Dizasta Vina - Nobody is safe 5

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ต.ค. 2024
  • Official lyric video of Dizasta Vina perfoming Nobody is safe 5
    Prod by Ringle Beatz
    Stream/Download NIS 5
    Mdundo - mdundo.com/son...
    Audiomack - audiomack.com/...
    Boomplay - www.boomplay.c...
    Apple music - / nobody-is-safe-5-single
    Lyrics
    So hii kalamu ikisimama na kuanza kutupa wino
    Watoto utasikia "mom look Superhero".
    Sivunji bars na-Storm out, Like I'm the one
    Who let the dogs out, Scofield navuka wigo
    Alafu na-fly far (Shuu)
    Aftermath natoa salamu kwa survivors
    Ukoo wa mbuzi unawapa high five, niko busy na mkwanja
    Na ndio maana sionekani viwanja ka' vile sikai Dar
    Game kazi siku hizi mama anafahamu
    Ala tamu inaongea alama, Binadamu
    Niko salama natoa salamu bila damu
    Kwa kipaza nasambaza karama ya hii kalamu
    Sikutaka kutoka niliingia chaka
    Nikatulia nikaisoma dunia utafikiria NASA
    Nikawa fear factor, nikashika njia
    Wabia wakanihofia kama wanavyoihofia Cancer
    Hii ni Beyond your high definition
    Naona mbali utadhania tai, hii vision
    Ni ya kutafuta material sikai ili nilishwe
    Moves kama Spy kwenye mission Ni**er
    Badili spana hii ni Volvo
    Walifunga mageti kwa maana ligi ndogo
    Leta paper kubwa mchizi nachana si kitoto
    Mi ni nyoko waulize Wagaga-gigi-koko
    Waliokuwa hawakomi wanakoma
    Walikuwa vipofu hawakuona navyochoma
    Homa, Nikitua kwenye mwili huwa ni joto
    Vyuoni ka' Dodoma na Sua wananisoma
    Na huu ni wimbo kwa ma-Hustler
    Walio-focus kwa maana flow ni za kimasta
    Na-flip topic utadhani Flip Mode Busta
    Rhymes utahisi Bro Langa
    Eyo eyo kwa Insha na methali
    Nawazika ka Ujamaa ulivyozikwa na Ubepari
    Nishachoka na uongo so nafoka mpaka mtondogoo
    Kwa world class Protocal, Internationally
    Sina big team, nina big pen brother
    Niki-grip unaweza sema Slim Shady kaja
    Achana na kids hawa sixth grade rappers
    Kisha pick me Dizasta mi' ni 50 shades darker
    Hizi tenzi ni pure, Niko real toka enzi nakua
    Nili-rap kabla mapenzi sijajua
    Kwenye game wanavyoenzi majuha
    Wana track mbovu na wanafanya Media tours
    Now I'm mad (really mad), Sitaki hoji what next
    Ni-focus kwenye page za kishost na kuvex? Nah
    Sipigi mbonji niko resi kama Race car Si-dodge dodge
    Wala siweki Emoji kwenye text
    Jina Vina na kazi ni mistari
    Maisha yangu hadithi jamaa hii ndo' dibaji
    Nawakilisha machizi ambao vichwa ni madini
    Sifanyi masaji nafanya mauaji ya kimbali
    Ona nawazidi nguvu wanahisi labda JUJU
    kumbe ni skills fulani new new
    Iwe Kung Fu ama Wushu japo sio New school
    Bado logo ni classic kama FUBU
    Panorama kitambo bado sugu
    Ndugu watachanga michango ukijitusu
    Nitakushangaa ukija bila plan kwenye Battle
    Maana unahitaji kiwango na mipango kunimudu
    NImeshiba contents cheki TH-cam
    Nina material priceless kwenye fuvu
    Japo wanaziba ili nisi-trend kama Dudu
    Sizifuati trend, trend na-create kama Mungu
    Niko shega Bro
    Genius ni Understatement half Man half God Paradox
    Niite Vina just for lack of the better words
    Literally, yet metaphorically undebatable
    Huwezi 'amini mambo ambayo ubongo una-solve
    I;ve been tested couple of times madokta wanahofu
    Linapotajwa jina langu marapa wanatokwa na povu
    Mi ni Ndovu walisha-approve Ngosha na Prof
    Natia chata kwenye list ya ma-Veteran
    Tunaopamba beat kama binti mwenye pete yaani
    Chagua jumba la sanaa uchukue kiti uketi ndani
    Au uendelee ku-search role model wako anam-date nani
    Top tiers wako hawafai kwenye hii selection
    Kutafsiri inahitaji classes na deep sessions
    Dunia ilianzaje? Ukifa unaenda wapi?
    Sijui yai sijui kuku you know, that kind of big Questions
    I'm a street Legend haisumbui sana
    Kutambua maana sideki ka' simjui Mama
    Kamuulizeni Mr. Kuvichaka atawaambia
    Nishakula vichaka utadhania Mbuzi kaja
    Najua nitakuwa Star that's not my major dream
    Stardom is for little kids legacy's the better thing
    Nataka kuwa Rapman next to Ringle Beatz Spiderman
    And Panorama is the Avenger team
    Wasakatonge tuko fiti hatulei mboga
    Na size ya bendi ni big everyday ngoma
    Bado mistari ni mingi haienei folder
    Dizasta Vina si Michael B ni Michael A Jordan
    Kipindi sina deal street nishatukanwa nika-chill
    Nikawa focus inaitwa Stamala
    Mbishi nang'ang'ana siishi kwa mama
    Popote yalipo mamkwanja ya kumwaga naishi mkabara
    nachekecha mamkwanja baada ya kutwanga na
    Kupepeta hasira ka' ndo' naanza kumbe star
    Nimefika kwa movie hii...
    Nina fan base bila Mchomvu na B Twangala
    Kuna wana walijaribu kuwa mimi yoo
    Yaani kuwa Off the Stream and yet clinical
    Walicopy flows instruments na video.
    Walinikuta wakaja wakaondoka ka' Menstrual Period
    Mi' sio Budha Budah
    I look friendly ndio maana marapa wanakujakuja
    Wananizoea kiboya naishia kuwafunza Lugha
    Ningewafundisha kuongea na wake zao ila nachunga muda
    Label zinawapiga mitungo hatuongei
    Verse lundo mfuko bei
    Niliwaheshimu sana wadau, mkaja mkasema hailipi
    Mkaendekeza kiki alafu mkaja mkampa tuzo Ney
    Mashabiki nao wanadisi kwanini sionekani
    Wakati kila zinapotajwa list huwa sikosekani....
    Read more
    genius.com/Diz...

ความคิดเห็น • 820

  • @dizastavina
    @dizastavina  8 หลายเดือนก่อน +219

    Unaweza kununua album ya #AFF. inapatikana kwa Email, whatsApp au Telegram kwa shilingi 10,000 tu.
    Mpesa 0762 158871
    Tigo pesa 0655 696811
    Jina Edger Vicent Mwaipeta

    • @raphaelkaswahili323
      @raphaelkaswahili323 8 หลายเดือนก่อน +8

      Mkuu tushazoea kusikiliza, audio. .... Haya mambo ya video yanatuchanganya 😂😂😂❤❤❤❤

    • @SizaAdolph
      @SizaAdolph 8 หลายเดือนก่อน +3

      Me ntanunua wiki ijayoo kaka

    • @danielngove
      @danielngove 8 หลายเดือนก่อน +2

      Respect man .

    • @AshaRajabu-j3q
      @AshaRajabu-j3q 8 หลายเดือนก่อน +1

      Unyama umeua sana

    • @Evo_Tv1
      @Evo_Tv1 8 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂​@@raphaelkaswahili323

  • @Fundikichwa
    @Fundikichwa 8 หลายเดือนก่อน +12

    Msanii wakwnza Africa ambye naweza nikavaa htantshet yenye Jina lake au picha yke na nikawa proud and comfotable... Wasanii wengne wte africa cwezi baado,

  • @eddiedonald7483
    @eddiedonald7483 8 หลายเดือนก่อน +9

    Natia chata kweny list ya maveterani/
    Wanaopamba bit kama binti mwenye pete yani/
    Chagua jumba la sanaa uchukue kitu uketi ndani/
    Au undelee kusearch role modo wako anamdate nani?/
    ZUCHUUUU
    MAMAMAEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @duveehducci9380
    @duveehducci9380 8 หลายเดือนก่อน +7

    Ukinikata kwa kiwembe damu yangu DIZASTA MTUPU.nikiamka nikila nikilala ...daah! Sisemi sana.wacha tu! Huyu Mwamba ni natural talented.nampeperushia bendera toka Kenya Mombasa..mitaa ya Mtwapa mzambarauni.💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪

  • @daktariwamauzo
    @daktariwamauzo 8 หลายเดือนก่อน +7

    Usisahau Kumsapoti Mwana,
    Kwa Kununua Albam Yake...
    Shule Ya Critical Thinker!

  • @jephramso
    @jephramso 8 หลายเดือนก่อน +11

    Mnunue Album wazee.. hii michano watu zaidi yya wiki 2 sasa... so tu-show true support wazee..... PARADOX

    • @mugadimon3563
      @mugadimon3563 8 หลายเดือนก่อน

      Tayari tushachukua

  • @MuyaBarton
    @MuyaBarton 8 หลายเดือนก่อน +3

    katoto kajuzi ndokalikuwa kanataka kufosi bato 🤕🤕hapa 😎😎 dizasta vina karvina la michano woooh🎧🎧🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @dariusmsagha
    @dariusmsagha 8 หลายเดือนก่อน +8

    Dizasta Vina is NOT the Tanzanian Kendrick Lamar.
    He is The Tanzanian Dizasta Vina.
    His acumen and skill set doesn't need any validative comparisons.
    He writes for us, defines us and represents us.

  • @KadTheGenesis
    @KadTheGenesis 8 หลายเดือนก่อน +4

    Kumbe star nimefika kwa movie hii Dadandandaaaaaa 🔥🔥

  • @noelphilipmollel6355
    @noelphilipmollel6355 8 หลายเดือนก่อน +104

    Tumsifie mwana na kumpa support ya kununua Albamu....ukinunua hiyo albamu hautojutia.....kuna kazi kama TOP SHELF, MWANASESERE, CHUPA MOJA YA ZIADA, NOT HERO.... aisee wiki ya pili hii sijaichoka

    • @ayubukaduma1017
      @ayubukaduma1017 8 หลายเดือนก่อน +3

      Hiyo album wap inapatikana

    • @noelphilipmollel6355
      @noelphilipmollel6355 8 หลายเดือนก่อน +1

      @@ayubukaduma1017 cheki pinned msg hapo juu

    • @mugadimon3563
      @mugadimon3563 8 หลายเดือนก่อน +2

      ​@@ayubukaduma1017anaiuza shilingi 10,000/= anakutumia kwa e-mail, watsup&telegram

    • @omaryhalfani-ge1fi
      @omaryhalfani-ge1fi 8 หลายเดือนก่อน +1

      kuna hiyo a confenssion of mad father kuna hiyo theluji

    • @hamzazianmisana508
      @hamzazianmisana508 8 หลายเดือนก่อน +1

      Last confession ni hatari sana

  • @josephmtingwa8387
    @josephmtingwa8387 8 หลายเดือนก่อน +5

    Hadimu kama mythical creature
    Lyrical teacher naacha case ya criminal kisha napotea kwenye SURFACE siachi PHYISICAL FEATURE naacha HISTORY na ELIMU to every CRITICAL THINKER
    DZSTVN 🧠🙌♥️🙏

  • @dizastavinafanaccount
    @dizastavinafanaccount 8 หลายเดือนก่อน +5

    Unachagua maneno vizuri sana Vina..Special special ability

  • @kibwamoko8767
    @kibwamoko8767 8 หลายเดือนก่อน +6

    3:16
    Nimeshiba contents, cheki TH-cam//
    Nna material priceless, kwenye fuvu//
    Japo wanaziba ili nisitrend, kama Dudu//
    Sizifuati trend, trend nacreate kama Mungu/.
    Aloo Dizasta ni Noma.

  • @jrxavihernandez7319
    @jrxavihernandez7319 8 หลายเดือนก่อน +10

    Hivi hiyo beats ya Ringo mnaisikia lakini??

    • @AlexLihogosa-om3zh
      @AlexLihogosa-om3zh 8 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂makin sana mkuu

    • @genzacollyfun1261
      @genzacollyfun1261 8 หลายเดือนก่อน +1

      Mm nimeiskia huu mdundo una baseline flan hv

    • @orbitmakaveli8361
      @orbitmakaveli8361 4 หลายเดือนก่อน +1

      Oya sio poa!!! West side typa shiit

  • @SalumKasambala
    @SalumKasambala 8 หลายเดือนก่อน +8

    Nlitamani kua Artist alivotokea DIZASTA nikaaacha For Him kashaimba kula kitu ntaimba nn

  • @msabatozeson9023
    @msabatozeson9023 15 วันที่ผ่านมา +1

    Tumeanza kukaa treanding baba ni safi sana

  • @mulanmike1997
    @mulanmike1997 8 หลายเดือนก่อน +9

    tulionunua album tujuane hapa 🌋

    • @abdulmohd6880
      @abdulmohd6880 8 หลายเดือนก่อน +2

      Niliilipia 10000 na black Maradona mapema sn alinipatia mzee magoma yote yamenikosha ila hii na Hatia Vi n zaidi ya noma

    • @dunstunnchimbi7994
      @dunstunnchimbi7994 8 หลายเดือนก่อน +1

      Tupo brother. Wazee wa kusikiliza Interlude ya Hatia VI

    • @mulanmike1997
      @mulanmike1997 8 หลายเดือนก่อน

      @@abdulmohd6880 safi tusupport kazi yake aisee 🫧

    • @mulanmike1997
      @mulanmike1997 8 หลายเดือนก่อน

      @@dunstunnchimbi7994 ewaaaaa maridadi kabisaa

    • @abdulshakoursalumsaid7125
      @abdulshakoursalumsaid7125 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@dunstunnchimbi7994 😅 naiskilizaga sana ile interlude jamaa wanavyobishan.

  • @alphoncesamwel6973
    @alphoncesamwel6973 8 หลายเดือนก่อน +5

    Walisha prove Ngosha na Prof..
    Sisi ni zuzu tukatae kuwa wewe SI Lryical teacher. Nataka Album Leo.

  • @SalumKasambala
    @SalumKasambala 8 หลายเดือนก่อน +4

    We need To Goo Number 1 On Trending Oooh My Genius DIZASTA 22 Now❤

  • @yussufkhasim9021
    @yussufkhasim9021 8 หลายเดือนก่อน +3

    Bro 🎉🎉🎉 mwenye atakae mfananisha huyu bro na msanii wowote bongo atakua katukosea heshima sisi kama fans wa good music 🎉🎉🎉

  • @DismasPhidason-vu6bt
    @DismasPhidason-vu6bt 8 หลายเดือนก่อน +4

    Rapcha, lunya, njoo mjifunze 😂😂😂. Nakushangaa Ukija Bila Plan Kwenye Battle

  • @DirectorDeiv
    @DirectorDeiv 8 หลายเดือนก่อน +5

    Najua nitakuwa Star that's not my major dream
    Stardom is for little kids legacy's the better thing

  • @gwantadibusta
    @gwantadibusta 8 หลายเดือนก่อน +6

    Walikuja na Kuondoka kama Menstral Period….. Qudadeki

  • @ayubukaduma1017
    @ayubukaduma1017 8 หลายเดือนก่อน +4

    Vinaa hiyo album nipe uelekeo naipataje . Umetisha nyimbo n makin

  • @bizzleadam9895
    @bizzleadam9895 8 หลายเดือนก่อน +3

    Jamaa.." akili yake KUBWA sana...Cjawah ona wa kumlinganisha nae labda kidoogo tena kwa mbaali NGOSHA

  • @edwardmagunga9320
    @edwardmagunga9320 8 หลายเดือนก่อน +5

    Role model wako anamcheat nani (zuchuu) 😂😂😂😂

  • @gaddibullahtzg5635
    @gaddibullahtzg5635 8 หลายเดือนก่อน +2

    Dizasta vinaaaa,,, umetisha sana mkuu God bless 2024 tumeanza na confidence ya hali ya juu

  • @is-mailh.makame5420
    @is-mailh.makame5420 8 หลายเดือนก่อน +5

    Ukoo wa MBUZI unawapa salaam HIGH 5......🔥🔥🔥

  • @felixrumisha5132
    @felixrumisha5132 8 หลายเดือนก่อน +3

    missed part ya kikosi kazi, i said that kitambo, .. am speechless... leo nanunua albam

  • @calino2164
    @calino2164 8 หลายเดือนก่อน +5

    no body is fukn saafeee damn it
    Mr. Morale pass me the album man this joint is Rock

  • @desngalaba1181
    @desngalaba1181 11 วันที่ผ่านมา

    Jamaa sio Rapper n artist Rapper more than rapper nyimbo za kuvimba zitaisha but every song is a masterpiece.

  • @gerriemagic
    @gerriemagic 8 หลายเดือนก่อน +5

    Game recognizes game ✌🏽... Aliegundua Dizasta kavaa t-shirt ya Album Cover ya Fivara anyooshe kidole 😅

  • @abelmwashiuya1248
    @abelmwashiuya1248 8 หลายเดือนก่อน +3

    Mdundo wa ringo beat💥michano ya maradona 💯

  • @daggazzedirector9790
    @daggazzedirector9790 8 หลายเดือนก่อน +3

    Video na beat napata feeling kama nipo kwenye Grand Theft Auto (GTA)😊😊😊

  • @programtz
    @programtz 8 หลายเดือนก่อน +5

    Tunaomkubali dizasta vina tujuane

  • @LucyJames-l6g
    @LucyJames-l6g 8 หลายเดือนก่อน +3

    Nyie watoto WA 2050 uyu jamaaa ni hatal kwa wakati wetu jifunze vitu humuuu

  • @adamsengo1869
    @adamsengo1869 8 หลายเดือนก่อน +3

    2088 still listening to this one 🔥🔥🔥 DIZASTA RUSSIA

  • @HamisiNanyata
    @HamisiNanyata 8 หลายเดือนก่อน +6

    Mambo ndio hayo sasa, mwana kaiteka hip hop, nani anabisha?

  • @pilatoguiter8994
    @pilatoguiter8994 8 หลายเดือนก่อน +3

    Mwanetu Saizi Kachangamka Sana Sijutii Kuwa Shabiki Ake Sijutii Kununua Albam

  • @StellaErick-k4i
    @StellaErick-k4i 8 หลายเดือนก่อน +4

    Msimshindanishe tena uwezo wake umejitoshereza

  • @josephnyamhanga1360
    @josephnyamhanga1360 8 หลายเดือนก่อน +4

    Wana track mbovu na wanafanya media tour 😂

  • @jephramso
    @jephramso 8 หลายเดือนก่อน +4

    Niko bize na mkwanja,
    na ndio maana sionekani viwanja,
    kama vile sikai Dar

  • @piussungwa5386
    @piussungwa5386 8 หลายเดือนก่อน +5

    System ni ya kiwaki tuu mwanangu ila unastahili zaidi.

  • @el-hajjel-shabbaz8078
    @el-hajjel-shabbaz8078 8 หลายเดือนก่อน +3

    Van ghor mzee wa kuwapa kizungzungu ukishade layers

  • @geraldmushi4445
    @geraldmushi4445 8 หลายเดือนก่อน +4

    Fika ghetto pika ugali wako na nyama, kula ushibe then njoo ckiliza hii ngoma😊
    Utanishukuru badae

  • @Heisbry_
    @Heisbry_ 8 หลายเดือนก่อน +3

    Dhambi zote za dizasta naziomba nan anazo!? Azilete.... This guy is alien 👽

    • @AmereZ-q6h
      @AmereZ-q6h 8 หลายเดือนก่อน

      Me nampa miaka yangu mitano ya kuishi duniani

  • @klcmedia2503
    @klcmedia2503 8 หลายเดือนก่อน +2

    I wish ufungue chuo cha rap,mcs wajifunze kabla hawajaingia sokoni,it is good for the industry,no hard feelings,kwa level yako ifike mahala serikali iingilie kati kuwe na recognition za watu kama wewe

  • @abdallahmsaka1561
    @abdallahmsaka1561 8 หลายเดือนก่อน +3

    Critical thinker....
    Ukweli kma Tanzania walikuwa malegend kama FID Q ambae always anamuona dizasta vina ni Best Raper bas dizasta vina Ni RAPER HASWA KWENYE karne hizi

  • @makawan_Bway5478
    @makawan_Bway5478 5 หลายเดือนก่อน +4

    Badili Spana Hii ni volvo 😂🙌🙌🙌🙌

  • @ezekielbituro7969
    @ezekielbituro7969 8 หลายเดือนก่อน +4

    Diizasta vinaaa..! Kaka nmeanza kukufatilia cku c nyingi sana, tena nmeanza sababu ya mdogo angu..unaua sana bro no lie 🔥🔥

  • @sangomacmc3558
    @sangomacmc3558 7 หลายเดือนก่อน +3

    RINGOBEATZ🔥🔥🔥💯🎶 dundo la kubwa mno

  • @electricaldevicesskillsand4531
    @electricaldevicesskillsand4531 5 หลายเดือนก่อน +2

    from kenya nampa sikio kuma ww kama humpendi dizasta..juju kumbe nislay queen kama nunu

  • @martin_mjb3917
    @martin_mjb3917 8 หลายเดือนก่อน +2

    Oyaaa hizi Visuals✊🏽

  • @KasembeObedy
    @KasembeObedy 5 หลายเดือนก่อน +3

    Uuh mwaka auishii kaka tobo letu kubwa kitanzania nia nia mpaka kuku akujue mana muda wako kaka nakujua na nilijua hipo siku dunia itakujua

  • @milesdigital813
    @milesdigital813 8 หลายเดือนก่อน +2

    Fundiiii afu underrated 🎉🎉❤

  • @paccowilly5672
    @paccowilly5672 8 หลายเดือนก่อน +2

    Our own African Kendrick Lamar, lyrically ni zaidi Kabisa 🔥🙌🏾

  • @BAIKOKO_TV
    @BAIKOKO_TV 8 หลายเดือนก่อน +4

    Nani kaona dizasta kavaa rozali 😂😂

  • @bahopamontana6381
    @bahopamontana6381 8 หลายเดือนก่อน +3

    5:40 "Mashabiki nao wana diss kwanini sionekani?
    Wakat zinapo tajwa list sikosekani"
    Labda kwakuwa si sifii sex na Pombe kali 🎉

  • @MalickMazikublood-gq2fs
    @MalickMazikublood-gq2fs 8 หลายเดือนก่อน +4

    Najivunia kua shabiki yako
    Mzee nanilikua nasubiri nobody
    Is safe5 jiwee

  • @jessekent5060
    @jessekent5060 8 หลายเดือนก่อน +4

    Herufi za hii keyboard hazitoshi kuutukuza ufundi huu.

  • @MangaraKamwera-of3ff
    @MangaraKamwera-of3ff 8 หลายเดือนก่อน +3

    Kichwan kwang sijaonaa wakuu fananishwa nae.....unatup midundoo unatupaa fulaa unatishaaa dzt....... Gg up san

  • @yuvenalalphonce5978
    @yuvenalalphonce5978 8 หลายเดือนก่อน +5

    THIS VISUALS ARE QUALITY 🔥🔥 KEEP BEING MODERNIZED MASTER

  • @FERNAKSecurity
    @FERNAKSecurity 5 หลายเดือนก่อน +3

    Dizasta vina ni mkali hizi nyimbo zatakiwa ziingizwe kidato wanafunzi wajifunze vitu

  • @drmedard
    @drmedard 8 หลายเดือนก่อน +2

    fan base bila Mchomvu na B.Twangaalaaaaaa.......

  • @DanielJeremia-mj4bj
    @DanielJeremia-mj4bj 8 หลายเดือนก่อน +1

    Nobody is safe nikawa najiuliza kwanini inaitwa hivi kumbe inatuelezea uwepo wa Dizasta Vina kwenye game respect Bro

  • @michaelmkisi9732
    @michaelmkisi9732 8 หลายเดือนก่อน +5

    Kendrick Lamar wetu 🔗

  • @imaramc6802
    @imaramc6802 5 วันที่ผ่านมา

    Big up sana bro

  • @beatbyrich2891
    @beatbyrich2891 4 หลายเดือนก่อน +1

    Dizasta anaachia joints kali sana shida ambayo ipo. Yupo sehemu ambako sio sahihi kwake. Watu wanachagua watu sio wanachagua kazi. Kazi za hip hop ni Dizasta lakini wangapi watamchagua Dizasta na kazi zake? Huyu ni Silk Rick the and Shocker the Art of story Telling master.

  • @dunstunnchimbi7994
    @dunstunnchimbi7994 8 หลายเดือนก่อน +2

    Ukoo wa MBUZI (G.O.A.T-Greatest Of Time) unawapa High Five

  • @SaidiMkinga
    @SaidiMkinga 8 หลายเดือนก่อน +2

    Mwambamm sina mengi the way I feel about your lyrics ALLAH ndoanajua 🙏🙏

  • @eddsonjeremiah6669
    @eddsonjeremiah6669 8 หลายเดือนก่อน +3

    Hip hop is back

  • @mohamedissa9228
    @mohamedissa9228 8 หลายเดือนก่อน +3

    Kuna jambo dogo ambalo hata watoto hawajatambua kwamba kuna joto ila dizasta ni wa moto kushinda jua

  • @rodgerzdangote8629
    @rodgerzdangote8629 8 หลายเดือนก่อน +3

    Waliosikia zuchu katajwa bdozen na mchomvuuu.. + ku sabuscrubu yuchubu mko serious sana

  • @6ix7ven
    @6ix7ven 8 หลายเดือนก่อน +3

    Kuliko anaye sema elimu ni ufunguo wa maisha
    Bora ni msikilize disaster vina
    Kuna kitu Nita pata

  • @nakamsilikasi3310
    @nakamsilikasi3310 8 หลายเดือนก่อน +2

    Ndugu watachanga michango ukitusu

  • @bahopamontana6381
    @bahopamontana6381 8 หลายเดือนก่อน +2

    Ifike atua TANZANIA tumshukuru MUNGU kwaajirinya DIZASTA VINA

  • @zainabmaulid9637
    @zainabmaulid9637 8 หลายเดือนก่อน +3

    Dizasta vina hujawahi kukosea

  • @RapperTyger-vv1vt
    @RapperTyger-vv1vt 8 หลายเดือนก่อน +3

    Na fanibes bila mchomvu na b,twangalaaa hahahahaha Nouma we nu nyOko

  • @MalickMazikublood-gq2fs
    @MalickMazikublood-gq2fs 8 หลายเดือนก่อน +3

    Ambao atuchoki kutazama na kuskiliza hii like hapa

  • @BonMaro
    @BonMaro 8 หลายเดือนก่อน +2

    Bro u knew mbaya mbovu kinyama yani daah no one bro mmh nimeilewa sana mmh akili nyingi sana zimetumika humu ndan kamaa ufikirii mbali u never know what u means ndani yaii song mmh maaana umenifunza vingi kwenye hii song ✍️🎵🎶🎵🇹🇿♥️ Vina God bless you and lam so proud to be ur fans ,live more bro

  • @kimpyonglee7552
    @kimpyonglee7552 8 หลายเดือนก่อน +2

    Adimu kama mythical creature, lyrical teacher, naacha case ya criminal kisha, napotea kwenye surface siachi physical feature, naacha history na elimu to every critical thinker.

    • @stapinuswilliam860
      @stapinuswilliam860 8 หลายเดือนก่อน

      Complete mcee, punchlines,lyrical ,flow zawadi kubwa!mitaa ipo salama tutasimulia vizazi

  • @buruanisaidi2411
    @buruanisaidi2411 8 หลายเดือนก่อน +4

    Wana trucks mbovu na wanafanya Media tour

  • @salminmwalile6172
    @salminmwalile6172 8 หลายเดือนก่อน +2

    Endelea kusearch role model wako anamdate nani (Zuchu) 😂😂😂

  • @AmereZ-q6h
    @AmereZ-q6h 8 หลายเดือนก่อน +2

    We jamaa ungezaliwa marekani ungekuwa j cole ila ndo ivo bongo nyoso kaka dah

  • @Don.26Alien
    @Don.26Alien 8 หลายเดือนก่อน +2

    NO BODY IS SAFE ....🔥🔥🔥
    Bro we Ni LEGEND....+ ...WORRIOR

  • @kelvinodera821
    @kelvinodera821 8 หลายเดือนก่อน +4

    Big love from kenya🇰🇪kijana hatari...Badili spana hii ni volvo.

  • @heliudjulias7748
    @heliudjulias7748 8 หลายเดือนก่อน +2

    Mashabiki tuna uriza kwann hauonekan wakati kwenye kira risti haukosekan.. Vina mtu mbaya

  • @EzzyK438
    @EzzyK438 8 หลายเดือนก่อน +3

    Foleni kubwa sana me nacoment wapi sasa 😂

  • @kherisalum6304
    @kherisalum6304 8 หลายเดือนก่อน +3

    Video bora kabisa ya hip hop kwa mwaka 2024❤❤❤

  • @visionally975
    @visionally975 8 หลายเดือนก่อน +2

    Daah kama baba angu angekuwepo ningemwambia dizasta ni nani.. na kila siku niimbe nyimbo moja kabla ya kwenda shule na kulala🔥🔥

  • @dismasmushi9328
    @dismasmushi9328 8 หลายเดือนก่อน +2

    Rappers mnamskilizagaa uyu mwenzenuu kweliii jifunzenii kitu jamaa akilii kubwaa sana uyuuu

  • @amonijajila1218
    @amonijajila1218 8 หลายเดือนก่อน +1

    Uyo ndo dizasta vina me sio budabudah ndomana marapa wanakunakuja❤

  • @danielchale6443
    @danielchale6443 8 หลายเดือนก่อน +2

    My childs wako na two options , listening to dizasta vina masterpieces au wakajenge nyumba yao wakafie mbali

  • @bigbonndamr9872
    @bigbonndamr9872 8 หลายเดือนก่อน +1

    Super literature and lyric content....hizi vina kweli ni disaster

  • @kibwanakhamisi5604
    @kibwanakhamisi5604 8 หลายเดือนก่อน +2

    Currently Disaster vina ni moto sana... wale wanao semaga Lunya ni raper best huwa munatumia criteria gani jamani!!! mwamba ni huyu hapa🔥🔥🔥

  • @stephenfelix5158
    @stephenfelix5158 4 หลายเดือนก่อน +5

    KEDRIC LAMAR WA BONGO

  • @KingJacka_MwanaNzambe_
    @KingJacka_MwanaNzambe_ 8 หลายเดือนก่อน +1

    Daah hii ngoma naicheck kwa kurudia rudia lisaa sasa.big brain Bro.

  • @shaqdizo7678
    @shaqdizo7678 7 หลายเดือนก่อน +3

    DIZASTA VINA, I RESPECT YOUR FLOW, LYRICS ARTICULATE IS 💯.. I FUCK WITH YOUR MUSIC BRO..ALL THE WAY FROM DALLAS,TX BENDERA YA TAIFA INAPEPEA 🇹🇿🇹🇿

    • @dizastavina
      @dizastavina  7 หลายเดือนก่อน +3

      Blessings fam

  • @samwelysimon569
    @samwelysimon569 8 หลายเดือนก่อน +3

    bro u getting better and better acha na tungo kideo cha hiphop iki apa

  • @jayfarsaga4935
    @jayfarsaga4935 8 หลายเดือนก่อน +1

    Vina 🔥