Hii ni sehemu ya The Classicefm ambayo tulifanya na moja ya rappers wa kike waliofanya vizuri sana miaka ya nyuma Sister P Enjoy na usisahau ku subscribe
WASANII WA MNAOSEMA NI WAZAMANI MPAKA LEO TUNGEKUWA NAO,,SEMA WALIUPUUZA MZIKI,,,,DAI AKAUZINGATIA....NDOMANA MPAKA LEO ANAUFANYA MZIKI KWA NAMNA ANAYOHITAJI..NA MASHABIKI NAO UPEPO KUVUMA
Kwani dai kafanya miaka mingapi wewe sema ulikua hujazaliwa utasema vp kuhusu pr jay . Hadi baba ako ameruka ngoma zake nahadi wewe umemwona na akawa mbunge
Sister P... She's the Real Mc...✍️🎧🎤🎵💥💥💥💥💥 Big Up to Her ✊✊✊
Bonge la interview 😍😍 we miss you sister P
One of my best Hey Hey DJ fanya mavitu watu wawe Crazy...........
Kk Saleh Jabir achia hiyo ngoma ya Tupac-Ambition Az A Ridah
Namkubali sana uyu sister p.mpaka leo
nampenda sana sister P.Kwa sisiw akongwe tumefurahi sana kumuona sister P
Sister P inafaa awe mtangazaji ana vibe sana
One of the best rapper kwa mademu wabongo
mbna interview fupi hii ni bonge la interview
Huyu mama nlikuwa team yake aisee
KUVI... NA enjoy sana, sister P ni vibe sana🤣🤣
pamoja sana kaka
Sister P ana vibe sana...hii interview fupi 😂😂
😂
daaaaaah way back
Daah hiyo djays hatari sana big up sister P
Dada yeti CHEMICAL
Sister P, liamshe ndugu yangu, bado game linakahitaji
Dah yupo huyu Sister P
Sister P😊uko vizuri
Mtafuteni zey b bas
WASANII WA MNAOSEMA NI WAZAMANI MPAKA LEO TUNGEKUWA NAO,,SEMA WALIUPUUZA MZIKI,,,,DAI AKAUZINGATIA....NDOMANA MPAKA LEO ANAUFANYA MZIKI KWA NAMNA ANAYOHITAJI..NA MASHABIKI NAO UPEPO KUVUMA
Ila kumbuka Ata badae nae atakua waxamani ni wakati wa muda
Kwani dai kafanya miaka mingapi wewe sema ulikua hujazaliwa utasema vp kuhusu pr jay . Hadi baba ako ameruka ngoma zake nahadi wewe umemwona na akawa mbunge
Kaka tuwekee ndefu
Hahaha ntakufungulia mbwa 😂😂 aah majani alikua mtata kummke
Leteni interview yote bana Nimemind sna sister P ako na vibe
nenda kwenye page imekamilika
mbona ya leo fupi sana kaka KUV
hiyo ni ya mda kidogo haya ndo matereila yaliobakia maktaba kaka
Daa noma sana,,, hii ilitakiwa kuendelea aisee
Katika wasanii wanajua kutupa details kama zilivyo hyu amefnika, hii interview fupi sanaaaaa
Sista P mbona kama iyo beef kama bado unayo "kama una shobo"
SASA HUYU JAMAA AMEVAA NINI UKO STUDIO NA UNAVAA MI MASK REDIO NI KITU CHA HESHIMA
Hayo mahojiano yalikua wakati wa covid na ndio nlikua nimetoka kupona uliza kwanza ndugu
@@KuviFacts OK MY I M SO SORRY POLE SANA NAFIKILI UMENISAMEHE BRO
mbona interview ni dakika chache
Kabisa kaka ..fupi sana😂