Dizasta Vina - Achia jala Ft Kaa La Moto
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 2 ต.ค. 2024
- Official music video of a record Achia jala by Dizasta Vina off the upcoming album A Father figure, Written and perfomed by Dizasta Vina & Kaa la moto & Irene, incredible nory & Gerrard Mhabi
Shot and edited by Dee ayo.
Stream/Download Achia jala
Boomplay - www.boomplay.c...
Mdundo - mdundo.com/son...
Audiomack - audiomack.com/...
TH-cam - • Dizasta Vina - Achia j...
Apple Music - / achia-jala-single
Spotify - open.spotify.c...
Genius - genius.com/Diz...
Other music by Dizasta Vina
Audiomack - audiomack.com/...
Boom play - www.boomplay.c...
TH-cam - / dizastavina
Mdundo - mdundo.com/a/2263
Spotify - open.spotify.c...
Apple music - / dizasta-vina
Deezer - www.deezer.com...
Spotify playlist - open.spotify.c...
Genius - genius.com/Diz...
Connect with Dizasta Vina on social medias
Instagram - / dizastavina
Twitter/ X - x.com/dizastavina
Facebook - / dizastavina07
sw.wikipedia.o...
Business: Pan.authentik@yahoo.com
Website - bio.link/dizas...
Lyrics
Oya
Mwela alikuja nikampiga sound mbumba mbaya
Siwezi lala down town naitunza kaya
Niko around ninavunja taya
Michongo kibao town wana hawakuvuta waya
Achia jala
Ni heri kuyashinda majaribu
Ila kufeli ni kushindwa kujaribu
Baba alifeli siwezi feli pia
Namiliki jina la ukoo sio sheli dia
Siwezi lala njaa itanigaraza
Kwahiyo usiniletee risala achia jala kwanza
Sina kazi nimedandia ndala
Alafu unanikazia fala
Bro achia Jala
Hauna shida ndo' maana unapendeza
Alafu unaniambia hauna fedha
Sikupi kichaka sikupi hata stata utakimbia,
Achia jala ntakupiga mitama utajifia
Sikupenda kuwa vikundi vya wahuni,
Nilikuwa madini ambayo hauyakuti vitabuni,
Nilikuwa mtu kabla enzi zangu
Haya maisha yangu ni kitabu na hii ni peji chafu,
So achia jala
Dingi mwenyewe alitoboka
Madeni kama dhambi milele nakokota
Na alipodondoka nikarithi shida
Ndio maana Kuelewa mtu lazima uelewe alipotoka
So, Achia jala
Sichezi kamali na washua
Nitakupiga kabali nitakuua, sikuachii hata ukisali
Matumaini yako mbali
Nami nipo katikati ya bahari Na mashua
Hauwezi kuwa mtoto ukishazaa
Nina mtoto sasa, sitaki kuuza ndoto ka bidhaa
Mwanzo nilikuwa na ndoto na iling'aa
Lakini bahati mbaya mtoto hawezi kula ndoto ikija njaa
Nilipenda kuwa rubani
Ila mambo ni makubwa ukubwani
Nikaishia kuwa mkulima fani niliyofunzwa nyumbani
Kabla shamba halijakumbwa tufani
So achia jala
Nimekufata tangu Benki najua kuwa una cash
Uliingia ukiwa empty ukatoka na mabegi
Una-act kama Ndezi
Unaniletea undezi nitakuletea ushenzi wewe
Nilichora plan na sikupiga mchele
Wenzangu wa mtaani ni'shazika tele
Najua unahesabu time si ujaribu kurun sijui
Nimeshika gun nitakuchezea shere
Achia jala,
Siwezi kudanganya kuhusu
Haya Madusko hatuwezi kugawana nusu
Usihubiri sisadiki maadili
Maisha yenyewe mafupi na hatuishi mara mbili
Achia jala
Mbunge halijui jina langu
Ramani ya jiji haisanifu njia zangu
Hawajivunii ndugu zangu, Miungu haisikii sauti yangu
Niko peke yangu mimi na gun yangu
Nitaku pah pah
Kisha unione mamluki
Nitakuchezesha mabuzuki
Nishafungwa mara tatu nimetoa roho nne
Utakuwa wa tano, so jaribu kutoka nduki nikuonyeshe
Nipo kazini so achia jala
Nitakutia ngwara ufe
Mafanikio ni kwa wale majasiri
Walio tayari kusubiri ni makupe
Nisikize brother
Ni'shafanya mamziki
Sikuvutia kukusanya mashabiki
Naogopa kuwa begi nishazika marafiki
Nilishalala na maiti nishajiuza kwa shangingi
Nishafunga mahirizi, nishakula mamizizi
Nishafuga Jinamizi mamisuba nikasizi
Nishakuzwa na waizi waliokuzwa na machizi waso....
Mama ananiona failure for life
Na ninamisi kumbatio la wife
Mkwe ananiona bwege, napeleka nuksi malangoni pake
Shemeji ananiona sio type
So achia jala, nitakubia roho nipe jala
Usinizoee usinipe gwara
Unahisi sina maadili ninafata mkumbo bwege
huwezi kuwa consious ukiwa tumbo empty
Achia jala
Sijarithi mali ili nizichunge kama zako
jala ziko mbali nizifuge Kama zako
Wajomba masadali sio wabunge kama wako
Sijaenda shule yako...
I'll fucking shoot you, Achia jala
Nimeshindwa leo sio kwamba nilisinzia jana
Sijakwambia kwamba alisinzia baba
Hakujua mkwanja ni maua mazuri yanafifia ghafla
Achia jala
Hey, so sad hunijui boy, am not of your Calibre
Usituone tu tajiri, wengi tuna suck blood ki-Cannibal.
Msimamo kitaliban, na roho ya kijahidina.
Kama mbwai mbwai ndio utajua mi kikosi kama Pina.
But I won't choose that hata ka' niko street smart.
nna-pure fact nahisi we ni mgonjwa unahitaj.......
Mazungumzo ya wimbo wa #achiajala ni ya kubuni na yamelenga kuchochea majadiliano kuhusu maudhui tofauti ya kijamii kama kanuni za ubaya na wema (moral values), athari za ukosefu wa malezi bora, msongo wa mawazo, ukosefu wa ajira na mahusiano kati ya ongezeko la uhalifu na umasikini. Wasanii wa hii kazi hatukulenga kuchochea maamuzi mabaya kwa namna yeyote. Tunaamini kuwa sanaa hii ni sehemu ndogo tu ya uhalisia na wasanii tunajaribu kucheza nafasi yetu tu kupeleka ujumbe kwa jamii
Shoutout to incredible performance by @incredible_nory kuwakilisha antagonistic role kwenye wimbo. Character aliyechezwa na @incredible_nory amekuwa inspired na a legendary character Robin Hood from 1370’s ballads and tales anayesemekana alihisi kudhurumiwa umiliki wa rasilimali na akachukua maamuzi ya kulipa kisasi kwa kuchukua miliki ya walio daraja la juu la maisha na kuwapa masikini
#DZSTVN
Kaka me ni mwandishi wa vitabu naomba uniruhusu niandike kitabu kwa kutumia wimbo wako wa shahidi & mlemavu
Mhuu Kal sana mtalamu
u know what u do and u r pfct boy❤❤❤🎉🎉
Daaah imekaa poa sana hii track brothers nitaifanya tena kwaajili yenu TAFADHARI
imeenda broo hujawahi kutungusha kwenye kuandika stroy wewe n ibora zaidi ya hta waandika stry za movie bongo hpa take a time weka stry njoo na movie brooo your master mind on this all in all bonge moja la ndoma bonge moja la idea...... @dizastaVINA
Dizasta unajua tz huna mpizani anae mkubali dizasta like hapa %
Dude tamu sana lazma vijana tujifunze kujitegemea sio wote walionavyo wamerithi wengi wao wamehustle congratulations to both of you Disasta n Kaa
Real mcs wamekutana wamefanya real HIP HOP real fans mko wapi? One love from Zanzibar leo kaa limewaka mpaka Zanzibar na Tribulation ipo forodhani
Mmeua sana aisee hii ni masterpiece for many centuries to come
ONE minutes remainiiiii wananguiuuu tufurahie kitu roho inaaminiaaaaaaaaaaaaaaaa
Nakupenda hip hop kuliko mpira ..🤐🤐🤐
Kitu moja kali zaidi na ngoma za Dizasta, ukianza kuiskiliza ata kama wewe ni mtu wa mbwembwe unatulia kwanza na unaanza kuwa conscious🙌🙌
RESPECT genius 👏👏👏👏
Meru Kenya we salute 💯
Noma sana💯💯💯🙌🙌🙌
Dizasta Vina tena huku tunasubiria 6/1/2024
1day na viewers ni 24k yasipoe haya machakula ya ubongo inatia moyo sanaa ❤ wana hip hop wote tukaze tufike 1M subscribers tumsapoti dizasta azidi kutupa madude ya ubongo
We jamaa,ni nomaaaaa,ukitaka kujua hii ngoma,ni kali isikilize mida flan ivi ukiwa umejichokea na msongo wa mawazoo😩😩
Daah wewe ni noumaaaaaa
Hatari sana wazeee
Hip hop yetu🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🎉🎉🎉🎉
Nzuri mnoo
Undisputed!
Kama utaki haikuhusu nenda kule kwakina whozu na bonge la nyau
Vina kwenye vina vyake✌🏼
The real goats
Nilikua kijiweni nimepaki bodaboda yangu Ila hii nyimbo imenirudisha ghetto nisikilize vizuri, sikuhitaji makelele ya pale kijiweni. Apa ndo narudi kijiweni baada ya kusikiliza...🙌🙌🔥
Nmekuwa balozi mkubwa wa nyimbo zako BRO . Kuna siku mtu ashawahi niuliza hivi ukikutana na dizastar utamwambia nni.nikamjibu kabla ya yote nitamuulza Nini maana ya "MWANAJUA" alimaanisha nn for sure nawish kujua..
Dizasta respect nakukubali sana 🎉😊
Kwahyo wanangu tukaibe sio
black maradonaa,marap wao wala unga tena sembe ila we unakula unga tena donaa
Kumuelewa mtu ni lazima uelewe alipotoka 👊
uu muziki ni shule level za juu sana
Nom sanaa.a. sema audio zipeleke basi redio tusikie sikie kaka . Tunizipigie ombi maana wengine wanasema hujapeleka redio ngoma .
Achia jala__mafanikio ni Kwa wale majasiri walio tayari kusubiri ni makupe💯Dizasta🔥🔥🔥🔥🔥
You're so bitter sio healthy,unapoteza asili💯Kaa La moto 🔥🔥🔥
I told them KAA LA MOTO ndio moto alaaaa
Oya we boya achia jala ntakupiga daga
Naacha Comment leo, nitarudi 2050 nikiwa mzee kuaambia wajukuu wangu kwamba ngoma za Dizasta zimenikuza📌🔥
na reply kwako😎
Niko pamoja na ww mzee hichi kichwa never seen before
Noma Sana
Namiliki jina la ukoo sio Sheri dear.
Heh! Yoh bro,
Vina ni habari noma
my best emcee ever mwanangu Dizasta Kila la kheri na nakuombea Dua Kwa Kila unalolifanya mwanangu much 💕😘💕😘🔥🔥🔥🔥💪💪💪
Dizasta we ni hatar sanaaa mzeee huu utunzi niwa out of this planet
Vina 🙌🏽
Mkwanja kauwa mazuri yanafifia ghafla
Namiliki jina la ukoo na sio sheri
Hauwezi kuwa mtoto ukisha ZAA. Na mtoto hawez kula NDOTO ikija njaa ,pia kuna mstari wa nyimbo Yako X unasema " MAISHA YA NDOTO YATAISHA UTAIRUDIA KAWAIDA NA UTAGUNDUA Kuwa HAUKUWA MALAIKA" DIZASTAR VINA bro kila nikiingia online nataman kujua kuna nn kuhusu wewe.....ni noma appreciate💯
This is bigger
🔥🔥🔥🔥🔥🔥this is beyond normal...dizasta for life dizasta to the universe
If content was a person💎 kichwa Halisi cha madini.
Dizasta ni jini
Baba alifeli sitafeli pia
Kaa lamoto😊 best ever
Pooh yea
Mmetisha sana
Hii duo inabidi ifanye tena kazi nyingine.. wazee mmechora. Big up!
Oya dizasta jamaa wa mitaaa tunahitaji jala ka ujasikia paapaa
Ni heri kuyashinda majaribu ila kufeli ni kushindwa kujaribu
Vina 🎤🎤
Fanya ufanye KAZI moja na kontawa akupeleke mjini
Huna akili
Wewe kuma humjui vina kapembeni naona wewe umemjua jana
🔥🔥🔥🔥🔥
Iam ready I was ready am born ready mahn..the black maradona
One my favorite story teller salute bro achia jala
Unabalaaaaa
Konkiii... Black Maradona ft kaa LA moto... Oya weeeeee toa jala
Waiting Brotherhood
🔥🔥🔥🔥✊🏿
Vinaaa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Haya maisha yangu ni kitabu,na hii ni page Chafu, So achia JALA😂
Nitatafuta jala mpk nipate WA kumtananisha Ila watalikosa jala langu salute kwenu
Thats my broda👊👊🏆
Combination ya akili kubwa kwenye ukubwa wa maudhui real recognize real the big chemistry of hiphop 🙌✊✊✊
Nimejua ngoma zako leo tu baada ya siku mbaya sana. Achia Jala! Hmmm! Asante! Kollabo na Nyashinski?
Broo tangu nikiwa kidato cha 1 nilisikilishwa wew na kamwe tangu Siku iyo siwezi kuwa mbali nawe.....
Big up mr
Alfu best rapper anapewa mwingine kama kibu kufanya kosa na refa kusema paco kaiyanya 👊👊👊
BLACK MARADONA 🍾 NAPAMBANA ILUDI PESA AMA ILUDI MAITI 🎉ACHIA JALA
Wachia ss nimechoka kusubiri brother🇰🇪
Huwaga unatamka Mambo yanayoishi aiseeh duuuh Vina +kaa la 🔥🔥🔥 you murdered it
𝑉𝑖𝑛𝑎𝑎𝑎𝑎𝑎𝑎𝑎𝑎𝑎𝑎𝑎𝑎𝑎𝑎𝑎𝑎𝑎𝑎 𝑛𝑖𝑡𝑎 𝑘𝑢 𝑃𝐴𝑃𝐴𝐴
Story Taylor kama story Taylor TANZANIA NA WORLD WIDE naamini sana katika kazi zako
Vinaa🤝 nisiseme sana hujawahi kua na kazi mbovu
Madini mengi sana humuu
Kiswahili ndio kigumu hapa.
Mtu wa bara ataelewa nini?
Japo mashairi mazito
Achia jala
dizasta vina kichwa kimetapakaa books kama library 💪
Sema blood ulinifanya niipende hip hop,, nakukubali kinoma tu
Mlete rapper wako bora hafu me nikuletee dizasta🔥🔥🔥
Achia jala..mzikii bombaa kabisa
A FATHER figure Album . Hiii ni Muhimu saaanaa. Fatherhood very important in a society .we miss it now . Uanaume.
Hey, so sad hunijui bro,am not of your calibre
Usituone tu tajiri wengi tuna suck blood ki cannibal
Keep your hopes in the cloud boy unaweza kuwa cowboy
Haya madusko,hatuwez kugawana NUSU.🎙️🎤🎤
Hupati kitu leo😄
Kila nkiikutana namtu uwa namcklzsha ngoma za vina na naacha heshimaaa
Ukiacha jembe,,,,,,,,,sahau kuhusu sembe
The radio saying they have nothing with morals worth to play ??
Duuuh !!! We Dizasta wewe
Nashudia master kazini🎉🎉🎉🌹🌹🌹🌹🌹
Achia jara
My Favorite Rapper Of All Time ❤️ VINA ni DIZASTA 🔥
Achia jala 🙌🙌🙌🙌 ili ni darasa sio nyimbo 🙌🙌🙌
Noma sana ..
Hiyo ni sura ya tilli boy
Oyaa wee hili jinii