kwanza hatuhitaji seaport yao
Naam,ndivyo ilivyo. Kinacho nifurahisha zaidi.. Marekani atajuta kwanini alianzisha hii vita ya Ukraine maana pande zote za dunia hata sisi aliotuaminisha kwa miongo kuwa yeye ndiyo kinara wa dunia, kumbe wapo vinara wametulia.
Yaaani uchaguzi wa nchi nyingine wao waseme haukuwa huru! Haiwahusu kwanza wapende wasipende nchi ipo kwenye vita na imefanya uchaguzi kwa amani wao inawauma
Kwani marekani wenyewe wamefanya michezo michafu kumchafua tramp kisa alikuwa karibu na putin na alikuwa akisifia pia nchi za kiarabu hasa Sadia kuwa wanapesa sana, na akaweka wazi kuwa wenyewe wanamadeni mengi mno ila wanatoa pesa nyingi sana na istoshe ndio wanaotoa pesa nyingi sana kwenye mashirika ya kimataifa hasa UN wanatoa robo tatu ya pesa taofauti na mataifa mengine, so tramp ametusanua ndio maana wanafanya taasisi ya UN kama yakwao peke yao. Lile shirika linafanya biashara pia tena za kihalifu mfano lilishapata ajali gari la UN uganda na likakutwa na dhahabu za kutosha tu, imekuwaje gari la kulinda usalama likutwe na dhabu? Asimpenda kaja, wajinyonge tu.
Duh! Collabo Kati ya dj na Ally iko juu sana napenda hiki kizazi kipya wanavyo chambua Geopolitics. Kitambo nilikua mbumbumbu sana niliamini sana media za nje ila toka nifunguke macho I can't buy any fake news from mainstream media hasa CNN ,Fox News DW and many more.Salute sky kwa kuwapa fursa hao madogo.
Dj smaa.. Rais wa Egypt aliependuliwa madarakani na Muhammad Al sisi anaitwa Muhammad Mursy na alifia jela nadhani 2016 baada ya kukosa huduma Bora ya matibabu kwani alikua akisumbuliwa na sukari..
Tunaoangalia jengo badala ya kusikiliza wachambuzi tujuane kidogo😂😂
😂😂😂mm simuangalii Putin naangalia huo mjengo inaukubwa kama kutoka mikochen mbaka kariakoo duu jaman huyo Putin wangemtafutia tu usafir
Sky hapa unawakimbiza bbc na dw kimya kimya ❤
Sure jamaa yupo smart
Bro kipaji sana
Op@@midundotechtz6843
Sahihi kabisa @@midundotechtz6843
@denismwambilsahihi kabisa inge
Mungu amlinde mr putin
Putin ni kafiri ujue😅
Mungu amrinde aje watesa vizazi vyetu,
@@zuricakes6817embu tuambie ukafiri wake up I?!!!!!!!?
@@mussammsaji1110 wewe ndio Muislam, tuambie maana ya kafiri. 😁
KAFIR
NI MAKOSA
KUOMBEWA DUAA?
SnS family Alhamdulillah we're growing day by day..... pongezi kwa timu SnS
Sns tunawambiza bbc mdogo mdogo watashtukia tunawapumulia kisogon let's go wana fuse 🔥🔥🔥
Huyu jamaa mm hua namfanana nisha kama raisi wetu Rip JEMBE LETU MZEE WETU BABA ETU mzee MAGUFULI jembe Allah akuounguzie na adhabu ya Qabri uko uliko❤❤❤❤
Magufuli alikua na hofu ya Mungu asingevamia nchi yeyote na kuua watoto na kubaka wanawake, hayakukuta tulia,,,,, Magufuli muache mtu wa Mungu alale salama
@@atutweve4160 Ww nyamaza tuliza uko nje ya mfumo wa Dunia ya sasa vilaza kama ww hatuwataki huku
MB ni za kwako, unao uhuru wa ku comment@@atutweve4160
@@atutweve4160acha kuongea usichokijua.
Uliishi nae, sema muda wake umekwisha alale salama
Meaningful that not all ideas can be same
Walking majestically.. like a MAN from Dar Es Sallaam Tanzania
Dj smaaa is a master of sns channel and analyst of military affair
Dj smaa ni mbuzi tuu ameweka kuegemea upande mmoja
Mbuzi wewe na utaumia xana tuu nyamwez uxiejielewa ndio maana hujielew unaleta ubaguzi na chuki zako apa @@kelvinsakey2540
@@kelvinsakey2540Wacha kutumia majina mabaya kwa watu, km humkubali potezea tu
🙏
Ttaizo yuko na Bias ,naukishakua na Bias basi unakua haufai
Hongera hongera hongera🥰 mr putin
Miaka 71 anatembea vizuri afya iko vizuri
Putin ni kafir au sio kafir? Quran inasemaje😷
@@zuricakes6817 wewe itakusaidia Nini ?? Tafuta pesa wewe acha habar za kafiri au sikafiri
Yani kweli pesa sabuni ya roho,, mama yangu ana miaka 63 ila anaonekana ni mzee zaid ya putini hekaheka ya maradhi imemdhoofisha sana ukijumlisha na ugum wa maisha basi tafrani
@@carmp3 pesa sabuni ya roho na mwili lkn tunatikwa pia kuchagua mwenendo wa maisha yetu uyo baba apo ni mtu wamazoez pia
@@nouraynaasheikhunkabir3749 Uislam umekushinda ndio maana unaongea hivyo. Quran inasema Putin kafir, sasa wewe muislam gani unaipinga Quran?
Conglaturation mr.genius leader of the world of the this century
Nimekukubali kinoma ulipo mkubali Dj Sma 🎉🎉
hili jengo la kuapishiwa sio la kitoto
Hicho chumba alichotoka putin ni mbali kinoma nomaa kumfikia utafanya kazi sana
Pote dhahabu tupu
Ebwana jengo ni hatari kabisaaaa
Yn htr sn😂😂
Halafu yupo peace sana
Kaka mtanisamehe kwa leo naangalia picha zaidi kuliko kuwaskiliza wachambuzi
Tupo pamoja na wewe😂😂😂
Qmmke daa pamoja mkuu 😂😂
😂😂😂 kabisa
Jumba la dhahabu . Ulaya c wanaitaman sana
Dahhh jmn hili jengo ni nzuri jmn. Nzuri kwelikweli sijawahi kuona. Dahhhh ni kuzuri yaani hadi raha zaidi. Love you Russia.
😂😂😂
@@miriamwinston9908 mbn kicheko jmn my
Uraaa namkubal sana huyu mwamba allah akulinde jembe letu🙏
Allah tena? amlinde kafir?😅
Ni MUNGU TU mwenyewe ndo yupo ndani yake. Sasa wengine wanataka tuwe mashoga wapi na wapi . Bola huyu ashikilie Dunia ili iwe salama
Duh! DJ SMAA kama ni kweli kwamba Israel alirusha ndege F-35 ikiwa na bomu la nuclear kwenda kuipiga Iran na kwamba kabla haijatekeleza shambulio hilo ikatunguliwa na Warusi, basi Warusi wapi sayari nyingine kabisa
Namkubar Dj smaa
Genious of the world
We ❤❤❤❤
#VLADMIRPUTIN
WATAKE WASITAKE HUYO NDIO MWAMBA MPYA WA ULIMWENGU,
GOOD NEWS GUY'S
Haipingingi kabisa Kaka.
Uchumi umepanda katika vikwazo sio kazi rahisi.
Yaan vita vya ulimwengu vinanukia yaani haviepukiki hawa mashoga hawakubali kushindwa kabisa kwahiyo mapambano yataendelea yaani watu ni kujiandaa tuu maana ww 3 haiepukiki.
Amaizing CONGRATS COMRADE acha wasuse 😂😂
Hongera sana putini piga mshoga mkp wasema imetosha
Inshallaah siku nikipata nafasi ya kipesa na muda ntafika urusi nikamuone huyu mwamba hata kama atakua kashastaafu
Uchaguzi sio haukuwa huru bali ulikuwa huru sana zingatia huru sana ila wao magharibi walitaka Putin ashindwe na angeshindwa hata uchaguzi usingekuwa huru wangesema ulikuwa huru madam Putin kashindwa. Sasa wamechelewa sana kususa kwao hakutupunguzii chochote kwanza hatuhitaji seaport yao
Naam,ndivyo ilivyo. Kinacho nifurahisha zaidi.. Marekani atajuta kwanini alianzisha hii vita ya Ukraine maana pande zote za dunia hata sisi aliotuaminisha kwa miongo kuwa yeye ndiyo kinara wa dunia, kumbe wapo vinara wametulia.
Kabisaaa
Hongea sana putin
Hii Combination ya Fuse Box ni Hatari, Box limejaa mazagazaga... Ally na Sma wanaua Sanaa, Sky Mzee wa Chombeza😂😂😂
Mwamba huyu apa inaitwa usio mpenda kaja viva putin
watajua wenyewe watuachie Putin wetu tuko nae mpaka watu wamagharibi wote wafe
Aisee hii chanel iko poa sana 🔥🔥🔥
Mmm hayo majumba hata marekan hawan
Wazungu ndio hawana akili wanaweza kumuua hata muuza vitumbua wakiona t ana apenda siasa za kijamaa
uongozi Marekani hawana mijengo kama hii
Yani wao kila sehem wanataka wakae watu wao ili wanyonye.... Pumbavu sana hawa
Yaani sijui wapoje kama pepo hv
Urusi yenye Nguvu na ya kihistoria hii chini ya mwamba putin
Putin anahofu ya Mungu
Cheki miaka 71 jamaa andunda lkn bongo miaka 71 kaisha jizeekea hata milo mitatu tu shida
Manyang'au wanateseka sana
Safi sana manyangau roho juu
Hongera sana jembe la urusi🎉🎉🎉
Silazim a wakubal wote
Hongera San putn
Putin ndio kiongozi Bora dunian
Jamani nauliza sii kwa ubaya nisaidiyen hivi hilo jengo ni zahabu kweli ao ni mapambo tu YESU KRISTO 😮😮😮😮😮😮😮😮😮
Baidn hawezi kupandisha hizo ngaz
Sio ngazi tu yaani angekufa kwa kutembea kwenye hizo korido zilivyo ndefu.
Miaka 81 yule
MUNGU naomba umpe maisha marefu Mzee Putin
Congratulations Mr. PRESIDENT
Congratulation president Vladimir putin
Mungu amjalie afya njema Putin ❤❤🇷🇺🇷🇺💪
Miondoko sasa 😂mselaaa labda umcokoze Mr Putin❤
Namkubali sana sana huyu mwana familia putn
Asee miaka 71 bado akililiyake inachajibalaa na kuumiza vichwa vya wavurugamipango, bigupsana, URRAA👍
Yaaani uchaguzi wa nchi nyingine wao waseme haukuwa huru!
Haiwahusu kwanza wapende wasipende nchi ipo kwenye vita na imefanya uchaguzi kwa amani wao inawauma
Congratulation puttin
Wacha mashoga wagome,tunajua shughuli za wanaume hawawezi kuhudhuria,mpaka zamashoga wenzao,wewe president we appreciate you!
Waamini wasiamini tayari ni raisi😂😂
Hongera mkombozi wa dunia dhidi ya magaidi fiche wa magharibi.
Kwa kweli😂😂😂
Kwani marekani wenyewe wamefanya michezo michafu kumchafua tramp kisa alikuwa karibu na putin na alikuwa akisifia pia nchi za kiarabu hasa Sadia kuwa wanapesa sana, na akaweka wazi kuwa wenyewe wanamadeni mengi mno ila wanatoa pesa nyingi sana na istoshe ndio wanaotoa pesa nyingi sana kwenye mashirika ya kimataifa hasa UN wanatoa robo tatu ya pesa taofauti na mataifa mengine, so tramp ametusanua ndio maana wanafanya taasisi ya UN kama yakwao peke yao. Lile shirika linafanya biashara pia tena za kihalifu mfano lilishapata ajali gari la UN uganda na likakutwa na dhahabu za kutosha tu, imekuwaje gari la kulinda usalama likutwe na dhabu? Asimpenda kaja, wajinyonge tu.
Kabla ya yote lkn huyu jamaa bado yupo njema c kwa mwendo huo wa mguuu
Viva my Mr President
Dar yani tamani putini angekuwa hata na umuli wa myaka 30 ivi dar maa uyu mzee
Watu wa magharibi wamesha ishiwa na sera na hawana mvuto tena katika nchi nyingi
Napenda mataifa yenye misimamo kama Russia
Hongera baba yangu kwa kua raisi tena
Dj smaaa ndo master kwenye uchambuzi chukua maua yako mapema nakukumbari kwenye kitengo cha kutupa habari
🙏
❤vivaaaah #PUTIN
Hoyo ndoo rais anajiamini sana nandomana tunamkubali hata wawo wazungu wanamkubali ilahawasemi
Putin tembea yake tu confidence
mwamba huyu hapa
Bina damu wa pekee aliye rafiki Na Mungu Mr Putin kipenzi Cha binadamu duniani
Mze wa kazi kaingia mzigoni tena wakina Cheupe jasho lawatoka mtu 1 anawatoa kamasi
Russians hakikisheni mnamlinda raisi Putin kwa roho na damu zenu 🙏🙏🙏🙏 ni rafiki wa haki 👏👏👏👏 kifo kwa umoja wa ulaya👣👣
Dah putin ni noma mazee
Congratulations 🎉🎉👏👏🇳🇱
Hovyo kabisa nchi za magharibi mungu atawalaani hao
Duh! Collabo Kati ya dj na Ally iko juu sana napenda hiki kizazi kipya wanavyo chambua Geopolitics. Kitambo nilikua mbumbumbu sana niliamini sana media za nje ila toka nifunguke macho I can't buy any fake news from mainstream media hasa CNN ,Fox News DW and many more.Salute sky kwa kuwapa fursa hao madogo.
Hi elimu huwezi PATA darasani. Kabisa. Asante Kwa kufungua macho ya wengi
That's Truth
Putin you have my vote even if am not a citizen of russia
Adi raha yaani ❤
Hi elimu huwezi kupata dasani 😂 Asante kwakutumia TH-cam yao vizuri kwa kufungua macho ya wengi wapi tulipo toka wapi tunaenda asanteni uongozi mzima
Uchaguz ulikuwa huru.kwani marekani ndo wanasimamia uchaguz dunian.kilamtu asimamie mamboyake.mbona Putin hajawahi simamia uchaguz marekan
.
Mwanamke aliyemzaa Putin alibarikiwa Sana. Jamaa ana akili nyingi Hadi namtamani
Sio poah aisee me mwenyew nimefikiria huyu mama yake aliemzaa ni balaa
Huyu putin ni mwamba kwelikweli
Tupo pamoja raisi wa dunia🎉🎉🎉🎉
Duh miaka 71 lakini bado anadai.Yuko na nguvu kabisa.Hongera Putin.🎉😊
Assalamu alaykum warahmatullahi wabarakaatu DJ smaa na ali masud Mungu awabariki sana
Jamaa Yuko Fit Daahh😂😂😂
Ingekuwa ni Babu yangu ana 70 Basi ujue ni Mtihani 😂😂
Ulaya kawaida watu hawazeeki kama kwetu 😩🤣
Lishe kamili ndio tiba asee sis tunakula kinachofika mezani
Dj smaa.. Rais wa Egypt aliependuliwa madarakani na Muhammad Al sisi anaitwa Muhammad Mursy na alifia jela nadhani 2016 baada ya kukosa huduma Bora ya matibabu kwani alikua akisumbuliwa na sukari..
Asante kwa tarifa hii
Putin ni noma
Acha wasuse kwani ni kwao...😂
Nyie wachambuzi M/mungu awasameh madhambi yenu yasir nadhahir na mm pia anisameh pia mungu awafanyie wepesi.. Sina cha kuwalipa zaid ya dua
Genius Mr President Putin
Walisusia kwa kuwa Putin sio kibaraka wao.
Natamani siku 1 huyu put putin atembelee Tanzania
Conglaturation Mr. Putin.
Hii Nyumba dah
Ikulu hio baba
Jumba la dhahabu
hawa russia commandos ni hatari mnoo
Putini daima✌️
Sasa atawakisusa putin inamuhusu😂😂wajinga sana wamagharib ❤🇷🇺🇷🇺💪💪
Allah hamjalie maisha marefu putin
Natamani sana kuona Malaika ya kinyonyaji yanapotea kabisa hawa wamaghatibi ni washenzisana