Nay Wa Mitego Ft Dora Boy - Amkeni (Official Music Video Lyrics)

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024
  • The Song Produced By Chiby Beats
    Video Shoot By Mr.Azalia
    Script By Frank Kibonge
    Graphic By Jes
    Make up Salms
    Location By Kellv
    Stream/Download:linktr.ee/nayw...
    Listen to Nay Wa Mitego on Digital Streaming:
    Audiomack:audiomack.com/...
    Apple Music: / nay-wa-mitego
    Boomplay:www.boomplay.c...
    TH-cam: / @naywamiteg
    Spotify:open.spotify.c...
    Connect Nay Wa Mitego on Social Media:
    Instagram: / naytrueboytz
    Facebook: / naywamitego
    Twitter: / naythetrueboy
    ©2023 Free Nation.All rights reserved.
    #NayWamitego #Amkeni

ความคิดเห็น • 11K

  • @noahmasasi3574
    @noahmasasi3574 ปีที่แล้ว +92

    Huyu ndio Ney wa mitego nayemjua Mimi. Kama umwelewa jamaa gonga like twende sawa #AMKENI

  • @grangerbenjamin4241
    @grangerbenjamin4241 25 วันที่ผ่านมา +12

    Waliorudi hapa baada ya kusikiliza nitasema tujuane maana ndio kama kasema amkeni tena 😊🙌

  • @shahadaushindi7745
    @shahadaushindi7745 ปีที่แล้ว +16

    Tumchangie nay, jamani tusiishie kumsifia tu sisi sote hata elfu 10, 10 tu wote tuliokoment humu. Kazi, hii ni nzuri mno. Watu wamekalia upuuzi tu hawa ndiyo wasanii wanaohitajika. Mzalendo ni msema kweli kwa ajili ya nchi yake. Nay hana ubinafsi amezaliwa kwa masilai ya taifa lote. Sio hao wanaimba kusifia upuuzi tu. Wasanii ni Roma na Nay wanastahili kiwa washauri wa raisi

  • @selphersimiyu
    @selphersimiyu 8 หลายเดือนก่อน +9

    Mungu mpe huyu msani maisha marefu my top mentor like za 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @CasmiryNikata-e3j
    @CasmiryNikata-e3j 9 หลายเดือนก่อน +14

    Kichwa cha huyu jamaa ni zaidi ya dhahabu, yani kuna mijitu inajiita misomi kumbe mavi matupu ila kichwa hiki kina fikra za juu sana, zaidi ya wenye phd, big up Ney wa mitego Mungu akulinde na uishi miaka buku.

  • @maishacenter-eastafricatv3976
    @maishacenter-eastafricatv3976 ปีที่แล้ว +7

    Ndiyo maana mnaambiwa muwage na akiba ya maneno, wewe Nay ulikuwa ukimpinga Sana huyo John, sisi tunawambia Africa hakujawahi kuwa na kiongozi kama Magufuli na hatutegemei kumpata soon!!
    Any way go on, keep shining

  • @stivenjiduki6606
    @stivenjiduki6606 ปีที่แล้ว +89

    Huu wimbo wa hatarii zaidi ya hatari wakifika watanzania 150 tu wenye roho kama ya ney nchi inakombolewa🔥🔥✅

  • @Trolley2023
    @Trolley2023 ปีที่แล้ว +6

    Hii wimbo inatuhusu sana huku Kenya kuwaliko Tz...rais mtalii,wabunge akili ndogo, meli lazama ila hakuna anayeona. Afrika mashariki tuamke!!!!

  • @mathewmakwaya-zh3bk
    @mathewmakwaya-zh3bk ปีที่แล้ว +14

    Rais Maguful Alisema Anapenda kusema ukweli,Huyu Mwamba ni pacha ake Magu,,, katika kusema ukweli!! ,,, Mimi wa kwanza kukuombea uishi miaka yote Broo✍️😍

  • @neemagabrieli-ff4mq
    @neemagabrieli-ff4mq ปีที่แล้ว +70

    Kama mnamkubali ney kama mimi like hapa wadau👍👍👍👍👍

  • @budaboss8109
    @budaboss8109 ปีที่แล้ว +7

    Jaman kama umeskiza huu wimbo zaidi ya mara 1 gonga like 2pac wa bongo huyu hapa

  • @nairobitv6161
    @nairobitv6161 ปีที่แล้ว +8

    Hii ngoma nimeikuta inapigwa kwenye daladala. Abiria wote kimya ... Wengine wakionesha nyuso za kuuzunika....duu. Ney for Hip hop

  • @lvanyDaniel_pw7kk
    @lvanyDaniel_pw7kk ปีที่แล้ว +3452

    Ambao tume rudia zaidi ya mala 10 huu wimbo tujuane 🙏🏿

    • @fredbasil361
      @fredbasil361 ปีที่แล้ว +14

      Dah😢

    • @godwinvicent
      @godwinvicent ปีที่แล้ว +29

      2po mzee kwanza tumekusanyika saiv tunasikiliza jamaa anajua

    • @RojazTz
      @RojazTz ปีที่แล้ว +25

      ✌️vidole viwilijuuu

    • @kingandreki7979
      @kingandreki7979 ปีที่แล้ว +8

      🔥🔥✊🏿

    • @methodkihoo9826
      @methodkihoo9826 ปีที่แล้ว +8

      😥😥

  • @stevenkapenulo474
    @stevenkapenulo474 ปีที่แล้ว +137

    Watoa tuzo za nyimbo msiwe mnaogopa kuwapa tuzo watu kama hawa wanaoongelea ukwl,msikalie tu amapiano zenye zimejaa ujumbe wa mapenzi tu nay ww ni mwamba sana👏👏

    • @musasamwel5544
      @musasamwel5544 ปีที่แล้ว +1

      Uhakika

    • @hamismohamed3541
      @hamismohamed3541 ปีที่แล้ว +1

      Hawawez kaka coz hata hao wenyewe ni mamluki tu hapo

    • @fredpaulo5816
      @fredpaulo5816 ปีที่แล้ว +1

      Watoe Tuzo kwanza cjui mpka kesho kma itakuwa bdo haijafungwaa

    • @barakaelkaaya40
      @barakaelkaaya40 ปีที่แล้ว +1

      Kabisa...umenena

    • @RuthKuria-qs9vq
      @RuthKuria-qs9vq ปีที่แล้ว

      Tatizo la wa Africa ukimponda mtu ukweli anawa adui yetu

  • @jastinemwandobo2729
    @jastinemwandobo2729 ปีที่แล้ว +97

    Wapi waimba MAPIANO mje mjifunze nyimbo hapa big up brother ney japo ninahofu juu ya usalama wako ,,,nakukabidhi mikononi mwa bwana ameen

    • @selemankahabiemmanuel8807
      @selemankahabiemmanuel8807 ปีที่แล้ว +1

      hiyo ndo maaan ya kujitoa muhanga long time ney kajitoa ssdaka kwa lolote

    • @digonzakeimbe8435
      @digonzakeimbe8435 ปีที่แล้ว +1

      Hata na Mie nahofia Hilo😔😔Namuombea lkn..

    • @JuniorMassy
      @JuniorMassy ปีที่แล้ว

      Daaa❤ pamoja sana

    • @zachaamaster5378
      @zachaamaster5378 ปีที่แล้ว +1

      #kweri kabisa sio Wana bwabwanya ovyo to kama wanaugua vifafa

    • @izmoo1835
      @izmoo1835 ปีที่แล้ว

      Kwel kabisa

  • @HamiduMwikombe
    @HamiduMwikombe 26 วันที่ผ่านมา +8

    Alieisikiliza 2024 tujuane hapa

  • @wilfredelimeleki4543
    @wilfredelimeleki4543 ปีที่แล้ว +11

    sioni sababu ya kuufungia huu wimbo.Kama kasema ukweli,shida ipo wapi? serikali msipende kusifiwa tu ,ukweli ni kwamba,anaeongoza nchi uwezo mdogo

  • @topaztz7601
    @topaztz7601 ปีที่แล้ว +41

    ishi Miaka Mingi Mzee Baba, Hii ndio Hiphop tunayoitaka Uhalisia mbele, hakuna kukumbatia mavi liwalo na liwe.. ishi miaka mingi..🇹🇿

  • @dennisngugi9727
    @dennisngugi9727 ปีที่แล้ว +7

    I have realized that what is ailing tz ails Kenya too. Bad leadership will cost us dearly. Nay continue speaking what we can't because we don't have a platform like yours.
    From Ke with love

  • @YollamMllayoWaVailet
    @YollamMllayoWaVailet 26 วันที่ผ่านมา +4

    Much love Nay npo hku kwenye Nitasema kama nawee upo kwenye ngoma mpya ya Rais wa kitaa gonga like zakutosha toka Malawi Nitasema tuu

  • @KasigwaMakubo-fo5ud
    @KasigwaMakubo-fo5ud ปีที่แล้ว +287

    Wimbo mzuri na wenye wa maana halisi ya maisha yetu ndani ya nchi yetu Tanzania.Big up @Ney

    • @evodiusmwombeki9247
      @evodiusmwombeki9247 ปีที่แล้ว +1

      Wakola muno

    • @rabielkaaya3764
      @rabielkaaya3764 ปีที่แล้ว +1

      🤝🤝

    • @maase2023
      @maase2023 ปีที่แล้ว

      Huyu wimbo hana ila ana mashairi ya uchochezi tu kwa kuwa hana kitu kingine cha kumtangaza

  • @esthermakola9041
    @esthermakola9041 ปีที่แล้ว +7

    Njoo huku Kenya 🇰🇪 , tunahitaji wimbo kama huu kwa viongozi wetu.. #wake up call to the African leaders

    • @evanslangat2701
      @evanslangat2701 ปีที่แล้ว

      kwa hio hali ni ngumu kila mahali cc hapa kenya ndio tunaaribu zaidi 😢😢😢maandamano sio suluhisho🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @eliudelias3162
    @eliudelias3162 ปีที่แล้ว +61

    Kama umerudia kuisikiliza hii Ngoma gonga like tuendelee kusikiliza mzic mtamu achana na nyimbo zingine uchwara Ney na Roma ndio wasanii wa wawananchi

    • @iddygondwe234
      @iddygondwe234 ปีที่แล้ว

      sanaaaaaa baba

    • @iddygondwe234
      @iddygondwe234 ปีที่แล้ว +1

      nimesikiliza hadi gaji imeisha
      nimetumia 1GB.

    • @kulwajm
      @kulwajm ปีที่แล้ว

      Umetishaa😝😝😝😝😝

  • @SaidaAbdallaah-j2t
    @SaidaAbdallaah-j2t 20 วันที่ผ่านมา +4

    Mungu akuweke t jmn Ney tunakupendaa sana ney, km unamtu anamkubali km gonga like yk❤❤❤❤❤❤

  • @moshidongo
    @moshidongo ปีที่แล้ว +107

    Kuna Wanamuziki halafu kuna Mr Nay wa Mitego is just another level! ✊🏼🇹🇿

  • @mpakaiwe10
    @mpakaiwe10 ปีที่แล้ว +11

    Kama una amini mkoloni hajaondoka Afrika ame badirisha tu mfumo wa utawala gonga like tusonge mbele. AMKENI❤❤❤❤

  • @burumeglobal
    @burumeglobal ปีที่แล้ว +13

    Akili ndogo inaongoza akili kubwa... Punch line...huyu jamaa yuko vizuri... Wapi like za Nay ....

  • @johncharles5450
    @johncharles5450 ปีที่แล้ว +11

    Tuliokuja baada ya ney kufunguliwa kesi ya mchongo ya uchochezi, gonga like hapa

  • @prochcare2557
    @prochcare2557 ปีที่แล้ว +39

    Mwamba kajitoa sana...true artist...true vision...true heart...true struggle...mzalendo halisi...

  • @ChristianSokorot-n6x
    @ChristianSokorot-n6x ปีที่แล้ว +7

    Unapambana kwa ajili ya wa Tanzania,mungu akulinde Nay,Basata kukuita sijakubaliana nao

  • @YusufYusufkushoka-pc7hq
    @YusufYusufkushoka-pc7hq ปีที่แล้ว +8

    Nyimbo inaelimisha sana, rais wakitaa tupo nyuma yako kaka, wewe ndo mtanzania halisi, ni mfano wa kuigwa, hakika ni hazina ya Tanzania 🇹🇿 Mungo akulinde ndugu yetu

  • @maburukimazima8056
    @maburukimazima8056 8 หลายเดือนก่อน +4

    Kulingana na Sauti nzito Ya Raisi wa kitaa hafai kuimba nyimbo za kuburudisha yeye ni special mtetezi wa wanyonge Big up the True boy much love from Kenya.

  • @shambafm7422
    @shambafm7422 ปีที่แล้ว +51

    Natamani siku moja kuisikia sauti ya "NAY" na "ROMA" kwenye wimbo kama huu au kama inawezekana tupate part II ya hii. #KizalendoZaidi 💯

  • @Makakulaya
    @Makakulaya ปีที่แล้ว +78

    Uyu njo mwana muziki uwache wengini wama piano nanyimbo zakichoga na umalaya.Big up brother ney tunakuskiliza kutoka Canada.Inabidi upewe heshima kwa nyimbo zako❤❤❤❤❤❤❤❤❤

    • @agogomgagagigigogo
      @agogomgagagigigogo ปีที่แล้ว +3

      Hata umsifieje ndg yang na hakuna asiyemsifia hata wasiojua mziki huwa wanamsifia kini cha kujiuliza tulimuunga mkono lini ili awe na jina na pesa kuwazidi akina Mondi,hawa ndo walipaswa wawe matajiri kini cc eti tunawakubali kwny comment tu kini kununua kazi zao hapana afu tunajifanya tunamkubali kati ni unafiki tu ,ambao tunawaponda kila uchao wanazidi kuwa matajiri kwa amapiano hizohizo

    • @stuartMhina
      @stuartMhina ปีที่แล้ว

      👍👍👍👍💪🏿💪🏿✌️

    • @MkaliWagoka-bz6im
      @MkaliWagoka-bz6im ปีที่แล้ว

      Wengi wetu hatupendi Muziki wa kufundishaa,,Tunataka matusiiii,,,Saluti Sana kwako Ney

  • @filipejohnchuma1985
    @filipejohnchuma1985 ปีที่แล้ว +11

    Não consigo ficar 4 horas de tempo sem escutar a música viva Ney 👊 mais força 💪🇲🇿🇲🇿 peço pelo menos 10 likes para Ney 🔥

  • @2116-n
    @2116-n ปีที่แล้ว +6

    Tuliorudia baada ya mwamba kuitwa Centro tujuane❤❤

  • @lvanyDaniel_pw7kk
    @lvanyDaniel_pw7kk ปีที่แล้ว +16

    Sija wahi ku comment kwenye wimbo wa msanii yoyote toka nazaliwa huwa naishia kutazama ila huu wimbo ume nigusa sana piga kazi brother kazi nzuri yenye uokozi wa nchi yetu❤❤💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪🙏🏿

  • @Arnaud-JallenNsabiyumva-mj1nr
    @Arnaud-JallenNsabiyumva-mj1nr ปีที่แล้ว +101

    I'm from Burundi but trust me this song is for all African Countries ,⚡🇧🇮 big up xana Ney right kama all Presidents wangeusikiliza vizuri . Nay kwel True Bwoy , au sio jamani???

    • @rashidymussa1320
      @rashidymussa1320 ปีที่แล้ว

      Sure

    • @ahmadbilal3855
      @ahmadbilal3855 ปีที่แล้ว +1

      True spesal for all Africa country

    • @rev.barakamwamsojotv9489
      @rev.barakamwamsojotv9489 ปีที่แล้ว

      You went so far for sure

    • @upendoreuben4617
      @upendoreuben4617 ปีที่แล้ว

      Dah ! This song.. balaa nimesikiliza mara 6 .. and way keep it up brow hata waseme nn ukweli utabaki ukweli na massage sent ... Big up.. I love the song

  • @shokajr9714
    @shokajr9714 ปีที่แล้ว +73

    Nimesikiliza mara 8 hii nyimbo. Kiufupi Nay wamitego ndio msanii bora zaidi waHiphop kutokea bongo achana na hao tunaowaita Malegend wa hiphop hawana msaada wowote kwenye kusemea Rasiliamali zetu na kuwakosoa Viongozi wetu. Nay hatuna cha kukulipa ila ikatokea wakakuua sisi tunatachanga pesa Nchi nzima kwa ajili ya familia yako . Mungu akuweke sana kaka ❤

    • @abdullundenga3517
      @abdullundenga3517 ปีที่แล้ว +2

      Wa kwanza roma wa Pili nay wa mitego

    • @asherysadock6389
      @asherysadock6389 ปีที่แล้ว +1

      et ikipendeza chukua na hawa

    • @shokajr9714
      @shokajr9714 ปีที่แล้ว +1

      @@abdullundenga3517 wakwanza Nay kaka hamumunyi maneno na wala haogopi mtu yaani huyu jamaa ni mwanaharakati wakweli kabisa

    • @emanuelkazungu7058
      @emanuelkazungu7058 ปีที่แล้ว +1

      🎉

    • @petertungu2313
      @petertungu2313 ปีที่แล้ว +2

      ​@@asherysadock6389yaani wafe😂😂😂😂😂😂

  • @FrederickThadeo
    @FrederickThadeo 22 วันที่ผ่านมา +7

    Dogo natuma salama Kwa waganga wote nchini tukupe Kinga atakaye kugusa adondoke

  • @kiloloonlinetv3021
    @kiloloonlinetv3021 ปีที่แล้ว +125

    Maana halisi ya Mwanamziki sio msanii!! Mwanamziki haitakiwe uwe msaninii!! Big up unazidi kudhihirisha maana ya True boy❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥 Iko fire sanaaaaaaaaaaaa

  • @lilianeerica3318
    @lilianeerica3318 ปีที่แล้ว +7

    Ikikupendeza chukuwa na hawa😢😢😢😢wajinga wanawaongoza wenye akili ila kweli jmn🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤🇧🇮🇧🇮

  • @geofreymwambega4134
    @geofreymwambega4134 ปีที่แล้ว +20

    Mungu wa mbingun akulinde ,wimbo umezungumza uhalisia wa maisha yetu ya watanzania ,kwel nay ni rais wa kitaaa big up

  • @MunjalAMINA
    @MunjalAMINA 3 หลายเดือนก่อน +7

    Everything you are narrating here,us kenyas we put actions🇰🇪 Tanzania amkeni😢🇹🇿

  • @HASSANALYZAHORO-r8s
    @HASSANALYZAHORO-r8s ปีที่แล้ว +7

    On my side let Ney wa mitego move on drops such a song at all ❤❤❤❤ ndo nyimboo tunazo ziitaji au nazo zipenda Kama mzalendo

  • @NeemaAloyce-ie3kk
    @NeemaAloyce-ie3kk ปีที่แล้ว +6

    Kazi ya Mungu haina makosa ikikupendeza chukuwa na hawa mkataba wa bandari usiishie bara peleka na Zanzibar hii imeenda tumpe maua yake🌹🥀🌷🥀🌹

    • @ismu112
      @ismu112 ปีที่แล้ว

      Zanzibar mbona kitambo au hufuatilii umejaza chuki

  • @MwazambaMicro-pi4fj
    @MwazambaMicro-pi4fj ปีที่แล้ว +16

    Nimependa,kazi ya Mungu haina makosa kumchukua magu ikimpendeza Mungu achukue na Hawa waliosalia🎉

  • @dave_karter
    @dave_karter ปีที่แล้ว +7

    Every African country needs Nay.

  • @shahadaushindi7745
    @shahadaushindi7745 ปีที่แล้ว +10

    Nay we ni mzalendo wa kweli, nyimbo za Diamond, hazina.maana lakini ndinzo zinapigiwa promo duuh. Namba one msanii bora.

  • @jtzsafaris9730
    @jtzsafaris9730 ปีที่แล้ว +6

    Wale ambao tupo na Ney ngonga like apa
    Huyu ni zaidi ya Mnyama 🍁🤝

  • @pckfoundation3710
    @pckfoundation3710 ปีที่แล้ว +6

    AMBAO mnakubali Kama huu wimbo Ni number one east africa tujuwane

  • @HabibuMaingu
    @HabibuMaingu 8 หลายเดือนก่อน +3

    Muziki wako utaishi vizazi na vizazi. Hata siku ukipumzika tutaongea sifa zako kinaga ubaga bila kutafuta kukusafisha. Historia itakukumbuka kama msanii asiyejipendekeza kwa viongozi na ambaye alijitenga na watesi akasimama upande wa haki.
    Mungu akubariki sana na atakayekutafuta kwa shari waziwazi au kisirisiri laani ikawe juu ya kichwa chake na familia yake. Nayaomba yote hata katika Jina la Yesu, amina.

  • @BarakaAmon-v3r
    @BarakaAmon-v3r ปีที่แล้ว +6

    Ney anacho ongea kingekuwa sio kwer isingewauma kumbee yote ukweri wambiie mpaka wabadilike wasipo badilika ongeza nyingine wazalilike

  • @binjmwinyirain1133
    @binjmwinyirain1133 ปีที่แล้ว +27

    Umenifuta machungu ya kuondokewa na magufuli leo. R.i.p magufuli today I've finally agree that you have gone. Rest in peace Father kazi ya mungu Haina makosa. Ney kanifuta machozi kilio changu kimeskika. True boy💪💪💪. Anyways karibuni Simba day.

    • @josephkakobe1687
      @josephkakobe1687 ปีที่แล้ว +1

      True boy ney umetsha kiukwel hi nch yet ishauzwa ktambo sema selkal kuongea ningum tunakushkr kwahi nynmbo yako nikal kwel wenimwanaharakat

    • @AbAlhuraas
      @AbAlhuraas ปีที่แล้ว

      Wale watu wasiojulikana wako wapi mbna siwaoni au Mjomba kaondoka nao

  • @neymariontv477
    @neymariontv477 ปีที่แล้ว +28

    ney ni kioo cha jamii kama mnakubali nipeni like kutoka burudi

  • @MaddieMoreno-i7i
    @MaddieMoreno-i7i ปีที่แล้ว +4

    Huyu kaka Ndo mfano wa KIOOO CHA JAMAIII 😍😍🙏🏽🙏🏽🙌🏽😱😱😱😱🙏🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽

  • @AllyManjonjo-nw1ri
    @AllyManjonjo-nw1ri ปีที่แล้ว +5

    Ulimmchukua tujifuuunze au tupate kuhema,Ney true boy umenikosha mnoo

  • @EliaPundugu-cz4lj
    @EliaPundugu-cz4lj ปีที่แล้ว +35

    Wimbo mzur unaozungumzia maisha yetu hongera sana mwamba nakukubqli sana Rais wa mtaa.

  • @JuniorTZ-bm6rs
    @JuniorTZ-bm6rs ปีที่แล้ว +6

    Daaah unyama mwinqi zaidi ya mbuqan mamae😂😂😂😂, kama imekuqusa gonga like tujuane

  • @bushsutimeline766
    @bushsutimeline766 ปีที่แล้ว +5

    Afrika tuna matayizo this song isn't for TZ only but all African big up ...Ney wamitego much respect bro

  • @raiderking4637
    @raiderking4637 ปีที่แล้ว +6

    Tumekubali Ngoma tunamchukia huyo raisi hatari Yani hata wakikufungia umetusaidia kufikisha ujumbe✊🏿

    • @mangushaban9214
      @mangushaban9214 ปีที่แล้ว

      Hii imeenda. Bro piga kazi nakubali sana 🔥🔥

  • @Benskytv200
    @Benskytv200 ปีที่แล้ว +7

    Kaka nitafute kabla ujaenda basta jumatatu mm naingia mfungo kwaajili yako ❤❤❤❤ so much bro umefanya nilie na uwimbo nta upiga geto kamavip waje wafunge geto langu

    • @Benskytv200
      @Benskytv200 ปีที่แล้ว

      Wafunge tutapiga geto na kwenye mabajaji yetu Ngoma kitaaa imeenda sana Basata Tcra mmechelewa sisi walengwa wimbo tunao

    • @Benskytv200
      @Benskytv200 ปีที่แล้ว

      Amkeniiiiiiiiiiiii kitaaa NI balaaaa nipo nawanangu hapa mzumbe mbeya ishu n bandari na hii Ngoma nyie acha tu wana kitaa wamechoka kinoma

  • @Ambagaye
    @Ambagaye ปีที่แล้ว +6

    Huyu jamaa mkorofi sana. Ila amwemwaga kweli tupu bila kupepesa macho.

  • @jamesmasesi9042
    @jamesmasesi9042 ปีที่แล้ว +4

    Wimbo mzuri sana, huku kwetu Kenya wasanii wanasifu pombe na wanawake...Nay amia huku kwetu Kenya utuamshie viongozi wetu

  • @chrisskariuki8665
    @chrisskariuki8665 ปีที่แล้ว +7

    Kenya wana Erick Omondi, Tz tuna nay wa mitego💥💥

  • @JeronimoSimon65
    @JeronimoSimon65 ปีที่แล้ว +6

    Wimbo umefungiwa, ila angalia numbers sasa (#2 OT >1.5M viewers in less than 2weeks) 🙌🙌🙌 hii inaonesha, hizi ndo nyimbo watanzania wanataka, kwa bahati mbaya ndo hizo hizo serikali hawazitaki 😥😥😥

  • @isaacamani145
    @isaacamani145 ปีที่แล้ว +43

    Alafu utaskia tuzo imeenda na amapiano.
    Ukweli ndio hautakkani Africa. Love from coast Kenya 🇰🇪

    • @mangodfrey9991
      @mangodfrey9991 ปีที่แล้ว +1

      Tuzo Tena hapo ni basata kufungia na kuhitajika osterbay

    • @NemyNemo
      @NemyNemo ปีที่แล้ว

      Hahaha

    • @IssaSadick-dq7pu
      @IssaSadick-dq7pu ปีที่แล้ว

      🤔🤔yaan kwa hii nyombo hawatasubli ujzke watakuuwa na wakuZke 😭😭😭 Kama lakhdube

  • @joelmwando6791
    @joelmwando6791 ปีที่แล้ว +5

    ❤❤Tamu sana. Ni sawa tu na Zakayo Wetu apa Kenya 🇰🇪 .

  • @jumaraha
    @jumaraha ปีที่แล้ว +7

    True boy in the building -👍 bip up bro...wapi lyk za 254🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @ngwalabenedictor8992
    @ngwalabenedictor8992 ปีที่แล้ว +175

    When it comes to great messages' songs, thats where Nay wa mitego brings his A game

    • @eugengerry532
      @eugengerry532 ปีที่แล้ว

      When it comes to great Messages Songs, that’s where Nay wa Mitego brings his “A” game

    • @donaldabel1656
      @donaldabel1656 ปีที่แล้ว

      Bonge la song tunahitaji watu ka Hawa Sasa Roma huko uliko shusha nondo Sasa na wew

  • @neemagabrieli-ff4mq
    @neemagabrieli-ff4mq ปีที่แล้ว +5

    Wee kwa ukweli kua makini kaka ney wamitego kingine tukisikia chochote kibaya kimempata ney ujue ni serikali juu roho za wauma mno tupo na ww kaka big up ney

  • @rissaliz3417
    @rissaliz3417 ปีที่แล้ว +8

    Wakenya mko wangapi hapa🙋‍♂️😢😢😂😂

  • @jacoballoys9980
    @jacoballoys9980 ปีที่แล้ว +31

    "Kazi yako haina makosa ikikupendeza mchukue na HAWA" Aisee this song is lit

  • @MchungajiPasteur
    @MchungajiPasteur ปีที่แล้ว +6

    Nay we huogopi gusema ukweli kabisa nakwamini sana endelea na kazi yako

  • @jobcapri232
    @jobcapri232 ปีที่แล้ว +6

    Tupo wengi pamoja Na freenation for life ni nassib toka Mombasakenya

  • @fredrickmutunga2222
    @fredrickmutunga2222 ปีที่แล้ว +4

    Kazi ya mungu haina makosa.., ikikupendeza chukua na Hawa pia"😂😂😂😂much respect from Kenya

  • @newtonfox
    @newtonfox ปีที่แล้ว +57

    I was playing this song so loud until my neighbor called the police. When the police arrived, they called the prosecutor, the prosecutor came and he then called the judge, when the judge came, he sentenced my neighbor for trying to kill the vibe🤪Much love from URUGUAY

  • @ShimboPastory
    @ShimboPastory ปีที่แล้ว +24

    Huu wimbo umegusa hisia za watu wote kasoro viongozi wetu. Shukrani kwa kusema ukweli bro Ney.

  • @jeremiahevodius925
    @jeremiahevodius925 ปีที่แล้ว +16

    Uyu ndo mtanganyika wa kweli mwenye uraia wa tanzania tunaitaji watu kama awa wanao sema kweli kwa ajili ya nchi yake mimi namuhunga mkono ✊✊✊💪💪💪

    • @majaliwawilson9372
      @majaliwawilson9372 ปีที่แล้ว

      Ilitakiwa wasanii wote waimbe haya kwapamoja wataelewa nakusikia Nini tunataka hatutaki nabandali yetu waoneshe mfano kwaza kec zote tushinde ndipo tuelewe

    • @jeremiahevodius925
      @jeremiahevodius925 ปีที่แล้ว

      @@majaliwawilson9372 ewa wangeungana kwa pamoja kufikisha ujumbe kwa njia ya music

  • @williamouma8263
    @williamouma8263 6 หลายเดือนก่อน +3

    Huyu mwamba ni Tupac Shakur wa Africa,namkubali sana, jamani Nay wa Mitego wakenya wanakubali misitari yako.Hongera sana more love from Kenya.Njoo upige shughuli Kenya

    • @mzeerajab3629
      @mzeerajab3629 3 หลายเดือนก่อน

      Tanzani uchawa unajeng nyumba ila haki wanakuua

  • @chachasemberimwita7859
    @chachasemberimwita7859 ปีที่แล้ว +60

    Raisi wa mitaaa....he knows each and everything happening in the streets..."Media za bongo zimestuck hazina tena ubunifu, hazikuzi presenter wake,angalia Nani maarufu, na hao maaruf sasa..." STRONG PUNCH LINES...Hongera Ney.

    • @dorcusjidinga4624
      @dorcusjidinga4624 ปีที่แล้ว +2

      Na hao maarufu sasa kma machangudoa apo kaguswa mwijakuu na baba levo

    • @muksinimbaruku1233
      @muksinimbaruku1233 ปีที่แล้ว

      ​@@dorcusjidinga4624kina Maulid kitenge pia

  • @FrankyTravis-iy2pr
    @FrankyTravis-iy2pr ปีที่แล้ว +5

    Oyaaa mwamba anajua sana sema basi2 tz tunapenda nyimbo zakipuzi kusisapoti nay ajengewe sanamu

  • @mundetvchannel0
    @mundetvchannel0 ปีที่แล้ว +8

    Mbna hatuingiii trending jmni kuna mchezo hapa😢😢

  • @shabanisiku8827
    @shabanisiku8827 ปีที่แล้ว +3

    This song is for all African Blind Leaders thank you Ney Rais wa Kitaa
    D. R. Congo 🇨🇩 ❤

  • @shakilayusuf7802
    @shakilayusuf7802 ปีที่แล้ว +5

    Shukran Nay kwa kuwakilisha maoni na kupaza sauti za Wa afrika wanyonge hususan hapa kwetu Kenya.Umetoa picha kamili ya hapa Kenya,huo ndio usanii,endelea kuwa kioo chetu ,Umri mpevu nakuombea.Zidi kugonga ndipo kwa ujasiri na ukunguru usikinyemelee daima.

  • @suleimanmohamed111
    @suleimanmohamed111 ปีที่แล้ว +5

    Hii ndio nyimbo sasa sio ushoga wa wale kina mondi kutuimnia ushogashoga na wanaowasapoti wote mashoga wenzao

  • @pauljoseph919
    @pauljoseph919 ปีที่แล้ว +6

    Miongoni mwa wasanii wachache wanaotunga nyimbo zenye ujumbe bila kuogopa Big up Sana Nay

  • @Fabianielihaj
    @Fabianielihaj 7 หลายเดือนก่อน +7

    Tujuane wale bado tunasikiza huu wimbo

  • @salimkirungi5676
    @salimkirungi5676 ปีที่แล้ว +5

    Umeiona nguvu ya Hip hop inashindana na amapiano zao, ni ngoma nyingi za amapiano zimeshindwa kupata views nyingi ukilinganisha na hiki kigongo. Sauti ya uma

  • @alexmwinuka4280
    @alexmwinuka4280 ปีที่แล้ว +13

    Nimeipenda hiyo na "Mama ikikupendeza kuhusu mkataba wa Bandari isiishie Bara peleka na Zanzibar " Big up 🤴 Mr Nay natrue boy

  • @ibrahimkasim922
    @ibrahimkasim922 ปีที่แล้ว +7

    Hata hapa you tube naendelea kuupiga saiz ninaludia uludia🇹🇿

  • @miangijunior4358
    @miangijunior4358 26 วันที่ผ่านมา +2

    Asante sana brother Nay
    ALLAH KAREEM Akunusuru na kila Shari ya kila Mwenye shari akupe umri mrefu zaidi AMIIN🤲

  • @lukasphilipo5721
    @lukasphilipo5721 ปีที่แล้ว +5

    Uyu jamaa anajiamini sana aise noma sana💪💪💪

  • @MrCheluget
    @MrCheluget ปีที่แล้ว +57

    "kazi yako haina makosa, ikikupendeza chukua na hawa" "bongo akili ndogo inaendesha akili kubwa" 🔥👏Talanta kali sana! Endelea na ukweli. 💪

    • @ommarizoable
      @ommarizoable ปีที่แล้ว +2

      Kina steve nyerere ndo wanaendesha wasomi

    • @elishamagulu4255
      @elishamagulu4255 ปีที่แล้ว +1

      😂😂😂😂😂😂

    • @nyamhangajames620
      @nyamhangajames620 ปีที่แล้ว

      Big up bro upewe maua yako💯💐💐
      Na watanzania tuamkeni jaman

  • @chesterbrand6723
    @chesterbrand6723 ปีที่แล้ว +7

    Hata isipoingia trending ujumbe umefika... We love you Brooh great Job....

  • @RamCharan-m9b
    @RamCharan-m9b ปีที่แล้ว +3

    salute mr president naomba mungu ndoto ya watanzania juu yako iwe kweli mungu akulinde na hasadi mkuu ipo siku utakuja kuliongoza taifa hili weka nia hakuna linaloshindikana kwake mungu

  • @irankundaclebert4260
    @irankundaclebert4260 ปีที่แล้ว +7

    Nyie niwajinga sijawatusi ila nyiwashenzi😂😂😂😂😂 Mwenye amesikia hiyo anipe like pls

  • @tonneycharles6029
    @tonneycharles6029 ปีที่แล้ว +7

    Jamaa anajua sijawah comment nyimbo yyte huku tube lakin he deserves kaka ney

  • @frolensidominick-ec1mc
    @frolensidominick-ec1mc ปีที่แล้ว +7

    Mpe Maua yake Ney🎉🎉

  • @AnuwaryHussein-xu9rb
    @AnuwaryHussein-xu9rb ปีที่แล้ว +4

    Daah! Hatar nchi inakoelekea tunaumia wanyonge wao wanakula bata kwa mlija bora mpaze saut tuokoe tanzania