Dizasta Vina - Achia jala Ft Kaa La Moto

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ต.ค. 2024
  • Official music video of a record Achia jala by Dizasta Vina off the upcoming album A Father figure, Written and perfomed by Dizasta Vina & Kaa la moto & Irene, incredible nory & Gerrard Mhabi
    Shot and edited by Dee ayo.
    Stream/Download Achia jala
    Boomplay - www.boomplay.c...
    Mdundo - mdundo.com/son...
    Audiomack - audiomack.com/...
    TH-cam - • Dizasta Vina - Achia j...
    Apple Music - / achia-jala-single
    Spotify - open.spotify.c...
    Genius - genius.com/Diz...
    Other music by Dizasta Vina
    Audiomack - audiomack.com/...
    Boom play - www.boomplay.c...
    TH-cam - / dizastavina
    Mdundo - mdundo.com/a/2263
    Spotify - open.spotify.c...
    Apple music - / dizasta-vina
    Deezer - www.deezer.com...
    Spotify playlist - open.spotify.c...
    Genius - genius.com/Diz...
    Connect with Dizasta Vina on social medias
    Instagram - / dizastavina
    Twitter/ X - x.com/dizastavina
    Facebook - / dizastavina07
    sw.wikipedia.o...
    Business: Pan.authentik@yahoo.com
    Website - bio.link/dizas...
    Lyrics
    Oya
    Mwela alikuja nikampiga sound mbumba mbaya
    Siwezi lala down town naitunza kaya
    Niko around ninavunja taya
    Michongo kibao town wana hawakuvuta waya
    Achia jala
    Ni heri kuyashinda majaribu
    Ila kufeli ni kushindwa kujaribu
    Baba alifeli siwezi feli pia
    Namiliki jina la ukoo sio sheli dia
    Siwezi lala njaa itanigaraza
    Kwahiyo usiniletee risala achia jala kwanza
    Sina kazi nimedandia ndala
    Alafu unanikazia fala
    Bro achia Jala
    Hauna shida ndo' maana unapendeza
    Alafu unaniambia hauna fedha
    Sikupi kichaka sikupi hata stata utakimbia,
    Achia jala ntakupiga mitama utajifia
    Sikupenda kuwa vikundi vya wahuni,
    Nilikuwa madini ambayo hauyakuti vitabuni,
    Nilikuwa mtu kabla enzi zangu
    Haya maisha yangu ni kitabu na hii ni peji chafu,
    So achia jala
    Dingi mwenyewe alitoboka
    Madeni kama dhambi milele nakokota
    Na alipodondoka nikarithi shida
    Ndio maana Kuelewa mtu lazima uelewe alipotoka
    So, Achia jala
    Sichezi kamali na washua
    Nitakupiga kabali nitakuua, sikuachii hata ukisali
    Matumaini yako mbali
    Nami nipo katikati ya bahari Na mashua
    Hauwezi kuwa mtoto ukishazaa
    Nina mtoto sasa, sitaki kuuza ndoto ka bidhaa
    Mwanzo nilikuwa na ndoto na iling'aa
    Lakini bahati mbaya mtoto hawezi kula ndoto ikija njaa
    Nilipenda kuwa rubani
    Ila mambo ni makubwa ukubwani
    Nikaishia kuwa mkulima fani niliyofunzwa nyumbani
    Kabla shamba halijakumbwa tufani
    So achia jala
    Nimekufata tangu Benki najua kuwa una cash
    Uliingia ukiwa empty ukatoka na mabegi
    Una-act kama Ndezi
    Unaniletea undezi nitakuletea ushenzi wewe
    Nilichora plan na sikupiga mchele
    Wenzangu wa mtaani ni'shazika tele
    Najua unahesabu time si ujaribu kurun sijui
    Nimeshika gun nitakuchezea shere
    Achia jala,
    Siwezi kudanganya kuhusu
    Haya Madusko hatuwezi kugawana nusu
    Usihubiri sisadiki maadili
    Maisha yenyewe mafupi na hatuishi mara mbili
    Achia jala
    Mbunge halijui jina langu
    Ramani ya jiji haisanifu njia zangu
    Hawajivunii ndugu zangu, Miungu haisikii sauti yangu
    Niko peke yangu mimi na gun yangu
    Nitaku pah pah
    Kisha unione mamluki
    Nitakuchezesha mabuzuki
    Nishafungwa mara tatu nimetoa roho nne
    Utakuwa wa tano, so jaribu kutoka nduki nikuonyeshe
    Nipo kazini so achia jala
    Nitakutia ngwara ufe
    Mafanikio ni kwa wale majasiri
    Walio tayari kusubiri ni makupe
    Nisikize brother
    Ni'shafanya mamziki
    Sikuvutia kukusanya mashabiki
    Naogopa kuwa begi nishazika marafiki
    Nilishalala na maiti nishajiuza kwa shangingi
    Nishafunga mahirizi, nishakula mamizizi
    Nishafuga Jinamizi mamisuba nikasizi
    Nishakuzwa na waizi waliokuzwa na machizi waso....
    Mama ananiona failure for life
    Na ninamisi kumbatio la wife
    Mkwe ananiona bwege, napeleka nuksi malangoni pake
    Shemeji ananiona sio type
    So achia jala, nitakubia roho nipe jala
    Usinizoee usinipe gwara
    Unahisi sina maadili ninafata mkumbo bwege
    huwezi kuwa consious ukiwa tumbo empty
    Achia jala
    Sijarithi mali ili nizichunge kama zako
    jala ziko mbali nizifuge Kama zako
    Wajomba masadali sio wabunge kama wako
    Sijaenda shule yako...
    I'll fucking shoot you, Achia jala
    Nimeshindwa leo sio kwamba nilisinzia jana
    Sijakwambia kwamba alisinzia baba
    Hakujua mkwanja ni maua mazuri yanafifia ghafla
    Achia jala
    Hey, so sad hunijui boy, am not of your Calibre
    Usituone tu tajiri, wengi tuna suck blood ki-Cannibal.
    Msimamo kitaliban, na roho ya kijahidina.
    Kama mbwai mbwai ndio utajua mi kikosi kama Pina.
    But I won't choose that hata ka' niko street smart.
    nna-pure fact nahisi we ni mgonjwa unahitaj.......

ความคิดเห็น • 856

  • @dizastavina
    @dizastavina  10 หลายเดือนก่อน +106

    Mazungumzo ya wimbo wa #achiajala ni ya kubuni na yamelenga kuchochea majadiliano kuhusu maudhui tofauti ya kijamii kama kanuni za ubaya na wema (moral values), athari za ukosefu wa malezi bora, msongo wa mawazo, ukosefu wa ajira na mahusiano kati ya ongezeko la uhalifu na umasikini. Wasanii wa hii kazi hatukulenga kuchochea maamuzi mabaya kwa namna yeyote. Tunaamini kuwa sanaa hii ni sehemu ndogo tu ya uhalisia na wasanii tunajaribu kucheza nafasi yetu tu kupeleka ujumbe kwa jamii
    Shoutout to incredible performance by @incredible_nory kuwakilisha antagonistic role kwenye wimbo. Character aliyechezwa na @incredible_nory amekuwa inspired na a legendary character Robin Hood from 1370’s ballads and tales anayesemekana alihisi kudhurumiwa umiliki wa rasilimali na akachukua maamuzi ya kulipa kisasi kwa kuchukua miliki ya walio daraja la juu la maisha na kuwapa masikini
    #DZSTVN

    • @PeterDaniels-ht7kd
      @PeterDaniels-ht7kd 10 หลายเดือนก่อน +6

      Kaka me ni mwandishi wa vitabu naomba uniruhusu niandike kitabu kwa kutumia wimbo wako wa shahidi & mlemavu

    • @verosir1416
      @verosir1416 10 หลายเดือนก่อน +1

      Mhuu Kal sana mtalamu

    • @sleifikhajjir262
      @sleifikhajjir262 10 หลายเดือนก่อน +1

      u know what u do and u r pfct boy❤❤❤🎉🎉

    • @richardmanolo5207
      @richardmanolo5207 10 หลายเดือนก่อน +1

      Daaah imekaa poa sana hii track brothers nitaifanya tena kwaajili yenu TAFADHARI

    • @bartazariluvanga3298
      @bartazariluvanga3298 10 หลายเดือนก่อน

      imeenda broo hujawahi kutungusha kwenye kuandika stroy wewe n ibora zaidi ya hta waandika stry za movie bongo hpa take a time weka stry njoo na movie brooo your master mind on this all in all bonge moja la ndoma bonge moja la idea...... @dizastaVINA

  • @zainabmaulid9637
    @zainabmaulid9637 10 หลายเดือนก่อน +15

    Dizasta unajua tz huna mpizani anae mkubali dizasta like hapa %

  • @mohamedmaphya7286
    @mohamedmaphya7286 11 หลายเดือนก่อน +14

    Dude tamu sana lazma vijana tujifunze kujitegemea sio wote walionavyo wamerithi wengi wao wamehustle congratulations to both of you Disasta n Kaa

  • @saidamour6938
    @saidamour6938 11 หลายเดือนก่อน +37

    Real mcs wamekutana wamefanya real HIP HOP real fans mko wapi? One love from Zanzibar leo kaa limewaka mpaka Zanzibar na Tribulation ipo forodhani

  • @abumuhammad9615
    @abumuhammad9615 หลายเดือนก่อน +1

    Mmeua sana aisee hii ni masterpiece for many centuries to come

  • @festobangi2560
    @festobangi2560 11 หลายเดือนก่อน +8

    ONE minutes remainiiiii wananguiuuu tufurahie kitu roho inaaminiaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @omary3238
    @omary3238 11 หลายเดือนก่อน +1

    Nakupenda hip hop kuliko mpira ..🤐🤐🤐

  • @nickman4435
    @nickman4435 11 หลายเดือนก่อน +34

    Kitu moja kali zaidi na ngoma za Dizasta, ukianza kuiskiliza ata kama wewe ni mtu wa mbwembwe unatulia kwanza na unaanza kuwa conscious🙌🙌
    RESPECT genius 👏👏👏👏
    Meru Kenya we salute 💯

  • @herongwikwi1021
    @herongwikwi1021 10 หลายเดือนก่อน +1

    Noma sana💯💯💯🙌🙌🙌

  • @abdfattah883
    @abdfattah883 11 หลายเดือนก่อน +1

    Dizasta Vina tena huku tunasubiria 6/1/2024

  • @RompadNmara
    @RompadNmara 10 หลายเดือนก่อน +6

    1day na viewers ni 24k yasipoe haya machakula ya ubongo inatia moyo sanaa ❤ wana hip hop wote tukaze tufike 1M subscribers tumsapoti dizasta azidi kutupa madude ya ubongo

  • @ShabanAlly-lg7dp
    @ShabanAlly-lg7dp 10 หลายเดือนก่อน +4

    We jamaa,ni nomaaaaa,ukitaka kujua hii ngoma,ni kali isikilize mida flan ivi ukiwa umejichokea na msongo wa mawazoo😩😩

  • @PaulineJoseph-oy5km
    @PaulineJoseph-oy5km 11 หลายเดือนก่อน +1

    Daah wewe ni noumaaaaaa

  • @kastorymalila1109
    @kastorymalila1109 11 หลายเดือนก่อน +1

    Hatari sana wazeee

  • @Paschal-t8p
    @Paschal-t8p 10 หลายเดือนก่อน +1

    Hip hop yetu🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🎉🎉🎉🎉

  • @TheNafsiHuru
    @TheNafsiHuru 11 หลายเดือนก่อน +1

    Nzuri mnoo

  • @milldeeke3982
    @milldeeke3982 11 หลายเดือนก่อน +1

    Undisputed!

  • @EinsteinFromEastern-vh6lo
    @EinsteinFromEastern-vh6lo 11 หลายเดือนก่อน +2

    Kama utaki haikuhusu nenda kule kwakina whozu na bonge la nyau

  • @seifumambo1511
    @seifumambo1511 11 หลายเดือนก่อน +1

    Vina kwenye vina vyake✌🏼

  • @ramadhankazungu6199
    @ramadhankazungu6199 10 หลายเดือนก่อน +1

    The real goats

  • @dankarkije
    @dankarkije 10 หลายเดือนก่อน +11

    Nilikua kijiweni nimepaki bodaboda yangu Ila hii nyimbo imenirudisha ghetto nisikilize vizuri, sikuhitaji makelele ya pale kijiweni. Apa ndo narudi kijiweni baada ya kusikiliza...🙌🙌🔥

  • @christopherizdory5302
    @christopherizdory5302 10 หลายเดือนก่อน +5

    Nmekuwa balozi mkubwa wa nyimbo zako BRO . Kuna siku mtu ashawahi niuliza hivi ukikutana na dizastar utamwambia nni.nikamjibu kabla ya yote nitamuulza Nini maana ya "MWANAJUA" alimaanisha nn for sure nawish kujua..

  • @Ali-kl4zc
    @Ali-kl4zc 11 หลายเดือนก่อน +1

    Dizasta respect nakukubali sana 🎉😊

  • @DARAJANI_TV
    @DARAJANI_TV 10 หลายเดือนก่อน +1

    Kwahyo wanangu tukaibe sio

  • @jabirynjiku1002
    @jabirynjiku1002 11 หลายเดือนก่อน +1

    black maradonaa,marap wao wala unga tena sembe ila we unakula unga tena donaa

  • @bensonthobias6765
    @bensonthobias6765 11 หลายเดือนก่อน +1

    Kumuelewa mtu ni lazima uelewe alipotoka 👊

  • @quincechacha6285
    @quincechacha6285 10 หลายเดือนก่อน +1

    uu muziki ni shule level za juu sana

  • @emaneez
    @emaneez 10 หลายเดือนก่อน +1

    Nom sanaa.a. sema audio zipeleke basi redio tusikie sikie kaka . Tunizipigie ombi maana wengine wanasema hujapeleka redio ngoma .

  • @redmistmusiq
    @redmistmusiq 10 หลายเดือนก่อน +2

    Achia jala__mafanikio ni Kwa wale majasiri walio tayari kusubiri ni makupe💯Dizasta🔥🔥🔥🔥🔥
    You're so bitter sio healthy,unapoteza asili💯Kaa La moto 🔥🔥🔥

  • @howardbillionaire
    @howardbillionaire 11 หลายเดือนก่อน +1

    I told them KAA LA MOTO ndio moto alaaaa

  • @robertmjuba4440
    @robertmjuba4440 11 หลายเดือนก่อน +1

    Oya we boya achia jala ntakupiga daga

  • @youngrappertz1735
    @youngrappertz1735 11 หลายเดือนก่อน +6

    Naacha Comment leo, nitarudi 2050 nikiwa mzee kuaambia wajukuu wangu kwamba ngoma za Dizasta zimenikuza📌🔥

    • @lutenganomwalivale754
      @lutenganomwalivale754 3 หลายเดือนก่อน

      na reply kwako😎

    • @allysaleh2220
      @allysaleh2220 2 หลายเดือนก่อน

      Niko pamoja na ww mzee hichi kichwa never seen before

  • @BaltazariMacho
    @BaltazariMacho 11 หลายเดือนก่อน +1

    Noma Sana

  • @kilimapozimuvinajr.
    @kilimapozimuvinajr. 10 หลายเดือนก่อน +1

    Namiliki jina la ukoo sio Sheri dear.

  • @shagycobra7857
    @shagycobra7857 11 หลายเดือนก่อน +1

    Heh! Yoh bro,

  • @paschalewamtaa726
    @paschalewamtaa726 11 หลายเดือนก่อน +1

    Vina ni habari noma

  • @raphaelmwangosi9295
    @raphaelmwangosi9295 11 หลายเดือนก่อน +2

    my best emcee ever mwanangu Dizasta Kila la kheri na nakuombea Dua Kwa Kila unalolifanya mwanangu much 💕😘💕😘🔥🔥🔥🔥💪💪💪

  • @andreamachumi8713
    @andreamachumi8713 3 หลายเดือนก่อน

    Dizasta we ni hatar sanaaa mzeee huu utunzi niwa out of this planet

  • @sumai_m.h
    @sumai_m.h 9 หลายเดือนก่อน +1

    Vina 🙌🏽

  • @chipanta
    @chipanta 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mkwanja kauwa mazuri yanafifia ghafla

  • @piusmayanga
    @piusmayanga 11 หลายเดือนก่อน +1

    Namiliki jina la ukoo na sio sheri

  • @christopherizdory5302
    @christopherizdory5302 10 หลายเดือนก่อน +3

    Hauwezi kuwa mtoto ukisha ZAA. Na mtoto hawez kula NDOTO ikija njaa ,pia kuna mstari wa nyimbo Yako X unasema " MAISHA YA NDOTO YATAISHA UTAIRUDIA KAWAIDA NA UTAGUNDUA Kuwa HAUKUWA MALAIKA" DIZASTAR VINA bro kila nikiingia online nataman kujua kuna nn kuhusu wewe.....ni noma appreciate💯

  • @anthonymwakuni261
    @anthonymwakuni261 11 หลายเดือนก่อน +1

    This is bigger

  • @shihemicetamol6260
    @shihemicetamol6260 11 หลายเดือนก่อน +15

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥this is beyond normal...dizasta for life dizasta to the universe

  • @meckhamza1230
    @meckhamza1230 10 หลายเดือนก่อน +1

    If content was a person💎 kichwa Halisi cha madini.

  • @kasimuadili3832
    @kasimuadili3832 10 หลายเดือนก่อน +1

    Dizasta ni jini

  • @allyntepatz
    @allyntepatz 11 หลายเดือนก่อน +1

    Baba alifeli sitafeli pia

  • @teamwasafi-tvwcbdiamondali111
    @teamwasafi-tvwcbdiamondali111 11 หลายเดือนก่อน +2

    Kaa lamoto😊 best ever

  • @Seba_Sports255
    @Seba_Sports255 11 หลายเดือนก่อน +1

    Pooh yea

  • @IbrahimKanuto-vv1zl
    @IbrahimKanuto-vv1zl 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mmetisha sana

  • @MapachaLara
    @MapachaLara 8 หลายเดือนก่อน

    Hii duo inabidi ifanye tena kazi nyingine.. wazee mmechora. Big up!

  • @theswordvinamc664
    @theswordvinamc664 11 หลายเดือนก่อน

    Oya dizasta jamaa wa mitaaa tunahitaji jala ka ujasikia paapaa

  • @ahmedmudric9546
    @ahmedmudric9546 5 หลายเดือนก่อน +1

    Ni heri kuyashinda majaribu ila kufeli ni kushindwa kujaribu

  • @smartdee3757
    @smartdee3757 10 หลายเดือนก่อน +1

    Vina 🎤🎤

  • @AlmasiNguba-eo3no
    @AlmasiNguba-eo3no 10 หลายเดือนก่อน +1

    Fanya ufanye KAZI moja na kontawa akupeleke mjini

    • @mohsixtus7048
      @mohsixtus7048 7 หลายเดือนก่อน

      Huna akili

    • @VictorKotein
      @VictorKotein 2 หลายเดือนก่อน

      Wewe kuma humjui vina kapembeni naona wewe umemjua jana

  • @tozybyser
    @tozybyser 10 หลายเดือนก่อน +1

    🔥🔥🔥🔥🔥

  • @modaxyceinofficial2861
    @modaxyceinofficial2861 10 หลายเดือนก่อน +1

    Iam ready I was ready am born ready mahn..the black maradona

  • @anthonymalata5928
    @anthonymalata5928 10 หลายเดือนก่อน +1

    One my favorite story teller salute bro achia jala

  • @hamzermahundu6371
    @hamzermahundu6371 11 หลายเดือนก่อน +1

    Unabalaaaaa

  • @mzeebaba6045
    @mzeebaba6045 10 หลายเดือนก่อน +1

    Konkiii... Black Maradona ft kaa LA moto... Oya weeeeee toa jala

  • @paschalsebastian
    @paschalsebastian 11 หลายเดือนก่อน +4

    Waiting Brotherhood

  • @chrissmotela9107
    @chrissmotela9107 10 หลายเดือนก่อน +1

    🔥🔥🔥🔥✊🏿

  • @MRBAEBA-jc8vj
    @MRBAEBA-jc8vj 6 หลายเดือนก่อน

    Vinaaa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @hydratz9750
    @hydratz9750 11 หลายเดือนก่อน +10

    Haya maisha yangu ni kitabu,na hii ni page Chafu, So achia JALA😂

  • @kelvinshonde4837
    @kelvinshonde4837 11 หลายเดือนก่อน +1

    Nitatafuta jala mpk nipate WA kumtananisha Ila watalikosa jala langu salute kwenu

  • @prochesymjwahuzi9350
    @prochesymjwahuzi9350 9 หลายเดือนก่อน

    Thats my broda👊👊🏆

  • @nivogee9830
    @nivogee9830 11 หลายเดือนก่อน +11

    Combination ya akili kubwa kwenye ukubwa wa maudhui real recognize real the big chemistry of hiphop 🙌✊✊✊

  • @denniscadam8118
    @denniscadam8118 10 หลายเดือนก่อน +2

    Nimejua ngoma zako leo tu baada ya siku mbaya sana. Achia Jala! Hmmm! Asante! Kollabo na Nyashinski?

  • @kilimanjarotouchrugbyclubtz
    @kilimanjarotouchrugbyclubtz 10 หลายเดือนก่อน +2

    Broo tangu nikiwa kidato cha 1 nilisikilishwa wew na kamwe tangu Siku iyo siwezi kuwa mbali nawe.....

  • @AbeliMgula
    @AbeliMgula 11 หลายเดือนก่อน +1

    Big up mr

  • @D-Man.B-Free
    @D-Man.B-Free 10 หลายเดือนก่อน +1

    Alfu best rapper anapewa mwingine kama kibu kufanya kosa na refa kusema paco kaiyanya 👊👊👊

  • @yusuphkacc6232
    @yusuphkacc6232 11 หลายเดือนก่อน +3

    BLACK MARADONA 🍾 NAPAMBANA ILUDI PESA AMA ILUDI MAITI 🎉ACHIA JALA

  • @snypa7815
    @snypa7815 11 หลายเดือนก่อน +3

    Wachia ss nimechoka kusubiri brother🇰🇪

  • @aissaleekimondoboy
    @aissaleekimondoboy 11 หลายเดือนก่อน +1

    Huwaga unatamka Mambo yanayoishi aiseeh duuuh Vina +kaa la 🔥🔥🔥 you murdered it

  • @dillungajrgasper9178
    @dillungajrgasper9178 11 หลายเดือนก่อน +1

    𝑉𝑖𝑛𝑎𝑎𝑎𝑎𝑎𝑎𝑎𝑎𝑎𝑎𝑎𝑎𝑎𝑎𝑎𝑎𝑎𝑎 𝑛𝑖𝑡𝑎 𝑘𝑢 𝑃𝐴𝑃𝐴𝐴

  • @festobangi2560
    @festobangi2560 11 หลายเดือนก่อน +7

    Story Taylor kama story Taylor TANZANIA NA WORLD WIDE naamini sana katika kazi zako

  • @jumasamir7317
    @jumasamir7317 11 หลายเดือนก่อน +1

    Vinaa🤝 nisiseme sana hujawahi kua na kazi mbovu

  • @jmlaytv6961
    @jmlaytv6961 11 หลายเดือนก่อน +2

    Madini mengi sana humuu

  • @Dr.zaidi4
    @Dr.zaidi4 10 หลายเดือนก่อน +2

    Kiswahili ndio kigumu hapa.
    Mtu wa bara ataelewa nini?
    Japo mashairi mazito

  • @tops-brand
    @tops-brand 11 หลายเดือนก่อน +1

    Achia jala

  • @dhulukiflrichanga3415
    @dhulukiflrichanga3415 11 หลายเดือนก่อน +2

    dizasta vina kichwa kimetapakaa books kama library 💪

  • @MathewsamuelMagaz
    @MathewsamuelMagaz 10 หลายเดือนก่อน +1

    Sema blood ulinifanya niipende hip hop,, nakukubali kinoma tu

  • @stevenalpheis7448
    @stevenalpheis7448 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mlete rapper wako bora hafu me nikuletee dizasta🔥🔥🔥

  • @alexjeshi
    @alexjeshi 11 หลายเดือนก่อน +1

    Achia jala..mzikii bombaa kabisa

  • @maishaforreal7798
    @maishaforreal7798 11 หลายเดือนก่อน +3

    A FATHER figure Album . Hiii ni Muhimu saaanaa. Fatherhood very important in a society .we miss it now . Uanaume.

  • @lantaofficialke
    @lantaofficialke 11 หลายเดือนก่อน +2

    Hey, so sad hunijui bro,am not of your calibre
    Usituone tu tajiri wengi tuna suck blood ki cannibal

  • @emmanuel_cs
    @emmanuel_cs 10 หลายเดือนก่อน +1

    Keep your hopes in the cloud boy unaweza kuwa cowboy

  • @MOBIGO2F
    @MOBIGO2F 11 หลายเดือนก่อน +5

    Haya madusko,hatuwez kugawana NUSU.🎙️🎤🎤

  • @nutronic0226
    @nutronic0226 11 หลายเดือนก่อน +1

    Hupati kitu leo😄

  • @JowaLiasu
    @JowaLiasu 11 หลายเดือนก่อน +1

    Kila nkiikutana namtu uwa namcklzsha ngoma za vina na naacha heshimaaa

  • @nsimagdenis8114
    @nsimagdenis8114 9 หลายเดือนก่อน

    Ukiacha jembe,,,,,,,,,sahau kuhusu sembe

  • @kicheko4980
    @kicheko4980 10 หลายเดือนก่อน +1

    The radio saying they have nothing with morals worth to play ??

  • @millsonemmanuel9844
    @millsonemmanuel9844 11 หลายเดือนก่อน +2

    Duuuh !!! We Dizasta wewe

  • @420paffpaffpass
    @420paffpaffpass 11 หลายเดือนก่อน +1

    Nashudia master kazini🎉🎉🎉🌹🌹🌹🌹🌹

  • @EfendiZewanga
    @EfendiZewanga 11 หลายเดือนก่อน +1

    Achia jara

  • @venerandamangore1384
    @venerandamangore1384 หลายเดือนก่อน

    My Favorite Rapper Of All Time ❤️ VINA ni DIZASTA 🔥

  • @ShedrackKiwale
    @ShedrackKiwale 11 หลายเดือนก่อน +1

    Achia jala 🙌🙌🙌🙌 ili ni darasa sio nyimbo 🙌🙌🙌

  • @jeffmacharia9598
    @jeffmacharia9598 10 หลายเดือนก่อน +2

    Noma sana ..

  • @davidoscooper237
    @davidoscooper237 10 หลายเดือนก่อน +1

    Hiyo ni sura ya tilli boy

  • @AbdulNgolle
    @AbdulNgolle 11 หลายเดือนก่อน +3

    Oyaa wee hili jinii