Mr ney WAMITEGO wewe ni jeshi unastahili kuitwa jeshi umetusemea sana na unatufia kwa. Kila HATUA uko teyali kupoteza uhai wako kwajili yetu mimi Nakuelewa wewe tu bongo wasanii wengi ni njaa tu Ney Roma heshima KWENU 💪💪💪🙏🙏🙏🌹🌹🌹
Mr comment 🇹🇿 hip hop ndo music unotetea haki za binadamu duniani.... na ni music usio pendwa na viongozi... heshima wapewe wote wanao jitolea kubeba lawama kwaaji ya kupambania wengine1✌️✌️✌️✌️✌️
N nini iyo sound ya mwisho inakaa ya kiba wee,,napenda ii Ngoma toka kenya🎉🎉🎉,,,,nadhani ya kiba na konde boy italipua ulimwengu kaa ii ni ya wanao🎉🎉🎉🎉😅
from hipap music in Tanzania 🇹🇿 to start with number one today tomorrow and forever hipap ya kuishi all years mziki wakikubwa. Shabiki yako namba moja kuto Burundi 🇧🇮
Nilipokuwa katika teenage nilikuwa nakutana na wewe pale Eches Cafe mtaa wa 99 Congo. Ulikuwa bado na JKT Ruvu, uliweza kucheza music instruments zote.
This colabo Nomaree sana ,Big up to our brothers in Tanzania for keepin alive Rap n Hip Hop n R&B .Real Hustlers !! Repeat Button is on .The Beat producer on point 100
Mr ney WAMITEGO wewe ni jeshi unastahili kuitwa jeshi umetusemea sana na unatufia kwa. Kila HATUA uko teyali kupoteza uhai wako kwajili yetu mimi Nakuelewa wewe tu bongo wasanii wengi ni njaa tu Ney Roma heshima KWENU 💪💪💪🙏🙏🙏🌹🌹🌹
Mungu bariki yeyote atakae like hii coment❤
Huyu Ney wa Mitego anafaa kuwa Rais wa Nchi au Generali mkuu wa nchi❤❤😅🔥🙌
kabisa
Hakuna wa kumpinga Jamaa ni mzalendo mno💟 💯🎉🎉🎉🙌🙌🙌🙌
Unajua kuwa rahisi ni kuimba ujinga huu
Nay hajatukana wala kumdiss mtu kwenye hili goma....This dude is versatile en he knows what he is doing..phenomenal
Wee nae unazeeka vibaya😂😂😂
nyimbo imenikuta nikiwa katikati ya mji kupambana. GONGA like kama wewe ni HUSTLER
💯💯
Mashabiki wa ney gonga like hapa
Sawa
Like za kutosha kwa ma hustler wote hapa, mungu atabariki one day.
Mungu naomba usinichukue kabla mwanangu hawajajua kufish 😢😢😢😢❤❤❤❤❤
Mr ney WAMITEGO wewe ni jeshi unastahili kuitwa jeshi umetusemea sana na unatufia kwa. Kila HATUA uko teyali kupoteza uhai wako kwajili yetu mimi Nakuelewa wewe tu bongo wasanii wengi ni njaa tu Ney Roma heshima KWENU 💪💪💪🙏🙏🙏🌹🌹🌹
DARASSA KAZI AMEISOMEA NA KESHAIFUNGA.... #utaelewa tu
Mm kama hustler nimeukubali. Wapi likes za ma hustlers wenzangu
Kama umemuelewa Darasa gonga like yake kama sapoti hapa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mr comment 🇹🇿 hip hop ndo music unotetea haki za binadamu duniani.... na ni music usio pendwa na viongozi... heshima wapewe wote wanao jitolea kubeba lawama kwaaji ya kupambania wengine1✌️✌️✌️✌️✌️
Wa Kongomanii tuko apaa kweli 🇨🇩🇨🇩 Sikiliza ngoma vizuri🤔🤔🔥🔥
Haya maisha naniii you need patience.....oyaa mi ni hustler🔥🔥
Darasa give a classical legendary verse ever....and now am praying making a wish mungu asinichukue kabla wanangu hawajajua kufish.....
🔥🔥🔥🔥🔥
Naiona Remix Ney + Darasa + Mr Blue + Bill nass Nenga Hatari sana mpk Dec,2024 najua itakuwa tayar
Naomba like mini mu Congo ❤
Umepaa za kushibaaa
Jamaa anaimba maisha nachomkubali kasomeshwa na wazazi ili awasaidie wazazi na saiz ye ni mzazi na maisha yamempiga
N nini iyo sound ya mwisho inakaa ya kiba wee,,napenda ii Ngoma toka kenya🎉🎉🎉,,,,nadhani ya kiba na konde boy italipua ulimwengu kaa ii ni ya wanao🎉🎉🎉🎉😅
from hipap music in Tanzania 🇹🇿 to start with number one today tomorrow and forever hipap ya kuishi all years mziki wakikubwa. Shabiki yako namba moja kuto Burundi 🇧🇮
Darasa never get old he is new everyday much respect
Noma Sana big kings
sisi tuki na wewe mpaka tone la mwishoMr.Nay trye boy
Bado dakika 14 tu Ngoma lifunguke 🎉🎉🎉🎉 nyie me nampenda nay ❤
Ile moja kali ya kufunga mwaka.....collabo imetiki hii🔥🔥
Msijifanye hamjaona apo kwa uzee nandi kapendeza sana❤❤
SONG OF THE YEAR, FROM KENYA TURKANA Tumekubali
Duh nasikia sauti ila ibraah sijamuona😂😂ila kazi nzuri sana kila msanii kafanya nyimbo hiwe nzuri
Wimbo mzuri san
Mbna unachelewa jaman hii Ngoma ney mtigo na darasa Niko Zambia wa kwanza like yako
Hili goma nibalaaaaaa🔥🔥🔥🔥💪💯💯
Mm n mkenya lkn Mr nay uko Sawa tunakukubali hku Kenya Na song zko za kubonga ki true boy😂😂😂😂❤❤fire Mr nay
sema uyu jamaa nick crass
big dirctor yan duh hebu
paaoneni kipande cha darasa
halivyo pachezea
Ghetto presidents 💯🇰🇪 approved
Kenya 🇰🇪 twatamani Nay ungekua wetu
Chini ya maji Kenyan musicians, I like this two forever ❤🎉
May God continue to bless you with good health, because of your talent, I spoke for our country
Ngoma kali sana family
hustler kweli mlango wakutoboa mgumu🙏🙏🫡
hii nayo ni mwotoooooooo
nimeeka repeat mode hady 2025❤💥🌹🔥
Wewe ndio raisi wetu wa kitaa ❤❤
Ngoma kali sana ntamaan kusikia ngoma darasa na billnas itufungie mwaka
OZUMBA MBADIWE🔥🔥🔥🔥
Nice one 🔥🔥🔥🇰🇪🇰🇪
Appreciated
Music Genius.
Nay We Mitego kweli❤.
Combination moja kali aisee!!! Respect from 254.
Hakuna vita ndogo kwenye hii Dunia💥💥💥
The hustlers mikono juu🙋
Nyimbo Kali mno ❤️🦁🇹🇿🔥
Pole kwa wahanga wa kariakoo
The two kings of hip-hop in East Africa, 🔥🔥
Mimi nishabiki kipenzi wa ney kutoka Muji muku kwa kishasha Congo ndihayasi wimbo nimuyaka sana hâta mujoweya ney ivi
Nakubali kwa niaba ya ma hustle wote dunian kasoro Ruto.
Usimtenge, tunasonga nae familia
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Damn!!! Nay and Darassa just saved Bongo flavour, this is a masterpiece 🔥
Number one from Kenya
Bro me huwa sielewqgi Ngoma zako ila mabachela na hii duuu we ni kwere... Respect sana kaka .
Hi nzuri sana💯
Kazi nzuri sana brother'$ nakubali sana
Tunafunga zetu mwaka kivyo yani🔥🔥🔥🔥🔥🎧
Wa kwanza kutoka Tanzania 🇹🇿🇹🇿 tujuwane kwa like zenu APA kama una wapenda ney na darassa
Bwana Yesu asifiweeee.
Amina.
Noma sana unatugusa sana Mr president
Nay..... Kenya....love the fact
Hawa jama hawajawahi kosea wanatowaga hit songs since day one kama unawakubali weka like zakutosha❤
Team darassa weka like hapa
Mungu akuweke sana Mr Nay uendelee kutuburudisha
Bonge la ngoma yanii daah🎉🎉🎉🎉❤❤
Darasa umu umepigwa vibayaaaaa sanaaa
Bonge la Collabo!! Love from Kenya 🇰🇪
Kweli kabisa tuonyeshe upendo tumpe mahuwa yake.ni kutoka musumbiji hapa mkowa wa Nampula
Nilipokuwa katika teenage nilikuwa nakutana na wewe pale Eches Cafe mtaa wa 99 Congo. Ulikuwa bado na JKT Ruvu, uliweza kucheza music instruments zote.
Noma Saana. One Love from +254 Headquarters of East Africa
Ahsanteni kwa video yenu nzuri
Kipande cha asubuhi nilikuwa sijakielewa kinahusu nini
Xawa bana 😊
Nimechelewa kutoka BURUNDI kama umeyipenda nukayiangalia malambili nigonge like
Nay washa kaka n mm yusufu kwa Sasa nipo Mozambique da piga kaz ✊✊✊
Noma sana ngoma kali
Hii ngoma ni kali sana watu wangu 🔥
eeh, jifunze kwa walikosea sije ukawa mfano😊😊
Bonge la goma... Nay🎉
Huu ni Umeme!! Kama unaamini hawa ma hustler wanajua gonga like👍!
🔥🔥
Kama unamkubali Nay gonga likes apa🎉🎉
Huu Mziki ni wa ukweli...ME NI HUSTLER
Heshima kwenye icons wa real hip pop bongo nimewapenda mmefanya kiutu uzima baada ya bifu la muda mrefu mmeyamaliza kikubwa respect❤🎉
My favorite artist ....hustler 💯
Nay Kenya 🇰🇪 we love you❤
C mchezo baba...hino ngoma moto..from Kenya 🇰🇪 washen moto tunakesha leo.
Kama unasema hiingoma nikalii gonga like hapaaaaaa
My big bro .menda wangu
Kura yangu kwa Magufuli. Gonga like kama umeiona hiyo
Oya wazee naomba msikilize mziki wangu pia mina album jamani naomba support
Moree appreciation wakuu🙌
Amna ubunifu wasafi awagusiki nilijua kiba atapita like mbosso kumbe karudia alichoimba skyx
Duu nyagi cyo poa😅😅😅😅
Ndiooooo🔥🔥🔥🔥💀💀💀💀Oyah mi n hustler haswaa...Sio poa🔥🔥🔥🔥
Hakuna kama nay🎉🎉🎉🎉
Mungu abariki kazi za mikono yetu
This colabo Nomaree sana ,Big up to our brothers in Tanzania for keepin alive Rap n Hip Hop n R&B .Real Hustlers !! Repeat Button is on .The Beat producer on point 100
Oyaaa Alo Kuja Hapa Akijua Hii Ngoma Kubwa Gonga 5 Tuondoke
Mko na hasira sana mumeamua mwaka tunaruka sio nawaaminia wakuu
nakukubali saanaa mwambaa gad bless
Mr ney WAMITEGO wewe ni jeshi unastahili kuitwa jeshi umetusemea sana na unatufia kwa. Kila HATUA uko teyali kupoteza uhai wako kwajili yetu mimi Nakuelewa wewe tu bongo wasanii wengi ni njaa tu Ney Roma heshima KWENU 💪💪💪🙏🙏🙏🌹🌹🌹