TUME HAITAACHA MTU MWENYE SIFA MICHEWENI.
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 8 ก.พ. 2025
- KWA HABARI ZA UCHAGUZI , MATANGAZO NA ELIMU YA WAPIGA KURA ANGALIA ZEC ONLINE TV KILA SIKU NA USISAHAU KUSUBSCRIBE, LIKE, COMMENT NA KUSHARE ILI UWE WA KWANZA KUPATA TAARIFA ZETU KILA TUNAPOZITUMA HEWANI
JEE UNA TUKIO AU MATANGAZO?
WASILIANA NASI KUPITIA
SIMU NAMBA
+255-772 625 918
EMAIL
director@zec.go.tz
Hasbunallah Waniimal Wakiil
Wenyesifa ya uzanzibari hamukuwapa vitambulusho watanganyika mmewapa huu ni ujinga gani
Sifa yakua mtu mzanzibar inatosha msijidanganye. Wapeni hakizao watu. Muongopeni mungu.
Na mukiwaacha watu musipowaandika ugomvi ndo utaanza mapema paka nyinyi kama mnatumiwa mujue mapema
Mukifanya mazuri hatutaacha kuwasifu,ndo sifa ya muungwana kuonyesha uungwana wake, naombeni tusirudi huko tulikotoka.
Mnauhakika hamjadhulumu watu?na baadhi ya watu kuwanyima haki zao?ila tu msisahau,dhulma haidumu..na haki ya mtu hailiki,na mlipaji hafi..anaona kila kitu,jitafakarini na kujitathmini
Madhalimu nyinyi munandukisha watwana wenzenu waso sifa kuuwacha wazawa wano sifa.Mumefanya chaguzi ndogo 5 zoote zilijaaa uzalimu na dhukma.