Darassa Ft. Winnie - Nishike Mkono (Official Video)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 8 ก.พ. 2025
- Song: Nishike Mkono | Artist: Darassa Ft. Winnie
Darassa Other Video Songs:
Hasara Roho: bit.ly/Hasara_Roho
Muziki: goo.gl/IEJSG9
Too Much: goo.gl/zyynXL
Kama Utanipenda: goo.gl/MOhOYx
Heya Haye: goo.gl/kywYLi
Sikati Tamaa: goo.gl/478PZ9
Tunaishi: goo.gl/xgfsPB
Sio Mbaya: goo.gl/BK82mg
SUBSCRIBE Mziiki For Best African Music | bit.ly/MziikiTube
Like us on Facebook: / mziiki
Follow us on Twitter: / mziiki
Circle us on G+: plus.google.co...
Instagram: / mziiki
Stream music free at our official Website: www.mziiki.com
Visit MziikiTube channel for unlimited entertainment: / mziikitube
Watch #Darassa latest music video "Hasara Raho" ► bit.ly/2pVSRFo
Darassa @Umepotea kaka wapi nyimbo zingine??
Kwel mi nakuunga mguu
😋😋😋😍😍😍
Nilikujua ju ya my late bro hii ngoma kila siku hunipa nguvu ya kila siku kuna kitu ina Miss nigependa kukua kwa show yako ata kama nimoja uki kuja kenya just ku keep my bro dream
Huu wimbo back in time uli ni inspire kukaza kutoka unknown to known. Big up bro
Damn, ndo mwanzo naiskiza bonge hili la hiti 2024! Moto sana Darassa 🔥 🔥 🔥
Niko hapa hadi leo 2024 na still bado hii massage ya huu wimbo ni very strong
Kweli man
Nikiangalia hii ngoma nakumbuka mbali wangapi 2023😢😢😢 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Nimekuja hapa baada parachichi FM ya dullah the king kunikumbusha way back🔥🔥🙌
Mwili kama una vidonda,ukinigusa tu naumia,😢 kichwani mizigo wa dhambi gunia kw magunia, dunia sinia pakua unachoweza..love from kenya 🇰🇪
Darasa MUNGU akupe maisha marefu inshallah
Anyone in 2024, I miss those days
🎉🎉🎉🎉1sep 2024
bado naiangalia sana hii video kuanzia mistar,beat,chorus..na video vyote vipo lite.,,.usipotoka maisha yanakutokea....CMG forever..
Usitamani kiatu changu ukikivaa hautembei
Na ikiwa siku mbaya ndo masaa hayasogei damnnn
huu wimbo haujawahi chuja kwangu
"dunia sinia pakua unachoweza"
"maji yakiwa shingoni ndo nakumbukaga dua"
✊✊ these lines hit harder
Kama kuna nyimbo zako hua napenda kuziskiliza hiii hua naipenda snaaaa
'Babaake na athumani alikufa mvuvi wa pweza, wana utajiri wa imani maskini wa kifedha'
Washanichimbia kaburi wanizike nahema
Washakata miti ya vivuli mifereji ya neema
Baada ya Miaka 5 Mbele, Wini anampa Featuring Darassa kwenye ngoma inayoitwa 'I DO'... What a Legend..! Marvelous..! 🔥🔥
Legends never die🔥🔥🔥
Ngoma zako Zina zidi kutupa speed ya ku hustle . Aminia Darasa .🔥no bady see me cry
unaweza kukuta unayemuamini ndiye anayekuwekea sumu...hawana alama binadamu anayekuja kukuhukumu
#Bado 2024 tuko nayo gonga like kama tupo pamoja tz🇹🇿🇹🇿💔💔💔
2023 and forever listening. Big up darasa
Mwili umechoka, naforce tu kuendelea 😩
Dunia sinia, pakua unachoweza 😩
Sometimes tunaishi nje ya Malengo tuliyojiwekea. Ninatamani kuwa Mtoto kibaya haiwezi kuwa, Usitamani viatu vyangu ukikivaa hutembei ✊
Hii verse kali sana
@@TheAlesry mnoooo 💞✊
Napataga mawazo chanya kutoka kwa darasa kwer kioo cha jamii
Darasa na Winnie walitulia sana kutengeneza hili goma 🔥💥🏆🤟🏽
Hii nyimbo nikiisikiliza huwa siichoki na inanifanya nataka kulia.............. Drasa unajua
Wimbo wangu pendwa wakati wote🎉🎉
Bro!! Rudi huku bana🙏 huu ndio mziki wako.hii nyimbo ilikua inanitoa machoz kila nilipokua naisikiliza. Hili song litaishi milele n ngoma pekee nayoikubari katika songs zako zote .
Mwili Umechoka, Nafosi tu Kuendelea
Mpaka naogopa, Wapi naenda Kutokea
Hata nikiokoka, Nani atae niletea
Nisipotoka, MAISHA yananitokea.
2024 Put your hands Up
Ngoma kaliii ,nasikilizia Leo siku nzma
Huyu winnie nampenda sana , sai na ADO ndio ananiumiza roho, yani darassa alimfanya nikamjua...sai majirani wananiambia wanakumbuka nikimsifia akipiga hii ngoma.. i wish imfikie
Ado na Sai ndiyo kina nani hao Mkuu?
This song deserves more views.... lyrics are on another level 💯
Ila jamn watu tunatoka mbali sana ..huyu ndo alikua Darassa kwel ..Gonga like kma unangalia hiii 2024--2025
Unajikuta uko peke yako Giza kubwa kwenye Mtaa, huoni ndugu wala jamaa uliokua nao Jana Bar 😞
Daaah mpaka leooo iiih ngomaaa naisikilizaa sichoki inamawaidha mpaka 2050
Nani anatazama hii video mpka leo ❤️❤️❤️
Kifuani kama moto moyo wangu ,maumivi ninayohisi utakiwi kuyaju
Life likuchape halafu unasikiliza hii ngoma,machozi kutoka ni uhakika😢
😅😅 sana tu
DARASA unaweza komaa
this song right here got me out of depression
Nilijua utatusua siku moja.big love class
Ngoma Kali noma Sana ila jamaa hujawahi kuniangusha kwenye ma song
Hello people !! Here again 2021 we show love to our dude Darasa respect & much love❤
Ngoma sichoki kuiskiliza👏👏👏
No body by my side Mungu nishike mkono 2024
Kiukweli hii ngoma naipenda sana bg up bro darasa
Umetoka mbali sna darasa mpka kwenye "muziki" kwl kila kinawezekana ni jambo la kumuomba mungu
Dah...nmekumbuka nikiwa katavi mpanda Sina kazi.... no body see me cry
wimbo huu utainuka hivi karibuni.....'muziki' itaziinua zote hizi my brother
khaswaaaaaaa
its a blessing
here still 29/8/2021 darassa the best
Hi ngoma naielewa sanaaaa
Thanks for this peace of art...Inanipa nguvu ya kutokukata tamaa..Asante
Milele unahit na utahit.
What a legend.......viva Darasa
nyingine hii hapaa
jidanganyee
Wanaomdiss darassa hawamjui vizur ata wakiandka jina hawawek double s...king of all times
Nipo kwenye naangalia kati ya goma zangu pendwa za hip-hop
Dah darasa huku ndio kwako nice song
Huu wimbo uwaga tamu sana lkn watu sijui hawajaiona hadi saiv ina viewers chachee dah😢😢😢
Inspiration song mara nyingi ni za mtu mmoja mmoja ila ukisikia muziki tofauti wepesi sana kushare ndio maana viewers wanakua wengi,😢😢tunao ielewa hii ngoma tusonge nayoooo🎉🎉✌️
2023 still here!!!
Darassa this was 🔥🔥🔥
Wimbo mzuri sana jamani. Sio kama zile za kina diamond hazieleweki ila Nyimbo hii ni real life ambayo wengi tupo nayo 😍💞🤩
ikiwa siku mbaya ndo masaa hayasogei
unyama mwingi daresay 🎉🎉❤
2023 kama upo nayo unaisikiliza gonga like hapa
2020? Anyone!
Here we are
And what about 2022,April 7th
Am here ✌✌💪💪💪
Here i am 2022
2022 anyone
This song remind much about 2012...used to be anthem back then.
2022 still the same feeling Dope hit..
Winnie yuko wapi?
Hii si wimbo tu bali dua shukran darasa
Where is this Dude... We miss his Music a lot..
Hazina iliyojificha sasa imefichuka!
God bless all following this track🎉
Anybody in 2025 here listening 😅
Bila kuchoka
02.06.2020 who watch it
Like 👊🏾
Daah huu wimbo sijawahi acha kuupenda
Nakumbuka mbaliiiiiiiiiiiiiii
Umeipiga mwaka gani bro darasa mkali....🇹🇿🇹🇿🇹🇿
2013
2012 hii Ngoma ndo ilitoka
Darassa the legendary 🎉🎉🎉🎉
Nyimbo pendwa all time kwangu
Hii nyimbo itaishi milele
kaza babu game umeiweza hii
Damn my jam still 2025🔥
2022 Darassa kwenye hii ngoma uliwaza nini bro umetisha 💪💪👍
mungu nishike mkono nobody is on myside congrats Darasa nyimbo tamu hiyo
Ikiwa ni siku mbaya ndo maa hayatembeii......
Nisipo toka maisha yanitokea!!
Kwel Mi nakunga mguu
Brother hili ni bonge LA ngoma
Hii ngoma Nishike Mkono na Sikati Tamaa ndio ngoma zangu bora kwa Darasa
Uko kama mimi mzee Real Recognise Real
Kuna nyingine inaitwa siyo mbaya,,kichwa kilikuwa kimetulia@@brosataasisi3657
Upo gud san class ur real artist! D knob
Damn! Dude killed it!
Duh hii nyimbo ni so powerful Wallah.
Anaweza sana
This is the day I knew this guy was great
Vzr Sana bro
Nan mwingne anaangalia hii video mpka leo
Muziki imenifanya nianze kuzitafuta ngoma zote za darassa
paul swai Mimi mna naipnda sna
Fadhila Ramadhan Hahaha acha nipige chabo
Fatma Jambia naomba nitafute wat sap. +968 9719 3263
nishike mkono usiniache habibty
Mziki huu umenipa moya wa kuendeleo
Kanjema sana kaka
Way back ❤❤❤❤ time is flying now it's 2024 🎉
2024! ! Anyone?
Here we go
Yeeeaah u know watcuuup🔥👊🏾
P Diddy Kashatoka😂
Nomaaaa
darass tengeza nyimbi inhine with winnie
Konk mzee baba nakubali show kali mzee🤘🤘🤘🤘
Nakubal Xna hii ngoma until now Allover
Fiti bro
Nakukubali sana DRS