Dizasta Vina - Nobody is safe 5
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 2 ต.ค. 2024
- Official lyric video of Dizasta Vina perfoming Nobody is safe 5
Prod by Ringle Beatz
Stream/Download NIS 5
Mdundo - mdundo.com/son...
Audiomack - audiomack.com/...
Boomplay - www.boomplay.c...
Apple music - / nobody-is-safe-5-single
Lyrics
So hii kalamu ikisimama na kuanza kutupa wino
Watoto utasikia "mom look Superhero".
Sivunji bars na-Storm out, Like I'm the one
Who let the dogs out, Scofield navuka wigo
Alafu na-fly far (Shuu)
Aftermath natoa salamu kwa survivors
Ukoo wa mbuzi unawapa high five, niko busy na mkwanja
Na ndio maana sionekani viwanja ka' vile sikai Dar
Game kazi siku hizi mama anafahamu
Ala tamu inaongea alama, Binadamu
Niko salama natoa salamu bila damu
Kwa kipaza nasambaza karama ya hii kalamu
Sikutaka kutoka niliingia chaka
Nikatulia nikaisoma dunia utafikiria NASA
Nikawa fear factor, nikashika njia
Wabia wakanihofia kama wanavyoihofia Cancer
Hii ni Beyond your high definition
Naona mbali utadhania tai, hii vision
Ni ya kutafuta material sikai ili nilishwe
Moves kama Spy kwenye mission Ni**er
Badili spana hii ni Volvo
Walifunga mageti kwa maana ligi ndogo
Leta paper kubwa mchizi nachana si kitoto
Mi ni nyoko waulize Wagaga-gigi-koko
Waliokuwa hawakomi wanakoma
Walikuwa vipofu hawakuona navyochoma
Homa, Nikitua kwenye mwili huwa ni joto
Vyuoni ka' Dodoma na Sua wananisoma
Na huu ni wimbo kwa ma-Hustler
Walio-focus kwa maana flow ni za kimasta
Na-flip topic utadhani Flip Mode Busta
Rhymes utahisi Bro Langa
Eyo eyo kwa Insha na methali
Nawazika ka Ujamaa ulivyozikwa na Ubepari
Nishachoka na uongo so nafoka mpaka mtondogoo
Kwa world class Protocal, Internationally
Sina big team, nina big pen brother
Niki-grip unaweza sema Slim Shady kaja
Achana na kids hawa sixth grade rappers
Kisha pick me Dizasta mi' ni 50 shades darker
Hizi tenzi ni pure, Niko real toka enzi nakua
Nili-rap kabla mapenzi sijajua
Kwenye game wanavyoenzi majuha
Wana track mbovu na wanafanya Media tours
Now I'm mad (really mad), Sitaki hoji what next
Ni-focus kwenye page za kishost na kuvex? Nah
Sipigi mbonji niko resi kama Race car Si-dodge dodge
Wala siweki Emoji kwenye text
Jina Vina na kazi ni mistari
Maisha yangu hadithi jamaa hii ndo' dibaji
Nawakilisha machizi ambao vichwa ni madini
Sifanyi masaji nafanya mauaji ya kimbali
Ona nawazidi nguvu wanahisi labda JUJU
kumbe ni skills fulani new new
Iwe Kung Fu ama Wushu japo sio New school
Bado logo ni classic kama FUBU
Panorama kitambo bado sugu
Ndugu watachanga michango ukijitusu
Nitakushangaa ukija bila plan kwenye Battle
Maana unahitaji kiwango na mipango kunimudu
NImeshiba contents cheki TH-cam
Nina material priceless kwenye fuvu
Japo wanaziba ili nisi-trend kama Dudu
Sizifuati trend, trend na-create kama Mungu
Niko shega Bro
Genius ni Understatement half Man half God Paradox
Niite Vina just for lack of the better words
Literally, yet metaphorically undebatable
Huwezi 'amini mambo ambayo ubongo una-solve
I;ve been tested couple of times madokta wanahofu
Linapotajwa jina langu marapa wanatokwa na povu
Mi ni Ndovu walisha-approve Ngosha na Prof
Natia chata kwenye list ya ma-Veteran
Tunaopamba beat kama binti mwenye pete yaani
Chagua jumba la sanaa uchukue kiti uketi ndani
Au uendelee ku-search role model wako anam-date nani
Top tiers wako hawafai kwenye hii selection
Kutafsiri inahitaji classes na deep sessions
Dunia ilianzaje? Ukifa unaenda wapi?
Sijui yai sijui kuku you know, that kind of big Questions
I'm a street Legend haisumbui sana
Kutambua maana sideki ka' simjui Mama
Kamuulizeni Mr. Kuvichaka atawaambia
Nishakula vichaka utadhania Mbuzi kaja
Najua nitakuwa Star that's not my major dream
Stardom is for little kids legacy's the better thing
Nataka kuwa Rapman next to Ringle Beatz Spiderman
And Panorama is the Avenger team
Wasakatonge tuko fiti hatulei mboga
Na size ya bendi ni big everyday ngoma
Bado mistari ni mingi haienei folder
Dizasta Vina si Michael B ni Michael A Jordan
Kipindi sina deal street nishatukanwa nika-chill
Nikawa focus inaitwa Stamala
Mbishi nang'ang'ana siishi kwa mama
Popote yalipo mamkwanja ya kumwaga naishi mkabara
nachekecha mamkwanja baada ya kutwanga na
Kupepeta hasira ka' ndo' naanza kumbe star
Nimefika kwa movie hii...
Nina fan base bila Mchomvu na B Twangala
Kuna wana walijaribu kuwa mimi yoo
Yaani kuwa Off the Stream and yet clinical
Walicopy flows instruments na video.
Walinikuta wakaja wakaondoka ka' Menstrual Period
Mi' sio Budha Budah
I look friendly ndio maana marapa wanakujakuja
Wananizoea kiboya naishia kuwafunza Lugha
Ningewafundisha kuongea na wake zao ila nachunga muda
Label zinawapiga mitungo hatuongei
Verse lundo mfuko bei
Niliwaheshimu sana wadau, mkaja mkasema hailipi
Mkaendekeza kiki alafu mkaja mkampa tuzo Ney
Mashabiki nao wanadisi kwanini sionekani
Wakati kila zinapotajwa list huwa sikosekani....
Read more
genius.com/Diz...
Unaweza kununua album ya #AFF. inapatikana kwa Email, whatsApp au Telegram kwa shilingi 10,000 tu.
Mpesa 0762 158871
Tigo pesa 0655 696811
Jina Edger Vicent Mwaipeta
Mkuu tushazoea kusikiliza, audio. .... Haya mambo ya video yanatuchanganya 😂😂😂❤❤❤❤
Me ntanunua wiki ijayoo kaka
Respect man .
Unyama umeua sana
😂😂😂😂@@raphaelkaswahili323
Msanii wakwnza Africa ambye naweza nikavaa htantshet yenye Jina lake au picha yke na nikawa proud and comfotable... Wasanii wengne wte africa cwezi baado,
Natia chata kweny list ya maveterani/
Wanaopamba bit kama binti mwenye pete yani/
Chagua jumba la sanaa uchukue kitu uketi ndani/
Au undelee kusearch role modo wako anamdate nani?/
ZUCHUUUU
MAMAMAEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Ukinikata kwa kiwembe damu yangu DIZASTA MTUPU.nikiamka nikila nikilala ...daah! Sisemi sana.wacha tu! Huyu Mwamba ni natural talented.nampeperushia bendera toka Kenya Mombasa..mitaa ya Mtwapa mzambarauni.💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪
Usisahau Kumsapoti Mwana,
Kwa Kununua Albam Yake...
Shule Ya Critical Thinker!
Mnunue Album wazee.. hii michano watu zaidi yya wiki 2 sasa... so tu-show true support wazee..... PARADOX
Tayari tushachukua
katoto kajuzi ndokalikuwa kanataka kufosi bato 🤕🤕hapa 😎😎 dizasta vina karvina la michano woooh🎧🎧🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Dizasta Vina is NOT the Tanzanian Kendrick Lamar.
He is The Tanzanian Dizasta Vina.
His acumen and skill set doesn't need any validative comparisons.
He writes for us, defines us and represents us.
Kumbe star nimefika kwa movie hii Dadandandaaaaaa 🔥🔥
Tumsifie mwana na kumpa support ya kununua Albamu....ukinunua hiyo albamu hautojutia.....kuna kazi kama TOP SHELF, MWANASESERE, CHUPA MOJA YA ZIADA, NOT HERO.... aisee wiki ya pili hii sijaichoka
Hiyo album wap inapatikana
@@ayubukaduma1017 cheki pinned msg hapo juu
@@ayubukaduma1017anaiuza shilingi 10,000/= anakutumia kwa e-mail, watsup&telegram
kuna hiyo a confenssion of mad father kuna hiyo theluji
Last confession ni hatari sana
Hadimu kama mythical creature
Lyrical teacher naacha case ya criminal kisha napotea kwenye SURFACE siachi PHYISICAL FEATURE naacha HISTORY na ELIMU to every CRITICAL THINKER
DZSTVN 🧠🙌♥️🙏
Unachagua maneno vizuri sana Vina..Special special ability
3:16
Nimeshiba contents, cheki TH-cam//
Nna material priceless, kwenye fuvu//
Japo wanaziba ili nisitrend, kama Dudu//
Sizifuati trend, trend nacreate kama Mungu/.
Aloo Dizasta ni Noma.
Hivi hiyo beats ya Ringo mnaisikia lakini??
😂😂makin sana mkuu
Mm nimeiskia huu mdundo una baseline flan hv
Oya sio poa!!! West side typa shiit
Nlitamani kua Artist alivotokea DIZASTA nikaaacha For Him kashaimba kula kitu ntaimba nn
Tumeanza kukaa treanding baba ni safi sana
tulionunua album tujuane hapa 🌋
Niliilipia 10000 na black Maradona mapema sn alinipatia mzee magoma yote yamenikosha ila hii na Hatia Vi n zaidi ya noma
Tupo brother. Wazee wa kusikiliza Interlude ya Hatia VI
@@abdulmohd6880 safi tusupport kazi yake aisee 🫧
@@dunstunnchimbi7994 ewaaaaa maridadi kabisaa
@@dunstunnchimbi7994 😅 naiskilizaga sana ile interlude jamaa wanavyobishan.
Walisha prove Ngosha na Prof..
Sisi ni zuzu tukatae kuwa wewe SI Lryical teacher. Nataka Album Leo.
We need To Goo Number 1 On Trending Oooh My Genius DIZASTA 22 Now❤
Bro 🎉🎉🎉 mwenye atakae mfananisha huyu bro na msanii wowote bongo atakua katukosea heshima sisi kama fans wa good music 🎉🎉🎉
Rapcha, lunya, njoo mjifunze 😂😂😂. Nakushangaa Ukija Bila Plan Kwenye Battle
Najua nitakuwa Star that's not my major dream
Stardom is for little kids legacy's the better thing
Walikuja na Kuondoka kama Menstral Period….. Qudadeki
Vinaa hiyo album nipe uelekeo naipataje . Umetisha nyimbo n makin
Jamaa.." akili yake KUBWA sana...Cjawah ona wa kumlinganisha nae labda kidoogo tena kwa mbaali NGOSHA
Role model wako anamcheat nani (zuchuu) 😂😂😂😂
Dizasta vinaaaa,,, umetisha sana mkuu God bless 2024 tumeanza na confidence ya hali ya juu
Ukoo wa MBUZI unawapa salaam HIGH 5......🔥🔥🔥
missed part ya kikosi kazi, i said that kitambo, .. am speechless... leo nanunua albam
no body is fukn saafeee damn it
Mr. Morale pass me the album man this joint is Rock
Jamaa sio Rapper n artist Rapper more than rapper nyimbo za kuvimba zitaisha but every song is a masterpiece.
Game recognizes game ✌🏽... Aliegundua Dizasta kavaa t-shirt ya Album Cover ya Fivara anyooshe kidole 😅
Mdundo wa ringo beat💥michano ya maradona 💯
Video na beat napata feeling kama nipo kwenye Grand Theft Auto (GTA)😊😊😊
Tunaomkubali dizasta vina tujuane
Nyie watoto WA 2050 uyu jamaaa ni hatal kwa wakati wetu jifunze vitu humuuu
2088 still listening to this one 🔥🔥🔥 DIZASTA RUSSIA
Mambo ndio hayo sasa, mwana kaiteka hip hop, nani anabisha?
Mwanetu Saizi Kachangamka Sana Sijutii Kuwa Shabiki Ake Sijutii Kununua Albam
Msimshindanishe tena uwezo wake umejitoshereza
Wana track mbovu na wanafanya media tour 😂
Niko bize na mkwanja,
na ndio maana sionekani viwanja,
kama vile sikai Dar
System ni ya kiwaki tuu mwanangu ila unastahili zaidi.
Van ghor mzee wa kuwapa kizungzungu ukishade layers
Fika ghetto pika ugali wako na nyama, kula ushibe then njoo ckiliza hii ngoma😊
Utanishukuru badae
Dhambi zote za dizasta naziomba nan anazo!? Azilete.... This guy is alien 👽
Me nampa miaka yangu mitano ya kuishi duniani
I wish ufungue chuo cha rap,mcs wajifunze kabla hawajaingia sokoni,it is good for the industry,no hard feelings,kwa level yako ifike mahala serikali iingilie kati kuwe na recognition za watu kama wewe
Yeah man
Critical thinker....
Ukweli kma Tanzania walikuwa malegend kama FID Q ambae always anamuona dizasta vina ni Best Raper bas dizasta vina Ni RAPER HASWA KWENYE karne hizi
Badili Spana Hii ni volvo 😂🙌🙌🙌🙌
Diizasta vinaaa..! Kaka nmeanza kukufatilia cku c nyingi sana, tena nmeanza sababu ya mdogo angu..unaua sana bro no lie 🔥🔥
RINGOBEATZ🔥🔥🔥💯🎶 dundo la kubwa mno
from kenya nampa sikio kuma ww kama humpendi dizasta..juju kumbe nislay queen kama nunu
Oyaaa hizi Visuals✊🏽
Uuh mwaka auishii kaka tobo letu kubwa kitanzania nia nia mpaka kuku akujue mana muda wako kaka nakujua na nilijua hipo siku dunia itakujua
Fundiiii afu underrated 🎉🎉❤
Our own African Kendrick Lamar, lyrically ni zaidi Kabisa 🔥🙌🏾
Nani kaona dizasta kavaa rozali 😂😂
5:40 "Mashabiki nao wana diss kwanini sionekani?
Wakat zinapo tajwa list sikosekani"
Labda kwakuwa si sifii sex na Pombe kali 🎉
Najivunia kua shabiki yako
Mzee nanilikua nasubiri nobody
Is safe5 jiwee
Herufi za hii keyboard hazitoshi kuutukuza ufundi huu.
Kichwan kwang sijaonaa wakuu fananishwa nae.....unatup midundoo unatupaa fulaa unatishaaa dzt....... Gg up san
THIS VISUALS ARE QUALITY 🔥🔥 KEEP BEING MODERNIZED MASTER
Dizasta vina ni mkali hizi nyimbo zatakiwa ziingizwe kidato wanafunzi wajifunze vitu
fan base bila Mchomvu na B.Twangaalaaaaaa.......
Nobody is safe nikawa najiuliza kwanini inaitwa hivi kumbe inatuelezea uwepo wa Dizasta Vina kwenye game respect Bro
Kendrick Lamar wetu 🔗
Big up sana bro
Dizasta anaachia joints kali sana shida ambayo ipo. Yupo sehemu ambako sio sahihi kwake. Watu wanachagua watu sio wanachagua kazi. Kazi za hip hop ni Dizasta lakini wangapi watamchagua Dizasta na kazi zake? Huyu ni Silk Rick the and Shocker the Art of story Telling master.
Ukoo wa MBUZI (G.O.A.T-Greatest Of Time) unawapa High Five
Mwambamm sina mengi the way I feel about your lyrics ALLAH ndoanajua 🙏🙏
Hip hop is back
Kuna jambo dogo ambalo hata watoto hawajatambua kwamba kuna joto ila dizasta ni wa moto kushinda jua
Waliosikia zuchu katajwa bdozen na mchomvuuu.. + ku sabuscrubu yuchubu mko serious sana
Kuliko anaye sema elimu ni ufunguo wa maisha
Bora ni msikilize disaster vina
Kuna kitu Nita pata
Ndugu watachanga michango ukitusu
Ifike atua TANZANIA tumshukuru MUNGU kwaajirinya DIZASTA VINA
Dizasta vina hujawahi kukosea
Na fanibes bila mchomvu na b,twangalaaa hahahahaha Nouma we nu nyOko
Ambao atuchoki kutazama na kuskiliza hii like hapa
Bro u knew mbaya mbovu kinyama yani daah no one bro mmh nimeilewa sana mmh akili nyingi sana zimetumika humu ndan kamaa ufikirii mbali u never know what u means ndani yaii song mmh maaana umenifunza vingi kwenye hii song ✍️🎵🎶🎵🇹🇿♥️ Vina God bless you and lam so proud to be ur fans ,live more bro
Adimu kama mythical creature, lyrical teacher, naacha case ya criminal kisha, napotea kwenye surface siachi physical feature, naacha history na elimu to every critical thinker.
Complete mcee, punchlines,lyrical ,flow zawadi kubwa!mitaa ipo salama tutasimulia vizazi
Wana trucks mbovu na wanafanya Media tour
Endelea kusearch role model wako anamdate nani (Zuchu) 😂😂😂
We jamaa ungezaliwa marekani ungekuwa j cole ila ndo ivo bongo nyoso kaka dah
NO BODY IS SAFE ....🔥🔥🔥
Bro we Ni LEGEND....+ ...WORRIOR
Big love from kenya🇰🇪kijana hatari...Badili spana hii ni volvo.
Mashabiki tuna uriza kwann hauonekan wakati kwenye kira risti haukosekan.. Vina mtu mbaya
Foleni kubwa sana me nacoment wapi sasa 😂
Video bora kabisa ya hip hop kwa mwaka 2024❤❤❤
Daah kama baba angu angekuwepo ningemwambia dizasta ni nani.. na kila siku niimbe nyimbo moja kabla ya kwenda shule na kulala🔥🔥
Rappers mnamskilizagaa uyu mwenzenuu kweliii jifunzenii kitu jamaa akilii kubwaa sana uyuuu
Uyo ndo dizasta vina me sio budabudah ndomana marapa wanakunakuja❤
My childs wako na two options , listening to dizasta vina masterpieces au wakajenge nyumba yao wakafie mbali
Super literature and lyric content....hizi vina kweli ni disaster
Currently Disaster vina ni moto sana... wale wanao semaga Lunya ni raper best huwa munatumia criteria gani jamani!!! mwamba ni huyu hapa🔥🔥🔥
Watuambie
KEDRIC LAMAR WA BONGO
Daah hii ngoma naicheck kwa kurudia rudia lisaa sasa.big brain Bro.
DIZASTA VINA, I RESPECT YOUR FLOW, LYRICS ARTICULATE IS 💯.. I FUCK WITH YOUR MUSIC BRO..ALL THE WAY FROM DALLAS,TX BENDERA YA TAIFA INAPEPEA 🇹🇿🇹🇿
Blessings fam
bro u getting better and better acha na tungo kideo cha hiphop iki apa
Vina 🔥